Bahati Bukuku Songa Mbele Song

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 441

  • @kwilasajunior5367
    @kwilasajunior5367 10 месяцев назад +55

    2012 to 2024 bado Niko kusikiliza hii nyimbo 🎉🎉🎉

    • @FrolaRobinson
      @FrolaRobinson 10 месяцев назад +4

      Ni hakika unapoanza safari utatiwa moyo but...

    • @MussaHojaji
      @MussaHojaji 9 месяцев назад +2

      Kabisa ndugu❤🎉

    • @MmMm-tt1wi
      @MmMm-tt1wi Месяц назад

      Mimi nilikuwa na miaka 6 hata chekechea sijaanza lkn huu wimbo naupenda niliuona kwenye bs 2017 nipo la 4 tangia hapo nikaaupenda lkn na mshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai nampenda sana Mungu 🙏🙏🙏

  • @sylvanussebastian6209
    @sylvanussebastian6209 5 лет назад +29

    Kwa miaka mingi huu wimbo umeendelea kuwa mfariji mkubwa katika maisha yangu ya kiroho na hata kimwili pia 2020 nani tuko pamoja?

  • @AfricanAdventureSafari
    @AfricanAdventureSafari Месяц назад +7

    Tulio anza mwaka 2025 na wimbo huu tujuane hapa 🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @Gerishomokonda
    @Gerishomokonda 7 лет назад +43

    Wimbo Hui unitia moyo,,, nisitizame chuki ya watu katika safari yangu. Mungu aliyenipa kazi hii ndie Ngome yangu.

  • @casineobote9989
    @casineobote9989 7 лет назад +26

    unapoinza safari unatiwa moyo🙋unapoonyesha mafanikio waliinua vigwazo🙌 maaana si wote walifurahia ule ushindi wakoooooo.💪💪maaaaadui ni wengi katika kazi yakooooo🙌🙌🙌🙌🙌

  • @janegeogre3234
    @janegeogre3234 5 лет назад +7

    Huu wimbo umebeba nguvu kubwa sana ya uponyaji pale unapokata tamaa pls never give up!... simama na Mungu usimtazame mwanadamu! maana msemaji wa mwisho ju ya maisha yako ni mwanadamu

  • @YvesElimuNtayira
    @YvesElimuNtayira 8 месяцев назад +7

    Napo sikiliza wimbo huu natiliwa ngufu na mafariji. Ubarikiwe sana wewe uliye uyiimba. Toka congo goma

  • @mariaisrarl2880
    @mariaisrarl2880 9 лет назад +16

    Mungu azidi kuwabariki waimbaji wote kwa kazi kubwa wanayoendelea kufanya maana kweli watu wanapata uponyaji kupitia nyimbo hizi, la mwisho ni kuzidi kuwapa MOYO mzidi kumtumikia MUNGU kwa nguvu zenu zote na kwa kila kitu, lakini usiwe uhimbaji wa kutafuta sifa za wanadu bali uhimbaji wa kumsifu MUNGU.asanteni sana kwa kazi kubwa mnayo ifanya Mungu azidi kuwafanikisha katika mahono yenu na maitaji pia.

  • @ukwelinauwazi5523
    @ukwelinauwazi5523 4 года назад +16

    Tupo 2020 ila bado ujumbe wa nyimbo hii unaishi in jesus name hakika yote tutayashinda.......JESUS IS LORD 🙏

  • @younghustler5530
    @younghustler5530 7 лет назад +43

    for me she is my all time best gospel singer especially this song.i try my best to find my GOD

  • @johnmachele509
    @johnmachele509 6 лет назад +31

    She has one of the most powerful voices have ever heard. Beautiful

  • @casineobote9989
    @casineobote9989 8 лет назад +32

    Alipoinza safari weee walimtia moyoooo Alipoonyesha mafanikiooooo waliinua vikwaaazo🙌.na wengineeeeeeeee W alisema asulubiweeee.huyo ni yesu mwana wa mungu wanadamu walimusulubishaaaaaa🙏

    • @casineobote9989
      @casineobote9989 8 лет назад +5

      lakini soooooonga mbeleee weeeee. usitazame wingi wa adui zako🙌.nasema sooooooonga mbele weeeeeeee ukilisoma neno lake munguuu.

