Mimi nilikuwa na miaka 6 hata chekechea sijaanza lkn huu wimbo naupenda niliuona kwenye bs 2017 nipo la 4 tangia hapo nikaaupenda lkn na mshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai nampenda sana Mungu 🙏🙏🙏
unapoinza safari unatiwa moyo🙋unapoonyesha mafanikio waliinua vigwazo🙌 maaana si wote walifurahia ule ushindi wakoooooo.💪💪maaaaadui ni wengi katika kazi yakooooo🙌🙌🙌🙌🙌
Huu wimbo umebeba nguvu kubwa sana ya uponyaji pale unapokata tamaa pls never give up!... simama na Mungu usimtazame mwanadamu! maana msemaji wa mwisho ju ya maisha yako ni mwanadamu
Mungu azidi kuwabariki waimbaji wote kwa kazi kubwa wanayoendelea kufanya maana kweli watu wanapata uponyaji kupitia nyimbo hizi, la mwisho ni kuzidi kuwapa MOYO mzidi kumtumikia MUNGU kwa nguvu zenu zote na kwa kila kitu, lakini usiwe uhimbaji wa kutafuta sifa za wanadu bali uhimbaji wa kumsifu MUNGU.asanteni sana kwa kazi kubwa mnayo ifanya Mungu azidi kuwafanikisha katika mahono yenu na maitaji pia.
Alipoinza safari weee walimtia moyoooo Alipoonyesha mafanikiooooo waliinua vikwaaazo🙌.na wengineeeeeeeee W alisema asulubiweeee.huyo ni yesu mwana wa mungu wanadamu walimusulubishaaaaaa🙏
Ni kweli una wenza juwa uyo ndo rafiki wakweli kumbe niadui mungu azidi kukubariki sana mtumishi wa mungu unfikiri uyo ndo best friend kumbe Adui wakwanza
maaadui ni wengi eeeeeh katika kazi yako🙋 maaaadui ni wengi weeeee katika ndoa yako 🙋 huwezi kuwatambua kwa kuwatazama kwa macho 🙋kuna wengine watakutia moyoooo kuna wengine watakuvunza moyooo mana si wote walifurahia mafanikio yakoo🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌kinachokupasa wewe usiangalie wanadamu. kinachikupasa wewe usiangalie wingi wa maadui🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
MUNGU mwenyezi naomba uzidi kunipa nguvu ya kusonga mbele zaidi na zaidi katika maisha yangu ya kiroho na kimwili huku nikizidi kukutumaini hadi mwisho wa safari yangu hapa Dunia# songa mbele
kuna wengine walimchoma mkuki🙋 kuna wengine waliomlilia🙋 na wengineeeeee walisema asulubiweee🙋 huyo ni yesu mwana wa mungu 🙌wanadamu walimusulubishaaaaa🙌
I enjoy listening all songs sister Bahati Bukuku.I never get bored for sure just keep on working with God Kiukweli. apana kutumika na Mungu Kiuongo kama Rose Muhando anayo yafanya yakihuuni yakishetani yaki Fremason yaani yeye nachukia😠😯😯 mno, kabisaa Mungu asikiye.God🙏🙌 will always with u.Amen.
Bahati , Truly we are happy , delighted for our most high God for gifting our beloved sister with abundant preaching and praise songs that remind us of our spiritual wellness.
This song is so powerful, it makes you rise up no matter how down you are. I like it. She is one of my best gospel singer... be bleesed Bahati kazi yako ni njema.
Huwimbo unanikumbusha m ali sana na unanihamasisha sana niskate tama kimtafta mung na kimaisha pia jaman mungu yupo sikiliza huwimbo alaf ufikilie niwap umetoka na saiz ukoje MUNGU AWE NAS ❤
DANIEL CHIMWELI. Surely Bahati, this song touches spiritually, it gives hope. not all men do feel happy of your promotion ,marriage but they show you their white bones while full of envy .never concentrate to them aim higher and a head.. ukunda mombasa kenya we are blessed with your songs mama.
This year the Safaricom tour must include Bahati and Bonny,na si tafadhali! God bless you Bahati,such a strong and inspiring song,just when i needed it!
