MWIGIZAJI WA CLAM VEVO AFICHUA MAMBO YA KICHAWI, MAMBO NI MAZITO, MBWELA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024

Комментарии • 21

  • @user-uz9px6cr7m
    @user-uz9px6cr7m 7 месяцев назад +5

    Utaenda Mbali young brother muombe Mungu

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 7 месяцев назад +5

    Mashallah Mbwela huna imani ya uchawi na nakuomba usiwe nayo...mchawi mkubwa ni MUNGU ibada kwa wingi kakangu

    • @Zeldaommy
      @Zeldaommy 7 месяцев назад +2

      Ibada muhimu kwa kweli

  • @andrewkilave3532
    @andrewkilave3532 7 месяцев назад +10

    Mbwela ameanza kuonekana zamani sana tokea yupo kwa madebe

  • @Zeldaommy
    @Zeldaommy 7 месяцев назад +2

    Umeongea point bro bt nina imani mungu yupo na ww kila siku utatoboa tu inshallah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-ep7qs8ct6d
    @user-ep7qs8ct6d 7 месяцев назад +4

    Jaman name nina kipaji cha kuigiza unisaidie

  • @h_boytz3265
    @h_boytz3265 7 месяцев назад +3

    Nimependa sana majibu ya huyu mwamba

    • @Zeldaommy
      @Zeldaommy 7 месяцев назад +1

      True ❤❤❤

  • @ashrafnachochocho
    @ashrafnachochocho 7 месяцев назад +9

    leo me wa kwnza nipe like zangu

  • @user-oe1ew9de9h
    @user-oe1ew9de9h 7 месяцев назад +3

    Mtangazaji professionalism yake inafunikwa na umbea

  • @user-wl8fg8ne1f
    @user-wl8fg8ne1f 6 месяцев назад +1

    Wakwanza leo naomba like zangu watanzania 🙏

  • @mbwelamedia3469
    @mbwelamedia3469 7 месяцев назад +2

    Duh wachaawi sio watu waziur 😂😂😂😂

    • @Zeldaommy
      @Zeldaommy 7 месяцев назад +1

      Kabisa 😂😂😂😂😂

  • @Thuma_junior
    @Thuma_junior 6 месяцев назад

    Pole sana mbwela ww ni moto ❤❤❤❤❤❤❤

  • @ROBIMGETO
    @ROBIMGETO 7 месяцев назад +1

    I'm coming to Join MBWELA MEDIA 🇰🇪

  • @christfamilychurch-cfctanz4270
    @christfamilychurch-cfctanz4270 7 месяцев назад +1

    Mungu hajaweka uchawi, Halafu wasanii nyie mkienda kwa waganga( Wachawi) mnasema mkaenda kwa ustadhi, Hapa ndipo mnaihusisha dini yenu na uchawi au ushirikina!!!😂😂
    Kwa kifupi unasema, umejua kuwa unalogwa baada ya kwenda kwa waganga!!!! Nimekusikiliza sana, Nikajitahidi kusikia yale ambayo hujatamka na nikayasikia yote!!!

  • @MudrickAlly-kn1ui
    @MudrickAlly-kn1ui 3 месяца назад

    Yatima mwenye wazazi muendelezo tunaomba

  • @yahyaomondi7892
    @yahyaomondi7892 6 месяцев назад

    Dada umbea nae umezidi mama

  • @user-dq5tc4uu9s
    @user-dq5tc4uu9s 6 месяцев назад

    ❤❤❤