ANAAMUA KUJIUZA ILI AWEZE KUIHUDUMIA FAMILIA YAKE | FULL RECAP | EPISODE 1- FINAL

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 406

  • @KamikaziEdouige
    @KamikaziEdouige 3 месяца назад +12

    Nim penda Sana Jisi Ulivyo Tuwekea Yote Nita Kufatilia Mpaka mwisho Asant Na Nim Jifunza kitu❤❤❤

  • @LoseB
    @LoseB 2 месяца назад +7

    Nitakuwa mnafki km sitakupa hongera kwa kaz nzur, nmeanza kukufuatilia Facebook 🎉🎉

  • @FattyLafoudre
    @FattyLafoudre 3 месяца назад +10

    Nimeipenda,japo hawakumalizia,alaf kuna jamaa ameanza kukuiga ila hawakuwezi ww bado n°1

    • @joshuamotanya8408
      @joshuamotanya8408 2 месяца назад

      Konka ni mnyamwezi kishenzi ana kipawa cha kueleza mambo. Mimi naipenda sana

  • @amfureyvitus
    @amfureyvitus 3 месяца назад +6

    Unajua sana we chiz nakupa % 100 kwa kutafsiri movies

  • @Fadhiligorody
    @Fadhiligorody 3 месяца назад +8

    unyama sana aixee

  • @MagrethNasri
    @MagrethNasri Месяц назад +6

    Huyu mama ni mama yangu kabisa

  • @eliezachacha810
    @eliezachacha810 3 месяца назад +6

    Daaah kweli wame zingua picha kali sana mtafsiliji nawewe ume tulia kinoma huna mapepe

  • @dottomaduhu
    @dottomaduhu 3 месяца назад +5

    Nmeikubal mzee baba da ingekuwa na mwendelezo.

  • @rahmaallymurnis6508
    @rahmaallymurnis6508 2 месяца назад +6

    Mama Tale aliomba aliemeoga mwanae afe ndio amekufa sasa ni tam sana ebu tafuta bac muendelezo

  • @LydiahWanjiku-pp1cy
    @LydiahWanjiku-pp1cy 23 дня назад +3

    Waah n mungu tuh

  • @philippenicentaconzoba9853
    @philippenicentaconzoba9853 3 месяца назад +3

    Ooooooh tuleteye ep zingine akii move kali mno big up saaana tuko pamoja 5/5

  • @SadibabaRomantic
    @SadibabaRomantic Месяц назад +4

    Hakika unajua sana broo😅😅

  • @HekimaSalama
    @HekimaSalama 3 месяца назад +3

    Mungu akubaliki mama

  • @Shadia544
    @Shadia544 4 месяца назад +118

    Leo wakwanza miee naomba LIKE zangu 10 jamaniii mipinduko tu 😂😂😂😂asante mwamba tunainjoi tuuu unajua

    • @kidenya
      @kidenya 4 месяца назад +13

      Umependa mipindukoo tuu

    • @adamkessy485
      @adamkessy485 4 месяца назад +9

      Et mipinduko...😂😂

    • @SarahRichard-iv2dl
      @SarahRichard-iv2dl 4 месяца назад

      🤣🤣🤣🤣🤣 lazima apende kwa sababu ni moja ya starehe ​@@kidenya

    • @Shadia544
      @Shadia544 4 месяца назад +2

      @@adamkessy485 mipinduko ni tamuu sanaa tena cha asubuhi kinakuwa kitamu hicho balaaaaa 🤣🤣🤣

    • @Shadia544
      @Shadia544 4 месяца назад +1

      @@SarahRichard-iv2dl anajua hakuna asiependa mipinduko 🤣🤣🤣🤣

  • @SalikeyMsani
    @SalikeyMsani 2 месяца назад +4

    Safi kabisa kaka iyo nimeikubali😊😊😊

  • @jojopaulomartins
    @jojopaulomartins Месяц назад +4

    Una tumia sana jina la somto nzee

  • @PaulineKawishe
    @PaulineKawishe 2 месяца назад +6

    Nimeipenda mnooo japo imeisha vibya🙏🙏🙏

    • @konzeraelly1420
      @konzeraelly1420 2 месяца назад

      😢 😢🎉 ...😆🙉🙉🙉🙉

  • @HajjBoy
    @HajjBoy 3 месяца назад +3

    Tamu sana

  • @Denatha50
    @Denatha50 4 месяца назад +44

    Kumbe unatupenda na hausemi😂 ukaamua kutuwekea yotee

  • @خديجةخديجة-ث3ه
    @خديجةخديجة-ث3ه 2 месяца назад +7

    Yani natamani iyendeley isiishi jamani Yani DJ kilamuvu ungekuwa natufuraisha ivyo ungekuwa rah

