PAZITO!! ABBY CHAMS AMJIBU TID “BABU MWENYE KIPARA, NILIKUWA SIMJUI, SINA MCHUMBA”

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 243

  • @Jafreez
    @Jafreez 5 месяцев назад +15

    Upo vizuri kwenye habari zenu, imetulia. Shout out kwa Frida Amani. She's golden female 🎉🎉🎉

  • @judithking1087
    @judithking1087 5 месяцев назад +16

    Nimejaribu kumuuliza dogo angu flani hivi wa 2004 unamjua TID kanijibu hamjui. It's normal kwa hawa wa 2003 kuendelea kutokuwajua, na pengine kashawahi sikia mziki but hajui nani kauimba

    • @pendomvungi6960
      @pendomvungi6960 5 месяцев назад +1

      Mi ndo namjua hapa kwenye hii interview nitamfuatilia baada ya hapa

    • @judithking1087
      @judithking1087 5 месяцев назад

      @@pendomvungi6960 hahaha sawa mabinti wa 2000 nyie

    • @danielmwita2136
      @danielmwita2136 5 месяцев назад

      😂😂 Kwa regular guy its okay.
      Kwa msanii kusema haumjui TID, basi hata industry ya bongo hauijui

    • @rwakitatechnology7308
      @rwakitatechnology7308 5 месяцев назад

      Mimi wa 98 ila simjui msanii anaitwa TID wala sijui miziki yake na kama ipo basi sio ya kizazi kipya hawezi kucompete na akina abby chams ambao ni wa kizazi kipya ...😂

    • @felistertweve1244
      @felistertweve1244 5 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂​@@rwakitatechnology7308

  • @mhogomchungu7882
    @mhogomchungu7882 5 месяцев назад +7

    Frida amani ananenepa dah..I love her very much

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 5 месяцев назад +12

    Mtoto yuko vizuri kujibu

  • @roi2554
    @roi2554 5 месяцев назад +5

    Weh kumbe abby chams ana udugu na zari the boss lady 😂😂
    Anhaaa kumbe ni mkenya pia

  • @bongoupdatestv9322
    @bongoupdatestv9322 5 месяцев назад +13

    Abby chams simjui kabisa

  • @Qqambaa
    @Qqambaa 5 месяцев назад +6

    Nmesoma comment zote then nikamskiza charmy I don't think she is wrong guys si poa kujudge watu, mbona wapo mabinti kibao mjini wasojua kupika sima ni mtazamo 2 waluhya wakenya msininunie

  • @AbudyShehiza-ws1rw
    @AbudyShehiza-ws1rw 5 месяцев назад +5

    Milady ao uko simpo kak congratulations kak

  • @nwntz
    @nwntz 5 месяцев назад +5

    Nice my daughter keep going

  • @janengowi-lt9gu
    @janengowi-lt9gu 5 месяцев назад +6

    Abby anamajibu maziri sana na ya hwkima

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 5 месяцев назад +4

    Kimeuman Huko Abby Chams Naon Mambo Ni 🔥

  • @ramadhanrashidmthailand9553
    @ramadhanrashidmthailand9553 5 месяцев назад +6

    Mbona akiimba lafidhi inakua yakiswahili kizuri!

  • @atutweve4160
    @atutweve4160 5 месяцев назад +6

    UGALI HADI LEO UNANISUMBUA 😂😂😂😂kuna siku ugali kuna siku sijui afu wangu sio mtamu 😩🫣

  • @nigananurunjema
    @nigananurunjema 5 месяцев назад +3

    WISDOM IS LIGHT

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official 5 месяцев назад +4

    Watu wengine wapuuzi dawa zilisha muharibu,mie nimtu mzima lakini sijui kusonga ugari because nimezaliwa karagwe sisi hatuli ugari so why should i know kupika ugari??????upuuzi kweli kweli

    • @victaboy7273
      @victaboy7273 5 месяцев назад

      Wewe ni mpuuzi, kidada cha ovyoo

  • @Tijarakabendera
    @Tijarakabendera 5 месяцев назад +1

    Huyu kwanza aache madawa ndo apewe tena 🎤 anaingilia maisha ya kila mtu sababu madude yanamsumbua sanaaaa

