KINACHOKWAMISHA STENDI YA NGANGAMFUMUNI NI MKANDARASI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa ya Moshi, Bi.Mwajuma Nasombe ameeleza sakata linalokwamisha kuendelea kwa ujenzi wa Stendi ya Kimataifa ya Ngangamfumuni.
    Ujenzi wa stendi mpya ya kimataifa Ngangamfuni International Bus Stand Terminal mjini Moshi mkoa wa Kilimanjaro, ilitarajiwa kuwa na ofisi, maduka, migahawa na hoteli, huku ilitarajiwa kuwa na uwezo wa kuhudumia mabasi 300 kwa siku ambayo yataingia na kutoka ambapo kati ya mabasi hayo 72 yanaweza kuegeshwa kwa wakati mmoja. Pia kutakuwa na maegesho ya ya magari binafsi 218, teksi 34 na bajaji na bodaboda 20.

Комментарии •