Police mbona hata aibu huna unamfokea mtu mzima kama wewe ama una some sort of Mental illness kwa sababu huwezi ukakasirika ovyo because any normal human being hawezi aka act hivyo you have to change our officer take care of yourself stay blessed
But I think Sama during investigations, where for instance an investigation officer orders u not to record, u must heed the directive coz these guys are professionals and know the consequences of such. It's wrong for u to record when even just talking to him for, how will he, or any other in future trust u. It's good on yr part to appreciate the fact that you aren't investigating the officer but Kim, Esther and others....u did something very wrong. If anyone agrees with me, gonga like.
Maasai hayuko jobless,so long as boss alisema everything should be changed to madam maasai Hana makosa hapo,so Benson asijaribu kufuta maasai kazi ama tumvamie online hapa,sisi kama inlaws WA maasai hatutakubali hiyo
Exactly...amewapea job then he wants tog get views n likes with the cops..those are gun holders n they're protecting their jobs...hizi cameras he should know watu Wa kumika
Na Bona uhalifu inafanyika bila wao kujua kama wanajua kazi yao sana, hii ilianzia public so iishie in public, waki discover zao wafanye underground sisi hatuhusiki
I don't think Kenya any poor person will get justice if chira people who killed him are known and they are walking freely in the streets of Nairobi what about this ones and nobody knows where they came from. Do you it's possible for them to get justice? I don't think so but God is in control
@paulkorir8698 if it was not for those he is scared of, how would he get the information about people being killed and buried by esther and Kim.? Jimga yeye!
Leave alone the officer been short tempered Samaritan had to go there for us guys😢😅😅😅😅, congrats eastern tv especially for samaritan he knows how to deal with people
Quick recovery to masai akue protected we need him more Samaritan and your team good, Kim na huyo killer mwenzake wachimbue hizo kamburi zote vile tu walizizika
Waah yenyewe hakuna askari mpole DCI wetu kumbe nimkali kisiri anyway good work samaritan and the team DCI we love you but cool down to samaa😅😅 and quick recovery to our masaai may God protect him through this 🙏🙏
Bado Sama haijaiva upande wa data protection. DCI officer was right to be harsh on him ili ajue kuwa they are not partners in this case. Amepewa tuu favour otherwise hangejua progress ya case
Kuna vile huyu police 🚔 hakutaka kwa hii mission kuna vile ufisadi inataka kutembea ama Esther amewambia hakutaka sasa mbona umekuwa hadui mala moja kuwa mwangalifu sana
Hi! Nimeshutuka huyu Ni dci mwenye alikua anakaa kaa anauziwa uoga na esther kube alikua ameficha kucha ata Niko speechless ameonyesha sama true colours zake
@Samaritan Don't forget the very first day you met with Esther nd the Husband Esther's charts with Kim She Mentioned that she has another Body Which she was requesting Kim to help her to dispose
Those who have ever dealt with police can understand the harshness they have when on business..well understood but good job sama...take care of masaai for us...and also keeo us u updated
Kwani Afande ame pewa nini na madam juu anaongea vibayaaaaaa💔 .but hafai kuongea kama yeye ndie amejiwezesha .humble humble will make him work marvelous. Sama kewp it up and be safe wewe na maasai .
I don't blame the DCI, they really work day and night. Crazy cases they deal with. Ata wewe Sama be a quick thinker. Just tell Benson to send you the pin of that location. Watoto huenda Abroad without their parents and they arrive well. Stop asking the officer maswali mingi.
Sama, DCI Leo hachezi na mtu. He's doing his work in the right way bana. Last time he was very soft n that's why Esther was fooling u thus moving u from one shamba to the other. Congrats Godfrey.
