Hongera Sana Kingwendu kwa kukimbilia Kanisani Hawa wanaokuponda waache usiwajibu maana wangekuona unaingia kwa mganga Wa kienyeji wasingekusema hivo Shikilia Imani yakoo Kingwendu Nabii Ni Mtumishi Wa MUNGU na tumeona akiwafufua waliokuwa kifoni Hawa wanaokuponda hawajui wafanyaloo
Mnaoongea vibaya kuhusu nabii nahisi mmechoka hamna jipya mnaongea Sana na nahisi mkipewa hela hamuachi shida ya wabongo mkiwa na njaa mnatapika Sana mwacheni nabii Mkuu apige kazi nyie wenye maneno mkifa mtaacha urithi wa umbea hauna faida mnaudhi nyie
🎉nabii Mkuu umeupiga mwingi waache waongee bado hawajathemaaaa . Injili mbele kwa mbele🎉
Hongera Sana Kingwendu kwa kukimbilia Kanisani Hawa wanaokuponda waache usiwajibu maana wangekuona unaingia kwa mganga Wa kienyeji wasingekusema hivo
Shikilia Imani yakoo Kingwendu Nabii Ni Mtumishi Wa MUNGU na tumeona akiwafufua waliokuwa kifoni
Hawa wanaokuponda hawajui wafanyaloo
Yes, angeenda kwa watchdoctor watu wangempongeza
Hahahaha 😂😂😂😂 ukisema akupendinga anakupa ndinga nakukubali sana kigwendu
Uko.sawa
We kingwendu acha ujinga kazi yako ni maana sana kuliko kusifia mambo ya upumbavu hujui Siri iliyopo mungu ndiye ayejua.
Kabisaa ana zingua sana
Hakili ikijaa kufkr uovu utaona kila jambo ovu ach nabii apige kaz
Mikono might umepewa na unakitu chakukupatia rizki tamaaa atakuja kujuta hy pesa za bureeeee du kuna siri
Ngurumo.ya.upako.iko.savi.sana.baba.chapa.kanzi
watanzania hawana jema Wala shukrani na km unaona nabii humtaki pita na yako tunaomkubali mtuachie jaman tunampenda then tunampenda tena na tena 🎉🎉🎉🎉
Umepewa sh ngapi kingwendu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣kingwendu okoka mjue mungu vizuri ,acha mzaha ndinga kitu Gani Bora umtafute Mungu utapata zaidi yandinga , nafikiri umenielewa
Mr geode vie you are a real prophet we are very Happy all the world are listening and watching you thanks papaaaa
Uko sahihi sana
😅😅😅😅😅ety viungo
Daaah bonge la Baba full midevu eti nabii pumbavu zako njaa mbaya fanya KAZI 😂
Halafu wasani walokwenda kwa huyo wanao mnyenyekea wte ni comedians/movie's,aaise njaa mbaya Sana unaeza roopoka..yy ndioo hajitambui
Dadekii njaa iziii
hakuna kitu kibaya kwenye maisha kama ukishndwa kuikontroo njaa Yako ndio mana watu wanaliwa kiboga tamaaa
Umeona eee😂😂😂
Kabisaa n kwel njaa izi dadekii
Pole sana
Iyi njaa bwana 😢😢😢😢😢
Hiz hela, Kingwedu ogopa dhambi
kwani.mkisema.mmeanda kuomba shida bongo movie bana kkk
Safi sana kingwendu umejibu kwa hekima na akili sana
Savi Sana gd
Kweli nambii anabadiriha wtu wengi
kaka kingwendu ulifanya vizuri kwenda kabisani kaka
Njaa inakupeleka motoni
I like to communicate with you I don't know how can I reach there to your church please how and when
Kingwendu wwe dishi limeyumba coz unajichora imana dhaifu ivi uislam na Nabii mkuu nwapi na wapi njaa ni miongoni wa mitihani. Subra muhimu kingwendu
Kingwendu umekosea sana hakuna nabii tena baada ya mtume mhamadi s. A. W. Mlejee mora wako halaka sana mtake msamaha atakusamehe
Big up kingwendu
Hatua ulitoichukua inafaa MBELE za Mungu.Mungu amekujibu yale yaliyokuwa hayawezekani .Songa MBELE mtu wa Mungu 11:45
Tamka kwa kinywa chako unachotaka kwa nabii geodevie kuliko povu jingi
Duh
Nabi Mukuu kwa nani akapewa cheo nanani?
Hiyo kingwendu ni wa dini gani kwanza?
Kingwendu ilkua nkikukubali lakini nshakukataa Njaa mbaya sanaa...😂😂😂😂
Nakuku bari sana nabimuku
Viongozi wa dini Africa inatupasa kuiga utoaji kwa jeodevi
Sasa huyu nabii ana wasaidia wasanii tu😂😂
Wew acha ujinga kubwa Zima ovyo njaa inkupeleka pabaya wewe matatizo Yako peleka Kwa mungu mshamba wewe
Kingwendu upo sahihi
Mnaoongea vibaya kuhusu nabii nahisi mmechoka hamna jipya mnaongea Sana na nahisi mkipewa hela hamuachi shida ya wabongo mkiwa na njaa mnatapika Sana mwacheni nabii Mkuu apige kazi nyie wenye maneno mkifa mtaacha urithi wa umbea hauna faida mnaudhi nyie
MTUMISHI WA SHETANI PESA ZA SHETANI ZITAWATOKEA PUANI POLENI NJAA ZITAWAUA
Mlevi wakawaida huyu kingwendu
Kuna msanii aliimba umasikini huu umasikini huu utaisha lini ×3
Kumbe huyu kingwendu mkristo
Hizo ndinga zitawatoa roho,
Innaalillah wa,innaa,Ilaih raajighun
Njaa mbaya sana yaani eti anakubali mtu ni nabii wakati yy ni muislam abadilishe tu dini.
Mlevi huyooo
Kingwendwe tubu wewe kenge tu nilikua nakuaminia sana kumbe kenge tu huna lolote nguruwe mweusi wewe
Muze wambiye mambo yanabi muku nibabawababa uyonabiwaukweli
Master k njaaa inakuhusu
Njaa mbaya Jamani 🤔🤔🤔
Lazarofondation usikateetamaa songambele
Huyu siyo mtumishi wa mungu soma maandiko utajua huyu ni mtu anayemwakilisha nani.
Jahili mkubwa huyu mzee hajuii dini nabi na mtume wa mwisho ni Muhamad S.A.W nabii muongo Subjanala
Nyie washika dini badala ya Mungu, kitu gani kinawauma baada ya Kingwendu kwenda kwa mtumishi wa Mungu, unesaidia watu wangapi hapo mtaani kwako?
Inamtaka utapata tuu
Umechoka kingwendu njaa inakupeleka bapaya
Naitaji kunisa saidiya
😊😊😊😊😊😊
Huongo huongo kigwnd ACHA
Na mm nitafika one day, namuamini
😂😂😂😂
@@venitarugemalila9290
yaani nasubiria nipate nguvu ya kurikodi nimeandika nyimbo nzuri sana.
Duuu kwaiy iyo kaz yako yakugawa tako ishakushinda unapeleka mkundu arusha duuu
ASTAGHFIRULLAH
Namba musanda wakonabi wetu natesekasana
Njaa bwana kiboko
Jinga wewe,njaa inakusumbua
Njaaa zitawaua nyie
😢😢😢😂😂😂