MUNGU akusaidie zaid na zaid mtumishi wa MUNGU! huu wimbo kila siku ni mpya kwangu,kwa mara ya kwanza niliusikiakwa jirani 2013 kwa kweli huwa unanigusa sana sana sana,yawezekana yupo mtu ataokoka kwa kuusikiliza tu,ni mahubiri kamili.naupenda sababu naelewa maana yake,maudhui yake pia...sna neno zuri kuuelezea!
Lwiza ninakujua. Niko Musoma. Hii sio acting yako. Ninakuombea Mungu afungue milango upate pesa uimbe tena. Huu sio uchezaji wako wa hisia. Lwiza unavurugaga nywele unagalagala chini na suti....
Ni mahubiri ya kiinjirist napenda Sana kusikiliza nyimbo zako
huu wimbo unafanya niwe mtu wa kutubu kila niusikilizapo mungu akubariki mtumishi wa mungu kwa ujumbe wa Mungu
Tubalikiwe wote tunaelitangaza jina La bwana
Karibu Geita hizi nyimbo uliziimba mkutanoni nimekumbuka huu wimbo ulinitoa machozi mungu akubariki Geita tunakuitaji
Wimbo mzuri Sana mtumishi nimebarikiwa kupitia wimbo huu ,uliimba live kanisa la sayuni kwa mchungaji kindole
Nabalikiwa sana na tunzi zako mtumishi
oooh pole niuchungu kuondoka duniani bila Yesu hata Mimi nilikuwa nime ongea na mume kuhusu aokoke lakini akawa kama mama yako ni uchungu sana
POLE KWA KUFIWA NA MUMEO NA WW
Kutoka Kenya , wapendwa tuokoke pia na kutubu kila wakati😢😢😢😢😢
Kama umekuja apa baada ya kutazama zecomedy gonga like
Yaaan nimetafar sana Mungu anisaidie.
tusikatae wokovu! Yesu anakuja...
😯🤐
JJ Ruiza mbona kimya sana sikuizi toa Alubam nyingine nyimbo zako uwa zinanibariki huku dar ukitafuta CD hakuna
Mungu atusaidie tusiukatae wala kuupoteza wokovu
Hongera Sana'a kakaangu barikiwa Sana'a maana huu wimbo unanibarikii na kunigusa ndani ya moyo wangu
Uwimbo uwaunanitoa machozi namkumbukaga sana Mamaangu Jackinda ooooMama
Pole sana
nami namwambia kila siku mama yangu aokoke ninaimani ipo siku ataokoka
Usijali ataokoka2
Balikiwa mtumishi unanifaliji san
Ningekua na mama mimi ningelinga sana katik nyumba ya MUNGU
MUNGU akusaidie zaid na zaid mtumishi wa MUNGU! huu wimbo kila siku ni mpya kwangu,kwa mara ya kwanza niliusikiakwa jirani 2013 kwa kweli huwa unanigusa sana sana sana,yawezekana yupo mtu ataokoka kwa kuusikiliza tu,ni mahubiri kamili.naupenda sababu naelewa maana yake,maudhui yake pia...sna neno zuri kuuelezea!
Nice song
Rip Mama rip baba rip Bibi nawakumbuka Sana 😥😥
❤❤❤🎉 good
Balikiwa sana mchungaji kwa nyimbo zako nzuli
Amen 🙏 ❤❤❤
Mama uko wapi
ubari kiwe rwiza vijana tunaerewa xaxa mungu akubarikisana
Dah kwakweli tusikatae wokov
Amina mtumishi kama mama nimeguswa niombe
huu mwimbo naupenda hadi leo 2022
Sichoshwi hata nisikilize mara elfu kumi
Lwiza ninakujua. Niko Musoma. Hii sio acting yako. Ninakuombea Mungu afungue milango upate pesa uimbe tena. Huu sio uchezaji wako wa hisia. Lwiza unavurugaga nywele unagalagala chini na suti....
Pole san
......hakika unagusa kaka
Barikiwa sana JJ Rwiza
yoooo pole jamani
Penda bure lwiza na nyimbo zako
Uko wapi Mama
😢❤❤❤
So pain huwa Malia sanaaaaaaaa
GOOD SONG BUT I ASK ABOUT A NEW SONG CALLED WEE DADA
Unamiza san huu wimb
Hasa kwasisi yatma
Daa
Big up
Naw pia
Jaman tusiuache wokovu
Mbona haki milik
mama ukowap
Sichoshwi hata nisikilize mara elfu kumi
Uko wapi mama