Wengi Hawajui Nilikua Muislam, Rehema Simfukwe

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
    Facebook : / gospeltvshow
    Instagram : / chomozanews
    RUclips : www.youtube.com...
    #ChomozaTv#2021

Комментарии • 44

  • @OnesmoCagubeNawadimba
    @OnesmoCagubeNawadimba Месяц назад

    Mungu azidi kukubariki Ntumishi

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 Год назад +1

    Endlea kunyenyekea hivo hivo ili Mungu akuinue zaid ya hapo usikubar kushare utukufu na Mungu siunajua Mungu alivo na wivu

  • @zico813
    @zico813 Год назад +1

    Barikiwa sana sana

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu6859 Год назад +3

    Mungu aendelee kukuinua hakika unanibarik Sana na kupitia nyimbo zako nakua kiiman ❤️❤️

  • @jaligawesa
    @jaligawesa Год назад +1

    Wow! Kigogo KKKT! Awesome!🎉

  • @angelalyaruu7196
    @angelalyaruu7196 Год назад +6

    Very humble and annointed woman of God.. you songs are really annointed, zinatouch souls.❤

  • @mzirayshangwe8224
    @mzirayshangwe8224 Год назад +2

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu. Umenigusa sana na nyimbo ya fungua neema yako watu wakujue Mungu. Haleluya

  • @patiencemambo2996
    @patiencemambo2996 Год назад +1

    Mungu akubariki dada

  • @damsonmsalangi3900
    @damsonmsalangi3900 Год назад +3

    Mdada aliyepakwa mafutaa very anointed, humble, respective

  • @DanielMeshack-zu3kz
    @DanielMeshack-zu3kz 5 месяцев назад

    Ubarikiwe Zaid dadaangu

  • @solangebagal3496
    @solangebagal3496 2 года назад +3

    Amina rehema yani Mungu kaku rehemu kweli kweli

  • @hasanishija5213
    @hasanishija5213 Год назад +1

    Nilishausikiliza huo wa chanzo chauhai wangu niwimbo mzuri sana ata hizo zingine zipo vizuri

  • @mapitoproduction
    @mapitoproduction Год назад +1

    hongera Sana Rehema simfukwe.
    kwa kumtumikia Mungu kwa kiwango hicho, mimi ni Simtowe nipo Sumbawanga kwenu

  • @jonathanjeremia3125
    @jonathanjeremia3125 2 года назад +3

    Yan nakupenda bule dada lehema naliaga nikiweka nyimbo zako

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Год назад +3

    Haleluyaaa
    Njoooni Kwa Yesuuu
    Yesu ni njia

  • @JofreySimfukwe-dz8ew
    @JofreySimfukwe-dz8ew 11 месяцев назад

    Dada yangu kweli mungu akupake mafuta san tumatoka wakina sifmfukwe

  • @royjuma2851
    @royjuma2851 2 года назад +2

    Pokea upendo kutoka Nairobi Kenya. Mwenyezi Mungu akuzidishie neema.
    Nyimbo lako lime vunja mipaka, na mabano.
    Ume sababisha sifa kwa Mungu kwa wakati mgumu, kutoka roho wangu wa ndani.
    Ubarikiwe Kwa kazi njema na utumishi.

  • @barikimiliki2857
    @barikimiliki2857 Год назад +1

    barikiwa saana madam Mungu azidi kuinua

  • @ulimbakisyalaston6311
    @ulimbakisyalaston6311 Год назад +1

    Hongera sana Mungu ni mwema zidi kumtumikia

  • @evamon9547
    @evamon9547 Год назад +1

    Barikiwa sana Rehema nyimbo zako zinanipa nguvu ya kusimama katika uimbaji...karibu kenya sana

  • @julieluziga1095
    @julieluziga1095 2 года назад +2

    Mungu wa mbinguni azidi kukuinua mtumishi wa Mungu. Nyimbo zako zinabariki sana!

  • @robertjoseph8968
    @robertjoseph8968 25 дней назад

    Napenda wimbo wako wa ndio

  • @mariamanyika7153
    @mariamanyika7153 2 года назад +2

    Mungu akubariki sana Dada rey

  • @emmerentiennenyawenda5395
    @emmerentiennenyawenda5395 Год назад +1

    Nampenda sana Rehema

  • @marcelinemalembs5397
    @marcelinemalembs5397 2 года назад +1

    I've come to love this girl God bless u

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Год назад

    Ana sauti sana
    Hongera

  • @amanibugondo
    @amanibugondo 2 года назад +2

    She’s humble

  • @priscachangoma333
    @priscachangoma333 3 года назад

    Barikiwa saanaa

  • @annaosward3201
    @annaosward3201 2 года назад

    Ubalikiwe rehema mama umenikumbusha mbal kigogo luhanga kanisan

  • @Juxafricanboy-j7u
    @Juxafricanboy-j7u 11 месяцев назад

    Wewe nishuja

  • @dennisevarist
    @dennisevarist 2 года назад +1

    Moja kati ya wimbo wangu pendwa

  • @healingclinic978
    @healingclinic978 Год назад +2

    Sasa unauelewa ule wimbo wako mimina neema yako familia yanu ikujue

  • @joygoko
    @joygoko Год назад

    Oh. Wow

  • @ibzanruheta
    @ibzanruheta 2 года назад

    Rehema

  • @verafatuma1624
    @verafatuma1624 2 года назад +1

    Amen

  • @AnnaGodfrey-y2k
    @AnnaGodfrey-y2k Год назад

    Mom

  • @catherinemzurikwao3265
    @catherinemzurikwao3265 2 года назад +2

    Mtangazaji jifunze kutofautisha R na L inakera

  • @princenelsonsinko5237
    @princenelsonsinko5237 3 года назад +2

    Hatunaga waislamu kwenye kabila letu kama hilo...

    • @elizabethfrolence4344
      @elizabethfrolence4344 2 года назад

      Wapo bhn ila ni nadra sana kumkuta mnyamwanga wa dini tofauti

    • @edsonsilumbe758
      @edsonsilumbe758 2 года назад

      Mm mwenyewe nilikuwa sijui kwamba kuna wanyamwanga waislamu

  • @yesuarankunda4492
    @yesuarankunda4492 3 года назад +3

    Sasa nikitu gani kimebadilika kwa mwili wako au ndani ya roho yako ili tujuwe kwamba kweli umeokoka??wanapenda kusema Yesu alakini ndani ya moyo hawana uwo Yesu😏😏😏😏

    • @christsflowe.r
      @christsflowe.r 2 года назад +20

      nani alikueka uwe unaangalia ndani ya roho za watu au miili yao kuwa mtu ameokoka au lah? Focus on your heart and spirit kama huyu Yesu yupo ndani yako au hayupo, acha kusumbuka na roho za watu!!!!

    • @zico813
      @zico813 Год назад

      Je hapa wokovu wako wewe umefanya nn ?Yeye ameimba ninibada tosha na wengi tumebarikiwa.Wewe unaye sema nn kimebadilika umefanya nn?Biblia inasema hata mjinga akikaa kimya huesabiwa hekima.Learn to shut up if you don’t have anything important to say.Kaaa Kimya.Mithali 17:28.