Vizuizi vyawekwa barabarani katika mipaka ya jiji la Nairobi
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2025
- Kuwekwa kwa vizuizi vya barabarani katika mipaka ya jiji la Nairobi kumesababisha mahangaiko kwa wale ambao walidhani wangekwepa vizuizi hivyo kupitia njia za mkato huku wengi walijaribu kutembea kwa miguu kuona iwapo wangeingia jijini na wengine kujaribu kupitia mashambani.
''Kizuizi ndikyo kile pale'' 🤣🤣🤣🤣mask effects
😂😂😂. I heard that
@@ciku-ciku7194 we heard it live n' direct🤣🤣🤣🤣
ken_ waqca ngeli manenos
@@ciku-ciku7194 ngeli ya nd-kyo
😂 Amenimaliza nguvu 😂
Warudi hk hk kwao kakamega hao ndio vichwa vigumu kwani hawakusikia hakuna kwenda popote serikali iwarudishe kakamega mpaka ugonjwa uwishe ndio wasafiri
Please tell that mama ya kwamba the mask inafaa kufunika hadi mapua
😷
For real😷😷😷it's like some don't know the importance of it
🤣🤣🤣
Some are just putting it on because other people do or because the government said so
I thought was the only one who noticed😱
Kenyans stay at home. Obedience is key lakini this time hakuna mchezo.... hizi tabia zetu tutakoma. Mombasa mtaenda baadaye.
Sì msikize vile serikali unasema huu ungojwa si mchezo
Haelewi watakiona chenye tumeona ltaly ni mungu tu then hawafuniki mapua wooi huyo mama ni wa mwambie
Watu hawasikii maneno nawakigojeka niivo wanakufa kila mutu kiviake, mutu a safe maisha yake mwenyewe c ya serikari Ana safe, alaa
Nawahurumia abiria hawa waloikwama na kukosa kuendelea na safari yao hadi Mombasa. Mambo wanayopitia ni kinyume cha haki zao za kibinadamu na sababu zangu ni kama zifuatazo....
1. Ilani iliyotolewa na Rais na kutekelezwa na vitengo vya serikali haikutilia manani wasafiri waliokuwa njiani wakiendelea na safari zao.
2. Ilani haikupeana muda wa RAIA kujipanga maana kwa kweli maisha ya wananchi hayatasimama sababu ya janga hili,na zaidi tukizingatia hadi sasa biashara na viwanda vingi vimefungwa,wakenya wanapitia changamoto mbalimbali kiuchumi na serikali haijakua na mipango maalum kuwasaidia RAIA isipokua kutoa makataa na maelezo.
3. Nalaumu vikali kampuni ya usafiri ya COAST BUS kwa kuwadhalilisha wateja wake. Kampuni hiyo ilikua na muda wakutosha kuwapelekea abiria hao basi mbadala isipokua utepetevu wa wahusika wa kampuni hiyo ndiyo haukuzingatia changamoto iwapo masaa ya makataa yatawadia kabla bus kuondoka.
4. Binafsi naongea kama mteja mwaminifu wa kampuni ya usafiri ya COAST BUS aliyeamua kuihama kampuni hiyo baada ya kukumbwa na visa vya aina hii mara kadhaa.
Subhanallah mwenyezi mungu tuhurumie ss waja wako
Ameen yarabi
Rudini kwenu mulipotoka kwa usalama wenu na familia zenu coz umetoka homabay huwezi kujua umebeba maradhi au laa
Tukiongea Kama binadamu wale wenye bus wanafaa kuachiliwa waende.watakaa hapo paka lini?awaezi rundi Nairobi,awaezi enda mombsa jameni tumuongope Mungu tu do hata akaeeze kutusamehe.hai!
Eti serikali tusaidie, jameni mmeambiwa mkae nyumbani.Kaeni nyumbani!