    • @casineobote9989
      @casineobote9989 8 лет назад +3

      kinachokupasa wewe usiangalie wanadamu. kinachokupasa wewe usiangalie adui zakoooo

    • @aminaflorida5148
      @aminaflorida5148 7 лет назад +1

      Casine Obote s pop+0

    • @aminaflorida5148
      @aminaflorida5148 7 лет назад +1

      Casine Obote

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 5 лет назад +1

      Haha kasine tulikuwa tunaipendaga hii nyimbo hadi mama na best yangu alikuwa muislam halima Lakin alikuwa anaipendaga

  • @andrelubachaasende4136
    @andrelubachaasende4136 4 года назад +6

    Ubarikiwe ndugu kwa ujumbe mzuri kwetu

  • @halifahamimu9545
    @halifahamimu9545 7 лет назад +7

    Nampenda sana bukuku kwa kazi zake mungu ambariki aeendelee kufanya kazi mirere na mirerw

  • @MnyangaraPetymoria
    @MnyangaraPetymoria 9 месяцев назад +4

    Hapa bahat aliimba kiukwel ndiyo tunayoyapitia katik maisha ubarikiwe san mam bahati

  • @mallijuliet7562
    @mallijuliet7562 4 года назад +12

    My number one gospel singer ever. Much love from Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬

  • @AnordErio
    @AnordErio 9 месяцев назад +20

    2024 nyimbo bora wakati wote 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @kashindidaniel7092
    @kashindidaniel7092 10 лет назад +6

    Ni kweli una wenza juwa uyo ndo rafiki wakweli kumbe niadui mungu azidi kukubariki sana mtumishi wa mungu unfikiri uyo ndo best friend kumbe Adui wakwanza

  • @kigamwa1
    @kigamwa1 9 лет назад +31

    Bahati has a gifted voice, and her music has the amazing capacity to move something deep within one's soul.

  • @rajabkafuta3385
    @rajabkafuta3385 9 лет назад +6

    wimbo huu wanipa mwlekeo mpya niuskizapo..kazi njema

  • @casineobote9989
    @casineobote9989 7 лет назад +19

    maaadui ni wengi eeeeeh katika kazi yako🙋 maaaadui ni wengi weeeee katika ndoa yako 🙋 huwezi kuwatambua kwa kuwatazama kwa macho 🙋kuna wengine watakutia moyoooo kuna wengine watakuvunza moyooo mana si wote walifurahia mafanikio yakoo🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌kinachokupasa wewe usiangalie wanadamu. kinachikupasa wewe usiangalie wingi wa maadui🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @freshdenever0311
    @freshdenever0311 9 лет назад +11

    Napenda ii mimbo sana Mungu a barikiwe Love this song :)

  • @everlynemiriam5943
    @everlynemiriam5943 4 года назад +5

    Wow I love n like ur longtime song ziko na message kwa watu keep it up mumy

  • @thekiokoofficial6527
    @thekiokoofficial6527 3 года назад +5

    Hey mum
    Mungu alianza na wewe toka mbali
    You're blessed

  • @maryanneomoyo6070
    @maryanneomoyo6070 6 лет назад +13

    Whenever I feel so low this is the song I go for,,,makes me so close to God thank you Bahati Bukuku

  • @kadekade___cor
    @kadekade___cor 9 месяцев назад +4

    MUNGU mwenyezi naomba uzidi kunipa nguvu ya kusonga mbele zaidi na zaidi katika maisha yangu ya kiroho na kimwili huku nikizidi kukutumaini hadi mwisho wa safari yangu hapa Dunia# songa mbele

  • @haroldsolochi8224
    @haroldsolochi8224 7 лет назад +9

    God bless u woman of God u have continued blessing us with your music.

