Nimejaribu kumuuliza dogo angu flani hivi wa 2004 unamjua TID kanijibu hamjui. It's normal kwa hawa wa 2003 kuendelea kutokuwajua, na pengine kashawahi sikia mziki but hajui nani kauimba
Mimi wa 98 ila simjui msanii anaitwa TID wala sijui miziki yake na kama ipo basi sio ya kizazi kipya hawezi kucompete na akina abby chams ambao ni wa kizazi kipya ...😂
Nmesoma comment zote then nikamskiza charmy I don't think she is wrong guys si poa kujudge watu, mbona wapo mabinti kibao mjini wasojua kupika sima ni mtazamo 2 waluhya wakenya msininunie
Watu wengine wapuuzi dawa zilisha muharibu,mie nimtu mzima lakini sijui kusonga ugari because nimezaliwa karagwe sisi hatuli ugari so why should i know kupika ugari??????upuuzi kweli kweli
TID.....acha ushamba. Hiyo Tradition unayoizungumzia ni ipi sasa....unazungumza Kiingereza chako cha Form 4 kila mara kwenye interviews zako ndio TRADITION hiyo
Sasa TID si alikuwa anafunza hata hivyo kwanza HATA TID umjui MEANS ujuhi hata unachofanya ki historia kimeanzia wapi KAMA UNAFANYA RNB tuonyeshe fans wako wa MAREKANI.AU REDIO GANI MAREKANI INACHEZA MZIKI WAKO
Note: mwanamke hajui kupika... mwanamke kucha ndefu kama malaika wa shetani... mwanamke kutawaza hawez mpaka atawazwe 😢 hivi ninyi mnaocomment fyoko fyoko watoto wen wasipojua kupika ama kufua aibu n kwa Nan...?? Mama na mototo wake eeeh yaan wapumbavu eehh *mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake ehhh* We mwanaume unaoa mkeo hajui kupika eehh Nan awe anakupikia bek tatu eeh 😅
Sjawah msikia muhindi kakaa hapa bongo ukaja kumskia naongea kihindi chenye accent ya kiswahili au kingereza... Kama yupo mtaje... Lakini sisi Sasa... Jaman tuna chekesha we are so Mbuziii imagine the accent of hers
Mimi simjui huyo Abby Cham kwanza hata matamasha lolote huku Ughaibuni hakuwahi kuperform ila Tid alikuwa anakuja ughaibuni kuperform , Abby huyo ni local artist underground
Hiki ki Abby kiongo na kama mmefatilia akiulizwa kitu lazma akirudie huku anaload uongo Mfano unampenzi Mpenzi aaah mmmmh yan sijaelewa unamaanisha nn Akiulizwa tena ndo anajibu ya liongo
@@user-wo2ye5vh4q asikudanganye mtu mimi mwenyewe hapa naishi nje ya Tz na watoto wakirudi bongo wanatamka vizuri ugali mama na wanasonga.weweee achana na maigizo hayo
Mie naona cyo akili timamu kutetea hoja Etty tyuu kwa sababu Fran Fran.. Asili yetu sis watanzania ni lazima mwanamk ajue kupika ugali hyo n common....Leo utandawaz umetujaa vichwan na kuona kuwa cyo lazma...