Eti tunaendelea kukupashaaa maeeeyee sema tunaendelea kukujuzaaa msenge
Mnaenda wapi??wakenya jamani mnapenda kusukumwa kama ng'ombe
NGOmbe tupu
Na regret kukaa na watu wenye hawana adabu wakenya mutafanyiwa nn ndiyo musikiee mnanibol
Si uhame!
namgebaki hapo mana amsikii sana mnajifanya vichwamaji
Which part of “STAY HOME” do people don’t understand. The entire country was asked to stay home. Burdening the government with this kind of behavior will only result to a total lockdown.
People have families and they have to provide and feed them .....what part incompetent government don't you understand.....
This is the time we need an authoritative government. Watu wakae kwenye wako. Wenye wanashinda manyumbani hawajakosa mahali pa kwenda. We won't fight this disease with people being so ignorant. Wacha wakae hapo for 21days if need be.
😂😂😂😂😂😂itabidi tucheke mama omba kabisa
Polen sana
hiyo mask imavaliwa aje? mapua yote inje? aki izi vitu ni za wazungu aki.
Can the government guide many Kenyans on the right way to put on mask. This woman is still exposed to the virus 😷.
Mnasema county kama ni ya kwenu you own it
Kenya tufwate sheria aki
Tumeteseka ya kutooosaaaa ,tusaidiwaaaa na serikali yetu
For your own safety tulieni penye mko,huy c wakati wa usafiri,hili janga litapita,but jitunze lisipite na wewe,usalama wako unaanza na wewe mwenyewe,jichunge.
Watu hawasikiagi ndio maana Adam kaambiwa asile tunda but bado kichwa ngumu...Adam nkama alikua wa *Kenya*
Shida ya wanadamu masikio tunayo lakini hatutumii, macho tunayo lakini hatutumii,
mariam kitekh wewe nimukubufu xan
Mkipigwa mwalum pole.wakenya wachen dharau,mwaenda Mombasa kufanya nn rudin bara muishi huko hatuwataki Mombasa.
Senior GOVT OFFICIALS should sort isolated cases.
Let's make counties like states. Boundaries and strict procedures ukitaka kuvuka. Development iwe ndio issues...
Hawa watu jameni watasababisha total lockdown
Aug Musa kimpango na unajua lockdown lazima serikali igharamike kupea watu food
@@muthoniwanguindigirigi9790 ngava hawawezi kutusort hafadhali tuzingatie tu masharti
Aug Musa ukweli for our own safety.
Wakenya mwataka kupingiwa kingele ama nini...! stay at home na ukivaa mask funika paka mapua
Mlipigwa magongo lakini hamkomi
They can't go back to Kakamega, they can't continue their journey to Mombasa and they can't spend another night on the way!! Such long journeys could be given a day or 2 before such restrictions are made... Not everybody could afford to pay a train ticket from Nairobi to Mombasa.
True
Musijee mombasa please murudii ukoo kwenu president ashasema Jana..
Wakae Tu huko
Let them stay there until curfew and lockdown iishe
where were they going to and they know about corona virus🤔🤔🤔🤔nini mbaya na wakenya jameni😂this is sad🤐🙄
Ndikyo kile pale. Woi Hassanii
Hapa n noma
Wakenya hata wakatazwe aje hawawez sikia wataka confirmation
Giving people notice is like the
Start of a race...Usain bolt would have seen miracles😂😂 records broken,broken limbs...all in a mad dash to shags...prezzo anatujua..wakenya ni wale wale..
A
😂😂
Wakenya ni vichwa ngumu kweri
Kweli
Moi said so 😂
😅😅😅😅
Mama anataka kukula tu
Wakenya tutii sheria mbona hatuskii yawa
Wacha wakufe wako na vichwa!
Sio kila mtu anaishi maisha Kama yako brother.
@@njndox7252 walitoka jana asubuhi. Mmeskiza kweli ama mnarant?
@@erickjuma7643 hakuna mwenye ame mention maisha hapa kaka nikutii sheria tuokoe maisha yako na yangu nayawengine iko nn
@@ruthanaya1225 jibambe na sheria.
Munaenda kufanya nini mombasa???
