Huyu msee ndio anafanya Jay akae alisomea hesabu kwa dirisha😆😆😆😆 Hio mia mbili umempea ni 50 cent ya Kuwait, meaning 1 kuwait shilling ni 400 ya Kenya. Actually it's 480 now.
😂😂😂😂Watu utoa ukitake your bag kwa finally door mimi utoa coz watu ukusoma na magaidi ni wengi watakufanyie ile kitu,,, better wajui ata umetoka mombasa,,, unaweza kuwa wazimu once😂😂😂😂
Lazima achanganyikiwe sababu anaongea kitu yenye hajui, huyu ametoka Kuwait ya, kiambogo nkt... Na suitcase moja empty...but ni job ya kutafuta views...
Kumbe hii tabia ya kutumia watu pesa hata wavulana wako nayo mm hudani ni madem pekee hw comes dem hata hujazaa na yeye unashinda kumtumia dooh sure overs mtu akiwa na pesa wengi hucheat ukatae ukubali ila kuna wengine wa kujitunza too
Does he k ow what he is talking about in regards to exchange of currency? 😂😂 At first I thought it was an error mpaka akarudia na Jay akarudia na he did not correct it.
My dear watu utoa kwa final door chanuka dada airport si kuzuri wakitambua umetoka gulf utafanyiwa ile kitu unaweza lala ukajisahau hao watu wanakuanga airport unadhani wanangoja mtu but zii
What aki wanawake wengi siku hizi ni maubwa Sana,unapata MTU anatake care of you then hutosheke,kwani hiyo shimo haiwenzi ngoja Hadi your man arundi am so disappointed by us womens
Hizi drama fake za airport Jay wachia akina Levvyne, Moha etc...they"re certified fake so wacha kujiaibisha.... although aibu na drama manenos ushazoea after faking Bella's infamous kidnap drama which enabled u buy a Nissan Xtrail 😮😮
Kesi ya ule mkalee mwenye alikua jeshi akaacha job for family ilifika wapi?
We need a follow up
We really need to know
Hio ilikua script
By the we need follow up on what happened
@@mamalao8574watu waliamini ati ni ya ukweri... Kipindi after kipindi....
Jay your camera man does not disappoint 😂😂 anamulika mahaga tu
True k familiy nifikisheni 2k
Nipitie pia
Ushapata yangu
Na wenye tuko loyal even to ourself hatupati wanaume wakutuoa😢
Aki,mpaka unauliza mungu maswali
😂😂😂😂😂😂
Ukweli kaa mimi
You can say it again
Aki say that again
The way they hugged each other like mpaka nikaona like wanapendana sana kumbe Behind the scene😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Hii comment imefanya nikimbie karibu nianguke
😢😢😂😂😂😂😂😂 maneno ati relationship 🙆🙆🙆
They says what ?Pretenders are worse than Murderers MERRY CHRISMAS MAMI
That also reminded me tof the video song Njata yakwa By the LEGEND John Demathew and Sabina Chege😂😂😂😂😂
Huyo mwanaume ata vile anatembea nikama mzigo imemulemea juu hiyo hug
This boychild so cute❤nipee nmbr na cm tuanzishe fmlia huyu nikisirani hadi anakuchapa..tafuta team strong watu wako crious na life😂😂
@carolinemutende7731 bana Mali safi hivi
Kuna watu awako serious na life, na walio serious awapati watu kma hawa,, wanapata visirani tu 😢😅
@@ashamjeni292 emgn aki
Omba namba yangu
@@CentBrown cjakuona tuma photo kwanza🤣🤣na uwe loyal
Wow Kuwait 🇰🇼 salary ni poa aje na mm nko hapo Saudi Arabia for good 4 years but nothing si nipate job huko❤❤❤❤😮😮😮
Tuconnect my brother hata ss tunaweza taka kueda abroad manze
Jamaa amekaribishwa na hug,kiss ,kupigwa alafu break up🤣🤣🤣ladies 🤔🥲
😂😂😂😂
Cameraman nsona unaelewa kazi yako vizuri.The nyash is nyashing
Ata mim naona ntaija jay anifanyie hii kitu 😂najua kitaniramba mbaya 😂
I would like to work in Kuwait. I need a Connection ASAP. True K.. push on this. Kindly.
