MTO WA AJABU HAKUNA MTU ANAEWEZA KUVUKA, "WALIOLAZIMISHA WAMEFARIKI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 220

  • @yasinkihupi9583
    @yasinkihupi9583 3 года назад +54

    kukosa kwa elimu ndio matokeo yake hayo. hapo huwez kuvuka accordingly to bernoulli's principle kutokana na irrotational flow ya fluid and pressure inayo result into great force due to high velocity of water and area and pressure ukiruka pia unavutwa chini sababu above the river kuna low pressure and around the river kuna high pressure due to change in crossection area of the river kutoka mita 8 mpaka mita 3 inamaana speed ya maji imeongezeka mara 2 na nusu zaidi its just a physics i love it.

  • @hindisaid2413
    @hindisaid2413 3 года назад +6

    Mi siañgalii mto macho yangu namuangalia MKUU WA WILAYA...naona Samia kaamua kutuadhibu wanaume tukome 😎😎

  • @barnabasstanslaus6895
    @barnabasstanslaus6895 2 года назад +8

    Ni maajabu kweliii maana una maziwaaa makubwa sana utaliii wa ndani huo pia🤝🤝🤣🙄🙄

  • @deniserick6115
    @deniserick6115 3 года назад +4

    Namalizia kula, nikimaliza nakuja kuvuka, boya sana we Mzee💪💪

    • @latifamohammed61
      @latifamohammed61 3 года назад +2

      Kajaribu uwone kama utavuka

    • @superbillionairea5987
      @superbillionairea5987 3 года назад +1

      Ukivuka na kupa million. Mimi nipo maeneo hayo. Hapavukikii

    • @hamiduhamisi2371
      @hamiduhamisi2371 2 года назад +1

      @@superbillionairea5987😁😁😁😁😁 tuma namba yako nikija nikupigie

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 3 года назад +3

    Msikatae mm nimewahi ona uliopo Soni huko huko Lushoto na kulikuw na jua kali balaa hamna mvua lkn kuna maji huvuki fanya ufanyavyo hivyo huo mto wa hapo Korogwe nao sijaona ila pia sibishi kabisa ila insha allah nitaporejea nitakuja kuuona nijiridhishe pia

  • @malcolmmusa1618
    @malcolmmusa1618 3 года назад +15

    Nakuja kuvunja hiyo rekodi ili mnitangaze, sio mkae kimya nikivuka.

  • @clintonjoas9020
    @clintonjoas9020 3 года назад +15

    Wekeni daraja la miti na ruhusuni mbuzi wavuke,,,wakishindwa waiteni wachina watandike fly over.........vusheni mbuzi tena.ikifeli tambueni hilo eneo kama machinjio ya watu,serikari wapafunge na sio kivutio.

    • @yasinkihupi9583
      @yasinkihupi9583 3 года назад +3

      kukosa kwa elimu ndio matokeo yake hayo. hapo huwez kuvuka accordingly to bernoulli's principle kutokana na irrotational flow ya fluid and pressure inayo result into great force due to high velocity of water and area and pressure ukiruka pia unavutwa chini sababu above the river kuna low pressure and around the river kuna high pressure due to change in crossection area of the river kutoka mita 8 mpaka mita 3 inamaana speed ya maji imeongezeka mara 2 na nusu zaidi its just a physics i love it.

    • @ashachitemo7816
      @ashachitemo7816 2 года назад

      Khaa

    • @sophie777-t8w
      @sophie777-t8w 2 года назад

      😂😂😂😂

    • @agesag.m2476
      @agesag.m2476 2 года назад

      🤣🤣🤣 very true

    • @wasilaahmad7913
      @wasilaahmad7913 Год назад

      @@yasinkihupi9583 elimu hatuna halafu wewe unakuja kueka comment za English,sasa tutajifunza vipi?

