Mahujaji wawasili Mlima Arafat siku ya tatu ya Hija
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- Karibu mahujaji milioni 2 wamewasili kwenye Mlima Arafat, kuanzia alfajiri Jumanne, ikiwa ni kilele cha ibada ya Haji na mahala ambako ina aminika Mtume Mohamed SWA, alitoa hotuba yake ya mwisho.
Natamani siku moja Allah aniwezeshe niende Hijja
Kweli uisilamu ndio dini ya haki tajiri maskini mweupe mweusi wote wamevaa nguo mbili tu