Mbona hatukuona hapo alipomwaga machozi, uongo tu mpaka kwenye misiba, ukitaka kujua vi channel vya hovyo angalia hao wanaipigia promo tu, jitu hulijui kama ni muhuni wa mtaa, msanii u ndio mtangazaji, micheni, herini yani hovyo kabisa kweli hii tasnia imevamiwa doh
JAMANIAMEE...HIZI MEDIA NI ZA UONGOOOO...BORA MILLARD AYO ANAKUPA HEADLINE NA CONTENTS ZINAZOENDANA...HAWA WOTE WANATAFUTA UMAARUFU/MAFANIKIO KWA MUDA MFUPI..STUPID!!...UNATAFUTA VIEWS HADI KWENYE MSIBA??...AGAIN!!...STUUUUUUPID!!
Asante Mungu Kwa maisha ya Gardner😭😭
Kumbe Gardner alkua anaishi Tanga ndo mana alkua anakiswahil👌na ni Mchaga. 😢😢😢❤❤❤
Allaah amsamehe makosa yake ampe kauli thabiti huko alipotangulia mbele za khaki
Amen 🙏
r.i.p😢😢🕊️🕊️🕊️
Umemaliza mwendoooo
Hakuna mwandishi hapo ni taka taka,hujui kuhoji
Weh watu mna wivu😂
Captain 😭😭😭😭🕊️😭😭
Rip Gardner captain😢😢😢😢😢
Mbona hatukuona hapo alipomwaga machozi, uongo tu mpaka kwenye misiba, ukitaka kujua vi channel vya hovyo angalia hao wanaipigia promo tu, jitu hulijui kama ni muhuni wa mtaa, msanii u ndio mtangazaji, micheni, herini yani hovyo kabisa kweli hii tasnia imevamiwa doh
RIP
Sija elewa bado watu wanamlilia na kusikitika ni kwa kufa kwake au ni kwa yale anayo kwenda kukutana nayo
Wewe km wewe unaelewaje kichwani kwako?
Wewe kama nani unaongea hivo au wewe MUNGU kwani wewe huna dhambi Tena inawezekana unadhambi kuliko GADNER
JAMANIAMEE...HIZI MEDIA NI ZA UONGOOOO...BORA MILLARD AYO ANAKUPA HEADLINE NA CONTENTS ZINAZOENDANA...HAWA WOTE WANATAFUTA UMAARUFU/MAFANIKIO KWA MUDA MFUPI..STUPID!!...UNATAFUTA VIEWS HADI KWENYE MSIBA??...AGAIN!!...STUUUUUUPID!!