  • @casineobote9989
    @casineobote9989 7 лет назад +11

    kuna wengine walimchoma mkuki🙋 kuna wengine waliomlilia🙋 na wengineeeeee walisema asulubiweee🙋 huyo ni yesu mwana wa mungu 🙌wanadamu walimusulubishaaaaa🙌

  • @ndayisengafrorence4396
    @ndayisengafrorence4396 7 лет назад +7

    Maaduwi niwengi kuliko marafiki kwel ubarikiwe paka ushangaye wimbo uyu uwasichokagi kuusikiliza 🙏🙏

  • @condell258
    @condell258 8 лет назад +5

    I am encouraged B'. God Bless

  • @dicksonmchapod6596
    @dicksonmchapod6596 5 лет назад +1

    Nyimbo nzuri Sana inanifanya Sana na kuendelea kusonga mbele Amina bahati bukuku mungu akubaliki sana

  • @onorineniyibitanga3486
    @onorineniyibitanga3486 10 лет назад +2

    I enjoy listening all songs sister Bahati Bukuku.I never get bored for sure just keep on working with God Kiukweli. apana kutumika na Mungu Kiuongo kama Rose Muhando anayo yafanya yakihuuni yakishetani yaki Fremason yaani yeye nachukia😠😯😯 mno, kabisaa Mungu asikiye.God🙏🙌 will always with u.Amen.

  • @TiktokTiktok-uw6wf
    @TiktokTiktok-uw6wf 5 лет назад +4

    Great...great....Bahat Bukuku the singer of all the time....powerfull message and strong one
    .....hongera sana Bahati Bukuku.

  • @mwesigwakamara4786
    @mwesigwakamara4786 4 года назад +1

    Wimbo nzuri sana, nikweli watu wadunia siwote wafuraiya kufanyikiwa kwako Mungu ndiyo anafuraiya. Mungu akubariki Bukuku.

  • @SarahJohnson-co1ve
    @SarahJohnson-co1ve 2 года назад +10

    This song was my anthem in2008 as l was planning my wedding

  • @josephmungai1982
    @josephmungai1982 3 года назад +5

    Bahati , Truly we are happy , delighted for our most high God for gifting our beloved sister with abundant preaching and praise songs that remind us of our spiritual wellness.

  • @johnmachele509
    @johnmachele509 6 лет назад +8

    This song is so powerful, it makes you rise up no matter how down you are. I like it. She is one of my best gospel singer... be bleesed Bahati kazi yako ni njema.

  • @LUNGWEISAYA
    @LUNGWEISAYA 7 месяцев назад +1

    Huwimbo unanikumbusha m ali sana na unanihamasisha sana niskate tama kimtafta mung na kimaisha pia jaman mungu yupo sikiliza huwimbo alaf ufikilie niwap umetoka na saiz ukoje MUNGU AWE NAS ❤

  • @suzandavid2096
    @suzandavid2096 3 года назад +3

    Amen ! Kinachonipasa usiangalie wanadamu bali mungu. Songa mbele

  • @danielchimweli8580
    @danielchimweli8580 12 лет назад +5

    DANIEL CHIMWELI.
    Surely Bahati, this song touches spiritually, it gives hope. not all men do feel happy of your promotion ,marriage but they show you their white bones while full of envy .never concentrate to them aim higher and a head.. ukunda mombasa kenya we are blessed with your songs mama.

  • @VyamunguEvariste
    @VyamunguEvariste Год назад +1

    Wanadamu ndivyo tulivyo, wimbo mzuri. Ila Mungu ndiye tunayemtegemea. Wimbo unaonekana unapotea ukiwa n'a maudhui muhimu kweli

  • @altonkanjolonga2380
    @altonkanjolonga2380 2 года назад +7

    It's among of my best gospel song ever.

  • @idaroselle4755
    @idaroselle4755 4 года назад +1

    Mama bahati bukuku katana kabisa Mungu akupe nyimbo zingine dada napendaka yimbo zako

  • @flavianaonorati3682
    @flavianaonorati3682 9 лет назад +4

    mungu akubariki sanaaaaa and Nice song

  • @casineobote9989
    @casineobote9989 7 лет назад +9

    Alipoingia Jerusalem walimwita mbarikiwaaaa🙋 alipofika gaigota wakasema asulubiweee 🙋

  • @elizabethngindo1826
    @elizabethngindo1826 7 лет назад +4

    ni kweli unapoanza safari ni wengi watakutia moyo lakini ukionyesha nia wataanza kuweka vikwazo cha muhimu ni kumtazama mungu na sio binadamu

  • @victormoshi001
    @victormoshi001 5 лет назад +6

    Mungu ni saidie kusonga mbele mwaka huu 2019 changa moto zimekua nyingi ila Mungu wangu nakutazama wewe tu

  • @myllesstyllermyllesstyller9071
    @myllesstyllermyllesstyller9071 Год назад +1