Nawambien ukweli ipo cku sisi vijana tutaibika kwa jamaa na ndugu zetu pale ambapo tutaoa mwanamke asiyejua kupika...hilo n muhimu kwetu kuwa sisitiza dada zetu ugali n muhimu
Lazima uelewe kijana alie zawaliwa kipindi cha 2003 ina maana mbaka 2010anakuwa na miaka saba na akifika 2017 hapo anakuwa ana miaka 14 imajine kwamba wasanii wengi wa miaka hiyo yeye alizima ataona kama sisi tunavo wasikiaga kina awilo longomba na kina pepe kale😂😂😂😂😂
Yaan mimi nimecheka maana na mimi kuna kipindi nilikua mdogo mimi na mdogo wangu tulisonga ugali kilo moja kwa kutumia vipawa vya mboga 😂😂😂 kilo watu wawil na sufuria moja
Huyo tdi ni hana adabu kama hajui ugali halafu usema hawezi fua chupi sasa umefika mbali nikama unamtukana ambako hajui ugali kwa ni lazima au wewe inakukera nini hata umtukane wakati mtumzima unamzaa
Mwanaume ana perform vizur kweny tendo maalum akila chakula cha wanga especially mihogo mahindi ambayo ndo ugali huo...Leo tunaona watu hawawez kuperform vzr n kwa sababu wanakula vyakula ambayo havina virutubisho vyemaaa....elewa virutubisho 😂😂😂
Upo vizuri kwenye habari zenu, imetulia. Shout out kwa Frida Amani. She's golden female 🎉🎉🎉
Nimejaribu kumuuliza dogo angu flani hivi wa 2004 unamjua TID kanijibu hamjui. It's normal kwa hawa wa 2003 kuendelea kutokuwajua, na pengine kashawahi sikia mziki but hajui nani kauimba
Mi ndo namjua hapa kwenye hii interview nitamfuatilia baada ya hapa
@@pendomvungi6960 hahaha sawa mabinti wa 2000 nyie
😂😂 Kwa regular guy its okay.
Kwa msanii kusema haumjui TID, basi hata industry ya bongo hauijui
Mimi wa 98 ila simjui msanii anaitwa TID wala sijui miziki yake na kama ipo basi sio ya kizazi kipya hawezi kucompete na akina abby chams ambao ni wa kizazi kipya ...😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂@@rwakitatechnology7308
Frida amani ananenepa dah..I love her very much
Mtoto yuko vizuri kujibu
Weh kumbe abby chams ana udugu na zari the boss lady 😂😂
Anhaaa kumbe ni mkenya pia
Abby chams simjui kabisa
Nmesoma comment zote then nikamskiza charmy I don't think she is wrong guys si poa kujudge watu, mbona wapo mabinti kibao mjini wasojua kupika sima ni mtazamo 2 waluhya wakenya msininunie
Milady ao uko simpo kak congratulations kak
Nice my daughter keep going
Abby anamajibu maziri sana na ya hwkima
Kimeuman Huko Abby Chams Naon Mambo Ni 🔥
Mbona akiimba lafidhi inakua yakiswahili kizuri!
UGALI HADI LEO UNANISUMBUA 😂😂😂😂kuna siku ugali kuna siku sijui afu wangu sio mtamu 😩🫣
WISDOM IS LIGHT
Watu wengine wapuuzi dawa zilisha muharibu,mie nimtu mzima lakini sijui kusonga ugari because nimezaliwa karagwe sisi hatuli ugari so why should i know kupika ugari??????upuuzi kweli kweli
Wewe ni mpuuzi, kidada cha ovyoo
Huyu kwanza aache madawa ndo apewe tena 🎤 anaingilia maisha ya kila mtu sababu madude yanamsumbua sanaaaa
Sana hamuhusu kwanza amuache mtoto wawatu
Tz respect TID amewakiliha sana,ju ukub254 twajua yeye ndo aneza ongea English so respect TID
Asante Abby umejibu khaswa
Kabisa
TID.....acha ushamba. Hiyo Tradition unayoizungumzia ni ipi sasa....unazungumza Kiingereza chako cha Form 4 kila mara kwenye interviews zako ndio TRADITION hiyo
Fala wewe English ya TID utafananisha na ya huyo mtoto wenu Fanta orange kweli wewe
Jamn sio kwmba aby anadangany the rest at mdog Wang haelew mamb hayo so tu complicate mamb
Mbona watoto wengi awajui kupika jamani
Dah Frida unavituko Wallai yaani nimecheka 😂😂😂😂
Eti Babu mwenye kipara😂😂😂
Ndo hivy kwani si babu kweli kabisa 😂😂😂
😂
Lov Abby
TX Moshi Williams
T.I.D is a legend, Abby is…. Well it’s fair to say upcoming artist
Tena Hilo swala lahuyo mzungu mimi pia limenikwaza nahakutakiwa kuitwa mbongo wa mchongo alitakiwa kuitwa Mzungu mbea
Jamniii me narudia tu hapo kwenye niliona tu mbabu mwenye kipalaaaa najikuta na chekaaa 2😅😅😅😅😅😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🥰🥰
Miladi Ayo na team yako nawapenda sana jamani❤❤
Nimechoka 😂😂😂 sana eti acha akapigwe huko
Hahahahha mbabu anakiparaaa😁😁😁
ni kweli amjuii na nyuma yalishapita currently what is he doing to make this totos of 2000 to know them!!!!!
