Eeh yesu naomba nami unifungue ki uchumi na kiafia na kuanzia leo niishi mtakatifu nipate mme wa kwangu nisiwe mpango wa kando tena kwa jina la yesu kupitia madhabahu ya inuka uangaze amen
By the grace of the Lord Jesus christ and the love of God and the fellowship of the Holy spirit be upon us in power and authority and glory be to Jesus in the highest God of possibilities.
@@zubedarichard2311 kama Jin anakutesa SI uende kwenye Tina sa kisuna kuliko kwenda Kwa hayo mafuta ya upako yenye nguvu za kuzimu ukitumiwa hayo mafuta hata kama utapona utawa umefanya shilki fungua chaneli ya sheikh Othman maiko huyu ni kiboko ya Majin hata dada yangu alienda alipona siku hiyo hiyo kwanini mwende Kwa hao washilikina wanatumia mafuta yanayotoka kuzim
Eee mwenyezi mungu naomba unifungulie uponyaji nasumbuliwa na tumbo naomba unishushie huponyaji
Eeh yesu naomba nami unifungue ki uchumi na kiafia na kuanzia leo niishi mtakatifu nipate mme wa kwangu nisiwe mpango wa kando tena kwa jina la yesu kupitia madhabahu ya inuka uangaze amen
Eeeh yesu naomba na mm uyapariki mahusiano yangu had kufikia tarehe 9/5/ mwakan niwe nimeolewa na yule ulie niletea ili anipende Ameen
Utubariki mungu pili na hussen tufikie malengo yet ameen
Emmanuel God has blessed me with peace and patience thank you Jesus christ for your love and kindness
By the grace of the Lord Jesus christ and the love of God and the fellowship of the Holy spirit be upon us in power and authority and glory be to Jesus in the highest God of possibilities.
Naomba mungu anifungue mm pia Nina shida nikianza mausiano hayadumu biashara nikianza yafa naomba mungu anifungue
Naomb na mim kwa mungu roho ya jini mahaba initok kwa jina la yesu
Nataka nifunguliwe Vifungo vyote. Kwa jina LA Yesu
Amina
Na mimi nafunguliwa katika jina la yesu jini mahaba hatogusa mwili wangu tenaa katika jina la yesu ameen.
NA Mlm na pokeya kwa Jina la yesu
Kwa jina layesu napokea mtto wngu fei afunguliwe kwa jina la yesu
Thank you Jesus for you have delivered me from the hands of my oppressor. Thank you Jesus for your grace and mercy
Amen and amen, Jesus is the lord...🙏🙏
Mungu tutendee na ss kwenye familia yetu
Kupitia shuhuda hizi leo napokea uponyaji katika jina la yesu
Pamoja Aisha mwenyew muislam lakin najihis kupona kupitia ushuhuda
Mungu Wa Mtume Mwamposa Utufungue. Amina
Oooh My God, remember me also
Msicheke kwa haya Mambo mnatakiwa muone huruma
Ebwana namimi nafunguliwa,kwajina la yesu kiuchumi na uzao.
Blessed be the name of God in Jesus mighty name Ameen
Jaman tuzidi kumuomba Mungu sana
Nami navunja nguvu za giza juu yangu kwa jina la Yesu nifunguke kichumi leo
Mungu niondolee jini mahaba na jini kaburi wanaonisumbua kuninyima baraka
Naitwa lilian adisa mimi ni mkenya ila niko qatar kwa sasa lakini nko na masumbuko mengi sana naomba bishop niombee
nicheki nikutumie namba yake kama haukubahatika kuwasiliana naye
Ewe jini kaburi nitokee katika maisha yangu
Ushuhuda huu unifungue. Amina
Naomba maombi yako mwamposa
Namii nimefubgjlia kwajina la yesu
Naomba mungu anitedee mke wangu aludi nyumbani kwa jina layesu
Naomba mungu nifunguliwe biashara yangu nizidiwe nawateja
Majini wapo nawatu wanatabia ya kuwatumia wenzao majini Mungu atawalaani duniani mpaka akhera
Kama mm jini ananitesa sanaa
@@zubedarichard2311 pole San
Kweli mamy,tumuombe tu mwenyezi Mungu atulinde.
@@zubedarichard2311 pole mwaya,nenda ukaombewe atatoka tu kwa jina la Yesu.
@@zubedarichard2311 kama Jin anakutesa SI uende kwenye Tina sa kisuna kuliko kwenda Kwa hayo mafuta ya upako yenye nguvu za kuzimu ukitumiwa hayo mafuta hata kama utapona utawa umefanya shilki fungua chaneli ya sheikh Othman maiko huyu ni kiboko ya Majin hata dada yangu alienda alipona siku hiyo hiyo kwanini mwende Kwa hao washilikina wanatumia mafuta yanayotoka kuzim
naitwa lukasi samweli nashukulu kuniombea nimepokea maombiyako malatat nanimetapika malatat namuomba mngu nifike kanisani mngu akupe uhaimlefe amina
Ee mung nifanyie wepesi niolewe amina
Hakika Mungu ana maksudi na mm
Yesu nibwana
Amina
Every evil hand upon me and my family is destroyed by the powerful hand of the Lord jesus christ thank you Jesus
Eee mungu naomba unifungue
Familia yetu ifunguliwe kila kifungo Kwa jina la Yesu.
Nafunga nguvu za giza katika family yangu
Duu kweli Mungu atuponye
Baba husiniache pekeangu nibariki falume mwampoza
Duuuu jamani hii dunia hiiii Mungu tusaidie iiiiii
Amém
Haleluyaaa..
Zamu Yangu sasa kupokea upako wakufunguliwa macho ya rohoni🙏
Hoo baba naomba nifunguliwe furaha ya roho
Siku yangu moja tu ya kufunguliwa Mimi biashara zangu na mume wangu na uzao wangu ambayo ni leo
Na mm nafunguliwa kwa kupitia madhabau ya mwamposa
Amen
Mtumishi ushuda huo umenigusa na mm nina jini mahaba nateseka sana naomba uniombee
Jmn na mm nimepita hii hali
Halleluyah
Duu!! Kumbe haya Mambo yapo kweli
Napokea
Rooo
Kuanzia leo mmewngu fazil acione kabisa uchi wa mwanamke yyte huko nje acione uchi wa rahma ,aisha yusuf wala yeyote
Au sio😃😃😃
Ameena
Heri manabii mtufunguliae maono ya mungu
Kupitia ushuhuda huu naomba nifunguliwe
Napokea upokea uzima gafula
Naomba maombi tafadha
Tatizo nn
Mtihani
Naomba uyu mama akipon na mm nipon na mm nikiwa na mwanaume umeme akun ila nikiwa nafanya kwenye ndt umeme unakuwe
@@fidelifidelifidelinicolasi2057 ww dini gani
Amina