Great gospel of all seasons!May the Almighty God bless the work of your hands forever in Jesus'Mighty Name.Mwinjilisti Peter Odinga kutoka Kenya... Bwana Yesu asifiwe
Mungu akutunze Mtumishi wa Mungu , akupiganie mnoooo Barikiwa nakupenda na unanimous bariki mnoo yaani naomba Mungu akutumie alichoweka ndani yako,oooo Yesu asante kwa ajili ya Mtumishi huyu
Kaka unanibariki sana katika maisha yangu mungu akubariki sana na akupe maisha marevu ili udhidi kutuhubilia sis vijan ambao hatuja toboa kimaisha tukuwe na imani
Hakika mungu nimwema saaaana. Baba yetu wa mbinguni endelea kumtumia mtumishi wako huyu kama chombo kutujaza neno la uzima kupitia huduma ya uimbaji pia uinjirist.
Merci fr en Christ Pascal cassian je vous suit depuis la RDC qu'à bien même le swahili ce difficile pour nous (mungu abariki mtu yoto ana fata ihi song nsuri Sana)
Aisee nabarikiwa sana na nyimbo zako na nakuombea kwa Mungu azidi kukupigania na kukutia nguvu na tunakuomba Kiapo cha Damu utupe hiyo maana itaponya wengi
HALLELUJAH HAKIKA HUYU MUNGU NIWAAJABU HUWAHESHIMISHA WALIO DHARAULIWA, MUNGU AZIDI KUBARIKI SANA MWINJILISTI NA AKUINUWE SANA KATIKA HUDUMA HII, WANIBARIKI SANA NA KUNITIA MOYO.
Uko vizuri mwinjilisti Mungu akulinde milele. Nabarikiwa sana na nyimbo zako 🙏
Hakika yupo Mungu ni mutamu zaidi ya asali
Kweli.mungu.ni.mtetezi.wawatu.wote
Kazi nzuri sana, ubarikiwe mwinjilist Cassian
Wimbo umenibarik kwel tumemuona mungu ila tukumbuke na kiapo cha damu hat audio mungu akutie nguvu
Hakuna ngumu kwa Mungu Baba yetu,.
Great gospel of all seasons!May the Almighty God bless the work of your hands forever in Jesus'Mighty Name.Mwinjilisti Peter Odinga kutoka Kenya... Bwana Yesu asifiwe
Amen,nabarikiwa sana mungu akuongezeye barakana nguvu
safi sana Mungu wa mbinguni akurinde mbombeli
Nabarikiwa zaidi na hii ujumbe..from Seychelles...mungu ni mwema
Ni kweli ni Mungu asiyeshindwa. Hakika nimeona Mungu akinitetea. Barikiwa sana mtumishi wa Mungu.. be blessed. Listening from Nairobi Kenya.
Mungu akutunze Mtumishi wa Mungu , akupiganie mnoooo Barikiwa nakupenda na unanimous bariki mnoo yaani naomba Mungu akutumie alichoweka ndani yako,oooo Yesu asante kwa ajili ya Mtumishi huyu
Kazi nzuri sana kabisa nimekubali
Amen 🙏🙏 tutetee yesu maishani mwetu hakika wewe ni mwaminifu barikiwa sana mtumishi wa mungu Asante 🙏🙏
Mwenyeji mungu baba akurehemu uzidi kutuburudisha Kwa ujumbe tunaobarikiwa nao kutoka kwenye nyimbo zako
Amen Amen powerful message nice songs 🎵
Evangelist mungu akuinue Zaid huduma ako n ya uponyagi
Kweli yupo mungu mutetezi wetu amina be blessed muchungaji mara kwa mara nyimbo zako huni inua sana 🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kai nzuri kaka ubarikiweee
Asante casias kwa burudani nzuri,mungu akubariki
Sante sana mwinjilisti nilizisubiru sana hizi nyimbo, mungu akutie ngu vu
God bless you homme de Dieu, je suis de la RDC edelea kumu shukuru mungu
Ukweli kabisa MUNGU WEWE NI MUNGU UKWELI KABISA 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻💕💕💕💕
Hakika nami pia nimemuona Mungu😭😭😭😭😭♥️♥️♥️
Siwezi pita nyimbo zako huwa zina n tia moyo
Mungu.ni.mtetezi.wawote.wenye.mwili
Nakuelewa sana hakika bwana anakutumia hata kuwatia moyo waliochini yako ipo siku tutaonana naamini kuna kitu nitapokea kutoka kwako mtumishi wa mungu
God is good huu wimbo unatiaga nguvu sana nikiwa Midhaifu sana
Haĺeluya. Mungu anatulisha na kutuwezesha sisi wajane hata yatima.♥️♥️♥️😇😇😇🙏🙏
Kaka tunaomba wimbo wako ule wa sawa
Yes Father you the one and only ,ALPHA AND OMEGA JESUS CHRIST ALMIGHTY GOD 1🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻❤️❤️❤️
Mungu azidi kuku bariki mteja
Barikiwa mtumishi wamngu ⁶Barikiwa sana mutumishi wa mngu akulinde sana ⁷
Kazi ni nzuri Sana hongera kwa studio hiyo mpya iko vzr sana
Ninaamini Sana kazi zako kazi ninzuri hila pia naipenda ilenyimbo .ona wanvyo kuabudu mamiakwa mamia
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Kaka unanibariki sana katika maisha yangu mungu akubariki sana na akupe maisha marevu ili udhidi kutuhubilia sis vijan ambao hatuja toboa kimaisha tukuwe na imani
Hongera sana ndugu.