    • @user-wo2ye5vh4q
      @user-wo2ye5vh4q 5 месяцев назад +1

      Sana hamuhusu kwanza amuache mtoto wawatu

  • @jfabbyhussein6861
    @jfabbyhussein6861 5 месяцев назад +4

    Tz respect TID amewakiliha sana,ju ukub254 twajua yeye ndo aneza ongea English so respect TID

  • @Tijarakabendera
    @Tijarakabendera 5 месяцев назад +3

    Asante Abby umejibu khaswa

  • @MinskBelarus-il2tl
    @MinskBelarus-il2tl 5 месяцев назад +8

    TID.....acha ushamba. Hiyo Tradition unayoizungumzia ni ipi sasa....unazungumza Kiingereza chako cha Form 4 kila mara kwenye interviews zako ndio TRADITION hiyo

    • @Rolemodel_wa_taifa
      @Rolemodel_wa_taifa 4 месяца назад

      Fala wewe English ya TID utafananisha na ya huyo mtoto wenu Fanta orange kweli wewe

  • @zuchubabee5822
    @zuchubabee5822 5 месяцев назад +3

    Jamn sio kwmba aby anadangany the rest at mdog Wang haelew mamb hayo so tu complicate mamb

  • @PillyMasau
    @PillyMasau 5 месяцев назад +2

    Mbona watoto wengi awajui kupika jamani

  • @Official83640
    @Official83640 5 месяцев назад +4

    Dah Frida unavituko Wallai yaani nimecheka 😂😂😂😂

  • @DavisEnglishTv
    @DavisEnglishTv 5 месяцев назад +7

    Eti Babu mwenye kipara😂😂😂

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 5 месяцев назад +1

    Lov Abby

  • @gilbertfuria5817
    @gilbertfuria5817 5 месяцев назад +1

    TX Moshi Williams

  • @winjy2k
    @winjy2k 5 месяцев назад +2

    T.I.D is a legend, Abby is…. Well it’s fair to say upcoming artist

  • @asiamerey9081
    @asiamerey9081 5 месяцев назад +2

    Tena Hilo swala lahuyo mzungu mimi pia limenikwaza nahakutakiwa kuitwa mbongo wa mchongo alitakiwa kuitwa Mzungu mbea

  • @LevaniaStephano
    @LevaniaStephano 5 месяцев назад +2

    Jamniii me narudia tu hapo kwenye niliona tu mbabu mwenye kipalaaaa najikuta na chekaaa 2😅😅😅😅😅😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🥰🥰

  • @joslinchuwa1298
    @joslinchuwa1298 5 месяцев назад

    Miladi Ayo na team yako nawapenda sana jamani❤❤

  • @asiamerey9081
    @asiamerey9081 5 месяцев назад +3

    Nimechoka 😂😂😂 sana eti acha akapigwe huko

  • @ngalohboe1808
    @ngalohboe1808 5 месяцев назад +8

    Hahahahha mbabu anakiparaaa😁😁😁

  • @sarahmcharo1548
    @sarahmcharo1548 5 месяцев назад +1

    ni kweli amjuii na nyuma yalishapita currently what is he doing to make this totos of 2000 to know them!!!!!

  • @homan_nkwama
    @homan_nkwama 5 месяцев назад +8

    Sasa TID si alikuwa anafunza hata hivyo kwanza HATA TID umjui MEANS ujuhi hata unachofanya ki historia kimeanzia wapi KAMA UNAFANYA RNB tuonyeshe fans wako wa MAREKANI.AU REDIO GANI MAREKANI INACHEZA MZIKI WAKO

  • @Bramillah
    @Bramillah 5 месяцев назад

    I didn't wanna comment but after listening to Abby's charming wisdom😂man l had to,kudos gaal

