Obby Alpha- Hesabu (Lyrics)
HTML-код
- Опубликовано: 7 сен 2024
- Writer @ObbyAlpha
Producer @clickmaster_1
Lyrivs
Ninashuhudia
Nina
Verse 1
Kati ya watu walosherehekea birthday sikuwa kwenye hesabu.
Kati ya watu walopenda kufanya sherehe sikuwa kwenye hesabu.
Adhabu ya machozi mi nilistahili,Nililia sana na hawakujadili
Sikuvaavizuri na Wala sikujali,Akaja Mungu baba kabadirisha story
Sijajua kwanini kanipendelea sana ila nashukuru aisee
Wala sijasema Dua yangu nzuri sana ila nashukuru aisee
Bridge
Amen umenibariki Baba,
Ahsante umenikumbuka tena.
Amen umenibariki Baba,
Ahsante umenikumbuka tena.
Amen umenibariki Baba,
Ahsante umenikumbuka tena.
Chorus
Ahsante kwa hatua Moja
Ulonisogeza
Nami bila uwoga
Ninashuhudia
Kwa hatua Moja
Ulonisogeza
Nami bila uwoga
Ninashuhudia
Verse 2
Baba Sikumbukii huzuni nakuachia we,
Wala sijui ya nyuma nilopitia eeh
Maana kati ya watu walofanyiwaga surprise umeniweka kwenye hesabu
Kati ya watu ulopanga kuwainua umeniweka kwenye hesabu
Upendo wako kweli hauelezeki Yahweh
Umekuwa ngao katikati ya dhiki zile.
Bridge
Amen umenibariki Baba,
Ahsante umenikumbuka tena.
Amen umenibariki Baba,
Ahsante umenikumbuka tena.
Amen umenibariki Baba,
Ahsante umenikumbuka tena.
Chorus
Ahsante kwa hatua Moja
Ulonisogeza
Nami bila uwoga
Ninashuhudia
Kwa hatua Moja
Ulonisogeza
Nami bila uwoga
Ninashuhudia
Wapi likes za wageni kutoka Tiktok
Kaka OBBY yaani Mungu akubàriki tu mbaka watu washangae ,strong boy,mungu akueke kiwango kingine.❤❤❤
Amen bro nakukubali sana nyimbo zako zinanibariki sana I love you so much my brother ❤❤😘😘🥰🥰🥰🇺🇸
Mdogo wangu unatupia mawe mazito yakumuua goriati 🔥🔥🔥🔥
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa Prophet🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Barikiwa cn mtumishi
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
I like it bro kip shinning
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
Hesabu
Kwakweli Ahsante kwa hatua moja uliyonisogeza Na mim nashuhudia Blessed my big Boss
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
@@ObbyAlpha 👏👏
Yaani kaka Obby Alpha Wewe ni Mbarikiwa wa Bwana na baraka ya uimbaji Mungu amekutunuku sana!....by BENJAMIN DANIEL 🙏
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
Kaka obby hakika kupitia nyimbo zako wa2 2namuona mungu hakika mungu akusaidie ufike mbali Zaid cku moja ukafke mji ule unao stahili
Good songs brodher mungu abarik kaz za mikono yetu🙏
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
Nice song my broo ngoma kali sn
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
Be blessing brother kazi njema
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
Bro MUNGU azidi kukuinua viwango zaidi ya viwango 💯
Huu wimbo umegusa sana maisha yangu dah kaz nzur sana kaka😢😢🙏🙏
Ubarikiwe sana mtumishii
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
Jaman jamani Mungu Akubariki my brother hii nyimbo Tamu sana🙏🙏🙏
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
Barikiwa sana nimekuelewa
Mungu akubariki sana Mtumish 🤝
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
🔥🔥🔥🔥🔥🔥 ya Moto sna
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
Barikiwa sanaah
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
Kaka Amen 💯
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
Barikiwa sana
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
Hesabu❤
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
Go on young
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
❤ amazing song god blessed for your work
MUNGU aendelee kuku weka rtuzidi faidi matunda ya kazi yake kupitia kwako
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
Huu ni international song brother, hongera sanaaa.. Hesabuu
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
Barikiwa Alfa
Hongera
Poa sana bro 🙏
Nice work
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
Siraya is one of Tana talented artist that will fill music waves with smash hits.Big up broo
Be blessed more
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
Tuliorudi baada ya video kutoka like hapaa
Sikuwa kwenye hesabu🙌
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
Alafu
@@tecklerawino7248 Ndo akaniweka kwenye hesabu au hauelewi bado🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@ObbyAlpha Amen My Brother🙏🙏🙏
@@iambelnus aki wewe ,ukokwa hesabu usijali
nilikuwa naisubiri
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
Wimbo huu umenigusa kwenye kilindi cha moyo wangu kabisa Mungu wetu ni wa Baraka na Uzima na Neema...
Obby Mungu akubariki Bro zaid100%
Sikuwa kwenye hesabu😥!! Asante YESU kuniweka kwenye hesabu
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
Boss
Daah Yani kama Mungu angekua anangalia watu wenye vigezo fulani tu! Sisi wengine labda tungeshapotea kabisa.🤔 #Hesabu 🔥🔥🙌
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
Kama angesikiliza umbea wa watu tungeanfamia ,lakini asante
Amazing
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa ahsante kaka tuzo
Amen kaka
Amen 🙏
Mung akuinue
Nice
Hiwimbo imenitoa machozi
👏👏👏👏
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
Am blessed with your song
Hesabuuu😢😢😢😢😢
Our song is out daah GOD bless you br from zero to hero we can make.
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
❤❤❤
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
✊✊✊✊
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
@@ObbyAlpha Amen 🤝
🙏🙏🙏🙏
So deep 🙏🙏🙏
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
🙌
Trabalho lindo ! Deus o abençoe! Brasil !
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
May God bless you boss.Be blessed much
❤❤❤🙏
Good song my boi.. this soothes my heart everytime I listen to it 😢
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
Blessed Obby 🏆🏅
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
Same to you❤
❤🙏🙏
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa
Amen 🙏🏾
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa kaka producer
Ameen always am so blessed with u'r song🙏
Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa