WAWATISHIE WATU WENGINE SIO MIMI: UHURU KENYATTA🇰🇪
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- "Nilitaka kustaafu Siasa niende nikafanye mambo yangu mengine lakini kuna watu wameamua kuwa kazi yao ni vitisho na kulazimisha vitu. Leo ninawaambia wawatishie watu wengine ila sio mimi." - Rais Mstaafu wa Kenya, Uhuru Kenyatta