Baddest 47 - Nikagongee(official music video) SMS SKIZA 7916686 to 811
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- #Baddest47 #Nikagongee
Baddest 47 Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/badest47
Written & Performed by Baddest 47 &
Follow Baddest 47 on:
/ badest_47
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Kwa wale waliotoka kuisikia kweny "amplifaya" Ndio wakaja apa nataka kuona like zenu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ngoma Kaliii aseee
😂😂😂😂
Oyooo tuliomsikia kwa Millard ayo tukuje apaaaa
Prince Mushy we lazima mtoto wa mama ila wakitaa hii ndo hit yetu
@@kopoluwiko6013 we Unazngua sasa, Inategemea Uko mazngira gan
Duh hii htr xan
Aisee wimbo huu siuelewagi kabisa
Umetisha father
Huwezi amini ngoma ina miezi kama 8 lakini sasa hivi ndiyo bonge la nyimbo kitaa #Nikagongeeee
Wangapi tumeijua hii ngoma baada ya remix na shilole ., . Nzur....nimependa mdundo
nikangongee nyag heeeee na mwana akachukua namba akabonda,,,,,,,,,,,,like
Aisee hii ngoma ni kali sana haijapewa promo za kutosha tuu sahz ingekua na views zaidi ya 1milion
Kweliii ngoma tamuu kinyamaaa promo tu ndo shidaaaa
Kukagongeea nyani ndonn
kweli
@@rosemarycharles175 nyagi, siyo nyani
@@2116-n nyagi
NIMESISIMKA .....UR A SUPERSTAR BILA NGUVU ...LINDA STATUS YAKO
Namkubali badest jmn
Nimeijua kupitia bss Yusufnizar👌👌👌👌👌👌👌🥰🥰😍
Ngoma Kali Weka like apa twende sawa
Mbn ngoma Kali xana bro cjui ka uliipromote xana cz xio watu wte wanaijua
Nilivyoisikia kwa mara ya kwanza nikadhani mwana Mkenya, kumbe mbongo.
Ngoma kali mzee baba.
hahahahaha tena kutoka kyela mbeya hatariii
bravo
kaz nzr mwamba
keep moving""""
Tuliomletea mwana Salamu kutoka kwa Millard Ayo wa amplifayani sasa hivi 23/8/2019…tugonge like zetu hapa👍
Sijaelewa kwann ilitoka muda afu Promo ndo imepata juzi Claudz ndo mi nimekuja huku, huyu mwana namjua si wa kyela mbeya anaitwa Pizzo pia ni producer nk.. Huu wimbo ndo nashtuliwa na clouds hapa juzi kati. Kwanza nikajua ni MOTRA THE FUTURE kapita kwa floo zake
@@theblackhandentertainment7673 Nahisi connection pia zinamatters …😁😁
Nc
Kali sana nta kusaidia kusambaza japo kua hanifa ham
Petfect, Ngoma kubwa sana Video Imetishia
Anakulaga mashemeji..... Huhuhu we kagongee tu
Hiiii kumbeee nawe upooo cjui nikagongee nyagii huwiii sijui nikagongee veve umetsha mzeew
Waoh unawakilisha nyakyusa ❤️❤️❤️
Yan huyu badest kipind nasikia wimbo wake nilijua anasula mbaya kumbe handsome mmoja fresh tu
😁😁😁 Hb from Mbeya City
Safi Sanaa ucshie hapa BAC toa vitu
Ngoma Kali sana ilete wasafi TV breeeee
Nyagiiiiii
Nikagongeeeee
Weeeeeee
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
😍😘 napenda iyo lafudhi ya keny bonge la hit
Aaaaaaah ingomaaaa hatarii ivii wew ni mtanzania
Hii ngoma ninoma maana huku kitaan mpaka watoto wanaimba kaz nzur kaka
Weeeeeddd 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hit song 🔥🔥🔥🔥
Ngoma Kari San salut kwa produced baddest 47 nom
Milango ndyo imefunguka hvyo mwanangu hili goma la moto sana
hongera the baddest
yaani me chakusema sina shd huyu mkaka mzuri adi nyimbo nzr
Huu mzigo sio wa kitoto umezipindua ngoma kali nyingi
Hii mara ya tatu nairudia hii ngoma ni nzuri kinomaaaaa
Aaah mwanangu we hatr
ngoma nimeikubali sanaaaaaaaaaaa
nlpoiskiaa tuu ikabd niitafute... 😃😃 ngoma kali kp it up
Mzee baba kali kuliko an noma kwel hii
nimgongee nani nimgongee kuzuna yaani naiyangalia Mara kumi.kumi.hamu haiishi ngoma zuri sana
Nyimbo kaua pande za tabora Tanzania
Umekill mwan xhavu kwako nakagongea ucwaze
Once tulipiga sherehe Tanzania... This song was hitting differently 🔥🔥 love from 254🇰🇪🇰🇪
Nilijua wakenya
Safi sana kijana tupe vitu kama ivyo
tisha saaana...si kisenge kyela hadi world wide
Hiii ngomaa unaeza jikuta upo geto na Irene uwoya gafla af unagongeaaa nyagiii mamae walaiiiii
Huyu jamaa sijui ana undugu Na Lil ommy au mnasemaje wadau macho yangu 😀😀😀😀
mtoto wa mchungaji noma sanaa Ngoma kalii sana
Bad man baddest tz NAKUBALI FROM 🇧🇮🇧🇮🇹🇿
Mbeya stand Up.. kijana uko vizuri hii ngoma mimi na mke wangu toka siku ya kwanza tumeisikia imekuwa ndio ngoma yetu.
