Kwahiyo huyo Binti Afysa aliyekuwa Akinadiwa na Babake na akaolewa na Muhammad ilikuwa naye yuko tayari kuolewa kiumri na Kiakili au ni kisa Babake alitaka Binti aolewe basi mwanamme anachukua tuu hata kama Binti bado mdogo. Hii Ndio sababu kubwa Uislamu ni tofauti sana na dini nyingine haswa kwenye maswala ya Wanawake.
MashaAllah sheikh wngu othman maalim
Jazaqallah kheyr
Walykum salamu warahmatullah wabaraqatuh shukran sana
Masha Allah Alhamdulillah Amiiin.
Mashaallah mashaallah jazaka Allah kheri kwa darasa ❤
Allah akupe mwisho mwema shekh inshallah
❤❤allah akulipe kher dunian na kesho akher ❤
Kwahiyo huyo Binti Afysa aliyekuwa Akinadiwa na Babake na akaolewa na Muhammad ilikuwa naye yuko tayari kuolewa kiumri na Kiakili au ni kisa Babake alitaka Binti aolewe basi mwanamme anachukua tuu hata kama Binti bado mdogo. Hii Ndio sababu kubwa Uislamu ni tofauti sana na dini nyingine haswa kwenye maswala ya Wanawake.