MADAWA YA KULEVYA 'FEKI' YAACHWA KIJIWENI, ASKARI AYAKUTA, KILICHOTOKEA HAPO... | HIVI NI KWELI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • MADAWA YA KULEVYA 'FEKI' YAACHWA KIJIWENI, ASKARI AYAKUTA, KILICHOTOKEA HAPO... | HIVI NI KWELI
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 63

  • @AdoAshu80
    @AdoAshu80 Год назад +29

    Huyo kaka mwenye tshirt ya kijani iliyoandikwa Malawi anajua...anajua ... tena anajua tenaaa. Kamjambisha na maswali ya msingi huyo polisi feki. 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @nichoojr.6747
    @nichoojr.6747 Год назад +11

    Sanya Pamoja na Wasafi Hichi kipindi Kinachukua Muda mwingi Sana Alafu Hakuna uhalisia Hapo Watu karibu Wote hapo walikua wanaonekana wanajua kinachoendelea Maana watu wameshawajua Sasahivi Wasafi TV NI kubwa Sana natamani ningepata nafasi ya kushauri Jinsi ya kuborehsa kipindi chako Mwanzo ilikua Vizuri Sana Viko vingi vya kuwashika watu Ambao watakua halisi

  • @mrmangetown4323
    @mrmangetown4323 Год назад +6

    Huyu mwenye kijani ni walewale askali kanzu siyo kwa point hizo

  • @kingaluadam9101
    @kingaluadam9101 Год назад +1

    Huyo Jamaa wa tshirt ya Kijani ndio ameharibu kipindi. ameuliza maswali ambayo yalikuwa yanamtoa kwenye confidence askari na akajikuta anaanza kama kujifunza badala ya kuwa mkali kama alivyokuwa amekuja.
    Kitu cha muhim na cha msingi sana ukishagundua kuna mtu wa hivo mahala ambako unataka kufanya kipindi una cancel tuu sio lazima ufanye scene moja. katika tukio hilo hilo unaweza fanya hata mara mbili au tatu alafu ukaweka moja mbayo itakuwa tayari kuna gaps umeshafanyia kazi.
    all in all kazi ni nzuri na unajitahidi , muhim ni ku improve , ile scene ya bagamoyo pale kwenye gari ilikuwa better kuliko hii.

  • @nexto6357
    @nexto6357 Год назад +2

    Boss Sanya 👍

  • @strong8534
    @strong8534 Год назад +9

    Sanya, kipindi kizuri sana ila next time jaribu kuweka ka uhalisia kidogo!! Tafuta askari wa ukweli ama mtu wa kawaida aje na mbwa, then huwezi kushika kitu bila gloves 🧤. Think about it!!

  • @waziriwahekima6824
    @waziriwahekima6824 Год назад +1

    Mwamba tishet yakijani anaijua sheria vyema sana !

  • @Jaycollection
    @Jaycollection Год назад +4

    Kweli utuuzima dawa broo kamuuliza maswali ya msingi kweli uyo police

  • @fannyvweruka8669
    @fannyvweruka8669 Год назад

    Pole na kazi asante nime furahi

  • @Enocky-pv5ui
    @Enocky-pv5ui 3 месяца назад

    Huyu jamaa niahatari anajua sheria😅😅😅😅😅😂😂😂

  • @OmmyTito-n2l
    @OmmyTito-n2l Месяц назад

    😂😂 Sanya Nembo ya mtaa sema Anglia kka utapigika

  • @abiasifredrickdima3255
    @abiasifredrickdima3255 Год назад

    Appreciate Sanya #wasafi TV

  • @waziriernesto2391
    @waziriernesto2391 Год назад

    noma sana

  • @luckynayza2530
    @luckynayza2530 Год назад +1

    Wasafi nzima vipindi vikalj niviwili ao wengine wanafeli bab kubwa ivi nikweli Cheka tu big Sunday ndo vipindi pendwa

  • @Hawa-ed2hg
    @Hawa-ed2hg Год назад +1

    💥💥💥💥💥

  • @zubeirkibe6760
    @zubeirkibe6760 Год назад

    Huyo Mwenye T-shirt ya kijani ni askar kanzu au usalama wa taifa huwa tunakaa nao Sana maskani 😀😀😀

  • @vannymokoca358
    @vannymokoca358 Год назад +1

    Uyo Malawi 🇲🇼 upo vinzuri sana kabisa

  • @AihmAli-d8x
    @AihmAli-d8x 5 месяцев назад

    Duu zuchu akushauri maisha kweli

  • @wizzydollarbarbershop7079
    @wizzydollarbarbershop7079 Год назад +3

    Leo mmewezwaa😂😂😂

  • @waziriwahekima6824
    @waziriwahekima6824 Год назад

    Nyinyi wasenge naivi vipindi vyenu mtakuja kumtoa mtu roho

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Год назад

    Malawi T-shirt ni matured sana

  • @jimmymagaita2947
    @jimmymagaita2947 Год назад +1

    😂 hatari

  • @edwinjackson2294
    @edwinjackson2294 Год назад +2

    Jamaa..!! zuchu akushaur maisha uko serious kweli ww bro😂😂😂 shaur yako atakushaur ukadandiwe na ww kama yeye

    • @mohammadoman8963
      @mohammadoman8963 Год назад

      Acha ujinga zuchu ni mshauri mzuri sana kuliko ww unavyofikiria ujinga

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab Год назад

    Jamaa alievaa T.shirt ya ndimu ni asikari yaani ni asikari kama sio asikari usalama basi ni asikari jamii