Ngoma Kali.
From amplifaya ya clouds fm #meenaaly $ #millardayo ni mm mr supporter of good music umetisha mzee
Na mimi ndo nimeona leo kwa ayo
Nyimbo lakiboya sana ila lina mzuka sana aiseeee nimelikubali kusema kweli
Asee hii ngoma kali balaaa huyu jamaa kafunika noma
hili ngoma nishidaaa sana hongeraaaa😚😚😚😚
Ngoma kali sana gongea guzuna tuu hahaaa
Naupenda sana sijui nikangongee nyagi
Nikagongee nyagiiiiiiiiiiiiiiiuuuuiii
Ngoma kali sana
Aki sawa Tu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💃💃💃💃💃💃
Umetisha sana mwamba karibu east west by Nickai Rasta
Bigup badest 47. Umetixhaa xn brother
Anaejua wimbo huu huu tu wa baddest nione like plz
Nilijuaga wakenya ndo wameimba aise upo juu bad man🙌🙌🙌🙌🙌💪💪
Ya moto sema cjui imekosa promo 💪💪
Ngoma Kali video nzuri mungu akubaliki ufike mbali
Mwanzo mzuri kijana,keep on doing great stuffs
Nikwer kaka
Charles Ased ngoma nzuli sana naielewa ile mbaya
ngoma kaliiiii
Ngomaa iko on fireee Tanzania
How comes hii ngoma haijahit
Salute sana wenye akili tumeelewa
Mshindi wa BSS amenifanya nitafute hii nyimbo nizar yusufu 🙌🙌
Ww mkaliii
Ngoma Kali kinyama kangonge bananaaa
Bonge moja la pini
badman hapo umeeleweka
Hii nyimbo umeshutia wap mbona kama nje ya nchi
Yawezekana
Kyela iooo
Mbeya akuenda mbali ila ipo dorooo
wasafi media mbeya-kyela
Kigoma apo
shishi hiingoma anaikubal san na mm cwez ikataa aseee
Kagongee Bang 😂
ngoma Kar sana kama unaipenda piga like
Ya kizaziii sanaaa
Ngoma kaliii knoma blooo
Hii ngoma mmetishaa hatar huku kitaa now kila inasikilizwa
ebwana badman katisha, video kali afu goma linaamsha, 💥💥
Ngoma kaliii brother
Tuliokuja after remix na shilole like hapa
Safi Saanaa
Wooow huo mdundo sio wa kitoto hatarii mabaharia 😁😁😁
Bad man on fire wauwe mzeee
Fiesta inakuhusu mkuu
Ngoma kali sana.Big up!
video iko poa sana kazan mdogo wangu ufike mbali
#milardayo #minaly ndo walionileta hapa.
Kazi nzuri ile laana, sema nini mzee baba, ipigie promo sasahivi iwe kama imetoka leo
Haya mabanger ndo yanatakiwa saiv...em leta yawe mengi mengi na promotion za kutosha .plus juhud na ubunifu ..lzma kieleweke mwamba .wahuni tuko pmj nawe......em twende kwenye usuparstar....
Mbeya city
hatariiiii kazi nzuriiii
umetisha jomba big up broooooh
no noumaaaaaaaa!! mmetusha wazeeee
me pia sijui,tisha sana boy.
Love it...... Do well my blood.