Kama umejuwa Askari ananga rafiki gonga like 👍vile DCI wetu leo ana bondea sama😂😂😂
😂😂😂😂Kazi
Huyo ndio askari
Police mbona hata aibu huna unamfokea mtu mzima kama wewe ama una some sort of Mental illness kwa sababu huwezi ukakasirika ovyo because any normal human being hawezi aka act hivyo you have to change our officer take care of yourself stay blessed
Hawana rafiki kwel,lkn nae yuajifanya mkali,mbna alishindwa na yule m'mama,alikua yuacontroliwa kama remote 😂😂😂😂
The officer should be respectful and emphatic
But I think Sama during investigations, where for instance an investigation officer orders u not to record, u must heed the directive coz these guys are professionals and know the consequences of such. It's wrong for u to record when even just talking to him for, how will he, or any other in future trust u. It's good on yr part to appreciate the fact that you aren't investigating the officer but Kim, Esther and others....u did something very wrong. If anyone agrees with me, gonga like.
Stop arguing with the officer do as he says you agreed his help
100% correct and if he decides to sue for data protection you are done
Hata tumeona no plate na alikataa,,,respect him samaritan na wewe
Are u Esther’s brother! Sioni makosa ya Sama
Follow instructions from officer.
Samaritan make sure you give maasai something to eat now that he is jobless please 🥺🙏 I hope you see this comment
But boss mzee ako atamshugulikia hata kama ester alisema alimufuta kazi hiyo ni kelele
Benson ndie boss not Easther
Maasai ako innocent
Maasai hayuko jobless,so long as boss alisema everything should be changed to madam maasai Hana makosa hapo,so Benson asijaribu kufuta maasai kazi ama tumvamie online hapa,sisi kama inlaws WA maasai hatutakubali hiyo
Nop Masai kuzidi kukaa hapo NI hatari Kwa maishia yake heri ajitoe Tu akiwa mzima ,like jimama NI liuwaji na sio pekee yake,anaweza mpangia njama,
Sama,if the Police tells you not to record,respect his decision‼️
Sure
Exactly...amewapea job then he wants tog get views n likes with the cops..those are gun holders n they're protecting their jobs...hizi cameras he should know watu Wa kumika
Na Bona uhalifu inafanyika bila wao kujua kama wanajua kazi yao sana, hii ilianzia public so iishie in public, waki discover zao wafanye underground sisi hatuhusiki
Sama respect kwa DCI jamani kuna vitu zingine...utatupea updates wakisha chimba tujuwe ni nini ilikuwa
@@SamiraMulama-op6bmKamutu kajuaji sana
Maasai should be given witness protection
❤
I second you 💖
Exactly
We are tired of loosing innocent kenyans justice for the dead pple .
Alafu our DCI afuatilie Ile kesi ya mama zora
Everything must be EXPOSED!! It is most probably a big gang of killers involved, not just Kim and Esther 😏🤭
@@jackiedosh4855kabisa,but kamatu atatupea justice kwa miili zenye zimezikwa kwa shamba
I don't think Kenya any poor person will get justice if chira people who killed him are known and they are walking freely in the streets of Nairobi what about this ones and nobody knows where they came from. Do you it's possible for them to get justice? I don't think so but God is in control
@@florencewangetha9281 😂😂😂hii yako ni kuchekesha,unasema eti the killers of chira are well known,by who?Did the government have their investigation?
Masai is very innocent here .only that he was working for the wrong person. God rescue this young young one. Let's pray for Masai.
Sama ,,,imekukuta Leo kimekulamba Leo ,,,,askari hanaga rafiki😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Si Disiyai amekasirika😅
Mi wacha nikwabie...to be involved na police you have to be very careful...
Maasai is very honest and innocent aki,even kim admitted huwa anampea pesa aende wao wakifika
Ukweli kabisa
THE WAY I SEE IT LOOKING ×+=HUYU MWANAMKE NA WENZAKE WANAUZA PARTS ZA WATU
Huyu officer bado ana hasira ya mke wake if you guys remember, Samaritan good job
Akubali tu alisema.anaeza saidia so awe mpole
ata Mimi nilisema hivyo ako na hasira juu Ya Bibi yake
Nakwambia huyo bibi alimtenda ile akuna
Huyu DCI wenu amepewa kitu na Esther...he's so harsh and rude today😢😢
Officer is a high temper man so you should know how to deal with him
Vile alikuwa muhumble kumbe nikujifanya but tumuelewe tu
Cid hawananga urafiki na mtu 😂
@@loseeal3440they are like that
He's very humble...Sam alimlet down; how could he forget the location?