Walisikia joho atapena chakula cha msaada
@@haupikikimfupa8322 hahahahahah
Watakoma na watajua pwani ndo kitovu cha kenya
Hatakama wanatutharau
Kwani unapumua na mdomo
Oh God people never hear in this country..it's like they aren't educated..where were you going n the government said well you stay at home🙄🙄🙄
We said you stay at home...
To citizen tv reporters please use boom stick in order to keep the required distance
Uhuru angetoa kaa siku tatu jamani
Ningeomba serikali ingepeana warnings ,kwamba Hari zote zitafungwa like kesho yake but not where u fill like closing u lockdown not minding there are some on their way
Let those in bus go be human
Fungueni jamani saudia washa fungua
Hujambo It is 'STAY AT HOME' nini haileweki hapo .why are (were) people traveling at the first place . umetoka homabay, ukaenda kisumu sasa unaelekea mombasa corona haina miguu watu ndo wanaisambaza .
Coast bus fake kabisa.. Sitawai sahau
Warengeshwe kwao hao hatuwataki mombasa
Nawgonjwa wakitumwa nrb 4 specialist care?wakufie kwao?
The problem with my Kenyan's, they don't hear. 'Stay at home'. A'm in UK ad we are lockdown 1mnths now. This virus is very dangerious!!!
Hujambo.... Hujambo
Wakenya wanasumbua sana
Ati kizuizi ndikyo kile🤣
heheeheh
Edwin Wanjohi 🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Please understand..
If the bus they were using got problems, what should i have done? They had started their journey before the law was passed yesterday afternoon. We have to think like human beings...
Kidogo utaskia boda bodas are banned.
SASA HUYO MAMA AMEVAA NINI?? KANA PUWA HAJAUFUNIKA DAH NI ANGETOA HIYO MASK HAIMA FAIDA MANA KAMA KUNAMTU MGONJWA KWA HIYO BASI ASHAPATA
Mliambiwa mkae nyumbani na hamskii
Maskio watu hawana!
Mbona watu kusikia imekuwa ngumu? Washinde hapo ndio watie akili
Unaelewa kwamba safari yao ilianza kabla raisi kupeana maagizo haya mapya?
Poleni
Hawa hawana makosa wala Rais hana makosa pia, ni tusaidiane tu. These ones didn't know that there was going to be a lockdown and the president made this sudden decision to avoid careless movements.
Kuna radio na cell phones.
nivizuri kuwaza jambo kwaundani kabla kuzungumza kaka. safari yao ilianza kwa hali ya kawaida, gari ikaharibikia njiani sasa waonivichwangumu kivipi? hawaezi endelea na safari wala hawaezi ruhusiwa kurudi walikotoka mipaka imefungwa. sasa wana makosa gani. kuwa jambo gumu halijakupata leo usiwembinafsi kiasi yakuto wajali kwa matamshi maanake yakwako injiani msaada utaomba tu.
How comes news reporter can not advice the lady that her mask its not protecting her.....thats so wrong mind about the public and educate them
Watu pia waache kua vichwa ngumu rais alisema effective at 7pm sasa si hamjui
people are trying to survive with no income, stop mockery
Can someone teach this woman on how to where a mask surely cover your nose
😂😂😂😂haoni vile wengine wamevaa? 😂😅😅😅😅😅😅😅😅
🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Its Lukenya in Machakos county not Kajiado
Hawa majournalist huokotwa wapi?
Machakos county between day star university ad junction chumvi
Hakuna kupita rudini kwenu
Mnatangatanga nini na mliambiwa mkae nyumbani? Some Kenyans have ears but don’t hear. Stay home or near home
Stay at home hear wot the gvt is saying, watu wanakuaga mang'aa sana
Jamani mbona hamsikii
Wuuuuiiiii teach this lady how to put mask.cover nose also
Let those in the bus go
Polisi lakini
Kenyans Hawawezi sikia, ata Lori ya mafuta ikianguka huvujana wakieda kuchota, wanakufia apo, so colona wa naona not a big deal
Na si mtakufa? Wacha tu!
