🚨Mazito kutoka Simba, Ahmedally Afunguka Vingi,sakata la Golikipa Mpya na Lakred,Kibu.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • #football #ahmedally #alikamwe #simba #simbaislive #simbatanzania #yangafc #yangasc #yangatv #youtube

Комментарии • 9

  • @JohnJohn-fs8ex
    @JohnJohn-fs8ex Месяц назад

    Uko vizuri kwenye kujibu maswali semaji la kimataifa

  • @athumanmsuya2688
    @athumanmsuya2688 Месяц назад

    Kijana yupo kazi,naona hupeni hamasa anayoifanya we mchawi tu

  • @alexjosephmambo6990
    @alexjosephmambo6990 Месяц назад +1

    We mihayo badala ya kufuatilia vitenge vyenu mlivyovizindua unahangaika na mashine we vip bhana

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d Месяц назад

    Manura kashamloga ayubu lakredi

  • @josephmihayo6236
    @josephmihayo6236 Месяц назад

    Ahmed Ally ni msanii. Ndio tatizo la msemaji kuwepo Mbagala halafu timu ipo Misri.

  • @nashirkamugisha9425
    @nashirkamugisha9425 Месяц назад

    Kama gari lake lenye thamani ya M600 kaweka brand yake SANDA mnapata tabu ya nini?

  • @franccoz94
    @franccoz94 Месяц назад

    MANGUNGU hamna KIONGOZI hapoo hajawahi kua na point za msingi kwahiyo kama yeye n KIONGOZI wa simba afanye fyongo tumsifiee

  • @MuammaryAbdalla
    @MuammaryAbdalla Месяц назад

    ndo yale yale ya kremo

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 Месяц назад +1

    Ila ukweli nikwamba jamaa kuweka jina sanda amekosea sana