He is Yeshua, the Son of God, lineage of David.....He was before the beginning of time....He had been exalted and sits on the Right hand of the Father. His name is filled with power, no one can fathom. Everything bows at the utterance of this marvelous name, every tongue truly confesses and shall confess that he is the LORD.... Yeshua, you are the Prince of peace, the Wonderful counsellor, the light that shines my path, my life and my Truth 🙏
Kuna vitu vitamu nyieee😋In His presence 🔥hii ladha haielezeki nakwambia ulikuta unaweza kuielezea bado hujaelewa na hujalewa 🔥🔥🔥BABA ANAWATAFUTA WATU KAMA NYIE
Yes hii ndomaana ya kumwabudu Baba katika Roho na kweli hakuna haja ya kuangalia nan anacomment nn napenda na kuvutiwa na hii kitu... Brother you are my mentor for real
Jamani hii nyimbo binafsi naona ni kama wakristo tunaiga nyimbo za hiphop za kidunia ....hii nyimbo inaburudisha zaidi mwili kuliko kuhuisha roho kwa maoni yangu....
Mimi nilivyosikiliza hizi rap nimeona kama,haiko katika kuabudu,,coz mtu akirap unahitaji kusikiliza anasema nn sasa kitendo cha kusikiliza unakuwa kama unatoka rohoni,,naona Ki Mungu kuimba ni bora zaidi
Msisahau kuwa shetani alikuwa malaika mkuu wa sifa mbinguni so alivyoshushwa duniani hakunyang'anywa ujuzi wake ndo mana anautumia ule ujuzi katika nyimbo za dunia na watu wa Mungu wanafikiri kumuimbia Mungu kwa kurap ni kosa, hapana sio kosa ni mnajaribu kujulishwa kuwa Mungu anaweza imbiwa kwa namna yoyote ile,,,
Your destroying the gospel music, hakuna uwepo hapo ni kelele tu, the song has a very good name pia massage ila mnaiharibu. john 4:23 (waabuduo halisi) Zoravo ulikuwa safi ila kwa sasa unaharibu rudi kwa Mungu, pia stand with right people.Mungu awasaidie sana.
😂😂😂😂Ety arudi kwa Mungu kwahiyo hapo ni wapii.. Na hao right people ni wapii.. Wacha kutuwekea vikwazo kwenye kumsifu Mungu. Na hizo kelele unazosema ndo Mungu anazipenda sasa.. We are praising the Most Highly God. Who is Yeshuaaa😍😍
I hate this rap things worldy things yaani hivi kwanim8 muibgine mambo ya kidunia kwenye wimbo wenye uwepo kama huu mmeuharibu wimbo wa watu kiukweli wasikilizeni wenzenu wanaijeria wanavyoimba na uwepo wa Mungu unashuka
nimiondoko tu hiyo mzee unawza tumia any of kama taarabu rege kwaito afropop classical ni nyingi doesnt mean ni dhambi ni vile ww umezoea kusikia hiphop za secular
He is Yeshua, the Son of God, lineage of David.....He was before the beginning of time....He had been exalted and sits on the Right hand of the Father. His name is filled with power, no one can fathom. Everything bows at the utterance of this marvelous name, every tongue truly confesses and shall confess that he is the LORD.... Yeshua, you are the Prince of peace, the Wonderful counsellor, the light that shines my path, my life and my Truth 🙏
Moyo wa ibada nauona kwako ubarikiwe sana
The best version ever ... I'm really blessed from Kenya 🇰🇪 Zoravo ft Bella Kombo is another hype lets all gather here to support good music
Kuna vitu vitamu nyieee😋In His presence 🔥hii ladha haielezeki nakwambia ulikuta unaweza kuielezea bado hujaelewa na hujalewa 🔥🔥🔥BABA ANAWATAFUTA WATU KAMA NYIE
Nimebarikiwa sana. Naona Mungu anazidi kuinua watumishi wake zaidi. Jina lake lihimidiwe
Yeshua is His name 🙏🙏💯
Hakuna kama Yesu duniani na Mbinguni
He is Yeshua the one who was before the beginning of anything and without him nothing could happen
All belongs to Him alone
The good he has done is unbelievable . As a student he has been great to me
All praise be to Yeshua🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
THIS IS POWERFUL.