Sasa TID si alikuwa anafunza hata hivyo kwanza HATA TID umjui MEANS ujuhi hata unachofanya ki historia kimeanzia wapi KAMA UNAFANYA RNB tuonyeshe fans wako wa MAREKANI.AU REDIO GANI MAREKANI INACHEZA MZIKI WAKO
I didn't wanna comment but after listening to Abby's charming wisdom😂man l had to,kudos gaal
Note: mwanamke hajui kupika... mwanamke kucha ndefu kama malaika wa shetani... mwanamke kutawaza hawez mpaka atawazwe 😢 hivi ninyi mnaocomment fyoko fyoko watoto wen wasipojua kupika ama kufua aibu n kwa Nan...?? Mama na mototo wake eeeh yaan wapumbavu eehh *mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake ehhh*
We mwanaume unaoa mkeo hajui kupika eehh Nan awe anakupikia bek tatu eeh 😅
Wabongo wanapenda unafiki sana ila TID pia ligi anaiweza aka katoto katanyooka
Me mwenyewe cpwaAA SIMFAHAM
Mbona huo muungano wa hao vipara umekuja na mashambulizi mengi kwa watu
Uko kwenye music Industry na haumjui T.I.D? 😅😅😅🙌🏿
Cooking ugali isn’t end all be all. There’s cooking pot for that now. Let the young lady be herself ….
Kupenda uzungu kwa sana wakati wewe ni mwafrika kwa kweli ni ulimbukeni wa kupindukia!
Kila mtu ana maisha yake. Just focus on urself, if u don't mind
Sjawah msikia muhindi kakaa hapa bongo ukaja kumskia naongea kihindi chenye accent ya kiswahili au kingereza... Kama yupo mtaje... Lakini sisi Sasa... Jaman tuna chekesha we are so Mbuziii imagine the accent of hers
wewe Babu Achana na huyu mtoto yoko wewe
😂😂 mubabu mwenye kipara😂😂
😂😂😂
😂😂😂
Achaneni na Abby mm nmezaliwa tisini naaaaaa na simjui TID ninan kwan😊😊
Sasa huyo TID anayetaka watu wajivunie vya kwetu mbona kizungu kingi. 😢
Yaaani
Yaani silipendi
T.i.d hawezi shindana na abby kwa music she is talented anapiga instruments anaimba live studio usiseme so weheshimiane tu😂
Mimi simjui huyo Abby Cham kwanza hata matamasha lolote huku Ughaibuni hakuwahi kuperform ila Tid alikuwa anakuja ughaibuni kuperform , Abby huyo ni local artist underground
Ila frida mm nakupenda sana, 😅😅 at nilitaka nimpigee
Kama bukoba hatuli ugari kwaiyo sio lazima kuujua kuupika
Uko sahihi my hata chapati hazipikwi sana. Labda wengine tumejifuzia Dar
Kabisa watu washamba sana
😂😂😂😂
Kabisa mm mwenyewe nimejua kupika ugali baada ya kuolewa
Huyu F. Amani 😂..