  • @owenmutale8686
    @owenmutale8686 Год назад +1

    Full pressure hapo

  • @rahimusaide3548
    @rahimusaide3548 Год назад +1

    sio pw

  • @agnesjohn2571
    @agnesjohn2571 Год назад +1

    😂😂😂 kweli kabisa mwonekano wako unaweza ukaangushiwa jumba bovu

  • @AminaAmina-pc5ke
    @AminaAmina-pc5ke Год назад

    Jamaa yukovizuri siyokukamatwa kixembe

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 Год назад +2

    Sorry ninzuli, ila uhalisia wa huyo askali, naukubwa watukio haviendani

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 Год назад +1

    Leo askari kafeli hajavaa uhalisia vizuri

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 Год назад

    Video mmechukua na sim au wapi hd

  • @captenndunga6745
    @captenndunga6745 Год назад +1

    Kwanza unatakiwa kujua madawa ya kulevia ni dili na yana thamani kubwa hayawezi kuachwa hivo kama karanga madawa yawe kwenye begi ujazo huo wee unazani ni shi ngapi hiyo alafu ayaache tuu kisenge hivo ukiweza kuwa na mzigo ujazo huo wee ni tajiri tayari.

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab Год назад

      Inawezekana alikuwa anajua tayari anafatiliwa so akaamua kuyatelekeza inaingia kwa kichwa coz hilo ni zibiti bro

    • @captenndunga6745
      @captenndunga6745 Год назад

      @@R10_Rajab sio kwa madawa ya kulevia mzee askari mwenyewe akiotea mzigo kama huo anaingia nao chaka yuko tayari kupoteza ajira.

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab Год назад

      @@captenndunga6745 😂😂😂😂Nimekusoma

  • @thomasmgohomatz5696
    @thomasmgohomatz5696 Год назад

    Mbona hii vidio sio hd

  • @oyay2821
    @oyay2821 Год назад

    Kuna wawili wameondoka polepole

  • @user-ky5wu4gc9g
    @user-ky5wu4gc9g Год назад

    Sio wote wanaokaa vijiwen ni wahuni wengine ni askar kanzu kama huyo baba mwenye tishet ya kijan ninamashaka

  • @abdulabdallh9506
    @abdulabdallh9506 Год назад +1

    Askari kayakanyaga ukuuh

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 Год назад +1

    Mo town sanya, unajitahidi saaaana kk Story yakipindi ninzuli ila umekosea hapo kwenye huyo askali ndo umezengua tafuta kituu kinachoendana na uwalisia walau kidogo sio uyo polic wako kk kama muokota kopo

  • @solomonichisaye8767
    @solomonichisaye8767 Год назад +1

    Nilikuwa na focus kwenye maiki😂😂😂

  • @kibikihotfilm0621
    @kibikihotfilm0621 Год назад

    Hicho kitengo cha uaskari nipe siku moja niwaonenesheee

  • @RahimTreiz
    @RahimTreiz 9 месяцев назад

    😂😂😂🙌

  • @waziriwahekima6824
    @waziriwahekima6824 Год назад

    Dah uyu mwamba yuko smart m'malawi uyo😅

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 Год назад +1

    ahahaha🤣police kapatikana leo watu wajua mnyoosha kwaza awana ata wasiwasi kama wamestukia hivi wanaigiza

  • @kibikihotfilm0621
    @kibikihotfilm0621 Год назад

    Sema askari ndo katufelisha

  • @officialnuhu8163
    @officialnuhu8163 Год назад +3

    Wakwanz ku comment

    • @ssilivestasangiloggfyssili4976
      @ssilivestasangiloggfyssili4976 Год назад

      👏👏👏

    • @amirasman7441
      @amirasman7441 Год назад

      Mo, town Sanya .. Niko Nairobi Kenya ...lakini Kuna kitu kimenikuza hapo ,, huyo jamaa mwenye anataka kujua kama huyo jamaa ni police amesema kweli polisi lazima awe na cloves kuthipitisha huyo jamaa si askari.
      2) huyo jamaa mwingine kushuku huyu jamaa na treaty Kwa kichwa kuthipisha ni yeye tu ndio anaeza fanya kitu kama hiyo .... Sho Gali mwanangu

  • @ibrahimelisha6842
    @ibrahimelisha6842 Год назад

    Uyo jamaa ni mdedly kinoma 😄😄

  • @g_eazmusic1329
    @g_eazmusic1329 Год назад +2

    😂😂😂

  • @Omix_production
    @Omix_production Год назад

    Kipindi naona kinatoka nje ya maudhui yake kutoka kwenye maisha ya wasanii kwenda kwenye maigizo prank

  • @mohdali1182
    @mohdali1182 Год назад +3

    Usengee mtupuu yani km vle michezo ya msukaaa huhuhuuuu bonge la tv 😂 yani atahamuelewek

  • @cowboytz7441
    @cowboytz7441 Год назад

    fact jamaa anajiamin so poa

  • @jumanneyassini
    @jumanneyassini Год назад

    HUYU NI MATOTOLA😂😂😂

  • @mdouharoon66
    @mdouharoon66 Год назад +2

    🤣🤣🤣🤣

  • @marynice318
    @marynice318 Год назад

    😂

  • @zomasamweli
    @zomasamweli Год назад

    Sanya hiyo asikari kakuangusha kabisa Hana ubunifi kabisa