NILIOLEWA NA JINI MAHABA KWA MIAKA 33 BAADA YA UPAKO NIKO HURU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 81

  • @anastasiabenjamin2473
    @anastasiabenjamin2473 Год назад +1

    Eee mwenyezi mungu naomba unifungulie uponyaji nasumbuliwa na tumbo naomba unishushie huponyaji

  • @purityneema218
    @purityneema218 2 года назад +1

    Eeh yesu naomba nami unifungue ki uchumi na kiafia na kuanzia leo niishi mtakatifu nipate mme wa kwangu nisiwe mpango wa kando tena kwa jina la yesu kupitia madhabahu ya inuka uangaze amen

  • @ChawamduduMdudu-hv2gw
    @ChawamduduMdudu-hv2gw Год назад

    Eeeh yesu naomba na mm uyapariki mahusiano yangu had kufikia tarehe 9/5/ mwakan niwe nimeolewa na yule ulie niletea ili anipende Ameen

  • @ChawamduduMdudu-hv2gw
    @ChawamduduMdudu-hv2gw Год назад

    Utubariki mungu pili na hussen tufikie malengo yet ameen

  • @nurumuzei964
    @nurumuzei964 Год назад

    Emmanuel God has blessed me with peace and patience thank you Jesus christ for your love and kindness

  • @nurumuzei964
    @nurumuzei964 Год назад +1

    By the grace of the Lord Jesus christ and the love of God and the fellowship of the Holy spirit be upon us in power and authority and glory be to Jesus in the highest God of possibilities.

  • @hellenmildred6804
    @hellenmildred6804 2 года назад +1

    Naomba mungu anifungue mm pia Nina shida nikianza mausiano hayadumu biashara nikianza yafa naomba mungu anifungue

  • @NasraSadick
    @NasraSadick Год назад

    Naomb na mim kwa mungu roho ya jini mahaba initok kwa jina la yesu

  • @florakagaruki6172
    @florakagaruki6172 2 года назад +1

    Nataka nifunguliwe Vifungo vyote. Kwa jina LA Yesu
    Amina

  • @Linah.richard.98
    @Linah.richard.98 3 года назад +1

    Na mimi nafunguliwa katika jina la yesu jini mahaba hatogusa mwili wangu tenaa katika jina la yesu ameen.

  • @sarahevans4068
    @sarahevans4068 2 года назад

    Kwa jina layesu napokea mtto wngu fei afunguliwe kwa jina la yesu

  • @nurumuzei964
    @nurumuzei964 Год назад +1

    Thank you Jesus for you have delivered me from the hands of my oppressor. Thank you Jesus for your grace and mercy

  • @alikojulias2211
    @alikojulias2211 2 года назад +2

    Mungu tutendee na ss kwenye familia yetu

  • @aishaally971
    @aishaally971 2 года назад +2

    Kupitia shuhuda hizi leo napokea uponyaji katika jina la yesu

    • @lifeinmiddleeast8179
      @lifeinmiddleeast8179 2 года назад

      Pamoja Aisha mwenyew muislam lakin najihis kupona kupitia ushuhuda

  • @florakagaruki6172
    @florakagaruki6172 2 года назад +1

    Mungu Wa Mtume Mwamposa Utufungue. Amina

  • @levilathabainomugisha
    @levilathabainomugisha Год назад

    Oooh My God, remember me also

  • @ayoubmakori8680
    @ayoubmakori8680 3 года назад +5

    Msicheke kwa haya Mambo mnatakiwa muone huruma

  • @braymwakaburufu1130
    @braymwakaburufu1130 2 года назад

    Ebwana namimi nafunguliwa,kwajina la yesu kiuchumi na uzao.

  • @nurumuzei964
    @nurumuzei964 Год назад

    Blessed be the name of God in Jesus mighty name Ameen

  • @elmenciamawenya6053
    @elmenciamawenya6053 Год назад

    Jaman tuzidi kumuomba Mungu sana

  • @devothamedardi9765
    @devothamedardi9765 3 года назад +1

    Nami navunja nguvu za giza juu yangu kwa jina la Yesu nifunguke kichumi leo

  • @yunusiwafaume1191
    @yunusiwafaume1191 Год назад

    Mungu niondolee jini mahaba na jini kaburi wanaonisumbua kuninyima baraka

  • @lilianadisa1986
    @lilianadisa1986 3 года назад +1

    Naitwa lilian adisa mimi ni mkenya ila niko qatar kwa sasa lakini nko na masumbuko mengi sana naomba bishop niombee

    • @snetiengineering_hub
      @snetiengineering_hub 2 года назад

      nicheki nikutumie namba yake kama haukubahatika kuwasiliana naye

  • @yunusiwafaume1191
    @yunusiwafaume1191 Год назад

    Ewe jini kaburi nitokee katika maisha yangu

  • @florakagaruki6172
    @florakagaruki6172 2 года назад +1

    Ushuhuda huu unifungue. Amina

  • @nyamosetitimothy9639
    @nyamosetitimothy9639 2 года назад +1

    Naomba maombi yako mwamposa

  • @ZechuChuma
    @ZechuChuma 10 месяцев назад

    Namii nimefubgjlia kwajina la yesu

  • @MarkoMboje
    @MarkoMboje 10 месяцев назад

    Naomba mungu anitedee mke wangu aludi nyumbani kwa jina layesu

    • @MarkoMboje
      @MarkoMboje 10 месяцев назад

      Naomba mungu nifunguliwe biashara yangu nizidiwe nawateja

  • @rizikihamed172
    @rizikihamed172 3 года назад +5

    Majini wapo nawatu wanatabia ya kuwatumia wenzao majini Mungu atawalaani duniani mpaka akhera

    • @zubedarichard2311
      @zubedarichard2311 3 года назад

      Kama mm jini ananitesa sanaa

    • @moviessummarized4803
      @moviessummarized4803 2 года назад

      @@zubedarichard2311 pole San

    • @imeldabamba3779
      @imeldabamba3779 2 года назад

      Kweli mamy,tumuombe tu mwenyezi Mungu atulinde.