My best song from Bahat i so love this song.it encouraged so much when i was going through a hard time at work....songa mbele ukimtazama bwana Yesu.God bless you woman of God
2012 to 2024 bado Niko kusikiliza hii nyimbo 🎉🎉🎉
Ni hakika unapoanza safari utatiwa moyo but...
Kabisa ndugu❤🎉
Mimi nilikuwa na miaka 6 hata chekechea sijaanza lkn huu wimbo naupenda niliuona kwenye bs 2017 nipo la 4 tangia hapo nikaaupenda lkn na mshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai nampenda sana Mungu 🙏🙏🙏
Kwa miaka mingi huu wimbo umeendelea kuwa mfariji mkubwa katika maisha yangu ya kiroho na hata kimwili pia 2020 nani tuko pamoja?
Tulio anza mwaka 2025 na wimbo huu tujuane hapa 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Wimbo Hui unitia moyo,,, nisitizame chuki ya watu katika safari yangu. Mungu aliyenipa kazi hii ndie Ngome yangu.
unapoinza safari unatiwa moyo🙋unapoonyesha mafanikio waliinua vigwazo🙌 maaana si wote walifurahia ule ushindi wakoooooo.💪💪maaaaadui ni wengi katika kazi yakooooo🙌🙌🙌🙌🙌
Huu wimbo umebeba nguvu kubwa sana ya uponyaji pale unapokata tamaa pls never give up!... simama na Mungu usimtazame mwanadamu! maana msemaji wa mwisho ju ya maisha yako ni mwanadamu
Napo sikiliza wimbo huu natiliwa ngufu na mafariji. Ubarikiwe sana wewe uliye uyiimba. Toka congo goma
Mungu azidi kuwabariki waimbaji wote kwa kazi kubwa wanayoendelea kufanya maana kweli watu wanapata uponyaji kupitia nyimbo hizi, la mwisho ni kuzidi kuwapa MOYO mzidi kumtumikia MUNGU kwa nguvu zenu zote na kwa kila kitu, lakini usiwe uhimbaji wa kutafuta sifa za wanadu bali uhimbaji wa kumsifu MUNGU.asanteni sana kwa kazi kubwa mnayo ifanya Mungu azidi kuwafanikisha katika mahono yenu na maitaji pia.
Tupo 2020 ila bado ujumbe wa nyimbo hii unaishi in jesus name hakika yote tutayashinda.......JESUS IS LORD 🙏
for me she is my all time best gospel singer especially this song.i try my best to find my GOD
Be blessed
Binadam acha tuuuuuuuuuu
She, Rose Muhando and old Christine shusho are
She has one of the most powerful voices have ever heard. Beautiful
😊jgbbn❤gñ
A PURE LEGEND
Alipoinza safari weee walimtia moyoooo Alipoonyesha mafanikiooooo waliinua vikwaaazo🙌.na wengineeeeeeeee W alisema asulubiweeee.huyo ni yesu mwana wa mungu wanadamu walimusulubishaaaaaa🙏
lakini soooooonga mbeleee weeeee. usitazame wingi wa adui zako🙌.nasema sooooooonga mbele weeeeeeee ukilisoma neno lake munguuu.
kinachokupasa wewe usiangalie wanadamu. kinachokupasa wewe usiangalie adui zakoooo
Casine Obote s pop+0
Casine Obote
Haha kasine tulikuwa tunaipendaga hii nyimbo hadi mama na best yangu alikuwa muislam halima Lakin alikuwa anaipendaga
Ubarikiwe ndugu kwa ujumbe mzuri kwetu
Nampenda sana bukuku kwa kazi zake mungu ambariki aeendelee kufanya kazi mirere na mirerw
Hapa bahat aliimba kiukwel ndiyo tunayoyapitia katik maisha ubarikiwe san mam bahati
My number one gospel singer ever. Much love from Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬
2024 nyimbo bora wakati wote 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ni kweli una wenza juwa uyo ndo rafiki wakweli kumbe niadui mungu azidi kukubariki sana mtumishi wa mungu unfikiri uyo ndo best friend kumbe Adui wakwanza
1234
Bahati has a gifted voice, and her music has the amazing capacity to move something deep within one's soul.
