Obby Alpha- Hesabu (Lyrics)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • Writer ‪@ObbyAlpha‬
    Producer ‪@clickmaster_1‬
    Lyrivs
    Ninashuhudia
    Nina
    Verse 1
    Kati ya watu walosherehekea birthday sikuwa kwenye hesabu.
    Kati ya watu walopenda kufanya sherehe sikuwa kwenye hesabu.
    Adhabu ya machozi mi nilistahili,Nililia sana na hawakujadili
    Sikuvaavizuri na Wala sikujali,Akaja Mungu baba kabadirisha story
    Sijajua kwanini kanipendelea sana ila nashukuru aisee
    Wala sijasema Dua yangu nzuri sana ila nashukuru aisee
    Bridge
    Amen umenibariki Baba,
    Ahsante umenikumbuka tena.
    Amen umenibariki Baba,
    Ahsante umenikumbuka tena.
    Amen umenibariki Baba,
    Ahsante umenikumbuka tena.
    Chorus
    Ahsante kwa hatua Moja
    Ulonisogeza
    Nami bila uwoga
    Ninashuhudia
    Kwa hatua Moja
    Ulonisogeza
    Nami bila uwoga
    Ninashuhudia
    Verse 2
    Baba Sikumbukii huzuni nakuachia we,
    Wala sijui ya nyuma nilopitia eeh
    Maana kati ya watu walofanyiwaga surprise umeniweka kwenye hesabu
    Kati ya watu ulopanga kuwainua umeniweka kwenye hesabu
    Upendo wako kweli hauelezeki Yahweh
    Umekuwa ngao katikati ya dhiki zile.
    Bridge
    Amen umenibariki Baba,
    Ahsante umenikumbuka tena.
    Amen umenibariki Baba,
    Ahsante umenikumbuka tena.
    Amen umenibariki Baba,
    Ahsante umenikumbuka tena.
    Chorus
    Ahsante kwa hatua Moja
    Ulonisogeza
    Nami bila uwoga
    Ninashuhudia
    Kwa hatua Moja
    Ulonisogeza
    Nami bila uwoga
    Ninashuhudia

Комментарии • 112

  • @MiriamSamuelke
    @MiriamSamuelke Год назад +5

    Wapi likes za wageni kutoka Tiktok

  • @tecklerawino7248
    @tecklerawino7248 Год назад +2

    Kaka OBBY yaani Mungu akubàriki tu mbaka watu washangae ,strong boy,mungu akueke kiwango kingine.❤❤❤

  • @animekay8395
    @animekay8395 9 месяцев назад +1

    Amen bro nakukubali sana nyimbo zako zinanibariki sana I love you so much my brother ❤❤😘😘🥰🥰🥰🇺🇸

  • @lwitikoasa6899
    @lwitikoasa6899 Год назад +2

    Mdogo wangu unatupia mawe mazito yakumuua goriati 🔥🔥🔥🔥

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa Prophet🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @yasintadavid1296
    @yasintadavid1296 Год назад +2

    Barikiwa cn mtumishi

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

  • @gladnessdeogratius2004
    @gladnessdeogratius2004 Год назад +2

    I like it bro kip shinning

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад +1

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

  • @joshuamwigowe1676
    @joshuamwigowe1676 Год назад +2

    Hesabu

  • @MWEMBAMBAWAYESU
    @MWEMBAMBAWAYESU Год назад +1

    Kwakweli Ahsante kwa hatua moja uliyonisogeza Na mim nashuhudia Blessed my big Boss

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад +2

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

    • @MWEMBAMBAWAYESU
      @MWEMBAMBAWAYESU Год назад

      @@ObbyAlpha 👏👏

  • @bd_nls
    @bd_nls Год назад +5

    Yaani kaka Obby Alpha Wewe ni Mbarikiwa wa Bwana na baraka ya uimbaji Mungu amekutunuku sana!....by BENJAMIN DANIEL 🙏

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад +1

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

  • @PeacefulTropicalSailboat-qo5dk
    @PeacefulTropicalSailboat-qo5dk 6 месяцев назад +1