  • @JelardJulius
    @JelardJulius 2 месяца назад +3

    😂😂😂😂😂😂 nimeinjoy napia nitaimis sana kwani hakuna uwezekano wa mwenderezi ❤ Kaz nzr sana 🎉

  • @VitalessGalus
    @VitalessGalus Месяц назад +2

    konga full respect kama dj maphar wengine wanaiga tu uko powa my brother noma xana

  • @agnesagney2811
    @agnesagney2811 2 месяца назад +2

    Nzur sana isee tafuta muelendelezo mi pia sijapenda ilivo isha

  • @DolikasSaymon-xv7go
    @DolikasSaymon-xv7go 2 месяца назад +4

    Nzuri sana

  • @germainlingole8069
    @germainlingole8069 2 месяца назад +3

    Kweli ime isha mbaya sana

  • @celestinss4045
    @celestinss4045 3 месяца назад +2

    Kabisa iko sawa sana

  • @ramadhanimpapalika7131
    @ramadhanimpapalika7131 Месяц назад +2

    Story nzuri huacha maswali kama hivyo so imeisha poa sana...kisanii inatakiwa iwe ive

  • @Afri_Home_episodicfilm
    @Afri_Home_episodicfilm 3 месяца назад +3

    Hii movie ni Kali sana manzeee

  • @Justinmbena
    @Justinmbena 3 месяца назад +3

    Ello kiukweli uyujamah anaweza kiukweli

  • @WinnRajabu
    @WinnRajabu 3 месяца назад +3

    Nimependa san hongera

  • @Zainabuswed
    @Zainabuswed 2 месяца назад +3

    Sumulizi nzuri sana

  • @Swaumu-d1l
    @Swaumu-d1l 2 месяца назад +2

    Uko vzr na mzur kabisa nimeipendaaaa

  • @WalburgaMmassy
    @WalburgaMmassy 3 месяца назад +3

    Nzuri sanaaa

  • @hassanadam3007
    @hassanadam3007 3 месяца назад +3

    Mom mshenzi sana

  • @NancyJohn-lm9pr
    @NancyJohn-lm9pr 3 месяца назад +4

    Mafuta ya mwamposa 😂😂😂😂😂 kaingiaje sasa😂😂

  • @SebastianGeorge-gw6ps
    @SebastianGeorge-gw6ps 21 день назад +3

    Oyaa Konka Tafuta Dude Jengine kama Hili ila liwe na Mwixho Mzuri 😁🙌🏽🙌🏽

  • @SuzanaKachwele
    @SuzanaKachwele 2 месяца назад +4

    Me sijapenda ilivoishia pia

  • @AbdallahMohamedi-r3h
    @AbdallahMohamedi-r3h 2 месяца назад +3

    Let nyingne nzuri

  • @PilyAlly
    @PilyAlly 3 месяца назад +2

    Aisee ni unyamaa mitupio2 natamani iendelee ❤

  • @SadickMangosongo
    @SadickMangosongo 2 месяца назад +3

    Nimzuri kabisa

  • @mohamedyjuma459
    @mohamedyjuma459 26 дней назад +2

    Umeuwaaaaa sanaa

  • @BrayMaturo
    @BrayMaturo 2 месяца назад +4

    ❤ sanaaaaaa

  • @EmmanuelLyimo-ed6cg
    @EmmanuelLyimo-ed6cg 3 месяца назад +3

    Noma Sanaa man fany tuwekee season 2

  • @razakiabdallah-xo5gw
    @razakiabdallah-xo5gw 3 месяца назад +2

    IZKONKA . ni moja Tu Tz nzima napenda Sana sauti yako Mzee babaa

  • @hillzshavee7041
    @hillzshavee7041 2 месяца назад +4

    Daaaah finish Wamezinguaaa ilaa kal Mnoooo

  • @DaudiSamsoni-q6x
    @DaudiSamsoni-q6x 4 месяца назад +5

    wakwanza leo nipen maua yangu

  • @rajabuabdallah7283
    @rajabuabdallah7283 3 месяца назад +3

    Finishing mbovu stori nzuri sna lkn mwisho wameharibu

  • @calvintheone299
    @calvintheone299 2 месяца назад +2

    Mama kama mama❤❤❤❤❤

  • @NYAMBISHANI
    @NYAMBISHANI Месяц назад +3

