JAMANI HII NDIO EPISODE YA MWISHO KWA MWANAFUNZI WA AJABU,LAKINI NAWALETEA NYENGINE NZURI NAOMBA MUIPOKEE WATU WANGU,BAKI KWENYE CHANNEL YAKO PENDWA HII YA BABAJOAN. ASANTENI🙏🙏🙏🙏
Kazi nzuri sanaaaa wapendwa ila mmetuacha anging cz mlopoteza sauti pande zingine alafu atujui vile kulienda baba Joan pia mwisho haukutoa sauti much love from Kenya watching from lebanon ❤❤
Baba Joan umemaliza tofauti sana umejisahau kama movie zako tunaangalia wakumbwa pia siyo watoto tu nakuomba tu ujitahid kumodify kidogo ili zivutie zaidi movie hii imeisha kitotototo sana. But nakukubali sana big up tunasubiri nyingine
JAMANI HII NDIO EPISODE YA MWISHO KWA MWANAFUNZI WA AJABU,LAKINI NAWALETEA NYENGINE NZURI NAOMBA MUIPOKEE WATU WANGU,BAKI KWENYE CHANNEL YAKO PENDWA HII YA BABAJOAN.
ASANTENI🙏🙏🙏🙏
Saw
Mapema sana
Keep it up good work
Ok we will
Awaaaa tunaisubilia by
MAWENGE TZ
Hatimaye tamati..... nimefuatilia mwanzo mwisho na mm naomben like hata 5 tuuu
Za nn
Much love to you guys from Kenya ,,
Kama we mkenya piga like❤❤❤
𝚙𝚒𝚊 𝚖𝚖 𝚖𝚔𝚎𝚗𝚢𝚊
Kazi nzuri sanaaaa wapendwa ila mmetuacha anging cz mlopoteza sauti pande zingine alafu atujui vile kulienda baba Joan pia mwisho haukutoa sauti much love from Kenya watching from lebanon ❤❤
Sio kila MTU anapewa msaada baba Joan anyways congratulation Kwa kazi nzuri🎉🎉❤
woow nimefika kwa wakati baba johan like yako sasa
nimeipenda sana hii movie akujarie MUNGU uwe mzm na uzidi kutuletea mazurii ♥️♥️♥️♥️♥️
Hii bro umemaliza vizuri, na imekuwa tamu kama maembe ya huku kwetu Kenya. Love from Kenya
Wow 😲 twakupenda pia❤❤❤🎉🎉🎉
Mlianza vizuri lakn dah hapo mlipomalizia mme2acha njia panda kwa kweli
Mi wakwanza nmetishaaaa, like kwa baba Joan sio kwangu
Asante sana bba Joan kazi nzuri maichallah ❤❤❤❤
Kazi nzuri xna baba Joan tunakupenda xna pamoja na mama watoto
Kazi nzuri from Oman brother
Inshallah ❤️ tuko pamoja baba joan
Wa Kwanza jameni fro kenya
Sema kungoja sana karibu bundle zangu ziishe,,, 🤔
Imekuwa mzuri hila mmemaliza vibaya mmetuchaganya
Kongole kwako baba Joan, usichelewe kuachia nyingine tusiwe wapweke, ila movie mpya usimuache mama kanchuda🤣🤣
Wa mwisho naomba like
Nmefuatilia mwanzo mwisho kazi nzuri sana Babajoan
Hatimae tamati nimefuatilia mfululizo mwanzo mwisho nimeipenda sana thank you so much mtuzi na washirki wote ❤
Kazi nzuri ssna baba joan hila hapo mwisho himenichanganya sana nawakubali sana nyote ❤❤❤❤❤😂😂😂😂
Move nzuri sana nimefatilia mwanzo mwisho nimeipenda
Usimwamini kila mtu kuwa msaada nimejifunza kitu shukran Kwa muvi nzuri
Mwisho mzuri kazi nzuri sana baba joan😂😂
Asantéeee
Kazi nzuri
Courage
Nawa ❤
wow nimefutikia tha video and it very nice story 👏👏👏👏👏
🎉🎉❤❤❤ kazi nzuri nawa penda sana
❤❤❤ woooo🎉🎉🎉 nime yipenda kinyama kazi nzuli
Uko vizuri sana baba joani ila boresha mwishoni❤️❤️❤️
Kazi nzuri watching from Kenya 🇰🇪
Hii movie haijaisha vzri ..haikueleweka kabisaa...