  • @issazakaria863
    @issazakaria863 3 года назад +2

    Hongeai waume

  • @eliajason3287
    @eliajason3287 3 года назад +3

    Mambo mengine sy izo traditional believes zenu vingine vipo zaidi kisayans

  • @djdisboy255tz
    @djdisboy255tz 3 года назад +5

    Kwaiyo kirikuu kinavuta scania watu wanene bana🤣🤣

  • @sampachino5184
    @sampachino5184 2 года назад +1

    Milard mpo juuu 🔥🔥🔥

  • @juliethhouseofdesigns147
    @juliethhouseofdesigns147 2 года назад +1

    Likijengwa daraja panavukika yaani maji yanateremka na spidi hiyo unatengemea utavukaje

    • @gamma9590
      @gamma9590 2 года назад +1

      Sijui watanzania tumerogwa na Nan?
      Huhijaji akili nyingi kuona speed ya maji

  • @joycekalembo2225
    @joycekalembo2225 3 года назад +2

    Jana nilikua hapo nafua nguo nikaogaa sana, nimefulia upande wa pili nikawa navuka nakuja upande wa pili..maji yake bariidii..

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 2 года назад +2

    Mnatafuta kuuwa watu sasa, paboreshen ndio mtangaze huo utalii wenu

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 2 года назад +1

    Mito iko hivo, kwingine inapanuka, na sehemu nyingine inakuwa Midogo. Hata ukienda Dar Mto Msimbazi uko hivo.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 2 года назад +3

    Kwanini maji tunayo mengi alafu nchi ina shida ya maji

    • @kingcopper_tz
      @kingcopper_tz 2 года назад

      Jibu ni rahisi tu, Hatuna hela za kujenga miundombinu kutoka kwenye vyanzo vya maji hadi kwa watumiaji, ila vyanzo tunavyo vyakutosha shida ni mtonyo

    • @valentinetesha8536
      @valentinetesha8536 2 года назад

      @@kingcopper_tz akili hatuna sie waswahili tunawaza kupiga ela tuu

    • @suleimankhamis8298
      @suleimankhamis8298 2 года назад

      Ya kwa kweli sisi ni watu wa ajabu sana

  • @edlumala9428
    @edlumala9428 3 года назад +5

    Inasemekana... tuliambiwa.. habari za kusadikika!

    • @brysonuronu5862
      @brysonuronu5862 2 года назад

      Uongo uongo ..tuliambiwa madaraja yanajengwa usiku nk..wafanye madaraja yote vivutio pia...mbona ubungo flyover na mengine yalijengwa usiku na mchana hatukushangaa ..maarifa

  • @mustaphareua2370
    @mustaphareua2370 3 года назад +1

    Noma

  • @geoffreythuku9298
    @geoffreythuku9298 2 года назад +1

    Hapa mimi navuka kwa urahisi sana aisee. Ntawaita mchukue video nikivuka.

  • @freduallughano2301
    @freduallughano2301 3 года назад +2

    Ila waafrika kwa habari za imani potofu hatujambo!

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 3 года назад +2

    Mapato unawazimu kweli,mapato ayo kwio

  • @centlaz1678
    @centlaz1678 3 года назад +2

    njooni kwetu kunae mto unavuka ila maji hayalowanishi ata ufanyeje

    • @born_drip
      @born_drip 3 месяца назад

      Kaka wapi huko

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma235 4 года назад +6

    Hamna historia hapo hapo Maji yamejikusanya ,,maeneo mengine Maji yametawanyika

    • @a.s.afishfarming6225
      @a.s.afishfarming6225 3 года назад

      Nenda karuke pale kama ni uongo

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 3 года назад

      @@a.s.afishfarming6225 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @mashakakayeba9616
      @mashakakayeba9616 3 года назад

      Nenda ukapite uwone sisi watu wa tanga ndio tunajua hap

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 года назад

      hapo unapita vizuri sana

  • @samyspesho1698
    @samyspesho1698 3 года назад +6

    SO WATALII WAJE KUFANYA NINI HAPO WAVUKE AU

    • @qimramaa668
      @qimramaa668 2 года назад

      Kwani nn maana ya utalii?? Acheni tabia za kupenda kupinga kila mnachikiskia bila sababu za msingi

