Wananchi watoa maoni mseto baada ya Gavana Mwangaza kubanduliwa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024

Комментарии • 93

  • @MaryMbai-xm8ne
    @MaryMbai-xm8ne 2 месяца назад +1

    ingieni mashinani msikie maoni ya wa meru mama ako sawa pesa ndio wanataka waweke kwa mfuko zao mungu anawaona

  • @Gorgeousij
    @Gorgeousij 2 месяца назад +21

    Mimi bado nasimama na mama

    • @benjaminosura7665
      @benjaminosura7665 2 месяца назад +4

      Mchukue umpeleke kwenu basi

    • @annekariuki4734
      @annekariuki4734 2 месяца назад +1

      Aingiee Teena Kwa ballot tuone kaa atarudi muhakikishe hajaiba kura is she interested in vieing

    • @saletiteke
      @saletiteke 2 месяца назад +1

      we zidii tu kusimama na mama sio hatia

    • @MaCp-n5w
      @MaCp-n5w 2 месяца назад +1

      Ashabanduliwa saa hii ni pastor mtakutana kanisani

    • @Gorgeousij
      @Gorgeousij 2 месяца назад

      @@MaCp-n5w
      Amen

  • @Ken_W254
    @Ken_W254 2 месяца назад +10

    Now the highway to looting has been opened. Meru residents mnaenda kulia zaidi.

    • @WillisAli
      @WillisAli 2 месяца назад

      Kwenda wat do you know about the meru...... Nuguu

    • @amosmasika4862
      @amosmasika4862 2 месяца назад +1

      ​@@WillisAlikuja kwanza ulipie vitu ulikopesha kwa duka wewe

    • @Ken_W254
      @Ken_W254 2 месяца назад

      @@WillisAli Give Mama a working space. She gonna be in office for 2 consecutive terms

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 2 месяца назад +4

    Chukii ndie mingi, Kawira ako sawa ni vile tu ni mama.

  • @irineadisa7289
    @irineadisa7289 2 месяца назад +2

    SNIPER is Working hard,Rip Man.

  • @MicheniMartin
    @MicheniMartin 2 месяца назад

    Watu wa chini ndo walichagua mama, kwendeni huko kawira Ako sawa...mutuma aingia ground 027 aombe kura

  • @FREDRICKASAVA
    @FREDRICKASAVA 2 месяца назад +13

    Tamaa ya deputy governor

  • @husseinkonde7348
    @husseinkonde7348 2 месяца назад

    Mnashida sana wameru😂😂

  • @dylankanyubi3700
    @dylankanyubi3700 2 месяца назад

    Aii! Nilisoma hivi mauzi kwamba alipata afueni. Mbona hii sasa?

  • @Mieye788
    @Mieye788 2 месяца назад

    Sniper spirit is still fighting for justice iyo spirit iko happy sasa hata kaa hajazikwa

  • @kiddieboy2549
    @kiddieboy2549 2 месяца назад +5

    Tutaingia kwa balloots ....tutawapeleka nyumbani nyote😢😢😢mnataka tu kuiba

    • @annekariuki4734
      @annekariuki4734 2 месяца назад

      Will governor kawira vie if she did she would get back the electrolyte to elect her again I wish she get to the ballot we see whether she can come back without stealing votes '"

  • @bonifacewachira2080
    @bonifacewachira2080 2 месяца назад +4

    Mngoje wizi kwa sasa

  • @kiddieboy2549
    @kiddieboy2549 2 месяца назад +9

    Im sad ......MCA Shame on you!!!!!!😢

  • @josephkanyugi3799
    @josephkanyugi3799 2 месяца назад +6

    Women have no space in Kenya politicks. Even those who are in elected posts face untold mistreatments.

    • @b.9811
      @b.9811 2 месяца назад

      They have, but politics is a dirty game

  • @Elibuk
    @Elibuk 2 месяца назад +2

    Women leaders should be given a chance in Kenya but due to the corrupt government system executive system

    • @MutaviMuthama
      @MutaviMuthama 2 месяца назад

      Bona ingekua ni mwanaume amgesema ni victimization juu ni mwanamke kwa hivyo Sheria isifuatwe

  • @b.9811
    @b.9811 2 месяца назад

    Sakaja pia atolowe😊

  • @zakayomwamba7475
    @zakayomwamba7475 2 месяца назад +1

    Very soon utasikia wakisema mama alikuwa sawa.Take this to the bank.

  • @nkizurimwinyipande8322
    @nkizurimwinyipande8322 2 месяца назад

    Zakayo you are the next

    • @WillisAli
      @WillisAli 2 месяца назад

      babako....

    • @nkizurimwinyipande8322
      @nkizurimwinyipande8322 2 месяца назад

      @@WillisAli usiwai nitusi ww kondoo wa kike nisiekujua watoka na wapi

  • @MicheniMartin
    @MicheniMartin 2 месяца назад

    Furaha ya nini, nkts....ghasia...heri kawira mara mia

  • @AntonyMwanzia-p6e
    @AntonyMwanzia-p6e 2 месяца назад

    Express way of looting has been opened kwendeni muibiwe kabisa and i promise u hamtaona maendeleo wivu wenu ni vile ni mwanamke na wameru huwa hamtambui uongozi wa wanawake but mtajuta

  • @MichaelMbuva-gv1iy
    @MichaelMbuva-gv1iy 2 месяца назад +3

    Nyinyi ni ma ubwa mtalia sana sasa.