This songs 🎵 imegusa moyo
Vraiment félicitation courage
Nc song brother
Kweli yeye ni Mungu mimi nimemuona kupitia wewe mtumishi
Kanzi mzuri mtumishi nilikua naisubilia kwahamu ila naangaika kudowload siipati
Hakika mungu nimwema saaaana. Baba yetu wa mbinguni endelea kumtumia mtumishi wako huyu kama chombo kutujaza neno la uzima kupitia huduma ya uimbaji pia uinjirist.
Mungu asifiwe bb mutumichi
Amina Amina, wimbo wa kutia moyo na tumaini sana.
Mtumishi Paschal,
Nakupenda na nakuombea 🙏.
toka 🇰🇪 💪
#injili isonge 🤗
Mkali wewe ubarikiwe
Ubarikiwe sana kk mkubwa
Mungu akubari mtumishi
Moyo wangu umeshamiri ndani yangu kwa wimbo huu barikiwe mpendwa tunakufuata kutoka Sweden.
Huyu mutumishi ananibaliki sanaaaaàa
🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️ AMEEEEEN🙏🏼🙏🏼
Congrats man of God...
Amen ubarikiwe sana
Merci fr en Christ Pascal cassian je vous suit depuis la RDC qu'à bien même le swahili ce difficile pour nous (mungu abariki mtu yoto ana fata ihi song nsuri Sana)
💓
Mungu apewe sifa kwa kweli,maana bila yeye nisingekuwa nasikiliza huduma hii ya uponyaji kupitia wewe mtumishi @Cassian
Mungu hakika hutuponya hakika namuona akifanya be blessed
Huu wimbo ni Tiba ya moyo
Aisee nabarikiwa sana na nyimbo zako na nakuombea kwa Mungu azidi kukupigania na kukutia nguvu na tunakuomba Kiapo cha Damu utupe hiyo maana itaponya wengi
Hii wimbo n wangu kwa hakika mungu n mweza umenigusa saana kiroho🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪
naomba utue ile nyimbo ya saa imefika mbona una ubana ujumbe wa Mungu??
Man of God 😇🙏👼 is Back again
Amina nice message.
HALELUYAAAA! amen amen amen, ubarikiwe saaaaana, nmebarikiwa nahuo wimbo,mungu aendelee kulutumia jmn.
Hallelujah 🙌🙌🙌mungu mkuu kwa hakika,. Barikiwa sana🙏🙏🙏
Glorious
Nice father
Amen amen
Aminaaaa
Mtumishi usiye na mashindano ya uimbaji yaan wenzio wanashindana kutoa nyimbo ili eti wawe zungumzo kwa watu muda wote
Amen
Felicitation
Asante sana kwamungu
HALLELUJAH HAKIKA HUYU MUNGU NIWAAJABU HUWAHESHIMISHA WALIO DHARAULIWA, MUNGU AZIDI KUBARIKI SANA MWINJILISTI NA AKUINUWE SANA KATIKA HUDUMA HII, WANIBARIKI SANA NA KUNITIA MOYO.
Amina
So touching,Saul lifting song bishop Eric chesoli from Kenya
Pachali kasian
❤❤❤❤
Aminaaaaa
Amen