JJ Rwiza Mama Official Video

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 54

  • @shangwejastas3372
    @shangwejastas3372 3 года назад +6

    Ni mahubiri ya kiinjirist napenda Sana kusikiliza nyimbo zako

  • @mwaminifungo4665
    @mwaminifungo4665 5 лет назад +8

    huu wimbo unafanya niwe mtu wa kutubu kila niusikilizapo mungu akubariki mtumishi wa mungu kwa ujumbe wa Mungu

    • @daynaanthony8633
      @daynaanthony8633 4 года назад +2

      Tubalikiwe wote tunaelitangaza jina La bwana

  • @joshuajapa2596
    @joshuajapa2596 Год назад +1

    Karibu Geita hizi nyimbo uliziimba mkutanoni nimekumbuka huu wimbo ulinitoa machozi mungu akubariki Geita tunakuitaji

  • @cesiliatembo3051
    @cesiliatembo3051 3 года назад +2

    Wimbo mzuri Sana mtumishi nimebarikiwa kupitia wimbo huu ,uliimba live kanisa la sayuni kwa mchungaji kindole

  • @dominicantweve1588
    @dominicantweve1588 4 года назад +2

    Nabalikiwa sana na tunzi zako mtumishi

  • @GG-sd6nb
    @GG-sd6nb 7 лет назад +2

    oooh pole niuchungu kuondoka duniani bila Yesu hata Mimi nilikuwa nime ongea na mume kuhusu aokoke lakini akawa kama mama yako ni uchungu sana

  • @josephayieko2059
    @josephayieko2059 2 месяца назад

    Kutoka Kenya , wapendwa tuokoke pia na kutubu kila wakati😢😢😢😢😢

  • @bestonkajojo4558
    @bestonkajojo4558 2 года назад

    Kama umekuja apa baada ya kutazama zecomedy gonga like

  • @barakawilliam3993
    @barakawilliam3993 2 года назад +1

    Yaaan nimetafar sana Mungu anisaidie.

  • @sirisaac178
    @sirisaac178 8 лет назад +4

    tusikatae wokovu! Yesu anakuja...

  • @floridambonagabosikuiziupo1948
    @floridambonagabosikuiziupo1948 6 лет назад +1

    JJ Ruiza mbona kimya sana sikuizi toa Alubam nyingine nyimbo zako uwa zinanibariki huku dar ukitafuta CD hakuna

  • @adamambangilekalinga4382
    @adamambangilekalinga4382 7 лет назад +3

    Mungu atusaidie tusiukatae wala kuupoteza wokovu

  • @kolinabenedict2534
    @kolinabenedict2534 4 года назад

    Hongera Sana'a kakaangu barikiwa Sana'a maana huu wimbo unanibarikii na kunigusa ndani ya moyo wangu

  • @floridambonagabosikuiziupo1948
    @floridambonagabosikuiziupo1948 6 лет назад +1

    Uwimbo uwaunanitoa machozi namkumbukaga sana Mamaangu Jackinda ooooMama

  • @mwaminifungo4665
    @mwaminifungo4665 5 лет назад +2

    nami namwambia kila siku mama yangu aokoke ninaimani ipo siku ataokoka

  • @sarahedward3235
    @sarahedward3235 Год назад

    Balikiwa mtumishi unanifaliji san

  • @stannymgallah669
    @stannymgallah669 6 лет назад +1

    Ningekua na mama mimi ningelinga sana katik nyumba ya MUNGU

  • @sirisaac178
    @sirisaac178 8 лет назад +1

    MUNGU akusaidie zaid na zaid mtumishi wa MUNGU! huu wimbo kila siku ni mpya kwangu,kwa mara ya kwanza niliusikiakwa jirani 2013 kwa kweli huwa unanigusa sana sana sana,yawezekana yupo mtu ataokoka kwa kuusikiliza tu,ni mahubiri kamili.naupenda sababu naelewa maana yake,maudhui yake pia...sna neno zuri kuuelezea!

  • @raheliricardo3695
    @raheliricardo3695 Год назад

    Nice song

  • @biturowambura1241
    @biturowambura1241 2 года назад +1

    Rip Mama rip baba rip Bibi nawakumbuka Sana 😥😥

  • @rosemichael5268
    @rosemichael5268 9 дней назад

    ❤❤❤🎉 good

  • @venancemgallah6429
    @venancemgallah6429 2 года назад

    Balikiwa sana mchungaji kwa nyimbo zako nzuli

  • @tosamary9761
    @tosamary9761 5 месяцев назад

    Amen 🙏 ❤❤❤

  • @mwalongosamweli4413
    @mwalongosamweli4413 3 месяца назад

    Mama uko wapi

  • @saickomsangawale5763
    @saickomsangawale5763 4 года назад

    ubari kiwe rwiza vijana tunaerewa xaxa mungu akubarikisana

  • @nurukapoja7759
    @nurukapoja7759 4 года назад

    Amina mtumishi kama mama nimeguswa niombe

  • @cruiseasphotographer
    @cruiseasphotographer 2 года назад

    huu mwimbo naupenda hadi leo 2022

  • @AtupakisyeKalundwa
    @AtupakisyeKalundwa 2 месяца назад

    Sichoshwi hata nisikilize mara elfu kumi

  • @mosesg.pendael8381
    @mosesg.pendael8381 6 лет назад +4

    Lwiza ninakujua. Niko Musoma. Hii sio acting yako. Ninakuombea Mungu afungue milango upate pesa uimbe tena. Huu sio uchezaji wako wa hisia. Lwiza unavurugaga nywele unagalagala chini na suti....

  • @harunisimkonda5192
    @harunisimkonda5192 5 лет назад

    Barikiwa sana JJ Rwiza

  • @elizaneema9275
    @elizaneema9275 8 лет назад +1

    yoooo pole jamani

  • @tumanguku4041
    @tumanguku4041 3 года назад

    Penda bure lwiza na nyimbo zako

  • @MishaelNzowaMishaeli-o2b
    @MishaelNzowaMishaeli-o2b 2 месяца назад

    Uko wapi Mama

  • @RobatiMwambakale-jm5lj
    @RobatiMwambakale-jm5lj 6 месяцев назад

    😢❤❤❤

  • @irenealex658
    @irenealex658 3 года назад

    So pain huwa Malia sanaaaaaaaa

  • @ezekielaloyce5917
    @ezekielaloyce5917 3 года назад

    GOOD SONG BUT I ASK ABOUT A NEW SONG CALLED WEE DADA

  • @cheupemiss3250
    @cheupemiss3250 5 лет назад +3

    Unamiza san huu wimb

  • @deborahkuzenza3670
    @deborahkuzenza3670 5 лет назад

    Big up

  • @felisterbenjamin7701
    @felisterbenjamin7701 3 года назад

    Jaman tusiuache wokovu

  • @vumyrwiza1336
    @vumyrwiza1336 5 лет назад

    Mbona haki milik

  • @stannymgallah669
    @stannymgallah669 6 лет назад

    mama ukowap

  • @AtupakisyeKalundwa
    @AtupakisyeKalundwa 2 месяца назад

    Sichoshwi hata nisikilize mara elfu kumi

  • @japhetsakala4445
    @japhetsakala4445 3 года назад

    Uko wapi mama