  • @dstaroficial
    @dstaroficial 2 года назад

    Ukisoma bila ya elimu ya kuzaliwa nisaw mtoto mdogo Baba anaita papa yan no saw kama huna akili japo umesoma lands nikupe pakuanzia huenda ukawa naakili ukitupa kitu kinavuka haina shida Ila mtu ndio havuki serekal yenyewe imeweka alama au huioni na Wana wasomi wakutosha sio ww chizi .ndo nyie mkiingiaga 4m one mnaongea broken halafu mnawaina wenzenu hawajui kumbe mnaonekana hamjielew

  • @kilimoajira2457
    @kilimoajira2457 2 года назад

    Watz bwana kwahiyo tuko busy kutangaza ushirikina ndio kivutio? Daaaaaa twendeni shule jamani

  • @ummuhkhalfan5542
    @ummuhkhalfan5542 3 года назад +1

    Bhana we hapo unavuka ukimtegemea mungu co kumezeshana habar za sungura

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 3 года назад +2

    Mi Nashangaa Sana Vitu Vinaonekana Kwa Macho Kwanini Msiende Kuvuka Kuliko Ubishi Nenda Kaluke Nenda Kapige Mbizi Nenda Kaogelee Jipige Picha Au Video Ili Kama Wewe Mkweli Tujue Kuliko Kubisha Kitu Usichokifanya Nikosa Kwako

  • @biggestnasritv2601
    @biggestnasritv2601 3 года назад

    THE BIGGEST BOSS NASRI

  • @dastanlufunda8846
    @dastanlufunda8846 9 месяцев назад

    Tuachen utan kamto tu ako mwanaume najinyosha naruka tu , vip muraa tuwe serious bana

  • @jameskuria1664
    @jameskuria1664 3 года назад +15

    It's so disgusting to see how people believe in wickedness rather than God.

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 2 года назад +1

    Mbona watu wanavuka kila siku. Hakuna cha ajabu hapo.

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 2 года назад

    Sasa kwanini wamasai si mjaribishe ili tuhakikishe🤣🤣

  • @jumakessy7560
    @jumakessy7560 2 года назад

    Mimi nimemsikia huyo mzee anasema hapo juu kuna upana wa mita3 tu lakini hajatuambia upana wa chini upoje, kwa upana wa mita3 mtu akijivuta kwa umbali na akakimbia anaweza kuruka ila ukiteleza ukatumbukia kwnye maji kutokana na kina kasi ya maji huwezi kutoka hapo

  • @kalwinzigiti5710
    @kalwinzigiti5710 3 года назад +1

    Mzee hajatwahi kutoka zaidi ya maeneo mengine kazaliwa hapo naanazeekea hapohapo utalii gani hapo sasa

  • @mbarakaubuguyu7448
    @mbarakaubuguyu7448 2 года назад

    Alafu huyo msimulizi si muandishi wa staa TV

  • @mwanaamasanja7629
    @mwanaamasanja7629 3 года назад +3

    #milad ayo karibu na kwetu sikumoja uone maajabu ya majan ukiyagusa yanajikunja

  • @abuuashyam8417
    @abuuashyam8417 3 года назад +1

    mm nimuislam na nachukia ushirikina
    ila kwahapo
    wallah navuka bila kudhuriwa na chchote kwa uwezo wa allah
    labda iwe maji yake yanakasi au pana shimo hapo itakua najidhuru ila kwasababu ilotajwa hapo eti pamezindikwa wallah napita kwa idhni ya allah hapana chchte kile

    • @yasinkihupi9583
      @yasinkihupi9583 3 года назад

      upungufu wa elimu pole

    • @IbrahimMohamed-yy2il
      @IbrahimMohamed-yy2il 2 года назад

      Maji yana nguvu na Kasi hiyo yanapita hapo hakuna jambo zaidi ni akili tu ya kawaida huwezi vuka hapo. Mazindiko na mengine yanaweza yamefanyika Ila sio sababu kubwa ni maji tu yanakasi na nguvu hilo eneo isingekuwa hivyo maji yametulia tu na mtu huwezi vuka hiyo ingekuwa stori nyengine kabisa

  • @tezuramziray8700
    @tezuramziray8700 2 года назад

    Si ajaribu mtu kuvuka tuone?