  • @user-nw9dx4md1z
    @user-nw9dx4md1z 5 месяцев назад +3

    Note: mwanamke hajui kupika... mwanamke kucha ndefu kama malaika wa shetani... mwanamke kutawaza hawez mpaka atawazwe 😢 hivi ninyi mnaocomment fyoko fyoko watoto wen wasipojua kupika ama kufua aibu n kwa Nan...?? Mama na mototo wake eeeh yaan wapumbavu eehh *mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake ehhh*
    We mwanaume unaoa mkeo hajui kupika eehh Nan awe anakupikia bek tatu eeh 😅

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 5 месяцев назад

      Wabongo wanapenda unafiki sana ila TID pia ligi anaiweza aka katoto katanyooka

  • @havijawamasanja1180
    @havijawamasanja1180 5 месяцев назад +2

    Me mwenyewe cpwaAA SIMFAHAM

  • @chancedallas9077
    @chancedallas9077 5 месяцев назад +2

    Mbona huo muungano wa hao vipara umekuja na mashambulizi mengi kwa watu

  • @livingstonemaarifabatawe9829
    @livingstonemaarifabatawe9829 5 месяцев назад +1

    Uko kwenye music Industry na haumjui T.I.D? 😅😅😅🙌🏿

  • @Igauf3
    @Igauf3 5 месяцев назад

    Cooking ugali isn’t end all be all. There’s cooking pot for that now. Let the young lady be herself ….

  • @noelmtao2735
    @noelmtao2735 5 месяцев назад +1

    Kupenda uzungu kwa sana wakati wewe ni mwafrika kwa kweli ni ulimbukeni wa kupindukia!

    • @trecygohy7847
      @trecygohy7847 5 месяцев назад

      Kila mtu ana maisha yake. Just focus on urself, if u don't mind

  • @Memphisblue22822
    @Memphisblue22822 5 месяцев назад

    Sjawah msikia muhindi kakaa hapa bongo ukaja kumskia naongea kihindi chenye accent ya kiswahili au kingereza... Kama yupo mtaje... Lakini sisi Sasa... Jaman tuna chekesha we are so Mbuziii imagine the accent of hers

  • @evamlay8997
    @evamlay8997 5 месяцев назад +4

    wewe Babu Achana na huyu mtoto yoko wewe

  • @Joliegal834
    @Joliegal834 5 месяцев назад +17

    😂😂 mubabu mwenye kipara😂😂

  • @innocensiashayo6878
    @innocensiashayo6878 5 месяцев назад

    Achaneni na Abby mm nmezaliwa tisini naaaaaa na simjui TID ninan kwan😊😊

  • @user-ee9my3ye2o
    @user-ee9my3ye2o 5 месяцев назад +4

    Sasa huyo TID anayetaka watu wajivunie vya kwetu mbona kizungu kingi. 😢

  • @wilfredbyabato4732
    @wilfredbyabato4732 5 месяцев назад +2

    T.i.d hawezi shindana na abby kwa music she is talented anapiga instruments anaimba live studio usiseme so weheshimiane tu😂

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 5 месяцев назад

      Mimi simjui huyo Abby Cham kwanza hata matamasha lolote huku Ughaibuni hakuwahi kuperform ila Tid alikuwa anakuja ughaibuni kuperform , Abby huyo ni local artist underground

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 5 месяцев назад +4

    Ila frida mm nakupenda sana, 😅😅 at nilitaka nimpigee

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 5 месяцев назад +7

    Kama bukoba hatuli ugari kwaiyo sio lazima kuujua kuupika

  • @edwardkunyara1270
    @edwardkunyara1270 5 месяцев назад +3

    Huyu F. Amani 😂..

