Mahujaji wawasili Mlima Arafat siku ya tatu ya Hija

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • Karibu mahujaji milioni 2 wamewasili kwenye Mlima Arafat, kuanzia alfajiri Jumanne, ikiwa ni kilele cha ibada ya Haji na mahala ambako ina aminika Mtume Mohamed SWA, alitoa hotuba yake ya mwisho.

Комментарии • 2

  • @khajirashid3455
    @khajirashid3455 4 месяца назад

    Natamani siku moja Allah aniwezeshe niende Hijja

  • @kvfihf6324
    @kvfihf6324 Год назад

    Kweli uisilamu ndio dini ya haki tajiri maskini mweupe mweusi wote wamevaa nguo mbili tu