wimbo huu wanipa mwlekeo mpya niuskizapo..kazi njema
maaadui ni wengi eeeeeh katika kazi yako🙋 maaaadui ni wengi weeeee katika ndoa yako 🙋 huwezi kuwatambua kwa kuwatazama kwa macho 🙋kuna wengine watakutia moyoooo kuna wengine watakuvunza moyooo mana si wote walifurahia mafanikio yakoo🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌kinachokupasa wewe usiangalie wanadamu. kinachikupasa wewe usiangalie wingi wa maadui🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
ubarikawe mama
Be blessed mamitho
Napenda ii mimbo sana Mungu a barikiwe Love this song :)
Wow I love n like ur longtime song ziko na message kwa watu keep it up mumy
Hey mum
Mungu alianza na wewe toka mbali
You're blessed
Whenever I feel so low this is the song I go for,,,makes me so close to God thank you Bahati Bukuku
MUNGU mwenyezi naomba uzidi kunipa nguvu ya kusonga mbele zaidi na zaidi katika maisha yangu ya kiroho na kimwili huku nikizidi kukutumaini hadi mwisho wa safari yangu hapa Dunia# songa mbele
God bless u woman of God u have continued blessing us with your music.
kuna wengine walimchoma mkuki🙋 kuna wengine waliomlilia🙋 na wengineeeeee walisema asulubiweee🙋 huyo ni yesu mwana wa mungu 🙌wanadamu walimusulubishaaaaa🙌
Maaduwi niwengi kuliko marafiki kwel ubarikiwe paka ushangaye wimbo uyu uwasichokagi kuusikiliza 🙏🙏
I am encouraged B'. God Bless
Nyimbo nzuri Sana inanifanya Sana na kuendelea kusonga mbele Amina bahati bukuku mungu akubaliki sana
I enjoy listening all songs sister Bahati Bukuku.I never get bored for sure just keep on working with God Kiukweli. apana kutumika na Mungu Kiuongo kama Rose Muhando anayo yafanya yakihuuni yakishetani yaki Fremason yaani yeye nachukia😠😯😯 mno, kabisaa Mungu asikiye.God🙏🙌 will always with u.Amen.
how do you know??????????
Great...great....Bahat Bukuku the singer of all the time....powerfull message and strong one
.....hongera sana Bahati Bukuku.
Wimbo nzuri sana, nikweli watu wadunia siwote wafuraiya kufanyikiwa kwako Mungu ndiyo anafuraiya. Mungu akubariki Bukuku.
This song was my anthem in2008 as l was planning my wedding
Bahati , Truly we are happy , delighted for our most high God for gifting our beloved sister with abundant preaching and praise songs that remind us of our spiritual wellness.
This song is so powerful, it makes you rise up no matter how down you are. I like it. She is one of my best gospel singer... be bleesed Bahati kazi yako ni njema.
Huwimbo unanikumbusha m ali sana na unanihamasisha sana niskate tama kimtafta mung na kimaisha pia jaman mungu yupo sikiliza huwimbo alaf ufikilie niwap umetoka na saiz ukoje MUNGU AWE NAS ❤
Amen ! Kinachonipasa usiangalie wanadamu bali mungu. Songa mbele
DANIEL CHIMWELI.
Surely Bahati, this song touches spiritually, it gives hope. not all men do feel happy of your promotion ,marriage but they show you their white bones while full of envy .never concentrate to them aim higher and a head.. ukunda mombasa kenya we are blessed with your songs mama.
hii
Wanadamu ndivyo tulivyo, wimbo mzuri. Ila Mungu ndiye tunayemtegemea. Wimbo unaonekana unapotea ukiwa n'a maudhui muhimu kweli
It's among of my best gospel song ever.
Mama bahati bukuku katana kabisa Mungu akupe nyimbo zingine dada napendaka yimbo zako
mungu akubariki sanaaaaa and Nice song
Alipoingia Jerusalem walimwita mbarikiwaaaa🙋 alipofika gaigota wakasema asulubiweee 🙋
Yaani juu wa wivu jameni
ni kweli unapoanza safari ni wengi watakutia moyo lakini ukionyesha nia wataanza kuweka vikwazo cha muhimu ni kumtazama mungu na sio binadamu
Mungu ni saidie kusonga mbele mwaka huu 2019 changa moto zimekua nyingi ila Mungu wangu nakutazama wewe tu
😢 nomaa snaa mungu atulinde tuu
Through this massage,I feel comfortable at the time of deep pain
merci beaucoup maman nyimbo walipofika jerusalem inanibariki sana
Old is gold this song is still on 🔥🔥 infact gospel haitawai Isha fashion.i love this song 🙌
Wah,na enyewe watu utoka far,Our God is Soo faithful
merci beacoup de poster cette chanson'que Dieu seracle toujours la gorge de la soeur B.Bukuku.
