Kufurahi so vibaya kwa furaha yako njema tukumbuke kuwa kuna maisha baada ya kufa tumuombe allah atupe Hidaya ya kuijua haki na kuifuata na kuijua batili na tuweze kuepuka
mambo yanayofanana wakristo waislam 1. huimba ktk huimba ktk iba da zao taraweh ibada zao 2. hupiga ngoma za ku hupiga maulid zaliwa yesu 3.huimba mazishin huimba pia wislamu tufaten din tuachen blabla ktk din sasa hii n nin? 1. kaswida 2. Annashiid 3. Ndumbai za somalia 4. kiduku 5. singeli naımbeni majibu
Wako wenyewe tuuu inaswii atasiria wanafanya haya na huko din iliotokea acha kukosoa brother unataka aimbe bongo fleva, ukt uko juu saaana endelea na kipaji chako, lete haya na hadithi tuone, ukt kaza but
Namuonaa mamangu Siku ya sikuuu jomon. .....Allah atufanyie wepesiii. Inshallah
kipaji kipo bana... ma shaa Allah bg luv 💝💝💝💝👇👇
penye ukwelii pasemwe.. mashaallah mwayaa. bibiye umeimba.. vzur.. nanyii wengine.. majungu kapikienii ugalii huko.. ..huku Allah atoa sisi waja kufikisha kebei na maneno machafu c Pahala pake...
Lete uthibitisho wa haya yanayofanyika yako yamo kwenye dini
Maharat Shafiiq
Haina haja kuvaa ushungi nahuyo mwanamumea kavaa kanzu kofia vazi ladini wallahy yasikitisha sana dini kuitumia munavyo taka nyinyi wasokua waislamu wanawacheka
Mashaallah mwanacha hongera lakini mungu awaongoze nyote
Mnanda safi unafaa nikaupiga kwenye kipindi changu cha radio ...beat za uswazi
dada mashallah mungu hakujali na kazi yako inshallah sauti tamu ajabu😍😍😍😍😍
Mashallah dada unaimba vzuri napenda kasida zako🐸🤗🤗
Yaani sana tuu🤣🤣🤣
Mashallah 😍😍😍😍😍
Mimi nawashangaa sana wanawake wanazidi kupotea ewe Allah vinusuru vizazi vyetu visije fata mkumbo huu
Ustadh hafidh ukweli na kukubali kutoka mwanza
Kufurahi so vibaya kwa furaha yako njema tukumbuke kuwa kuna maisha baada ya kufa tumuombe allah atupe Hidaya ya kuijua haki na kuifuata na kuijua batili na tuweze kuepuka
Ukhty mwanacha mashaAllah wenzake mbona hawapo kina ukhty Adila
Allah atuongoze waja wale lahaulawalakuwwataillabillah jaman tumuogope Allah wanawake mix n wanaume
Waafrika ndio asili yetu iyo tusilaumu san
Yaa Allah tuongoze waja wako tunapoelekea sipo.
Mashaallah💃
Ah hamna ishuuuuuuuuuuuuuuuuuuiuuu hupati sapota kwang utanilipa mb zanguuuuuuuu
Ndio sio kaswida ni miziki Allah atustiri wajawake
Masha Allah taala
Hongera
Nashangaa kuona wamevaa kiislamu namaushungi kichwani nyuso mumejipamba na mapiko muna jua vizuri niharamu mwanamke kujionesha mapambo yake baadae munajiweka katika mitandao
Wooooooow amazing, nzr sana mwana ur fellow from super credit , perfetion
Ipo vzr sana
mambo yanayofanana
wakristo waislam
1. huimba ktk huimba ktk iba
da zao taraweh
ibada zao
2. hupiga ngoma za ku hupiga maulid
zaliwa yesu
3.huimba mazishin huimba pia
wislamu tufaten din tuachen blabla ktk din
sasa hii n nin?