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e 5 месяцев назад +1

    Nawapenda sana

  • @IssaIddi-zb1ef
    @IssaIddi-zb1ef 5 месяцев назад +1

    nile ugali kwani nina stress, wacha nipite zangu mm

  • @Marmar-xh3rx
    @Marmar-xh3rx 5 месяцев назад +1

    Hiki ki Abby kiongo na kama mmefatilia akiulizwa kitu lazma akirudie huku anaload uongo
    Mfano unampenzi
    Mpenzi aaah mmmmh yan sijaelewa unamaanisha nn
    Akiulizwa tena ndo anajibu ya liongo

  • @hopesesilius6104
    @hopesesilius6104 5 месяцев назад +4

    Anajifanya hajui kiswahili wakati anaishi Tz. Wazungu tuu wanapenda kiswahili

    • @user-wo2ye5vh4q
      @user-wo2ye5vh4q 5 месяцев назад +1

      Jamani huyo mtoto ameishi sana nnje, kwa hiyo nikama anajifunza sasa muachen basi,halafu watu wengi tuu hawajui kupika

    • @hopesesilius6104
      @hopesesilius6104 5 месяцев назад

      @@user-wo2ye5vh4q asikudanganye mtu mimi mwenyewe hapa naishi nje ya Tz na watoto wakirudi bongo wanatamka vizuri ugali mama na wanasonga.weweee achana na maigizo hayo

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 5 месяцев назад

      @@user-wo2ye5vh4q
      Wapo watoto wamezaliwa njee na wakakuliya na bado wanajifunza kiswahili. Wengi tu.

    • @jacqueli18
      @jacqueli18 5 месяцев назад

      Anajifanya mbona na wewe usijifanye

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 5 месяцев назад

      @@user-wo2ye5vh4q
      Sio kweli hiyo mie watoto wangu wamezaliwa njee tena scandinavia ila wanaongea kiswahili nikujiendekeza tu.

  • @dullahsalum1229
    @dullahsalum1229 5 месяцев назад +1

    Sema uyu Aby ni muongo sana

  • @abubakarjabir3132
    @abubakarjabir3132 5 месяцев назад +1

    Daah et babu

  • @user-nw9dx4md1z
    @user-nw9dx4md1z 5 месяцев назад +1

    Mie naona cyo akili timamu kutetea hoja Etty tyuu kwa sababu Fran Fran..
    Asili yetu sis watanzania ni lazima mwanamk ajue kupika ugali hyo n common....Leo utandawaz umetujaa vichwan na kuona kuwa cyo lazma...

    • @lucyalto7320
      @lucyalto7320 5 месяцев назад +1

      Siyo kweli bhana Kila kabila Wana vile vyakula pendwa hvyo kutokujua kupika ugali siyo big issue atajua kupika vyakula vyao vya Kila siku ,

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 5 месяцев назад

      Uko sahihi mkuu ni mshamba hicho kitoto na hata hajulikani kwanza Mimi wala simjui Na tamasha gani la maana ameperform nje ya Tanzania

  • @SaidiYahya-t1c
    @SaidiYahya-t1c 5 месяцев назад +4

    Binti kutokujua kupika ugali Hilo ni janga la taifa

  • @axa29
    @axa29 5 месяцев назад +1

    Fridaa😍

  • @janethwilliam3024
    @janethwilliam3024 5 месяцев назад +4

    Mdg wangu wa darasa 6 anapika yeye mzee awenzi

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 5 месяцев назад +2

      😅it's normal inategemea na mazingira alokulia

    • @lilianestephanie7881
      @lilianestephanie7881 5 месяцев назад +2

      Jamani si ni mdogo wako. Kwani ni abby huyo???

  • @loulumony8519
    @loulumony8519 5 месяцев назад +1

    Chams sikapapendag kanajivunag nasio takazur na bibi alikuagabinti nawew utazeek pakuje wengine Tid naniasie mujua niusutwa wa chams😏😏😏😏😏😏😏😏

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 5 месяцев назад +1

      Kajifunze kwanza kuandika, unatuchanganya

  • @stevennenelwa3192
    @stevennenelwa3192 5 месяцев назад +1

    Mtt anamwanya mzr htar

  • @pendothomas7258
    @pendothomas7258 5 месяцев назад

    Abby chams ❤❤❤

  • @djhajiztz
    @djhajiztz 5 месяцев назад

    nom

  • @benjaminsanare-ug6ge
    @benjaminsanare-ug6ge 5 месяцев назад +2

    Mbabu mwenye kipara😅😅😅

  • @T-Fellow
    @T-Fellow 5 месяцев назад

    The legend T.i.D, amekosea sio mabinti wote wanajua kusonga ugali especially this generation" lol.