Hongereni sana mov nzuri 👏👏
Tunakupenda pia kk muvi nzuri
Wauuuuu Santi sanaa Baba Joan love you content so much
Baba joan umetisha sana ❤ hogera
Hii ilikuwa movie poa baba Joan keep up good work ♥️♥️
Kwani ilikuwa story pongezi kwa kazi Zuri unafanya ❤❤❤
Mm WA nane huku nipate likes za mamake Joan
Asantee sana Kwa mov nzur sana nimejifunza vingi san kupitia hii mov love so much baba Joan♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Kazi nzuri san❤❤🎉
❤❤❤❤ nimeipenda kwakweli mwanafunzi wa ajabu
Kaz mnajua tatizo lenu hamjui kumalizia movie yan mwisho haueleweki
Kabisaa yaan,mwisho hauelewekii
Mimi sijaelewa pati ya mwisho
Hongera sana kwa mchezo ambao nisomo kwa watu
Naipenda Sana ❤️ from Nairobi Kenya
Kazi Nzuri Sana Baba Joan na Team yko
Wooow imeisha visuri sana mbarikiwe sana tunagoja mpia inshallah 💝😊😊😊❤
Hongerani saana guys mungu azidi kukuza vipaji vyenu mungu awabari nyote❤❤❤❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏
Hatimaye tumefika tamati,filamu imekuwa ya kupendeza tunaigoja inayofuatilia❤
Waaah asante sana mungu awape nguvu mtoe movie nzur nzur twasubr ss
Congratulations 👏 nawa kubali washikaji wangu wili kundi
Kazi nzuri sana baba joani
mungu akutie nguvu baba joan nimependa san movie yak
Kazi nzuri kbs
Mimi hapa kutoka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Baba Joan movie ni nzuri ila mmemaliza vibaya
Jamani hio sauti n ya baba John kweli 😂😂😂😂😂😂😂
Kaz nzur xna et 2po Na wew nega kwa bega Baba joan
Baba Joan umemaliza tofauti sana umejisahau kama movie zako tunaangalia wakumbwa pia siyo watoto tu nakuomba tu ujitahid kumodify kidogo ili zivutie zaidi movie hii imeisha kitotototo sana. But nakukubali sana big up tunasubiri nyingine
Hapana sio tofauti ndugu,jitahidi kuelewa final hiyo
Hapa wa bongo ndio tunapokoseaga watu mpo kwenye hatari lakini upo na viatu mkononi huoni km vinakutia uzito dada angu 😂😂😂😂
Asantii kwa Kazi njema baba joan❤
Wauuu nice baba Joan ❤
Hii filam nineifatilia mwanzo mwisho baba Joan nakukubal
Nime fata zote ni visuri sana,i love you to
Much love from DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇿🇦
Ooh!! Very Nice❤❤❤❤❤
Wow baba Joana God bless you
Ahsante sana baba Joan ❤❤❤❤
Congratulations mwanafunzi Wa ajabu ❤❤
Wakwanza from kenya❤❤
Ongereni baba Joan 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Always u a the best baba Joan ❤❤❤❤
Nakupenda sana baba joan
Mi kwanza toka Congo déc🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Wow ❤❤❤
Kazi zuri kikubwa dua
Watching live from kenya 🇰🇪
Me félicitations à vous pour cette bonne fin
Hatukuona viziri kwenye baba jony ameenda na hao wa dada waajabu ile n'a kitabu hatujuwi bilikuaje hamumaloze vizuri kabisa
𝐊𝐚𝐥𝐢 𝐒𝐚𝐧𝐚 𝐧𝐢𝐦𝐞𝐢𝐩𝐞𝐧𝐝𝐚 sana❤❤❤
Kazizuli kaka❤❤❤
Kaz nzuri
Film nzuri sana
Pamoja sana baba joani 🎉🎉
This is so amazing ❤❤
Karibu sn bro
❤❤❤❤❤❤ from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 baba Joan
😂😂😂mmetupiga na kitu kizito aisee
Imekua nzuri asenteni ni nyie
Wow so nice ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asante baba Joan nakukubali
So amazing ❤❤thank
❤❤❤ good job 👍
Good job baba joan❤❤❤❤❤❤
Hongera sana
Super Baba Joan
Good job my pipo
Ninzuri saana ila weka vipande virefu virefu
Mmetisha sanaa,
Nawapenda sana❤❤❤