Nawapenda sana
nile ugali kwani nina stress, wacha nipite zangu mm
Hiki ki Abby kiongo na kama mmefatilia akiulizwa kitu lazma akirudie huku anaload uongo
Mfano unampenzi
Mpenzi aaah mmmmh yan sijaelewa unamaanisha nn
Akiulizwa tena ndo anajibu ya liongo
Anajifanya hajui kiswahili wakati anaishi Tz. Wazungu tuu wanapenda kiswahili
Jamani huyo mtoto ameishi sana nnje, kwa hiyo nikama anajifunza sasa muachen basi,halafu watu wengi tuu hawajui kupika
@@user-wo2ye5vh4q asikudanganye mtu mimi mwenyewe hapa naishi nje ya Tz na watoto wakirudi bongo wanatamka vizuri ugali mama na wanasonga.weweee achana na maigizo hayo
@@user-wo2ye5vh4q
Wapo watoto wamezaliwa njee na wakakuliya na bado wanajifunza kiswahili. Wengi tu.
Anajifanya mbona na wewe usijifanye
@@user-wo2ye5vh4q
Sio kweli hiyo mie watoto wangu wamezaliwa njee tena scandinavia ila wanaongea kiswahili nikujiendekeza tu.
Sema uyu Aby ni muongo sana
Daah et babu
Mie naona cyo akili timamu kutetea hoja Etty tyuu kwa sababu Fran Fran..
Asili yetu sis watanzania ni lazima mwanamk ajue kupika ugali hyo n common....Leo utandawaz umetujaa vichwan na kuona kuwa cyo lazma...
Siyo kweli bhana Kila kabila Wana vile vyakula pendwa hvyo kutokujua kupika ugali siyo big issue atajua kupika vyakula vyao vya Kila siku ,
Uko sahihi mkuu ni mshamba hicho kitoto na hata hajulikani kwanza Mimi wala simjui Na tamasha gani la maana ameperform nje ya Tanzania
Binti kutokujua kupika ugali Hilo ni janga la taifa
😂😂😂
Wewe una fahamu kupika ?
Fridaa😍
Mdg wangu wa darasa 6 anapika yeye mzee awenzi
😅it's normal inategemea na mazingira alokulia
Jamani si ni mdogo wako. Kwani ni abby huyo???
Chams sikapapendag kanajivunag nasio takazur na bibi alikuagabinti nawew utazeek pakuje wengine Tid naniasie mujua niusutwa wa chams😏😏😏😏😏😏😏😏
Kajifunze kwanza kuandika, unatuchanganya
Mtt anamwanya mzr htar
Abby chams ❤❤❤
nom
Mbabu mwenye kipara😅😅😅
The legend T.i.D, amekosea sio mabinti wote wanajua kusonga ugali especially this generation" lol.
Ugali wenyewe ukila mavi ni magumu hatari
Hata mim nilikuwa cmjui cjui TID cjui UTI 😢
Mimi pia cmjui uyo babu mwenye nikipala nimekuja kujua baada ya hiii inxhu na Abby😂😂😂😂😂😂😂
Huyu binti anamchukua Harmonize but it's all good.
T.I.D anajulikana zaidi ya harmonize na diamond??? Hao ni watu wa zamani
Mim mwenyew nilikua simjui
Mbona Mimi nilikuwa simjui huyo TID nimemjua kwenye movie ya juakali
Nawambien ukweli ipo cku sisi vijana tutaibika kwa jamaa na ndugu zetu pale ambapo tutaoa mwanamke asiyejua kupika...hilo n muhimu kwetu kuwa sisitiza dada zetu ugali n muhimu
Kwani lazima amsikilize
Sauti lenyewe baya et msichana wa 2000😅😅😅
Huyu dada na ugali unampa shida sana tangu aseme hajui kupika ugali basi anapata taabu sana 😅😅😅.