  • @sheengazi4245
    @sheengazi4245 2 года назад

    Imani potofu hiyo,Amin Allah tu

  • @ahmedhassan2619
    @ahmedhassan2619 2 года назад +1

    Sisi tunavuka mto wa mita 35 Leo hapo watu wanafeli

  • @dianaaloycemakoi1985
    @dianaaloycemakoi1985 2 года назад

    Good

  • @avisone2334
    @avisone2334 3 года назад

    Mnitafte mm nije chap kuvuka fasta naruka chap msije mkasema natumia mazindiko maana wabongo kuamn ujinga 😂😂😂😂🤣🤣🤣

  • @dulladulla4134
    @dulladulla4134 3 года назад +1

    Huwez vuka coz kuna pull force inayotengenezwa na hayo maji

    • @ghelimafilemon9653
      @ghelimafilemon9653 2 года назад

      Pia mwamba unaozunguka hilo eneo Una iron au chuma, hivyo force ya maji inazalisha magnet na umeme

  • @YusuphMarcOgaga
    @YusuphMarcOgaga 3 года назад +3

    Hapo navuka vizur kabisa ....izo imani za kihuni

    • @latifamohammed61
      @latifamohammed61 3 года назад +2

      Kavuke 😂😂😂

    • @ummuhkhalfan5542
      @ummuhkhalfan5542 3 года назад +2

      Labda PAWE palefu ila kama chini nakanyaga Insha'Allah navuka kbsa

    • @hamiduhamisi2371
      @hamiduhamisi2371 2 года назад

      @@ummuhkhalfan5542 siwezi jaribu ila watu kwa imani potofu wanayaweza huko tabora kuna kijimto frani kilivuma kwajiri ya mvuwa walitutisha kwamba ukiingia kuvuka kinajaa gafra ila sijawahi sikia aliekutwa na hilo hatamie niliwahi kupita kiwoga kumbe hakuna chochote rorote ushizi tu🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶

  • @benjaminkimaro5074
    @benjaminkimaro5074 3 года назад +1

    Mm Naruka Nifate Nikawe DEMO😂😂😂😂

  • @mussakasimu2811
    @mussakasimu2811 3 года назад +1

    maajabu kila kitu jaman

  • @naimaheka6549
    @naimaheka6549 3 года назад

    Mmmh navuka vzr uku tena uku nikiwa naimba

  • @kenmwangzy1001
    @kenmwangzy1001 2 года назад +1

    Hiyo naweza vuka nikiwa nimeketi

  • @juliusmaiko9557
    @juliusmaiko9557 3 года назад +1

    Mmaasai na kuogelea wapi na wapi...
    Mmaasae mpe simba amuue sio kuvuka mto.

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 3 года назад +1

    Yaani watu wamebezi kwenye mapato basi du,

  • @donaldelias6689
    @donaldelias6689 2 года назад

    Yaan mnatamaaa.eti Serikali ijipatie kipato kupitia hapo😂😂😂😂😂🤣

  • @mwanaamasanja7629
    @mwanaamasanja7629 3 года назад

    Maajabu yako mengi sana jamn huku kwetu kuna maji yana chemka kutoka chini ukiyagusa ata kama umeshiba kias gan lazma njaa ianze moja na inaaminika maji hayo yanatoa mkos asilimia mia

  • @sefoo8084
    @sefoo8084 3 года назад +2

    Hahahha eti havuki mtu kisa wamasai hawakuweza. Sasa wamasai ndo manguli wa kuogelea au?