1. kaswida
2. Annashiid
3. Ndumbai za somalia
4. kiduku
5. singeli
naımbeni majibu
Mahashallh
Umeolewa mwana
Mashaalah
mashallhu Mpo Vizuree Sana Ntawapata Vipi Jamani
Piga No 0 7 7 2 2 8 5 5 4 3
Usislamu umechefuliwa jamani allah atuongoze
Wako wenyewe tuuu inaswii atasiria wanafanya haya na huko din iliotokea acha kukosoa brother unataka aimbe bongo fleva, ukt uko juu saaana endelea na kipaji chako, lete haya na hadithi tuone, ukt kaza but
@@saidimhina4632 Innalillah wainna ilah rajiuun pole sana
Maaaaaasha--allah ama pongezi kwenu
I love you ukhty mwanacha and qaswida
Maasha Allah umeisoma vzr hbbty😘
Kwa Mungu kuna mengi cku ya hukumu Allah atupe mwisho mwema maana huku tunakoendea mtihani
Allah maaaAmiiiiiin
Aisha Said tena saana
Aameen thumma Aameen
Inshaallah
Amiin
Aisha Said Amiin Yaa Rabb
Mtume wa Allah haongopi wanawake mtaenda kuungua jamani mmejiachia hamna hata wasiwasi
Allah ndie hakimu
Haswaaa sisi waja hatufai kuhukumu hivyo
Jamani sasa mnatuimbia taarabu daarr dini aitaki ivyo
Mashaallha
mashaarah saf sana
Khadija
Mashaallah
Leleeleeeeeeeee💕💕💕💕💕
Mashaallah💯💯💯
Maashaallah
masha Allah
Mpo vizuri
Namkubal sana 🤗
Mashaallah dada
Mpaka mwanamme katikati mh
mashallah
Waoooooo hongra san
Mama anachart
Leteni ushahidi wa haya yanayofanyika jee kuna mwenye aya au hadith kuwa yanakubalika kwenye dini si kuitana sheikh tu
Mashaallah
Hii nibongo freva au nin
Ingekua Singeli Ungeielewa
❤️❤️❤️👌🙏
Goma la night hlo atari sana 😄🤺🤺🤺
Assalamu walaykum mashaallah naomba nitumie hiyo kaswida kwenye whtspp +968 98036135
❤
Acheni kupiga Ngoma
Show ya kibabe hii nimekubali show
Hapo ni mtihn kwa mungu mana hkuna Aya wala hadith inosema hivyo but ndomna izo ndowa ikawa hazikai kwasbbu sisi tunazihusud
Haya bwana
Hamna lolote katafteni miswala mukaombe msamaha uislam hauko ivo
nakukubal bro
Kabisa
Home sweet home
Hy
Iyo kauli ya Qaswida tamu inatukera sisi mashabiki zenu tadhali msiludiyi tn
Uyo mwanamme vp mbona hajielew anajichanganisha na watu km iv
Mbn mnaimba qaswida kama taarabu hii ni IPI tena???
Mshaallah upo vizuri mungu akuzidishee
Hicho iloooooooooo woi woi woi woi mchuzi juuuu.jicho nyanya mm sipendi malele napenda jicho 2
Naomba namba zako zakazi nnashuhuli...please
0772285543
Hiyo ni taarab sio qaswida
Naima Mohammed
Naombeni Audio waps lpz 0653246101
lelemaleee ipo hko chumban nje kuna shangweee
Nimeikubari iyo dufu uwo mkito wake so pouw
Mashallh jamn naombeni audio yake wsp 0653246101
Mna jsahau dd zetu mikono full piko kama hamna wa ume
ningekupenda Endapo Ntaona Unawfuat Mashauz Kuwapa aya Na Hadithi But Kwahii Kaswida Huja Nena Bado
Zainab lete ushahidi wa haya yanayofanyika jee mtume s w a aliyafanya
Mashallah❤🙏👌
Toeni number plz
0772285543
Where can I contact her I need her to perform my daughter wedding
please text me on +255772285543
Ibrahim Zancom okay
Safi na Mashaallaah mwanacha nisalimie wana Zainu wote wambie Asmu Sai nipo 0773662020
Said Omar
Jaman sasa huyo mama na hiyo pesa ndo haitok kaishikilia tu dah 😅😅
🤣🤣🤣
😂😂😂
Audio yake jaman naombeni au n8ambieni inaitwaje ni douwlod
Malufuku''dufumoto
mmmmh umedamshi
Mwanzo wa kuharibika ndoa ni hapo
umeona Hilo Tu
Ivie songs
Kila mtu akiwa na shuhuli yake Anafurahi anavotaka
Amkubali kivipi
Mimi ndio nashangaa
Wakwanza
Kinyesi cha tembo
Pambeeee
Na ndio maana duff lime ambiwa ni haram
Nani ndio kakwambiy kuwa dufu ni haramu?!?
kajambe
Segere lipojuu sana
Ila iyosio qasida bali ninyombo
Uko vizury 😘😘
@@mamymamy7938 Na wewe pia.
Mwanacha mm baby wako ALI makapwa WA daraja bovu madukani namba ZANGU hizo. Nitafute hebu 0777243590
Mashallah
mashaallah