Awachezi kimatusi kama wa tz sifa nyingi mpaka wacheza uchafu ata uwezi kuangalia na wazazi wala na watoto nyimbo zao matusi kucheza kwao mungu ndio yuajua
Kweli unaenda kuishi Inchi za watu tunajisikia raha lakini kwetu watu wanalala wakilia kwa sababu kutekwa vijana wetu na sasa wanateka kwa kushilikia na staff wa mbus inaogopesha kukaa Inchi isiyo linda watu wake badala wale tunawalipa mishahara wanawauwa tunahuzunukika Utuombee Mungu atusaidie.
Safi sana Masai mungu anapenda kusifiwa na kuabudiwa bigup❤❤❤❤❤❤❤
Inspiring song . good job
Songa mbele
I love Maasai song and dancing ❤😘
Mungu awabariki wamasaii❤❤
Kazi nzuri
Bravo ma_asai
Napenda wamasai wanavo vaha na wanavyo chezesha mabega
Awachezi kimatusi kama wa tz sifa nyingi mpaka wacheza uchafu ata uwezi kuangalia na wazazi wala na watoto nyimbo zao matusi kucheza kwao mungu ndio yuajua
Kweli unaenda kuishi Inchi za watu tunajisikia raha lakini kwetu watu wanalala wakilia kwa sababu kutekwa vijana wetu na sasa wanateka kwa kushilikia na staff wa mbus inaogopesha kukaa Inchi isiyo linda watu wake badala wale tunawalipa mishahara wanawauwa tunahuzunukika Utuombee Mungu atusaidie.
Sijui mnayafanya hayo mkiwa na aki akili timamu kweli.Mkapimwe afya ya akili