Kujia connection pia mm nko Kuwait bora uko n commission
😂😂😂😂😂 mapenzi ya mbali shikamoo ❤❤❤
😂😂😂
Aki ya nani Jesu 😂😂😂😂😂
😂😂😂
Ukiwa inje ya nchi ukirudi utarambwa wacha ufike kwa hao dear utashangaa😂😂😂😂😂😂
Weee bro huyo siyo mwanamke run for your life bro
My bro pls run for your life,, hugs zote izo then imefikia kwa mangumi na mateke 😢🤔🙄
Mjamaa anaweka dame na dry spell 3 yrs kube vitu alipeana kitabo akuje from kuwait
1bob ya Kuwait 🇰🇼 ni 506shs ya Kenya 🇰🇪
Connection pls😊🙏
C mtupee connection aky
C mtupee connection aky
Kumbe hizo hug and kisses ndio zilikuwa za mwisho 😢😢😢
😂😂😂
😂😂😂kua mpole....na vile usiku kungewaka
Weeee😂😂😂😂
😂😂😂
Hapo ukute kakuliwa jana na boy mwingine anajifanya kumkumbuka mme wake 😂😂😂😂😂 ila hii uongo hadi aibu
Kikuyu young man , you are so smart for what you planned
Mali safi lakwe minji minji
Dio hiyo sasa mambo imechemuka
Woooooiiiii may God remember our boychild 😢
Jay nipee huyu bwana😂😂😂 mm nko saudia😂😂😂😂😂
Bro run for your life😢😂😂
Siku hizi no trust Kama mko kwa nyumba mke na mume na mnacheat what if akiwa mbali 😢pole sana bro
Pole boy child.
Lakini huyu jamaa amefanya nicheke 😂😂😂 the way anauliza Jay, serikali Iko aje, how is Kenya ? 😂 😂 weee watu wa diasporas 😂 nikii manii
Huyu jamaa alijichocha na ati kifaa matako kubwa ilikudanganya ona sasa bro kimekuramba😢
.
Huyu msee ndio anafanya Jay akae alisomea hesabu kwa dirisha😆😆😆😆 Hio mia mbili umempea ni 50 cent ya Kuwait, meaning 1 kuwait shilling ni 400 ya Kenya. Actually it's 480 now.
Jay shikanisha...anakuita jay Man...hasemi dem anaitwa gimaa
Jay jay nitakuita mala gapi wapi hiyo Next please inakaa moto sana
Sasa iyo bag mko sure imetoka gulf😅😅😅😅hata zile karatasi huwa tunawekewa kwa bag kwani ashazitoa
I wanted to ask that pia
😂😂😂😂Watu utoa ukitake your bag kwa finally door mimi utoa coz watu ukusoma na magaidi ni wengi watakufanyie ile kitu,,, better wajui ata umetoka mombasa,,, unaweza kuwa wazimu once😂😂😂😂
KITOO your the best camera man for Jay keep up the good work
Hapo kwa kutoka gulf apana...maybe kisumu ama mombasa 😂😂😂
Mimi hushangaa watu hupata wapi watu wanawapenda surely sisi tunapatana tu na vitu zingine
Hki
Huge hug machumchum then boom heart break fear jezebel mbinguni tutapewa mwili mpya this is not fair vile pesa za mwarabu tunazipata nakupitia
Kweli kabsa maisha ya gulf ni ngum san wanawake hawajitambui
Fear ladies,kiss ,hugs,and she knows very well anacheat, fear us 😂😂😂
😂😂😂😂
I guess Judas alikuwa na hormones za kike
😂😂@@vincentkipkorir9262
Kisses za uongo ni kujifanya tuu!!