    😢 nomaa snaa mungu atulinde tuu

  • @limbumasuke8254
    @limbumasuke8254 2 года назад +9

    Through this massage,I feel comfortable at the time of deep pain

  • @BerkimaceNdatimana
    @BerkimaceNdatimana Год назад +1

    merci beaucoup maman nyimbo walipofika jerusalem inanibariki sana

  • @theekisiidoll8620
    @theekisiidoll8620 3 года назад +8

    Old is gold this song is still on 🔥🔥 infact gospel haitawai Isha fashion.i love this song 🙌

  • @mbulacaroline1724
    @mbulacaroline1724 Год назад +1

    Wah,na enyewe watu utoka far,Our God is Soo faithful

  • @heureusebirhashwirwa1447
    @heureusebirhashwirwa1447 12 лет назад +3

    merci beacoup de poster cette chanson'que Dieu seracle toujours la gorge de la soeur B.Bukuku.

  • @fredygodfrey3676
    @fredygodfrey3676 6 лет назад +5

    Ubarikiwe Mtumishi such courageous song

  • @agneslyoba3636
    @agneslyoba3636 7 лет назад +3

    Dada Bahat huwa unaugusa sana moyo wangu napenda sana nyimbo zako Barikiwa sana mumy

  • @michaelngowi9604
    @michaelngowi9604 9 лет назад +22

    sure..maadui ni wengi la msingi kusimama na YESU.

    • @fidelalex2914
      @fidelalex2914 5 лет назад +1

      Nikwer sana kaka.ila ndivo wanadam tulivo

  • @VictorOrayo-lu1ny
    @VictorOrayo-lu1ny Год назад +1

    Wah,, Bukuku utatuimbia tukifika Juu binguni,golden voice

  • @jumanneyoyo5269
    @jumanneyoyo5269 10 лет назад +10

    Yote mapito lakin wimbo una ujumbe na umeakisi maisha ya walio wengi.ubarikiwe dada.

  • @josiahkazenga4391
    @josiahkazenga4391 Год назад +1

    Mungu akubariki saana BAHATI BUKUKU wimbo huu hunipa faraja!!

  • @ochoggia
    @ochoggia 11 лет назад +4

    This year the Safaricom tour must include Bahati and Bonny,na si tafadhali! God bless you Bahati,such a strong and inspiring song,just when i needed it!

  • @engeneerhappy1691
    @engeneerhappy1691 6 лет назад +8

    achen Mungu aitwe Mungu jaman the song heal me very much

  • @noelahkiprop5363
    @noelahkiprop5363 8 лет назад +7

    God bless you sister Bahati for serving God through singing. I love listening to your songs.

  • @zabronadamsony870
    @zabronadamsony870 Год назад +8

    wimboo umekuaa na matumain makubwa kwangu mpaka leo 2023

  • @agnesmbone231
    @agnesmbone231 2 года назад +4

    When am low i listen to this song.God bless you mum

  • @stecybeib8030
    @stecybeib8030 6 лет назад +3

    Be blessed bahati.it's true Maadui ni wengi wasiopenda mtu afanikiwe

  • @novativizito8425
    @novativizito8425 5 лет назад +4

    Thank you my sistr bukuku,let this song the way it bless me,you also

  • @jannetwakwanza9539
    @jannetwakwanza9539 9 лет назад +8

    i love this song alot God bless u sister Bahati

  • @Kimsay929
    @Kimsay929 2 года назад +5

    You cant tell me your soul never resonates when you listen to those guitar chords

  • @giftmfune527
    @giftmfune527 7 лет назад +11

    Though i don't understand the song, the way it has been played gives a lift to my soul.

  • @mariammakuya
    @mariammakuya 2 года назад +1

    Naipenda sana hii nyimbo kwani unifaliji jinapo kua na magumu I love you song

  • @seranamumba2872
    @seranamumba2872 7 лет назад +5

    God will continue using you! Amen i love this song so much but I don't understand it so much.

  • @veronicawaithera9358
    @veronicawaithera9358 11 лет назад +3

    My best song from Bahat i so love this song.it encouraged so much when i was going through a hard time at work....songa mbele ukimtazama bwana Yesu.God bless you woman of God

  • @claudenkumbuyinka9445
    @claudenkumbuyinka9445 7 лет назад +6

    Nzuri Sana
    Nakupenda Sana mama!!!

