MADAWA YA KULEVYA 'FEKI' YAACHWA KIJIWENI, ASKARI AYAKUTA, KILICHOTOKEA HAPO... | HIVI NI KWELI
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2024
- MADAWA YA KULEVYA 'FEKI' YAACHWA KIJIWENI, ASKARI AYAKUTA, KILICHOTOKEA HAPO... | HIVI NI KWELI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Huyo kaka mwenye tshirt ya kijani iliyoandikwa Malawi anajua...anajua ... tena anajua tenaaa. Kamjambisha na maswali ya msingi huyo polisi feki. 😂😂😂😂😂😂😂😂
Sanya Pamoja na Wasafi Hichi kipindi Kinachukua Muda mwingi Sana Alafu Hakuna uhalisia Hapo Watu karibu Wote hapo walikua wanaonekana wanajua kinachoendelea Maana watu wameshawajua Sasahivi Wasafi TV NI kubwa Sana natamani ningepata nafasi ya kushauri Jinsi ya kuborehsa kipindi chako Mwanzo ilikua Vizuri Sana Viko vingi vya kuwashika watu Ambao watakua halisi
😂
Kweli akina uharisia kbs
Huyu mwenye kijani ni walewale askali kanzu siyo kwa point hizo
🤣🤣🤣
Huyo Jamaa wa tshirt ya Kijani ndio ameharibu kipindi. ameuliza maswali ambayo yalikuwa yanamtoa kwenye confidence askari na akajikuta anaanza kama kujifunza badala ya kuwa mkali kama alivyokuwa amekuja.
Kitu cha muhim na cha msingi sana ukishagundua kuna mtu wa hivo mahala ambako unataka kufanya kipindi una cancel tuu sio lazima ufanye scene moja. katika tukio hilo hilo unaweza fanya hata mara mbili au tatu alafu ukaweka moja mbayo itakuwa tayari kuna gaps umeshafanyia kazi.
all in all kazi ni nzuri na unajitahidi , muhim ni ku improve , ile scene ya bagamoyo pale kwenye gari ilikuwa better kuliko hii.
Boss Sanya 👍
Sanya, kipindi kizuri sana ila next time jaribu kuweka ka uhalisia kidogo!! Tafuta askari wa ukweli ama mtu wa kawaida aje na mbwa, then huwezi kushika kitu bila gloves 🧤. Think about it!!
Mwamba tishet yakijani anaijua sheria vyema sana !
Kweli utuuzima dawa broo kamuuliza maswali ya msingi kweli uyo police
Pole na kazi asante nime furahi
Huyu jamaa niahatari anajua sheria😅😅😅😅😅😂😂😂
😂😂 Sanya Nembo ya mtaa sema Anglia kka utapigika
Appreciate Sanya #wasafi TV
noma sana
Wasafi nzima vipindi vikalj niviwili ao wengine wanafeli bab kubwa ivi nikweli Cheka tu big Sunday ndo vipindi pendwa
💥💥💥💥💥
Huyo Mwenye T-shirt ya kijani ni askar kanzu au usalama wa taifa huwa tunakaa nao Sana maskani 😀😀😀
Uyo Malawi 🇲🇼 upo vinzuri sana kabisa
Duu zuchu akushauri maisha kweli
Leo mmewezwaa😂😂😂
Nyinyi wasenge naivi vipindi vyenu mtakuja kumtoa mtu roho
Malawi T-shirt ni matured sana
😂 hatari
Jamaa..!! zuchu akushaur maisha uko serious kweli ww bro😂😂😂 shaur yako atakushaur ukadandiwe na ww kama yeye
Acha ujinga zuchu ni mshauri mzuri sana kuliko ww unavyofikiria ujinga
Jamaa alievaa T.shirt ya ndimu ni asikari yaani ni asikari kama sio asikari usalama basi ni asikari jamii
Full pressure hapo
sio pw
😂😂😂 kweli kabisa mwonekano wako unaweza ukaangushiwa jumba bovu
Jamaa yukovizuri siyokukamatwa kixembe
Sorry ninzuli, ila uhalisia wa huyo askali, naukubwa watukio haviendani
Leo askari kafeli hajavaa uhalisia vizuri
Video mmechukua na sim au wapi hd
Kwanza unatakiwa kujua madawa ya kulevia ni dili na yana thamani kubwa hayawezi kuachwa hivo kama karanga madawa yawe kwenye begi ujazo huo wee unazani ni shi ngapi hiyo alafu ayaache tuu kisenge hivo ukiweza kuwa na mzigo ujazo huo wee ni tajiri tayari.
Inawezekana alikuwa anajua tayari anafatiliwa so akaamua kuyatelekeza inaingia kwa kichwa coz hilo ni zibiti bro
@@R10_Rajab sio kwa madawa ya kulevia mzee askari mwenyewe akiotea mzigo kama huo anaingia nao chaka yuko tayari kupoteza ajira.
@@captenndunga6745 😂😂😂😂Nimekusoma
Mbona hii vidio sio hd
Kuna wawili wameondoka polepole
Sio wote wanaokaa vijiwen ni wahuni wengine ni askar kanzu kama huyo baba mwenye tishet ya kijan ninamashaka
Askari kayakanyaga ukuuh
Mo town sanya, unajitahidi saaaana kk Story yakipindi ninzuli ila umekosea hapo kwenye huyo askali ndo umezengua tafuta kituu kinachoendana na uwalisia walau kidogo sio uyo polic wako kk kama muokota kopo
Nilikuwa na focus kwenye maiki😂😂😂
Hicho kitengo cha uaskari nipe siku moja niwaonenesheee
😂😂😂🙌
Dah uyu mwamba yuko smart m'malawi uyo😅
ahahaha🤣police kapatikana leo watu wajua mnyoosha kwaza awana ata wasiwasi kama wamestukia hivi wanaigiza
Sema askari ndo katufelisha
Wakwanz ku comment
👏👏👏
Mo, town Sanya .. Niko Nairobi Kenya ...lakini Kuna kitu kimenikuza hapo ,, huyo jamaa mwenye anataka kujua kama huyo jamaa ni police amesema kweli polisi lazima awe na cloves kuthipitisha huyo jamaa si askari.
2) huyo jamaa mwingine kushuku huyu jamaa na treaty Kwa kichwa kuthipisha ni yeye tu ndio anaeza fanya kitu kama hiyo .... Sho Gali mwanangu
Uyo jamaa ni mdedly kinoma 😄😄
😂😂😂
Kipindi naona kinatoka nje ya maudhui yake kutoka kwenye maisha ya wasanii kwenda kwenye maigizo prank
Usengee mtupuu yani km vle michezo ya msukaaa huhuhuuuu bonge la tv 😂 yani atahamuelewek
Ww ndio unaeleweka
fact jamaa anajiamin so poa
HUYU NI MATOTOLA😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
😂
Sanya hiyo asikari kakuangusha kabisa Hana ubunifi kabisa