barikiwa sana na bwana Bukuku
Ubarikiwe Mtumishi such courageous song
Amen 🙏 kubwa
Dada Bahat huwa unaugusa sana moyo wangu napenda sana nyimbo zako Barikiwa sana mumy
sure..maadui ni wengi la msingi kusimama na YESU.
Nikwer sana kaka.ila ndivo wanadam tulivo
Wah,, Bukuku utatuimbia tukifika Juu binguni,golden voice
Yote mapito lakin wimbo una ujumbe na umeakisi maisha ya walio wengi.ubarikiwe dada.
Mungu akubariki saana BAHATI BUKUKU wimbo huu hunipa faraja!!
This year the Safaricom tour must include Bahati and Bonny,na si tafadhali! God bless you Bahati,such a strong and inspiring song,just when i needed it!
achen Mungu aitwe Mungu jaman the song heal me very much
God bless you sister Bahati for serving God through singing. I love listening to your songs.
wimboo umekuaa na matumain makubwa kwangu mpaka leo 2023
When am low i listen to this song.God bless you mum
Be blessed bahati.it's true Maadui ni wengi wasiopenda mtu afanikiwe
Thank you my sistr bukuku,let this song the way it bless me,you also
i love this song alot God bless u sister Bahati
You cant tell me your soul never resonates when you listen to those guitar chords
Though i don't understand the song, the way it has been played gives a lift to my soul.
my brother its a strength song
Naipenda sana hii nyimbo kwani unifaliji jinapo kua na magumu I love you song
God will continue using you! Amen i love this song so much but I don't understand it so much.
My best song from Bahat i so love this song.it encouraged so much when i was going through a hard time at work....songa mbele ukimtazama bwana Yesu.God bless you woman of God
Nzuri Sana
Nakupenda Sana mama!!!
Nyimbo zako zinabariki sana wana wa Mungu,ubarikiwe sana,Mungu akupe neema ya kuendelea kumtumikia
Mungu akubariki Sana dada,umebariki wengi,nikiwa mmoja wao.
God be with you always. you have a blessed voice. love you more!
2024 ad still blessed with this powerful msg, all the glory be to God Almighty 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
This is the first song of Bahati Bukuku that I loved so much during my 4 years in Tanzania.
I never tired to hear this song i get courage of moving on without people assistance
💍😃😀
2017, still a favorite and never stop listening to this wonderful song.
Surely enemies are many than friends...my sister ua singing my testimony 😅😅😅
be blessed my dada,very very gud song
This is the blessed song for this year 2023 in my life. May God bless you sister Bahati Bukuku ❤❤❤❤❤
Tunawo angaliya 2024 tu juwane kwa like🎉🎉🎉🎉🙏🙏🙏🙏🙏
God bless you Mum. Jesus Christ is the only true friend!
Inspiring big love your music...b blessd siz..
Opo
acha wanadamu wayaone madhaifu yako lakin Mungu anajidhihirisha ktk maisha nnayo pitia ktk 100%
Dada bahati mungu awe nawe kwa ujumbe mzr huzun zng zimeisha nasonga mbere
Be blessed,remain blessed,continue with this Nobel mission of spreading the word through gospel.amen
Nakupenda bahati nyimbo imetulia 👌👌2018 September
Mungu akubariki mtumishi
edina edward huyoo nibahatii waenzii hizoooooo
nashukuru sana bahati unapo2diangufu kwa safari ya maishi hasante sana
iam
blessed
Congratulation for this good song I love it
Cette chanson me rend forte pendant les moments difficiles,que Dieu te bénisse
Barikiwa Dada.songa mbele
tanks for the song..... be blessed
My favorite song all the time #Godblessyou bahati
Nice song...nice message...
U barikiwe Sana kwa hiyo wimbo
I really love this song!! God bless you