Huyu mama ata si rika yako 😢 wah kijana wa wenyewe pole
Jay unacheka nini?naona smile yako tu
Bro mwanamke mwenyewe anakupiga ,aki hii supergett tunakula gulf wuuui shida😂😂😂😂😂😂😢😢😢
Huyo mwanamke ako na nguvu 😂😂😂😂😂
+ stress woooiii😢
Punguza sauti naniii😂😂😂
Iwish your msichana angejua anaenda kichinjio
Wallah wanawake wakenya ni vibure san na nimalaya hawasubir duuh sai angejuw tupo huku miaka mingi
Point of correction bro!! its not like as you have said!!! It's 1 Kuwait 🇰🇼 diner is kenyan shillings 490 plus.
@platou3208 That makes sense. I was wondering from his explanation, how in Kuwait, one can make money, if it has a weaker currency than Kenya.
Lazima achanganyikiwe sababu anaongea kitu yenye hajui, huyu ametoka Kuwait ya, kiambogo nkt... Na suitcase moja empty...but ni job ya kutafuta views...
@@daviesgracie9920hata haina zile tags za kuwekewa airport,kwani hana hata hand luggage,hana hata jacket vile ndege huwa kuna baridi
Hey can we buy friends
They hugged mpaka jay akamwaga mate...
So you mean "crocodile tears" is still living?
Hii ndio ya kwanza nimeona kwa macho yangu! Wah😢😢😢
Kumbe hii tabia ya kutumia watu pesa hata wavulana wako nayo mm hudani ni madem pekee hw comes dem hata hujazaa na yeye unashinda kumtumia dooh sure overs mtu akiwa na pesa wengi hucheat ukatae ukubali ila kuna wengine wa kujitunza too
Hizo hugs nilizishuku
aki mm nitaenda Airport ningoje mwenye anaachwa nijukue sure ju mm sijapata mshikaji mmmh
Ukichengwa tulia...tafuta mnyonge nawe pia umegee...inarudisha hadhi ya kiume bro...😢😢
Nipee hiyo connection mimi ya Kuwait
Jay story ya Keyboardist na pastor Sarah iliendaje mbona hakuna folloups
Kenya is a free country so ni lazima bt uko inje watu tunaumia😢😢😢😢😢
Watu hupata bahati ya wazee😢😢Nani aliniroga
Nyota hauna
😂😂😂😂😂 Yani swali ya Kwanza umeniletea nn nyangau ww
Angefanya family planing asizae yawah
Camera man vile unamulika hiyo rasa ya Wanbo uuuuuwiii
Mnashidwa na mwanamke mmoja 😂😂
Sasa sisi tuko huku gulf single namututaki sasa ona bibi ameishi kukuliwa na were in dry spell
1KD ni karibu 500ksh, so huyo aandikiwe script na facts😂😂😂😂
@carolinemutende7731 DONE ✅️
One day you will wake up and there won't be any more time to do the things you've always wanted. Do it now.
J ukienda Kuwait ukirudi tunakufanyia sanitization kwa airport.
Nimali..kuliko.ule..yako jjj..kweli musaliti..wew
Run for your better future bro
Sarcastic laugh ya Jay 😂😂😂akijua hiyo ni last meal 😂😂
😢😢hadi nikafeel for this guy
Does he k ow what he is talking about in regards to exchange of currency? 😂😂 At first I thought it was an error mpaka akarudia na Jay akarudia na he did not correct it.
1kd in Kenyan Shillings?
496.038931 KES
1 KWD = 496.038931 KES
Jay wewe wacha vituko za kucheka ukijua mbele ni kimbaya eti sisi tupike makofi tu.
Fundamental relationship bro we are waiting man
Jay,can you ask that man if he can connect to to Kuwait am coming Kenya soon
I like connection ya Kuwait pia.