Una imagine Sasa bibi akikosra anaongeledhwaga aje?police is a big No for me ....
Yes justice must be prevailed for the dead ones😢
Yes
Na bado ako na mwili mwingine na hajazika,aonyeshe kwenye iko😢
N mwili ganie ya ngombe ama y binadamu???
Eeeh wasisahao
@@RomanBruce-zm5dl ni binadamu,hakuna misoga ya ngo'mbe
Labda ni mwili bado iko hai
@@timothyturunya7085 alisema ako na body ingine inafaa kuzikwa so amfanyie mpango kama kawaida kwa shamba yake
This officer is a rapper singer he talks 100 words in seconds, he needs to change his career , but we love him on this job
😂🤣😂
😂😂😂
@@rachaelw580💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾😜
😅😅😅😅he's tough
😂😂he talks faster than a rapper Bastalymes😅😅
Maasai be careful with this lady and his cheater pliz arudi kwao tu
Sama ambia Masai akuje nimpe kazi ya shamba Makueni.. Hapo ako risk
Boyshamba ama
Watafta mtu wa kazi gani hasaa
Hope Sama...ataona hii Aki,,juu nahurumia masaai😢
Plz sama tetea Masai asifungwe tunamuombea apate nafu haraka
Dci please find justice Acha makasiriko unafanya kazi nzuri.Sama pongezi!
Maasai is the only witness and his death might lead to the collapse of this case,he must be protected at all costs before something bad happens.
True
Why uyu DCI amekuwa muharsh hivyo kwa Samaritan? Kwani he is promised something by esther ama? Police ni Police tu. Kwanza wa Kenya ni bad news.
I guess he is not comfortable with cameras...! Reason everyone knows
🤝ndio maofisa wa wetu🤔
@paulkorir8698 if it was not for those he is scared of, how would he get the information about people being killed and buried by esther and Kim.? Jimga yeye!
Fact
Wewe hukubuki huyu kalao alikuwa amesantaiziwa na samaratina alikuwa ameoa dame msapry na akachukua loan ya 6k akaekea hiyo dame. Club
Leave alone the officer been short tempered Samaritan had to go there for us guys😢😅😅😅😅, congrats eastern tv especially for samaritan he knows how to deal with people
Sama my advice is penye hii story imefika achana nayo ,hiyi tone ya afisa means alot ,if you know you know wacha amalizie
HUYU POLIS MBONA ANAONGEA UHARO KAMA SIO SAMAA ANGEJUA KINACHOENDELEA AMESHAHONGWA HUYO!!!!
Q.R Masaai, justice for innocent Kenyans
Justice for the pple who were killed ukweli haiwezi jificha siku zote
DCI please protect maasai,these criminals might silence him, because he is only the witness
Huyu officer amekua rude all of a sudden weeuh😢
Pole Samaritan..I just wish huyu Officer angekua Mkali Ivo kwa Esther, things would have been easier!! 😳Wuueh!! can't believe this
Na vile alikua anamubeberesha may be anamutaka
Samaritan advice masaai asiwahi rudi kwa iyo shamba juu atauliwa tu he never know pliz
Aki pia mm naona hvyo😢
@@user-og9eo2sn5n Atauliwa soon Kwa iyo shamba haki😢😢 akiedelea kukaa hapo
DCI bona ako mkali hivo, nikaa amechotewa kitu na huyo mwanamke..
