IBADA HATARI ZAIDI DUNIAN INAYOWATESA WATU MAAFURU
HTML-код
- Опубликовано: 10 сен 2024
- IBADA HATARI ZAIDI DUNIAN INAYOWATESA WATU MAAFURU
Bonyeza Hapa KUSUBSCRIBE www.youtube.com...
FOLLOW TRICOD SKILLS on Instagram!
/ joseskills_
LIKE TRICOD SKILLS on Facebook!
/ tricodmedia
FOLLOW TRICOD SKILLS on Twitter!
/ tricodmedia
#trending
#new
#freemasons
REMA MAUMIVU YALIVYO MTOA KANISANI NA KUMPELEKA KUZIMU KUMUABUDU SHETANI
ruclips.net/video/_w00espg68E/видео.html
Namomba, Mungu Sana Aniepushe na Tamaa, ya kumkubali Shitani Aendeshe Uhai wangu.Nikiamini Kiila kilicho umbwa Kittarejea Kwa muumbaji Kumtegemea Sheitanini kujidhulumu,na kukosa Shukrani Kwa Alotuumba.👍
Ukweli kabisa ❤❤❤
From Uganda 🇺🇬 Int'l Congo DRC 🇨🇩 To Tanzania 🇹🇿 Big up 🔥🔥🔥🔥
Shukrani sanaaaaaa
Good work brother 🇰🇪
Yesu ni mwokozi wa kila mtu si ibilisi
Mwaka isiikatike bila kuingia east Africa,,hongera kazi mzuri
Kweli kabisaaa
Nice
Kazi nzuri sana brother
Mm pia nilikuwa najiuliza sana kuhusu hilo suala
Umeni amsha asante.
Great job bro
Good job thx for edicating but l ve come to know that pipo do this because of suffering muntu anapitia alaf anamuwa kuyingia hiizi societies mimi hapa neteseka sana mpaka l think of tht
Kaka usisahau ile ya CHRIS BROWN pia🎉
Sawa ntaifanya hiyo fasta
Tunamkimbilia mungu ila isidini ndizo zimebeba ushetani
Dah umeeleza kiksamilifu
The black star of Bowie reincarnated in the weekend follow him closely he replaced Bowie cos Kanye west failed to keep the oath
Ntafuatilia hiyooo shukrani sanaaa
Alama ya rehana
Alipigwa na cris brown
Kk lete stori ya eminem
Ila mwanangu kwa story za ILLUMINATI NA FREEMASON EAST AFRICA HAMNA KAMA WEWE😂😂😂
Nashkuru sanaaaaa
Mbona hivyo😢😅
Walichezea vitasa ngumi ya jicho mzee😂😂😃
Finish the previous series😢😢😢😢
Ntamalizia ngoja niangalie ipi ya kuanza nayo
For Sure this error we do not have faithful people But we have devilish worshipers. The worst enough the great people are hardly involved.
Kaka hivi na wasanii wengi walikuwa moto enzi hizo na sasa hivi wasikiki nini kilitokea.kama Ja rule,shaggy,jennifer lopezi,celine dion
😂😂kwani juma nature, temba, Ay , ray c, jide, ferooz, sogdog, pasha na n. K mbona majibu yako waz c nyakati tu kama maendeleo nchi
Mbona wabongo hatuwaoni
Fungunwa macho ya kiroho utawawona
@@khanakwasarahlydia2190 kuona hayo makovu?
Eeee!!! Muumbaji tuokoe
Mbona wengine alama iko kulia? Tuamini lipi.
Kulia ni Eye of RA mungu wa jua
Anunaki ni nini?
😢🥸💩👽
Prince hujamzungumuzia
Prince philip saiv ni mfalme wa uingereza nimemzungumzia kama mfalme japo mwanzo nilimtaja kama prince
@@TricodMedia Uingereza ina Wafalme wawili?
Philip alikuwa ni Mume wa Malkia Elizabeth ambao wote Sasa ni marehemu
@@zainajirani5296 Hapo sawa
Uko sahihi
hahahahah wanadondoka wao tuuu sisi maskn hamna