  • @ephraimkingdom8295
    @ephraimkingdom8295 6 лет назад +5

    Nyimbo zako zinabariki sana wana wa Mungu,ubarikiwe sana,Mungu akupe neema ya kuendelea kumtumikia

  • @beatricemukoya2899
    @beatricemukoya2899 4 месяца назад

    Mungu akubariki Sana dada,umebariki wengi,nikiwa mmoja wao.

  • @florabenedict2984
    @florabenedict2984 8 лет назад +6

    God be with you always. you have a blessed voice. love you more!

  • @eunicekatimbo3369
    @eunicekatimbo3369 4 месяца назад

    2024 ad still blessed with this powerful msg, all the glory be to God Almighty 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @charlestaban
    @charlestaban 12 лет назад +9

    This is the first song of Bahati Bukuku that I loved so much during my 4 years in Tanzania.

  • @neemacharles7089
    @neemacharles7089 7 лет назад +4

    I never tired to hear this song i get courage of moving on without people assistance

  • @wearephiladelphia
    @wearephiladelphia 8 лет назад +11

    2017, still a favorite and never stop listening to this wonderful song.

  • @eunicewavinya244
    @eunicewavinya244 7 лет назад +4

    Surely enemies are many than friends...my sister ua singing my testimony 😅😅😅

  • @andrew29468
    @andrew29468 11 лет назад +3

    be blessed my dada,very very gud song

  • @williamsnkulu7875
    @williamsnkulu7875 Год назад

    This is the blessed song for this year 2023 in my life. May God bless you sister Bahati Bukuku ❤❤❤❤❤

  • @RosetteMaarashi
    @RosetteMaarashi 4 месяца назад +1

    Tunawo angaliya 2024 tu juwane kwa like🎉🎉🎉🎉🙏🙏🙏🙏🙏

  • @maureenochido3750
    @maureenochido3750 6 лет назад +1

    God bless you Mum. Jesus Christ is the only true friend!

  • @rennymichael48
    @rennymichael48 11 лет назад +8

    Inspiring big love your music...b blessd siz..

  • @engeneerhappy1691
    @engeneerhappy1691 6 лет назад +1

    acha wanadamu wayaone madhaifu yako lakin Mungu anajidhihirisha ktk maisha nnayo pitia ktk 100%

  • @suzichacha8482
    @suzichacha8482 7 лет назад +1

    Dada bahati mungu awe nawe kwa ujumbe mzr huzun zng zimeisha nasonga mbere

  • @vincentjuma9132
    @vincentjuma9132 6 лет назад +2

    Be blessed,remain blessed,continue with this Nobel mission of spreading the word through gospel.amen

  • @maryammaram2612
    @maryammaram2612 6 лет назад +9

    Nakupenda bahati nyimbo imetulia 👌👌2018 September

  • @edinaedward4968
    @edinaedward4968 8 лет назад +12

    Mungu akubariki mtumishi

    • @reginamtega1951
      @reginamtega1951 5 лет назад

      edina edward huyoo nibahatii waenzii hizoooooo

  • @safinahlatina8961
    @safinahlatina8961 8 лет назад +12

    nashukuru sana bahati unapo2diangufu kwa safari ya maishi hasante sana

  • @essaukumburu3414
    @essaukumburu3414 2 года назад

    Congratulation for this good song I love it

  • @francinenyembo4949
    @francinenyembo4949 Год назад

    Cette chanson me rend forte pendant les moments difficiles,que Dieu te bénisse

  • @masindeandrew10
    @masindeandrew10 8 лет назад +2

    Barikiwa Dada.songa mbele

  • @barqissthoughts
    @barqissthoughts 8 лет назад +5

    tanks for the song..... be blessed

  • @josephmeck9865
    @josephmeck9865 4 года назад +2

    My favorite song all the time #Godblessyou bahati

  • @suleimanadam5375
    @suleimanadam5375 6 лет назад +2

    Nice song...nice message...

  • @juliusmoyi4117
    @juliusmoyi4117 7 лет назад +3

    U barikiwe Sana kwa hiyo wimbo

  • @benignebukeyeneza9543
    @benignebukeyeneza9543 6 лет назад +3

    I really love this song!! God bless you