Ata mimi nafikiria hivo
Huyo amepangwa vinzuri
Am thinking the same
Samaritan Leo umeniangusha sana . Vile unaulizia direction pia Mimi ningekutusi tu.Hata mtoto ndogo angesema simple words " pin your location officer"
I agree too Samaritan did very bad to record. Yet he expects to be helped by officer.too bad 😢😢
Quick recovery maasai 🙏🙏
Pole maasai quick recovery hero
Weuh this is crazy police have no friends and they dont know what is patient 😂😂😂😂😂
😂😂😂but Sama pia should learn to listen and do as he is told awache pia kuwa kichwa ngumu
Sama take care of yourself son but God is with you i pray
Ana kusa Afisa ndio lazima Protects kazi yake sio Raisiraisi kukupa mambo yote wazi yupo sawa Afisa 🇹🇿
Waaah polisi ni polisi usiwai jifanya ati unajuana na polisi
😂😂😂😂😂😂😂😂
Quick recovery to masai akue protected we need him more
Samaritan and your team good, Kim na huyo killer mwenzake wachimbue hizo kamburi zote vile tu walizizika
If you don't follow his instructions he can as well tell you not to go near him ..
Waah yenyewe hakuna askari mpole DCI wetu kumbe nimkali kisiri anyway good work samaritan and the team DCI we love you but cool down to samaa😅😅 and quick recovery to our masaai may God protect him through this 🙏🙏
Mnasema officer ako na high temper. But zile maswali Samaritan anauliza ni za kitoto pia🤣🤣🤣
At tyms Sama huuliza maswali za kusinya
Bado Sama haijaiva upande wa data protection. DCI officer was right to be harsh on him ili ajue kuwa they are not partners in this case. Amepewa tuu favour otherwise hangejua progress ya case
Kuna vile huyu police 🚔 hakutaka kwa hii mission kuna vile ufisadi inataka kutembea ama Esther amewambia hakutaka sasa mbona umekuwa hadui mala moja kuwa mwangalifu sana
Samaritan please Massai need security. God protect you through this case
Samaritan big up yourself na ujue Dci ako willing kufanya kazi nzuri👏👏
This officer has started to be rude... waaaah 😮
Hi! Nimeshutuka huyu Ni dci mwenye alikua anakaa kaa anauziwa uoga na esther kube alikua ameficha kucha ata Niko speechless ameonyesha sama true colours zake
Amen bribiwa na huyo malaya
@Samaritan
Don't forget the very first day you met with Esther nd the Husband
Esther's charts with Kim
She Mentioned that she has another Body
Which she was requesting Kim to help her to dispose
Na waliita mzigo🙆
I think Kim was the one requesting bt not Easter.
Samaritan understand this guy he's high tempered person
Officer, wacha maneno mentioned. You are so high tempered and kind of rude I'm sorry. Sama, pole sana . Officer's tone was uncalled for.
The officer is so hot tempered.
I have a feeling huyu DCI ameponea na huyo mesnamke this case is going nowhere guys
This is a big gang not only Esther and Kim.yanayofanywa gizani lazima ikuje kwa mwangaza 😢
Yap,kumbuka Kim akisema yye anatumangwa na boss,c hawa wawili tu,chain nkubwa hapa
@@user-gh6dp1yf8i sana mpaka madem ndani waooi watajua hawajui
Hi story ni kama ya Pasta show kina Arosi
What happened to this officer ? He started well, but now getting rude.
Mungu tusaidie. Alafu mtu anaishi kutafutwa na jamii yake.😢😢😢
Thanks Samaritan for good bang'as. Andika Masai job coz he's a true guy
Maasai should be given enough protection and himself be more careful ,he can be poisoned also
Officer looked cool but has become rude all over a sudden.
Those who have ever dealt with police can understand the harshness they have when on business..well understood but good job sama...take care of masaai for us...and also keeo us u updated
Kwani Afande ame pewa nini na madam juu anaongea vibayaaaaaa💔 .but hafai kuongea kama yeye ndie amejiwezesha .humble humble will make him work marvelous. Sama kewp it up and be safe wewe na maasai .
Ni kama kitu amepewa
Huyu askari aache hasira haki.