Anaweza kuwa baba na weza kuzaa kwa age hiyo
Abby hana tatzo wenye tatzo ni watu wazima tunaotaka kuendesha dunia km sebule zetu
Lazima uelewe kijana alie zawaliwa kipindi cha 2003 ina maana mbaka 2010anakuwa na miaka saba na akifika 2017 hapo anakuwa ana miaka 14 imajine kwamba wasanii wengi wa miaka hiyo yeye alizima ataona kama sisi tunavo wasikiaga kina awilo longomba na kina pepe kale😂😂😂😂😂
Watoto wa kaka angu ni wa mwaka 2006 yan huy TID hawamjui kabisaaaaa so ni kawaid kwa wao 😂😂😂
Pia simfaham kbisa T I D ACHA NIKAMTAZA JMNI
Hata Mimi emerging
Mimi ndo namjulia hapa na Lazma nimfwatilie
Wa bongo acheni ujinga si lazima kuna watu hata nyama kumchemshahawajui mimi mwenyewe sijui kupiga ugali
Yaan mimi nimecheka maana na mimi kuna kipindi nilikua mdogo mimi na mdogo wangu tulisonga ugali kilo moja kwa kutumia vipawa vya mboga 😂😂😂 kilo watu wawil na sufuria moja
my DM is flooded INATAMKWA FLAADEDI NOT FLOODEDI
Tld kashaisha aby hachana nae uyo kupka ugari sio ishu kwan ugari ndio nn pesa au zahabu wasikumize kichwa mbon kunamabinti wengi awajui kupka kabsaa
Huyo tdi ni hana adabu kama hajui ugali halafu usema hawezi fua chupi sasa umefika mbali nikama unamtukana ambako hajui ugali kwa ni lazima au wewe inakukera nini hata umtukane wakati mtumzima unamzaa
Mimi mwenyewe ni wa 96 lakini simjui TID kiukweli sijui ndo ushamba huu au
WATU MUACHE CHUKI,,,WATU WAPO BIZE JAMANI,,HUWEZI KUMJUA KILA MTU,,,,,MWENGINE ANAJIONA MKUBWA KWELI LKN WE UMJUI,,NDO ILIVYO
Huwezi kuwa kwenye industry ya music bongo usimjue tid.
Sisi Zanzibar kunawatu wengine hawajui kusonga ugali mie jamaa zangu na wanaupenda balaa ila hawajui kusonga
Hakika wanzanzibar ni robo wanaojua kusonga ugali na ukiwa unajua unashangaliwa mnooo😅😅😅
Mzee wa zeze Sasa iv anaitwa babu mwenye kipara
😂😂😂😂😂
Frida na vido vidox ni damu moja wachekin hayo macho
Du nihatari sana
Mwanaume ana perform vizur kweny tendo maalum akila chakula cha wanga especially mihogo mahindi ambayo ndo ugali huo...Leo tunaona watu hawawez kuperform vzr n kwa sababu wanakula vyakula ambayo havina virutubisho vyemaaa....elewa virutubisho 😂😂😂
Unawaza ngono tu mamaee😂
We nae Farida kwani lazima amjue Tid?
Hahaha hahaha ndo hapo sasa mbabu kiparaaaaaa😅😅😅😅😅
Frida i like u girl 😂😂😂😂 .. umenifanya nicheke mpaka nijitafune n ubwabwa wangu wa daku mdomoni kauli yako ya mwisho 😂
Atajibu watu wangao huyu mtoto!!!
😂😂😂😂😂Abby your the best
Aibu bhana mwanamke wa kibongo kushindwa kupika ugali hata kama hulagi ugali
Sasa aliigali ampikie nani na ugali sio chakula Bali chakula cha masikini
😅😅 Et Hamonize atapigwa
Watu kibao tu hapo tanzania hawa jui kupika ugali sio tu abby
Hatari sana