    • @imeldabamba3779
      @imeldabamba3779 2 года назад +1

      @@zubedarichard2311 pole mwaya,nenda ukaombewe atatoka tu kwa jina la Yesu.

    • @husseingabo5497
      @husseingabo5497 2 года назад

      @@zubedarichard2311 kama Jin anakutesa SI uende kwenye Tina sa kisuna kuliko kwenda Kwa hayo mafuta ya upako yenye nguvu za kuzimu ukitumiwa hayo mafuta hata kama utapona utawa umefanya shilki fungua chaneli ya sheikh Othman maiko huyu ni kiboko ya Majin hata dada yangu alienda alipona siku hiyo hiyo kwanini mwende Kwa hao washilikina wanatumia mafuta yanayotoka kuzim

  • @lukasbundala4467
    @lukasbundala4467 3 года назад +1

    naitwa lukasi samweli nashukulu kuniombea nimepokea maombiyako malatat nanimetapika malatat namuomba mngu nifike kanisani mngu akupe uhaimlefe amina

  • @DoreenIvan
    @DoreenIvan 5 дней назад

    Ee mung nifanyie wepesi niolewe amina

  • @levilathabainomugisha
    @levilathabainomugisha Год назад

    Hakika Mungu ana maksudi na mm

  • @nyamosetitimothy9639
    @nyamosetitimothy9639 2 года назад +1

    Yesu nibwana

  • @baraka-fb3ju
    @baraka-fb3ju Год назад

    Amina

  • @nurumuzei964
    @nurumuzei964 Год назад

    Every evil hand upon me and my family is destroyed by the powerful hand of the Lord jesus christ thank you Jesus

  • @MerrySabina
    @MerrySabina 3 месяца назад

    Eee mungu naomba unifungue

  • @florakagaruki6172
    @florakagaruki6172 2 года назад +1

    Familia yetu ifunguliwe kila kifungo Kwa jina la Yesu.

  • @aishaally971
    @aishaally971 2 года назад +1

    Nafunga nguvu za giza katika family yangu

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 3 года назад +1

    Duu kweli Mungu atuponye

  • @baptistabernardo8344
    @baptistabernardo8344 2 года назад

    Baba husiniache pekeangu nibariki falume mwampoza

  • @salmakiyabosiriyamachoziha8756
    @salmakiyabosiriyamachoziha8756 3 года назад +1

    Duuuu jamani hii dunia hiiii Mungu tusaidie iiiiii

  • @CaldinaSelemane
    @CaldinaSelemane 5 месяцев назад

    Amém

  • @Linah.richard.98
    @Linah.richard.98 3 года назад +1

    Haleluyaaa..

  • @michaelmngongo5896
    @michaelmngongo5896 2 года назад

    Zamu Yangu sasa kupokea upako wakufunguliwa macho ya rohoni🙏

  • @baptistabernardo8344
    @baptistabernardo8344 2 года назад

    Hoo baba naomba nifunguliwe furaha ya roho

  • @rachelkihaka9204
    @rachelkihaka9204 2 года назад

    Siku yangu moja tu ya kufunguliwa Mimi biashara zangu na mume wangu na uzao wangu ambayo ni leo

  • @maryamjumah
    @maryamjumah 3 месяца назад

    Na mm nafunguliwa kwa kupitia madhabau ya mwamposa

  • @BenyMgaya
    @BenyMgaya 3 месяца назад

    Amen

  • @MerrySabina
    @MerrySabina 3 месяца назад

    Mtumishi ushuda huo umenigusa na mm nina jini mahaba nateseka sana naomba uniombee

  • @maryamjumah
    @maryamjumah 3 месяца назад

    Jmn na mm nimepita hii hali

  • @Yeshuatv729
    @Yeshuatv729 4 месяца назад

    Halleluyah

  • @prasidiaprimus3325
    @prasidiaprimus3325 3 года назад +1

    Duu!! Kumbe haya Mambo yapo kweli

  • @AdamuMsifuni-zc3un
    @AdamuMsifuni-zc3un 9 месяцев назад

    Napokea

  • @annaleonsi3867
    @annaleonsi3867 2 года назад +1

    Rooo

  • @sarahevans4068
    @sarahevans4068 2 года назад

    Kuanzia leo mmewngu fazil acione kabisa uchi wa mwanamke yyte huko nje acione uchi wa rahma ,aisha yusuf wala yeyote

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 3 года назад +1

    Ameena

    • @mecktuppa2342
      @mecktuppa2342 3 года назад

      Heri manabii mtufunguliae maono ya mungu

  • @lilylukeisa561
    @lilylukeisa561 Год назад

    Kupitia ushuhuda huu naomba nifunguliwe

  • @ambasiayona9779
    @ambasiayona9779 Год назад

    Napokea upokea uzima gafula

  • @lilianadisa1986
    @lilianadisa1986 3 года назад +1

    Naomba maombi tafadha

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 года назад +1

    Mtihani

    • @fidelifidelifidelinicolasi2057
      @fidelifidelifidelinicolasi2057 2 года назад

      Naomba uyu mama akipon na mm nipon na mm nikiwa na mwanaume umeme akun ila nikiwa nafanya kwenye ndt umeme unakuwe

    • @buuwahiid2898
      @buuwahiid2898 2 года назад

      @@fidelifidelifidelinicolasi2057 ww dini gani

  • @monicasamson4279
    @monicasamson4279 3 года назад +1

    Amina