Raha jipe mwenyewe pila stress 😅
Jay nipee huyu jamaa, niko gulf😂😂😂
Jay wewe wacha vituko za kucheka ukijua mbele ni kimbaya eti sisi tupike makofi tu
Our boychild need prayers they a going through alot in the hands of daughters of Delilah
Hapo kwa pesa mme tulenga pesa ya kuweit ndo ikfka kenya iko juu ya kenya kuweit ni Upuuzi
Hizo hag ndio zitakuwa wakati wenye walikufa watafufuka.kumbe itakua Raha hivo kuonana Tena na na wenye walituacha
Jay wee ni mpenzi mtazamaji😂😂😂😂
Hio bag naishuku,wapi zile tupapers ustikushwa kwa bag ?anyway ni movie.🇦🇪
My dear watu utoa kwa final door chanuka dada airport si kuzuri wakitambua umetoka gulf utafanyiwa ile kitu unaweza lala ukajisahau hao watu wanakuanga airport unadhani wanangoja mtu but zii
Weee watu utoa kwanza Ju Ya Taxi men 😂😂😂😂
Wah neke na kikuyu 😂😂😂😂😂team gulf
Jay please tell that guy to connect my son to Kuwait
Ati aconnect ur son Kuwait 😂huyu anatoka Kuwait ngani,kuwait ya kiambogo........Ati bob ya kenya ni 400 ya Kuwait nkt....
Yess its true 1Kuwait Dinar=ksh400,the guy is not lying@daviesgracie9920
Kuwait na suitcase empty 😂😂wajinga ndio waliwao
Ashang’oa hadi tag ya kitravel nkt!!
but then again who travels from abroad with a single suitcase looking like it weighs 4kgs?
Shody acting that bag is smh empty😏😏🙄
😂😂😂😂 kumbe nowadays mnafunguka macho.... Mlichanuliwa na watchdog, hii inakuanga job...
Bank account bro
I always come standing only with my handbag nasina pressure.
Wacha wivu if you've never travelled by air..tags unatoanisha na kutupa dustbin.then now no need kubuy vitu ukam kusumbiana na kra
Kuwani furah Ico wapi❤
😂😂 jay a good adviser, ,"peleka kwa nyumba kwanza ufanye mambo kwanza .....,,". 🔥🙌
I told you guys toka ka gaidi yako uku😢😢😢Bure kitakuramba😂😂😂😂😂😂😂
Jay nkifka cku ntakua narudi uta nkujia tu lazma kieleweke AirPort na mzee kabla tuelekee Malindi
Hahahahahah hii imeweza
😗...msichana is a big risk taker,na kisses ni kama tu zile za Judas.....ata habaduki kwenda kumlaki ati am busu!!!!!!😙😙😙😙..Kuna watu na Viatu.!
I know,I know alafu boom💥
What aki wanawake wengi siku hizi ni maubwa Sana,unapata MTU anatake care of you then hutosheke,kwani hiyo shimo haiwenzi ngoja Hadi your man arundi am so disappointed by us womens
Hiyo nyash iko hivyo ama inaongezwa ujuzi wa kutingiza
Tuishieni Kuwait pia sisi Kenya zii
😂😂😂😂😂 nacheka hata sijui nacheka nini😂😂😂
One Kuwait currency( DINAR ) as I'm writing this is 502 Kenyan Shillings kumbe ni acting
Hizi drama fake za airport Jay wachia akina Levvyne, Moha etc...they"re certified fake so wacha kujiaibisha.... although aibu na drama manenos ushazoea after faking Bella's infamous kidnap drama which enabled u buy a Nissan Xtrail 😮😮
Huyu anasema nni I Bob ya Kuwait dio 400za kenya
One Bob ya Kuwait 🇰🇼 ni506shs za Kenya 🇰🇪
It's true
Sure
It's true confirm kwa Google😅
Connections
Jey umenibamba Leo abandu ba faulanga baarie watching you from Doha Qatar
One bob ya KENYA ni shilingi ngapi za kuwait😂😂😂😂
3yrs una expect rosecoco ikungoje tu
kitu hunishangaza is how people act lol