    Kaka obby hakika kupitia nyimbo zako wa2 2namuona mungu hakika mungu akusaidie ufike mbali Zaid cku moja ukafke mji ule unao stahili

  • @PatriciaZella-fo7qw
    @PatriciaZella-fo7qw Год назад +2

    Good songs brodher mungu abarik kaz za mikono yetu🙏

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

  • @JofreyGalibondokaOfficial
    @JofreyGalibondokaOfficial Год назад +1

    Nice song my broo ngoma kali sn

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад +1

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

  • @sedekiakiza
    @sedekiakiza Год назад +1

    Be blessing brother kazi njema

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

  • @nadhiriblesin
    @nadhiriblesin Год назад

    Bro MUNGU azidi kukuinua viwango zaidi ya viwango 💯

  • @user-is3ku1xf5r
    @user-is3ku1xf5r Год назад +1

    Huu wimbo umegusa sana maisha yangu dah kaz nzur sana kaka😢😢🙏🙏

  • @DeoCosmas
    @DeoCosmas Год назад +1

    Ubarikiwe sana mtumishii

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

  • @georgedavid8358
    @georgedavid8358 Год назад +4

    Jaman jamani Mungu Akubariki my brother hii nyimbo Tamu sana🙏🙏🙏

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

  • @ElishaMwamfinga-wm8vl
    @ElishaMwamfinga-wm8vl Год назад

    Barikiwa sana nimekuelewa

  • @jakoboemanuelrobat9777
    @jakoboemanuelrobat9777 Год назад +2

    Mungu akubariki sana Mtumish 🤝

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

  • @emmansabu9300
    @emmansabu9300 Год назад +1

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥 ya Moto sna

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

  • @azizimjovela7066
    @azizimjovela7066 Год назад +1

    Barikiwa sanaah

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

  • @EazyBless
    @EazyBless Год назад +2

    Kaka Amen 💯

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

  • @joelmaige407
    @joelmaige407 Год назад +1

    Barikiwa sana

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

  • @ellyshermwasa6152
    @ellyshermwasa6152 Год назад +3

    Hesabu❤

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia7940 Год назад +1

    Go on young

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад +1

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

  • @ninsimadevotha223
    @ninsimadevotha223 9 месяцев назад

    ❤ amazing song god blessed for your work

  • @yasintadavid1296
    @yasintadavid1296 Год назад +1

    MUNGU aendelee kuku weka rtuzidi faidi matunda ya kazi yake kupitia kwako

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

  • @danymahona7855
    @danymahona7855 Год назад +3

    Huu ni international song brother, hongera sanaaa.. Hesabuu

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

  • @Farajamwakalinga
    @Farajamwakalinga Год назад

    Barikiwa Alfa

  • @PhiligencySeleman
    @PhiligencySeleman Год назад

    Hongera

  • @rocksamuel
    @rocksamuel Год назад

    Poa sana bro 🙏

  • @guitarist_zera
    @guitarist_zera Год назад +1

    Nice work

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

  • @bigbonndamr9872
    @bigbonndamr9872 3 месяца назад

    Siraya is one of Tana talented artist that will fill music waves with smash hits.Big up broo

  • @givensanga7799
    @givensanga7799 Год назад +4

    Be blessed more

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

  • @lusekelo97
    @lusekelo97 6 месяцев назад

    Tuliorudi baada ya video kutoka like hapaa

  • @iambelnus
    @iambelnus Год назад +3

    Sikuwa kwenye hesabu🙌

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад +3

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

    • @tecklerawino7248
      @tecklerawino7248 Год назад +3

      Alafu

    • @iambelnus
      @iambelnus Год назад +2

      @@tecklerawino7248 Ndo akaniweka kwenye hesabu au hauelewi bado🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @iambelnus
      @iambelnus Год назад +2