    😂😂😢😢nikweli lakin mtanga zaji wang uko vizuli san ❤❤❤❤

  • @SuzanaKachwele
    @SuzanaKachwele 2 месяца назад +4

    Nimeipend san

  • @robertpaul7714
    @robertpaul7714 2 месяца назад +2

    Imeisha yaaani iznkoka umecheza bro

  • @AminaAmina1-jp6vr
    @AminaAmina1-jp6vr 2 месяца назад +4

    Daah dj unazingua mbona aijaisha kipenzi

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 3 месяца назад +2

    Movie kali xna lakin story yke nzur n ngumu xna...ambayo imebeba audhui mimgi xna mazito jumlisha na miasha halisi ya actors....lakin imeisha vby cjapenda.... muna tuachaje achaje xaxa😅

  • @SomoeIssa-ft6ml
    @SomoeIssa-ft6ml 3 месяца назад +4

    Wanajua wanachokifanya hao lazma watatoa season 2 ndo maana imeishia hewani ili kuwatia hamu

  • @Paulkessy-j8n
    @Paulkessy-j8n Месяц назад +2

    Mbona aijaisha vizur dah nimeinjoy sana

  • @AshourSaid-o7e
    @AshourSaid-o7e Месяц назад +5

    Watu wanapitia magumu san

  • @MoChricy
    @MoChricy 2 месяца назад +3

    Sijapenda ilivyoisha😢😢

  • @ShamsaLeba
    @ShamsaLeba Месяц назад +1

    Jamani we kaka nimeenjoy n nimejifunza hii story tutafutie muendelezo

  • @MAMAKAGOMA
    @MAMAKAGOMA 3 месяца назад +4

    Haijaisha mwamba ndo kaimaliza..

  • @Oblack16
    @Oblack16 Месяц назад +2

    Labda wanampango wa kupiga season 2 ila ilikuwa ya 🔥🔥 sana

  • @gracious-h5r
    @gracious-h5r 2 месяца назад +2

    Jamani story tamu sana iendelezen jaman ❤❤❤

  • @KhamisKhelef
    @KhamisKhelef 3 месяца назад +2

    tena sana

  • @christinatango7463
    @christinatango7463 22 дня назад +3

    MC yupo vzr move kalii ila haijaisha pw

  • @BeatriceSolange-hl7mv
    @BeatriceSolange-hl7mv 3 месяца назад +2

    Kweli ingeendeleya ilikuwa nzuri sana 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @Sakina-jl6fn
    @Sakina-jl6fn 3 месяца назад +7

    😅😅😅😅😅 wapi likes zangu

  • @dicksonrevocatus9711
    @dicksonrevocatus9711 2 месяца назад +1

    Izikonka 😅😅🎉🎉🎉🎉eti ilkashika mafuta ya mwamposaa😂😂😅 daah bro unajua sanaaa🎉🎉🎉🎊👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @nyumbaniasilistudios3848
    @nyumbaniasilistudios3848 3 месяца назад +3

    ❤❤❤ nimeipenda sana

  • @emmanuel-jl5td
    @emmanuel-jl5td 3 месяца назад +2

    Hii movie nitayi miss sana

  • @OchoaHomeDecor_
    @OchoaHomeDecor_ 3 месяца назад +3

    Dah kuwa na bimkubwa kama huyu kipengele 😂😂
    Yeye akiokota huyoo kwa kiboko ya wachawi 😂

  • @MankaMmassy-m7l
    @MankaMmassy-m7l Месяц назад +2

    Nlitamani kuona maisha mazur kwa tale

  • @Dickson-m9k
    @Dickson-m9k 2 месяца назад +2

    Imetisha xana MTU wangu harafu ume tafasiri ile greate

  • @EmmanuelDastani
    @EmmanuelDastani Месяц назад +1

    Dah bonge la move na kiukwel umeitendea haki safi kazi nzuri

  • @ThomasMbwiga
    @ThomasMbwiga 2 месяца назад +2

    Hadithi nzuri sana nimeipenda ila kama imekatishwa kidogo imetuachia fumbo kua baada ya kuuawa yule binti kingetokea kinini?