  • @sophie777-t8w
    @sophie777-t8w 2 года назад

    Hawaja pafence wanaongelea nini ...na anaawa mikono hapa mbona hio maji haijamvuta ... Kwanza waafrika na mambo ya uwanga waweke Kando .... Mnavuta watalii aje na mambo ya kichawi ... Andika mambo ya sayansi hapo ondoa uchawi

  • @sirajsh5633
    @sirajsh5633 3 года назад +2

    Napajua hapo uyojamaa alikuaga muwindaji sasakatika halakati zake akatokea katika kijiji kimoja wanachoishi wamasai basijamaa akawa akinda kuwinda anakuja na nyamawanakula wote na wenyeji wake ilaikatokea sikumoja wakatiyuko kwenyemawindo alirusha mshalebahati mbaya ukamkosa mnyama ukampata mtu wamasai hawajata kuelewa wakaaza kumfukuza iliwamuue ndipoalipofika kwenye eneohili akafanyavyakufanya ilikunusuru nafsi yake#

    • @farajamwakagile9647
      @farajamwakagile9647 3 года назад

      Ooh kumbe!? Na wewe ulikuwepo kipindi hicho? Au umesimuliwa kama tunavyosimuliwa sisi tu boss?

    • @mchezakamaliog265
      @mchezakamaliog265 3 года назад

      Kwahiyo unamaana mto huo hakuna penye daraja?

  • @steventibenda5
    @steventibenda5 2 года назад

    ina maana hapo ukiweka kitu mfano machuma au mbao huvuki yote yanasombwa na maji ya kichawi? kisha wazungu wakituita nyani tunachukia sasa kwa mawazo haya wataacha kutuita nyani wazungu?

  • @fasamifaudy6058
    @fasamifaudy6058 Год назад

    physics hiyooo

  • @BethaKIBONA
    @BethaKIBONA 4 месяца назад

    Ni mlango wa kuzimu sio maajabu

  • @mahadshekh398
    @mahadshekh398 2 года назад +1

    Ndio yale yale ya chunusi. Eti jini anayevuta watu kwenye maji. Kukosa elimu ni janga kubwa.

  • @babenealoyce889
    @babenealoyce889 5 лет назад +5

    Historia ya ushirikina korogwe

    • @festovenas502
      @festovenas502 3 года назад +1

      Hahaha

    • @qimramaa668
      @qimramaa668 2 года назад

      Sio ushirkina ila ni tamaduni za waafrika hicho ndicho mlichoaminishwa na waarabu na wazungu ili kutukana na kukejeri tamaduni zenu

  • @evamakoi668
    @evamakoi668 2 года назад

    Heeeeeee

  • @kamaumwenjerwa7032
    @kamaumwenjerwa7032 2 года назад

    UPUZI MTUPU MTANZANIA AKO NYUMA AKILI DUNI

  • @lawrencegwerino1656
    @lawrencegwerino1656 2 года назад

    Toka lini wamasai wakajuwa kuogelea ?😁😁

  • @seifchembela4346
    @seifchembela4346 3 года назад +1

    Tuna maliziana mb tuwe siliasi Sasa apo nakuja kutalii nini nawakat hii nchi inamaeneo yenye vivutio kibao alaf munapost ujinga

  • @tjtv2694
    @tjtv2694 3 года назад

    Adisi yako inatufundisha nn?

  • @jolinkimaro9939
    @jolinkimaro9939 3 года назад

    hivi jamani tumeshindwa kuweka vizuri vyanzo vya mapato mpaka tunataka watalii wakaangalie mifereji na mawe watupe hela? sasa hiyo nini mbona ulaya ni vitu vipo hata miji mikubwa na pia mikoani tunaona tuu.