Wakenya wako pia na ka UJINGA flani but shida pia ni lack of information. Yani hawana habari kamili ni nini inaendelea ITALY🇮🇹 SPAIN 🇪🇸 USA 🇺🇸 IRAN 🇮🇷 na CHINA 🇨🇳. Kama wangekua na habari kamili mtu hata hangeambiwa akae nyumbani yeye mwenyewe angejifungia kwa nyumba
Ndio mko secious wakati huu ugonjwa mshauleta nyie na ndege kuland
It's painful but necessary.
"NDIKYO KILE"- ndico kile.. 0:35
Ndicho
Lumber umenotice😂😂Kiswahili kweli kina wenyewe
Ndikyo kile😅😅😅😅😅
Kenyans will never listened,, wajinga nyinyi
Siwachape hao bodaboda
Wewe mishi ulishawai chapwa n polisi au unasema tu
I hope wameachiliwa juu Mombasa lockdown starts tomorrow
Wakenya mnakibul sn
Rudini na mkae nyumbani.
The government should ban all movement from within. Government to put 24 hrs curfew to the lock down counties so that cat and mouse game should stop. People are not serious this is playing games with death. If majority have a challenge in buying protection gears will they afford a ventilator when they get infected in masses?
Jesus
Aki kenya inakuanga na drama khai
SASA BASI ZA NINI SI WANGEFUNGA MAGARI YOOOOOOTE MWADANYA MCHEZO NA HUU UGONJWA KAMA ULAYA IMEWASHINDA KENYA MTAUWEZA
Wakenya na vichwa ngumu Sasa wanasema hawakuskia prezo akisema
Wanataka wachapwe waseme polisi ni wabaya
@@thevineyard7149 yea and the best thing to do now is to stay at home.... Hawatakufa njaa
Prezo ametangaza kama already wanasafiri kwani Tena nyinyi hamuelewi vp
@eunice,purity na wengineo wanaotazama kisa hiki kwa jicho la ubinafsi bila kuzingatia haki za kibinadamu na umbali abiria hawa walikotoka.....nawakumbusha haya,
1. Serikali haikusitisha safari za ndege ghafula bali ilipeana muda. Kwanini jambo hili halikufanyika ili kuzuia kuwadhalilisha waliokua safarini....
2. Tuna sheria katika nchi hii na inapaswa kulinda RAIA wote bila ubaguzi.Makataa aliyotoa Rais sio sheria bali muongozo kutusaidia kupambana na hili janga na ni kama kujaribu kushika upepo upitao. Hivyo sio sawa kuwadhalilisha wasafiri kama hawa ambao muongozo huu umewapata wakiwa safarini.
This is without notice,why?The curfew was not planned well.
The curfew is meant to curb the spread of a virus...will you also give the virus notice to stop spreading?
@@musyokadavid778 sawa wacha Mungu atupe ufumilifu
@@marymutavi5446 kwa sasa unafaa kuwa ukimwambia atupe njia ya kupigana na corona
Si warudi tu kwenye walitoka 21 day's si mob ztaisha tu
Si rahisi hivo. Kama job yako iko Nairobi? Watu wanakutegemea.
unakusudia watarudi vipi? wakirudi waiyaki road block ipo pia hawata ruhusiwa kupita
@@mcenroemusyoki before watoke kwenye walikua hawakuskia announcement kwani
acha kiherehere
Madam, from Homa Bay to Nairobi is not like from Machakos to Nairobi. It takes more than 8 hours by bus. Remember, the bus broke down just before crossing Nairobi, otherwise they were on course.
WHY ARE THEY TRAVELLING??? HAMUNA MASKIO😡😡😡😡
maybe they're travelling for business...plus the ban was announced while they were already travelling..i think its fare if there are just released,maybe they're starving
Go home or stay home
Plz go back
Nyinyi wabara lazima mje pwan
Nashangaa
@@thevineyard7149 washanga naona hujuwi wale ni wakenya na wako na shida,ukona Roho ngumu tuwaombe mungu awatole njia ya kufika majumbani,,mungu awasaidie