      @@ObbyAlpha Amen My Brother🙏🙏🙏

    • @tecklerawino7248
      @tecklerawino7248 Год назад +2

      @@iambelnus aki wewe ,ukokwa hesabu usijali

  • @johnsonwanyangachika1585
    @johnsonwanyangachika1585 Год назад +1

    nilikuwa naisubiri

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

  • @musabahegwa_official3381
    @musabahegwa_official3381 Год назад

    Wimbo huu umenigusa kwenye kilindi cha moyo wangu kabisa Mungu wetu ni wa Baraka na Uzima na Neema...
    Obby Mungu akubariki Bro zaid100%

  • @benardzacharia1172
    @benardzacharia1172 Год назад +1

    Sikuwa kwenye hesabu😥!! Asante YESU kuniweka kwenye hesabu

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

  • @Jamesnathan98
    @Jamesnathan98 Год назад

    Boss

  • @innondanshau
    @innondanshau Год назад +1

    Daah Yani kama Mungu angekua anangalia watu wenye vigezo fulani tu! Sisi wengine labda tungeshapotea kabisa.🤔 #Hesabu 🔥🔥🙌

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад +1

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

    • @tecklerawino7248
      @tecklerawino7248 Год назад

      Kama angesikiliza umbea wa watu tungeanfamia ,lakini asante

  • @ministertuzokyando
    @ministertuzokyando Год назад +2

    Amazing

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa ahsante kaka tuzo

  • @aronmvembezi4375
    @aronmvembezi4375 Год назад

    Amen kaka

  • @yvonnejoyce
    @yvonnejoyce Год назад

    Amen 🙏

  • @user-ub9kg6pj5q
    @user-ub9kg6pj5q 10 месяцев назад

    Mung akuinue

  • @nikolausmnanka9362
    @nikolausmnanka9362 6 месяцев назад +1

    Nice

    • @RisperKababy
      @RisperKababy 2 месяца назад

      Hiwimbo imenitoa machozi

  • @gellshamsimon3347
    @gellshamsimon3347 Год назад +1

    👏👏👏👏

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

  • @user-ju7if6pc6b
    @user-ju7if6pc6b 10 месяцев назад

    Am blessed with your song

  • @Modestyinnocent
    @Modestyinnocent Год назад

    Hesabuuu😢😢😢😢😢

  • @nolexkanyittahsuit
    @nolexkanyittahsuit Год назад +2

    Our song is out daah GOD bless you br from zero to hero we can make.

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

  • @manowamsenwa5831
    @manowamsenwa5831 Год назад +1

    ❤❤❤

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

  • @All_The_BestGospleMedia
    @All_The_BestGospleMedia Год назад +2

    ✊✊✊✊

  • @jugerulikira1698
    @jugerulikira1698 Год назад

    🙏🙏🙏🙏

  • @chrissdozee6122
    @chrissdozee6122 Год назад +1

    So deep 🙏🙏🙏

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

  • @johnmwasomola1195
    @johnmwasomola1195 Год назад

    🙌

  • @juliamaria778
    @juliamaria778 Год назад +3

    Trabalho lindo ! Deus o abençoe! Brasil !

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      May God bless you boss.Be blessed much

  • @claudiamalange6214
    @claudiamalange6214 9 месяцев назад

    ❤❤❤🙏

  • @ibrahgee1
    @ibrahgee1 Год назад +2

    Good song my boi.. this soothes my heart everytime I listen to it 😢

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

  • @samwelgodwinofficial
    @samwelgodwinofficial Год назад +2

    Blessed Obby 🏆🏅

  • @lameckrogers5304
    @lameckrogers5304 Год назад +1

    ❤🙏🙏

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

  • @clickmaster_1
    @clickmaster_1 Год назад +2

    Amen 🙏🏾

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa kaka producer

  • @vailethsteven3488
    @vailethsteven3488 Год назад +2

    Ameen always am so blessed with u'r song🙏

    • @ObbyAlpha
      @ObbyAlpha  Год назад

      Mungu akubariki sana kwa huu upendo.Ahsante sanaa

  • @kelvinkamaish4182
    @kelvinkamaish4182 Год назад