    • @elizabethmwafongo9867
      @elizabethmwafongo9867 3 года назад

      Kama nimfereji kapite

    • @jolinkimaro9939
      @jolinkimaro9939 3 года назад

      @@elizabethmwafongo9867 hapo nimevuka sana nikiwa nimebeba majani ya mbuzi. hata nikiwa likizo mwezi wa 3 nimepita hapo na kuni. ninashangaa leo eti hapavukwi na jiwe lipo

    • @yasinkihupi9583
      @yasinkihupi9583 3 года назад

      mzee hapo ni somo la kitalii hasa kwa wanaopenda physics kuna vingi vya kujifunza hapo mzee pole sana hahahah

  • @titomfilinge9048
    @titomfilinge9048 2 года назад

    Ama kweli tunaachia maji yotekwendabaharini badala ya kuyatumia kwa kilimo.na kunywa. Whandisi na wachumi hii fursa nzuro kichapusha kilimo kwanza

    • @emmykundy4273
      @emmykundy4273 Год назад

      Wewe huoendi hiyo Fursa au ndio ulishakufa?

  • @laymangoodmusictz3339
    @laymangoodmusictz3339 3 года назад

    Sasa nije kuangalia nn apo

  • @ot8396
    @ot8396 3 года назад +1

    watu mabonge bana😃😃😃😃

  • @gloriamwanjali9371
    @gloriamwanjali9371 2 года назад

    Ukiangalia tu maji yanazunguka inamaanisha maji marefu

  • @khamisihaji2905
    @khamisihaji2905 3 года назад +2

    Dawa yake ni mzungu 2 mumuone km atapita au hapiti mzungu 2.

  • @adamalfred9348
    @adamalfred9348 3 года назад

    Mnacheza nyinyi wazungu hapa wanaselelela mpaka

  • @ridhywizzytz547
    @ridhywizzytz547 3 года назад +2

    sio uongo ni kweli napajua hapo nilipita nikiwa natoka kijijin mgobe wenyeji wa korogwe wanapafahamu sana

    • @KANTANA97
      @KANTANA97 3 года назад +1

      Mbona we ulipita lkn wengine walishindwa

    • @khdigahk4246
      @khdigahk4246 3 года назад

      @@KANTANA97 😅😅😅

  • @deniserick6115
    @deniserick6115 3 года назад

    Alafu we kibonge mafuta kuturusha sisi😀😀😀😀, nyang'au

    • @ramamtoo939
      @ramamtoo939 3 года назад

      sio nyege nenda kavuke sio uwongo unacho ambiwa

  • @issufomussa5227
    @issufomussa5227 2 года назад

    Kirakitu pesa wekeni bure

  • @brysonuronu5862
    @brysonuronu5862 2 года назад

    Haya ni kweli kiwe kivutio sawa kabisa lkn kwenda kuangalia nini? Ikiwa msumulizi anasema Kuna vitu wazee waliweka je Hivi tunaweza hakikisha au andika mahali na kuelezea mauza uza au uchawi na nguvu za Giza.
    Kweli hapo hapana hata level ya kua kivutio au eneo la utalii wa Kijiji.
    Tunaona promotion ya nguvu za Giza .
    Maana baada ya kujifunza hapo unatoka na nini kichwani..

  • @hilalidismas9490
    @hilalidismas9490 3 года назад +1

    Hamna kitu hapo hata hapaendan

  • @suleimankhamis8298
    @suleimankhamis8298 2 года назад

    Na hapo kuna vijiji utaambiwa vina shida kubwa ya maji

  • @mdathirhassan2187
    @mdathirhassan2187 4 года назад +2

    Yasemekana hakuna ushahidi wajanja mwataka hela tu acheni urongo

    • @faridikatumbili4611
      @faridikatumbili4611 3 года назад

      nenda karuke ndio utajua kama niuongo

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 года назад

      uongo kila kitu utalii mnataka pesa tu njaaaa

  • @aimew.5515
    @aimew.5515 3 года назад

    Ningekuepo nngevuka mbele yao 😀

  • @theonlyonebeautiful3726
    @theonlyonebeautiful3726 5 лет назад +1

    Mh hiyo sio imani tu jamani

    • @victorjames3730
      @victorjames3730 3 года назад +1

      Nenda Jaribu kuvuka utajua ni imani au LA!