  • @AbisinaRashidi-wg5jt
    @AbisinaRashidi-wg5jt 5 месяцев назад

    Ugali wenyewe ukila mavi ni magumu hatari

  • @readyamahengo4585
    @readyamahengo4585 5 месяцев назад

    Hata mim nilikuwa cmjui cjui TID cjui UTI 😢

  • @verobecamfipa8655
    @verobecamfipa8655 5 месяцев назад

    Mimi pia cmjui uyo babu mwenye nikipala nimekuja kujua baada ya hiii inxhu na Abby😂😂😂😂😂😂😂

  • @maitharobert6833
    @maitharobert6833 5 месяцев назад

    Huyu binti anamchukua Harmonize but it's all good.

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 5 месяцев назад +3

    T.I.D anajulikana zaidi ya harmonize na diamond??? Hao ni watu wa zamani

    • @dorislema2465
      @dorislema2465 5 месяцев назад

      Mim mwenyew nilikua simjui

    • @lucyalto7320
      @lucyalto7320 5 месяцев назад

      Mbona Mimi nilikuwa simjui huyo TID nimemjua kwenye movie ya juakali

  • @user-nw9dx4md1z
    @user-nw9dx4md1z 5 месяцев назад +1

    Nawambien ukweli ipo cku sisi vijana tutaibika kwa jamaa na ndugu zetu pale ambapo tutaoa mwanamke asiyejua kupika...hilo n muhimu kwetu kuwa sisitiza dada zetu ugali n muhimu

  • @awenamalendo7378
    @awenamalendo7378 5 месяцев назад +1

    Kwani lazima amsikilize

  • @HawaSwaleheh
    @HawaSwaleheh 4 месяца назад

    Sauti lenyewe baya et msichana wa 2000😅😅😅

  • @lwengephillip7516
    @lwengephillip7516 5 месяцев назад +1

    Huyu dada na ugali unampa shida sana tangu aseme hajui kupika ugali basi anapata taabu sana 😅😅😅.

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 3 месяца назад

    Anaweza kuwa baba na weza kuzaa kwa age hiyo

  • @stellahwilfred5762
    @stellahwilfred5762 5 месяцев назад +8

    Abby hana tatzo wenye tatzo ni watu wazima tunaotaka kuendesha dunia km sebule zetu

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 5 месяцев назад

    Lazima uelewe kijana alie zawaliwa kipindi cha 2003 ina maana mbaka 2010anakuwa na miaka saba na akifika 2017 hapo anakuwa ana miaka 14 imajine kwamba wasanii wengi wa miaka hiyo yeye alizima ataona kama sisi tunavo wasikiaga kina awilo longomba na kina pepe kale😂😂😂😂😂

  • @marrypius576
    @marrypius576 5 месяцев назад

    Watoto wa kaka angu ni wa mwaka 2006 yan huy TID hawamjui kabisaaaaa so ni kawaid kwa wao 😂😂😂

  • @anithiajohn9209
    @anithiajohn9209 5 месяцев назад +2

    Pia simfaham kbisa T I D ACHA NIKAMTAZA JMNI

  • @pendomvungi6960
    @pendomvungi6960 5 месяцев назад

    Mimi ndo namjulia hapa na Lazma nimfwatilie

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 3 месяца назад

    Wa bongo acheni ujinga si lazima kuna watu hata nyama kumchemshahawajui mimi mwenyewe sijui kupiga ugali

  • @NataliaKenny-vb6os
    @NataliaKenny-vb6os 5 месяцев назад

    Yaan mimi nimecheka maana na mimi kuna kipindi nilikua mdogo mimi na mdogo wangu tulisonga ugali kilo moja kwa kutumia vipawa vya mboga 😂😂😂 kilo watu wawil na sufuria moja