  • @HanifaJuma-z4w
    @HanifaJuma-z4w 2 месяца назад +2

    Ni mzur sana aisee

  • @Joshua-l3n
    @Joshua-l3n Месяц назад +1

    Kaka upo very qualified kaka unajua sanaaaaa kaka umetisha

  • @MariyamRamadhan-s8k
    @MariyamRamadhan-s8k 3 месяца назад +2

    Nimeipenda iko poa

  • @sashatabo717
    @sashatabo717 3 месяца назад +1

    Wow wow wow hongera sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 nimeipenda sana ❤

  • @bijampolamsemakweli3405
    @bijampolamsemakweli3405 Месяц назад +3

    Siwezi kumdhulumu dem anayejiuza wana shida mno😢

    • @ImDidah
      @ImDidah 25 дней назад

      Una moyo

  • @jennymali4368
    @jennymali4368 3 месяца назад +3

    Dah imeisha vbya sana jmni ila ni nzuri nitaimic sana

  • @MaurNdimu
    @MaurNdimu 2 месяца назад +2

    Mm wamenibo warivomariza ira kazi mzuri san

  • @SelemaniNtobi-lz8lp
    @SelemaniNtobi-lz8lp 3 месяца назад +3

    konka unaweza mwambaaa wengin wanatuchezea ty ww ni🎉🎉🎉 noma san nakubar san mwamb

  • @rickymadubi4501
    @rickymadubi4501 3 месяца назад +2

    Nmezipenda sana❤

  • @JoySam-s2w
    @JoySam-s2w 2 месяца назад +3

    Aaa movie tamu sana bana lkn imeisha so bad 😞😞 sjapenda bana

  • @IbrahimOthman-l9h
    @IbrahimOthman-l9h 2 месяца назад +3

    Mmmmm dam ya yesu

  • @amiymuhamisi59
    @amiymuhamisi59 3 месяца назад +2

    Mwambaaa unajua sanaaa💯✅

  • @LydiaLydia-oj2is
    @LydiaLydia-oj2is 3 месяца назад +3

    Jina la movie jamani

  • @PeterMadale-t2z
    @PeterMadale-t2z Месяц назад +1

    Sema nn mzee wa mipinduko unajua sana mzee

  • @KalimuYusufu-e8e
    @KalimuYusufu-e8e 3 месяца назад +2

    Good sanaa

  • @ZubedaMbegu
    @ZubedaMbegu 15 дней назад +1

    Yan nimependa jins tale anavymjar mdg wake🥳

  • @KeruboRacheal
    @KeruboRacheal 2 месяца назад +3

    Amazing movie

  • @Mziwanda_03
    @Mziwanda_03 Месяц назад +1

    Weee ni master of the masters kwenye simulizi

  • @MwanaidyHamis-rg1pu
    @MwanaidyHamis-rg1pu 2 месяца назад +2

    Atari sana

  • @ButoyiThierryve
    @ButoyiThierryve 3 месяца назад +2

    Nic nizuri sana nawapenda

  • @AmaniSwai
    @AmaniSwai 2 месяца назад +3

    Unyama ❤

  • @FernandinyoPogba
    @FernandinyoPogba 2 месяца назад +3

    Best quality 👌 👏 🙌

  • @K-go1qj
    @K-go1qj 3 месяца назад +8

    Aache upumbavu ugumu wa maisha sio sababu ya kujiuza kujiuza ni tabia ya mtu aliyekosa maadili.wengi wana maisha magumu but upamban

    • @mtorowaziri2645
      @mtorowaziri2645 3 месяца назад +2

      Rahisi kusema km haijakukuta so acha umalaika wako

    • @LinahLugendo
      @LinahLugendo 3 месяца назад

      Unaangalia movie inakufanya unatokwa na povu kias hiki

    • @K-go1qj
      @K-go1qj 3 месяца назад

      @@mtorowaziri2645 pana watu wana maisha magumu kuliko hata hao wenye uhakika wa kupata kwa kujiuza na hawajiuzi.
      Ni ukosefu tu maadili

    • @K-go1qj
      @K-go1qj 3 месяца назад +1

      @@LinahLugendo shida ni mapito kujiuza ni tabia

  • @SHAZAFLIX
    @SHAZAFLIX 2 месяца назад +4

    Nomaaa

  • @Cyraoutfits
    @Cyraoutfits 2 месяца назад +4

    Umu tu

  • @jerryroy1769
    @jerryroy1769 2 месяца назад +3

    Dah 😂😂😂😂mipinduko kwel

  • @PastorSongore
    @PastorSongore 3 месяца назад +4

    Nyumba za wachungaji ziko kwenye shida 😢