I don't blame the DCI, they really work day and night. Crazy cases they deal with. Ata wewe Sama be a quick thinker. Just tell Benson to send you the pin of that location. Watoto huenda Abroad without their parents and they arrive well. Stop asking the officer maswali mingi.
Hero soba,Quick recovery brother.
Weee huyu DCI is ridiculous nowadays 🙄
Oficer ameshikwa na kiburi ingine inakaa kama amehongwa na Esther na kim, aiiii
Masai we pray for you and you will be okay in Jesus name
Justice for those innocent souls😢
Great job, Sama.
However, it's essential to handle the DCI officer with appropriate interpersonal skills. Emotional intelligence is key.
Kenyan police??? You just gave them some gold. It is what it is brother..
Masai needs prayers, remember what is happening to Elijah at Alfoga classic.
Maasaii pona haraka utoboee siri zoteoooooo bravo Dci
The officer speaks like a tailoring machine 100 wards within a second,yesterday was very friendly but today he is a commanding officer
He speaks nonstop like a typewriter.....i wonder how he used to write his compositions 😂😂
Sasa cell tena imekuwa prison !😢
Sama utajua hakuna police rafiki ya mtu.
😂😂😂😂mwambie
Hahaha
Hahaha
Dont forget the DCI ako broke after shaniz taking his 600k
Akipata hongo hawezi kosa kuchukua
It can't be a prison but I believe it's remand.
As people focus on rivers as a dumping site ,others choose their farm as the better & easy option
Na Kuna mwili ingine walikua wanatafutia kwakuzika,Sasa hiyo walipelek wapi🤔
😮😢😢
First where is the body kept as we speak...ama hio freezer ya butchery ndio inawekwa bodies wàlai
This case has no complainant! Its a difficult one!
They still deserve justice,maybe watu wao reported but with no help...this could be one of them..
Sama good job 👍👍👍 aki wtu wanauliwa kma kuku nakuzikwa😢😢😢😢😢 innocent soul's v sad 😭😭😭😭
Nimeomba KAZI hapa kama bouncer hauniskii.....😂
Police is a police never be too open, this uniform people changes anytime
Aki officer ako na bangi😂😂😂😂.
Sama utajua hujui. But be strong for us
Nimejua Leo askari hananga rafiki😂
Waaaaaah dci amekua na kiburi pia jesus pole samaritan.
Na bibi ya huyu DCI wooooi 😭😭😭😭😭 God have mercy
achimbue mwenyewe alidhali kiburi yake itamsaidia
Sama hata wewe unasumbua officer hata yeye ni mgeni ungeuliza Benson akili mtu wangu😂
Someone has put Samaa in his place today 😂😂
Masai must be OK, asichinjwe na butcher man
Hapo kitaelweka na kiburi ya Esther itashuka..
I hope gav itafatilia hadi parents wa washukiwa cz they alot about this saga
The officer is professional; he's out to dig to the bottom of the matter, Sama after recording.
Wah,pole masaai uponaji waharaka tunakuombea
what happened to him?
Huyu ofisa amepewa hongo nono sana na huyu mwanamke..hii kesi itaisha tu hivo😢😢
hii ndio tunataka kunjua Samaritan for now
Samaritan don't worry you introduced DCI now its like he has been given bribe by madam 😢
Cid hawana urafiki Samaritan ujue hivo,they change like chameleons😂😂😂
Haki..
Huyo ni Afade anaongea hivo?😅😅life no balance
Amechacha kama ukwaju😂😂
Ata sikuamini ni Samaritan anaongeleza hivo😂😂😂
@@user-qw6th1yn3o noma sana😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂 hawananga rafiki askari ni kutupa
He is very tough not like we thought ,he needed a ride lol
Samaa anakuwanga na maneno mingi sana ... that's why ofisaa ameboeka naye
Kabisa
Quick recover Masai, waiting to mama mdomo leo
Sama, DCI Leo hachezi na mtu. He's doing his work in the right way bana. Last time he was very soft n that's why Esther was fooling u thus moving u from one shamba to the other. Congrats Godfrey.