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele 5 месяцев назад

    my DM is flooded INATAMKWA FLAADEDI NOT FLOODEDI

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e 5 месяцев назад

    Tld kashaisha aby hachana nae uyo kupka ugari sio ishu kwan ugari ndio nn pesa au zahabu wasikumize kichwa mbon kunamabinti wengi awajui kupka kabsaa

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 3 месяца назад

    Huyo tdi ni hana adabu kama hajui ugali halafu usema hawezi fua chupi sasa umefika mbali nikama unamtukana ambako hajui ugali kwa ni lazima au wewe inakukera nini hata umtukane wakati mtumzima unamzaa

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 5 месяцев назад

    Mimi mwenyewe ni wa 96 lakini simjui TID kiukweli sijui ndo ushamba huu au

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 5 месяцев назад +2

    WATU MUACHE CHUKI,,,WATU WAPO BIZE JAMANI,,HUWEZI KUMJUA KILA MTU,,,,,MWENGINE ANAJIONA MKUBWA KWELI LKN WE UMJUI,,NDO ILIVYO

    • @gilbertkasikila5294
      @gilbertkasikila5294 5 месяцев назад

      Huwezi kuwa kwenye industry ya music bongo usimjue tid.

  • @r9ayyansaid652
    @r9ayyansaid652 5 месяцев назад

    Sisi Zanzibar kunawatu wengine hawajui kusonga ugali mie jamaa zangu na wanaupenda balaa ila hawajui kusonga

    • @hanifahkhamiss8485
      @hanifahkhamiss8485 5 месяцев назад

      Hakika wanzanzibar ni robo wanaojua kusonga ugali na ukiwa unajua unashangaliwa mnooo😅😅😅

  • @SaidiYahya-t1c
    @SaidiYahya-t1c 5 месяцев назад +1

    Mzee wa zeze Sasa iv anaitwa babu mwenye kipara

  • @alphoncenicholaustemba3614
    @alphoncenicholaustemba3614 5 месяцев назад

    Frida na vido vidox ni damu moja wachekin hayo macho

  • @LizenMaker
    @LizenMaker 5 месяцев назад +1

    Du nihatari sana

  • @user-nw9dx4md1z
    @user-nw9dx4md1z 5 месяцев назад +1

    Mwanaume ana perform vizur kweny tendo maalum akila chakula cha wanga especially mihogo mahindi ambayo ndo ugali huo...Leo tunaona watu hawawez kuperform vzr n kwa sababu wanakula vyakula ambayo havina virutubisho vyemaaa....elewa virutubisho 😂😂😂

    • @oceankid4336
      @oceankid4336 5 месяцев назад

      Unawaza ngono tu mamaee😂

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official 5 месяцев назад +1

    We nae Farida kwani lazima amjue Tid?

    • @felistertweve1244
      @felistertweve1244 5 месяцев назад

      Hahaha hahaha ndo hapo sasa mbabu kiparaaaaaa😅😅😅😅😅

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 5 месяцев назад

    Frida i like u girl 😂😂😂😂 .. umenifanya nicheke mpaka nijitafune n ubwabwa wangu wa daku mdomoni kauli yako ya mwisho 😂

  • @stellahsimon4460
    @stellahsimon4460 5 месяцев назад

    Atajibu watu wangao huyu mtoto!!!

  • @Madam255
    @Madam255 5 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂Abby your the best

  • @issaiyinga-cp4ff
    @issaiyinga-cp4ff 5 месяцев назад +1

    Aibu bhana mwanamke wa kibongo kushindwa kupika ugali hata kama hulagi ugali

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 5 месяцев назад

      Sasa aliigali ampikie nani na ugali sio chakula Bali chakula cha masikini

  • @crownisackmussa3581
    @crownisackmussa3581 5 месяцев назад

    😅😅 Et Hamonize atapigwa

  • @AdijaYasidu
    @AdijaYasidu 5 месяцев назад +2

    Watu kibao tu hapo tanzania hawa jui kupika ugali sio tu abby

  • @user-gb5vz6wm2q
    @user-gb5vz6wm2q 5 месяцев назад

    Hatari sana