  • @antonynjoka7318
    @antonynjoka7318 2 месяца назад +2

    Gavana kawira can still appeal through our courts for a hearing including Meru voters

  • @antony-5321
    @antony-5321 2 месяца назад +1

    Hao watu wamepewa opportunity ya kuongea wamelipwa hao wameru wanataka mama

  • @Nickson-z8l
    @Nickson-z8l 2 месяца назад +1

    Baringo also we are on CHEBOI

  • @BROTHERBEN-ic4uk
    @BROTHERBEN-ic4uk 2 месяца назад

    Ruto 20yrs 🫱🫲

  • @annekariuki4734
    @annekariuki4734 2 месяца назад +1

    Mama mugawaa chakula sawasawa amenyiima mabwenyenye nafadi ya kuroot...givernor enda sasa uhubili ijilii tubu kaama all those accused for you have done..peace be your potion you have tried fighting imeshidikaana..

  • @dorcaskiptui9074
    @dorcaskiptui9074 2 месяца назад

    Kaende kaende nasimama imara na mama justice kwa mama

  • @Ngasike-t2i
    @Ngasike-t2i 2 месяца назад

    MbaiTE 😂😢Reporting From MErU😅

  • @josphatkithure3535
    @josphatkithure3535 2 месяца назад

    Non of meru MCA's understand Kenya constitution

  • @lucyoyiela6718
    @lucyoyiela6718 2 месяца назад

    Hivyo hivyo muliwacha kumusikia uhuru mukamusikia ruto sahizi munalia

  • @Bonfacemogoa
    @Bonfacemogoa 2 месяца назад

    Ajana naye amalize miaka yake tano

  • @Bonfacemogoa
    @Bonfacemogoa 2 месяца назад

    Kama wanatoka wote Hadi deputy wake

  • @samjuma4207
    @samjuma4207 2 месяца назад +3

    Ruto pia anafaa abanduliwe

  • @joshmzungu2264
    @joshmzungu2264 2 месяца назад

    kumbe ni viti mlikuwa mnatafuta

  • @martins.k3359
    @martins.k3359 2 месяца назад

    Is it Melu or Meru?

  • @football.431
    @football.431 2 месяца назад

    Pigweni radio mapepo nyinyi wivu ndio mingi mashetani

  • @Linet-d7j
    @Linet-d7j 2 месяца назад

    Mtajua hamujui, kama president ameshidwa na hii sembuse governor

  • @babuuosama8752
    @babuuosama8752 2 месяца назад

    Pongezi Mcs meru katiba lazima ishimiwe No one above the law this is the way to go 2027 any one going against Our Constitution must be removed Ruto follow the Constitution or else BABA will never save you 2027 Gen Z's watching still Revolution loaded 2027.

  • @jameskiambati9816
    @jameskiambati9816 2 месяца назад

    Askari jela mtawezana na yeye

  • @BrianKEya001
    @BrianKEya001 2 месяца назад +2

    Chauvinists ...pathetic in this era

  • @samsonmuisyo6990
    @samsonmuisyo6990 2 месяца назад +1

    Meru is now thrown under the bus.. MCA'S wanted the opportunity to steal in preparation to 2027. To hell

    • @sunguraniwewe
      @sunguraniwewe 2 месяца назад

      I support your view.

    • @annekariuki4734
      @annekariuki4734 2 месяца назад

      Very under the bus...mabavu mabavu wizi choose wisely otherwise mutaona

  • @jameskiambati9816
    @jameskiambati9816 2 месяца назад

    Waende election

  • @fancyfootballhighlights
    @fancyfootballhighlights 2 месяца назад

    Ati ule anakuja kuchukua utamu😂

  • @Stephen12.
    @Stephen12. 2 месяца назад

    Kawira delayed to dissolve county assembly.

    • @Travelwithfred
      @Travelwithfred 2 месяца назад

      She doesn't have a right. Only the president

    • @Stephen12.
      @Stephen12. 2 месяца назад

      @@Travelwithfred she had to petition the president under article 192

  • @jameskiambati9816
    @jameskiambati9816 2 месяца назад

    Wacheni wizi na umalaya

  • @samk7190
    @samk7190 2 месяца назад

    Hio furaha itakuwa kilio gonjeeni 1year

  • @KylianNguma
    @KylianNguma 2 месяца назад

    Leave kawira alone

  • @bakarichoga
    @bakarichoga 2 месяца назад

    Reporter 😂😂

  • @bonifacewachira2080
    @bonifacewachira2080 2 месяца назад

    MCA's mnaenda nyumbani nyote

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 2 месяца назад

    Ombeni huyo atakae shika sija mkasema ni mubaya kuliko alienda

  • @MartinezzJT
    @MartinezzJT 2 месяца назад

    Ntoithinkya kutoka Ukraine 😅😅😅

  • @e-nafnaps
    @e-nafnaps 2 месяца назад

    Why are the other six women governors not undergoing same fate. Kawira lacks leadership qualities

    • @veronicahmugane2330
      @veronicahmugane2330 2 месяца назад

      It's because Meru men are alpha men...Mila Yao inakataa women leadership

    • @TheCityOntheHill-n2o
      @TheCityOntheHill-n2o 2 месяца назад

      Kindly note;the major distinguishing factor from the other six is that :-Mwangaza won as an independent candidate.

  • @Ngasike-t2i
    @Ngasike-t2i 2 месяца назад

    FULAHA,MELU,KAWELA, Ngavana😂😢😅

  • @LucasGatobu-pn4tp
    @LucasGatobu-pn4tp 2 месяца назад

    Atakua puppet

  • @LucasGatobu-pn4tp
    @LucasGatobu-pn4tp 2 месяца назад +1

    Hiyo mutuma atakua puppet ya MPs

  • @AntonyMwanzia-p6e
    @AntonyMwanzia-p6e 2 месяца назад

    Express way of looting has been opened kwendeni muibiwe kabisa and i promise u hamtaona maendeleo wivu wenu ni vile ni mwanamke na wameru huwa hamtambui uongozi wa wanawake but mtajuta