Tanzania my contry your blessed
🔥🔥🔥
Watching from Tanzania
YESHUA ❤❤❤
Mungu akubariki sana. Mungu akuongezee mafuta na kibali kwenye utumishi wako
I didn't see this kind of rendition coming. So nice and what a blessing ❤🎉
Yes hii ndomaana ya kumwabudu Baba katika Roho na kweli hakuna haja ya kuangalia nan anacomment nn napenda na kuvutiwa na hii kitu... Brother you are my mentor for real
That switch @2:02 👌❤
🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🔥🔥🔥
Yeshua,Yeshua🙌🙌🙌..All glory and honour belongs to him#this version❤❤
Mshibi au mtishibi
Bella kombo ,zorava😊
Nakueshim san mz wng mungu zaidi kukutumia zaidi na zaidi
Be blessed man of God your songs are so inspiring me God bless you brother !
Yesu azidi kuwatumia, my prayers with you all
Num watching 😊😊😊😊
first
🔥 🔥 🔥 🔥
😢
Powerful and nice rendition. To God be all the glory. A slight critique of good faith, kindly let the mic be held correctly.
Aaaaaaaaaaaaaiiiiiiiiiiiii......... YESHUA
That rap aseee 🙌🏿
Be blessed zoravo
Hakuna kama ye.
Love the groove
🔥
❤❤❤❤
So prophetic indeed
Nzur
Pacha God Bless you
GOD bless you all
Motoooooooo
Hallelujah 🔥🔥🔥🔥
Glory to our mighty God
🙌🙌🙌🙌
Blessed, Melanie, Jerry, Brenda, Agness na mashosti zenu hapo mbele mnalewa kiboshooo sana😅🤣🤣
Jamrackkkkkk🎉🎉🎉🎉
This is fireeeee
OMG this song 😅😅😅 I love it
Hallelujah
Eliaa Man umeuaa 🤜🤜😂
Powerful. God bless you
Woow❤️
Hii staili ya zoravo ya kuchezaa 😂😂 jaman tujaw kwà roho 2
Be blessed role model @zoravo
😂😂😂✅️
Nani ameona mke wa zoravo ? Mahali😂😂
Ni nani uyo😅
ni nini mnaimba sasa.
Go ask bible
Jamani hii nyimbo binafsi naona ni kama wakristo tunaiga nyimbo za hiphop za kidunia ....hii nyimbo inaburudisha zaidi mwili kuliko kuhuisha roho kwa maoni yangu....
Mimi nilivyosikiliza hizi rap nimeona kama,haiko katika kuabudu,,coz mtu akirap unahitaji kusikiliza anasema nn sasa kitendo cha kusikiliza unakuwa kama unatoka rohoni,,naona Ki Mungu kuimba ni bora zaidi
Jamani ata Mungu wetu anahiyaji kusifiwa kwa Ufanisi
Asee apo kweli......
Warumi 12:1, toeni miili yenu kuwa dhabihu kwa Bwana,,,,,
Sasa kama unakwazika wanavyomsifu Mungu kwa kuitoa miili yao wewe bado huijui bible
Msisahau kuwa shetani alikuwa malaika mkuu wa sifa mbinguni so alivyoshushwa duniani hakunyang'anywa ujuzi wake ndo mana anautumia ule ujuzi katika nyimbo za dunia na watu wa Mungu wanafikiri kumuimbia Mungu kwa kurap ni kosa, hapana sio kosa ni mnajaribu kujulishwa kuwa Mungu anaweza imbiwa kwa namna yoyote ile,,,
Elia mtishibi not mshibi... Out of that The song is good
Your destroying the gospel music, hakuna uwepo hapo ni kelele tu, the song has a very good name pia massage ila mnaiharibu. john 4:23 (waabuduo halisi) Zoravo ulikuwa safi ila kwa sasa unaharibu rudi kwa Mungu, pia stand with right people.Mungu awasaidie sana.
😂😂😂😂Ety arudi kwa Mungu kwahiyo hapo ni wapii.. Na hao right people ni wapii.. Wacha kutuwekea vikwazo kwenye kumsifu Mungu. Na hizo kelele unazosema ndo Mungu anazipenda sasa.. We are praising the Most Highly God. Who is Yeshuaaa😍😍
john 4:23 @@meshacknassary8023
I hate this rap things worldy things yaani hivi kwanim8 muibgine mambo ya kidunia kwenye wimbo wenye uwepo kama huu mmeuharibu wimbo wa watu kiukweli wasikilizeni wenzenu wanaijeria wanavyoimba na uwepo wa Mungu unashuka
nimiondoko tu hiyo mzee unawza tumia any of kama taarabu rege kwaito afropop classical ni nyingi doesnt mean ni dhambi ni vile ww umezoea kusikia hiphop za secular
Watching from Nairobi Kenya