  • @naimaheka6549
    @naimaheka6549 3 года назад

    Navuka vzr sema sjaamuwa tu

  • @drevapatrick5199
    @drevapatrick5199 2 года назад

    Navuka hapo mda huu

  • @salehesalehe2967
    @salehesalehe2967 2 года назад

    Ninyi mnaompinga ni malofa simwende mkavuke korogwe so mnaijua

  • @faustinmsigwa8764
    @faustinmsigwa8764 3 года назад +2

    Kutoka barabaran pana mita ngapi🤔 tatu au nne!!???

    • @ramsikhamis7083
      @ramsikhamis7083 3 года назад

      😄😄😄Imwenibid nicheke tuu kwa kweeliii

  • @maimunakilindo9621
    @maimunakilindo9621 3 года назад

    Sasa c wamasai ila kabila liningine ndugu zake wanavuka fresh tu

  • @mainakelvin.3439
    @mainakelvin.3439 2 года назад

    waaaah😨😨😨😨😨😨😨

  • @shedrackmwaipopo9427
    @shedrackmwaipopo9427 3 года назад +1

    Ayo nenda na ziwa ngosi mbeya ujionee maajabu

    • @ramsikhamis7083
      @ramsikhamis7083 3 года назад +1

      Kabisaa ndugu Mbeyaa ndo kunavivutio hataree aisee

  • @ancomagu3155
    @ancomagu3155 5 лет назад +3

    HATANYELITE BHUKOMU😀😀😀😀😁😁😁😂😂😂😂

  • @isamony58
    @isamony58 3 года назад +2

    acheni uongooo kunakivutiyo gani hapo mjee kwetu mtwara mujionee mito na milima na mashimo yanayotoka moshiii

    • @aishaamwalimu2887
      @aishaamwalimu2887 3 года назад

      Mimi natamani Kuja kuona tafadhari.

    • @josephmhando6299
      @josephmhando6299 3 года назад

      Nawewe chukua waandishi uvutie kwenu apo tumeonyeshwa ww hayo mashimo yako yanayo to a moshi uako wapi mnapenda kupondaponda vitu msivyo vijua

  • @ramadhanmahongole5663
    @ramadhanmahongole5663 2 года назад

    Wamasai hawawezi kuogelea

  • @hassanlamata2312
    @hassanlamata2312 2 года назад

    Napajuwa hapa uruki mamae 😂😂😂😂😂😂pana historia pana sana wahenga tunaelewa walikuwa wakina osale otango hapo na wajeruman

    • @steventibenda5
      @steventibenda5 2 года назад

      nawe ni walewale wajinga waamini uchawi?

  • @kikiderreck9930
    @kikiderreck9930 3 года назад

    Kama ni mnguu ama mkilindi unapita" ila kabila zingine hazivuki

  • @shekiffu
    @shekiffu 3 года назад +1

    Bonhe afanye mazoez aache porojo

    • @saidmohamed4619
      @saidmohamed4619 3 года назад

      Acha us***nge bro,mambo ya unene na ubonge wake yanakuhusu nini wewe...

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola7512 3 года назад

    Unavuka tu acheni mbwembwe

  • @zolongOne
    @zolongOne 3 года назад +1

    Tatizo ni kwamba asilimia 95% ya watanzania hawajui kuogelea

    • @gamma9590
      @gamma9590 2 года назад

      Huwez kuogolea hapo

  • @embeothman3631
    @embeothman3631 3 года назад

    navuka vizuri tena huku nimefumba macho

  • @benybenedict8170
    @benybenedict8170 3 года назад

    Kuna maagano hpo ya kimiungu

  • @ellywillisgotora1473
    @ellywillisgotora1473 3 года назад

    Huo ni ukichaa sio kwl