😂😂😂😂😂😂mtajifea nyie pilika pilika pilikaaaaaa😂😂😂sas aky nachekaa Leo mpak bas hapo wifi yang yasumbua sijui waiguru n yey hajailipia au vp 😂😂😂much love guys from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Alijipiga kifua Kama amefika sehemu husika lakin baada yakujuwa kesi IPO kwa Nagwa. Amesema yeye hahusiki aende ustawi wa jamiii. Mwenyekiti nimemuelewa dhidi ya Nagwa kwa vile aliacha kofia yake kwa Nagwa baada y kichapo😂
Kazi nzuri sana ila script ya jesca naona kama kuna hitilafu maana kiuwalisia uwezi ukaja kwangu kwa kukusaidia alafu anipande kichwani angetakiwa afokeane na kilangaso ila akimuona Queen alitakiwa ajifanye mjinga rekebishen hilo, pia kwa upande wa kiduchu kuna hitilafu naiona sijajua kwa wenzangu wanao tazama kila siku anabadilishwa muonekano na funzo mpak saiv akuna dalili yoyote hivyo wanaotazama kam kuna mabint wanamtazam wengine wanawez kuiga huo muonekano sio mzur 🙏🙏🙏
Mnazngua hamuendi na muda wala siku husika....mnashndwa na ugaigai wapo very active kwny swala la muda na siku husika ikifka saa 9 kamili kitu kwa hewa j3,j5 na ijumaa...lkn nyie season nzr lkn ttzo ndo hilo muda hamjal
Ndiyo maana ukaambiwa U subscribe ili ikitoka tu unapata taarifa,, sioni kama nayo ni tatizo kuubwa,, ila nimependa umetoa mawazo yako hukuomba like kama wengine😂😂😂😂
@@godfreysangawe5489 kweli kabisa watalifanyia kazi,, lakini hizi filamu za kutoa kila baada ya siku chache zina changamoto,, kwasababu wakitoa huku wana igiza kipande kifuatacho,, hivyo wakati mwengine wanachelewa kukamilisha kazi kwa sababu mbalimbali kutokana na changamoto
Cute nuru i love you ushauri wako mzuri bomu lilipuke Jesca aende huko mpuuzi sana huyu , timu sakata 🔥🔥🔥
Abdul wew😂😂😂💕💕💕 haki ya mungu utakuja kugunduliwa 😂😂😂😂😂😂😂
Hahaha 😂😂😂 nime cheka sana eti hamsini Rasta hamsini majnuni hahaha 😂😂😂😂😂 safi sana
Whitefilms team long life for good work because the serious is firee long life all members in white films 🔥🔥🔥🔥🔥
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hati sijamuona tokea mwaka jana 👌👌👌👌👌abdul nae mbona huyu mzee mroho?haya ushauwa team sakata mubarikiwe 🙏🤣🤣🤣🤣🥰
😂😂😂From Saudi 🇸🇦🇸🇦baba kinduchu shikamo 🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Zakayo nakupenda buree😘😂😂😂😂 uko vzr brooh
😂😂😂😂😂😂mtajifea nyie pilika pilika pilikaaaaaa😂😂😂sas aky nachekaa Leo mpak bas hapo wifi yang yasumbua sijui waiguru n yey hajailipia au vp 😂😂😂much love guys from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Leo nimechelewa ila siyo sana from Burundi 🇧🇮 nawapenda wote ❤️😘😘
karbu sana
Hivi zakayo ana manzi kweli 😂😂😂😂 ila ka nuru kazuri kweli nakapenda mpaka nakapendelea na babaang martin ❤❤❤❤
Aaaaaaaaaah umenifulahisha sana unakunywa kizanzbr na kichna na kitairend
Dume lapwani😂😂😂🙌na pilika staili zao zakuzimia nimecheka nusu nizimie
Tin white big up from usa 🇺🇸 nakubali kabisa kwa sakata hiiii
Pilika Pilika hahaha haaahaahaa yani kira siku unazidi kuvutia tu mashallah nawapenda sana ❤️❤️❤️🤣🤣
Haaaaaaaaaaaaaaaaa ndugu yangu unakwenda kumchokonoa putin 😂😂😂 Team sakata like za kutosha APA
Duuh mtu anazimia anaanguka lakini juisi imeshikwa haimwagiki 😂😂😂 nimeielewa hiyo
We acha tu 😀😀😀
Kkkkkkkk
kibonge mayele anamuogopa nagwa😂😂
Kiduchu una baba hpo🤣🤣🙌yaani baba apishi kla atakacho kiona akitaka yy🤣🤣🤣🤣🤣🙌
Kila kitu kina advantage na disadvantages,, sasa hiyo tabia ya pirika imemsaidia mtoto wake asitolewe mimba😂😂😂😂
Aki ya Kweli sakata mwaniua mbavu hadi baba mjengo chalii 🔥😂,haya si alikuwa yu asema pilika ana ugonjwa wa kuzimia basi na yeye umempata🤣
Pirika,, Pirika,, Pirikaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Dume la Pwani umetisha sana 🤣🤣🤣🤣🤣
Naona kama mnachelewa kule ifuatayo,, tuone yatakayo jiri kati ya Pirika na Dume la Pwani baada ya kuamka🤣🤣🤣🤣🤣
wa kwanz Leo naomba like zenuuuu sakata fans
Salute umezima mzee Martin joice haijamwagika one love 🇿🇦🇿🇦Johannesburg
😂😂😂dume la pwani kayakanyaga na yy🤣🤣🤣🤣🤣
Watching from Lebanon 🇱🇧
Hahaha😃😃😃😂😂😂😂 Jmn abdul wew pilika wawa tu kila wakati Lamkuta Sakata tuu😁😁😁😁
Jpil saf ikisindikizwa na #Sakata🤗🤗🤗
Hongera sana,uku qatar 🇶🇦 tunawafatilia kwampiga🤝
Kama upo Qatar naomba unitafute
From 🇲🇿🇲🇿🇲🇿Mozambique love
Walahi hii series ndio inanimalizia bando Kila baada ya siku mbili 😂😂hapa sasa hv nshaandikiwa umetumia asilimia 75😂😂😂
Duh ni atali hiiii
🤣🤣🤣 pole
Poleeee ndugu ila muvi ni nzuri
Wachaaa Nichekeeee Mieee kwanza Kabla Ya Kuangalia🤣🤣
USA 🇺🇸 tupo umu kwenye fire 🔥 ya sakata 😂😂😂😂😂😂
From, Ukrain🇺🇦 Mr.Pirika you are amazing acter
Kwani huyu zakayo hana Nini jamaniii 😊😊😊😁😁😁😁😁
Kibonge mayeleee kaogopa kwenda kwa nagwa
WHITEFILMS ON FIRE WATCH FROM KOREA
Oiii
Safi sana mm niwewakubali hii ya juice mbn kali
Hahahah 😂😂😂😂 et yule wa ya ya ya ya ya
Abdul+zakayo+kiduchu+fundi fridge+dume la Pwani
Big up tiny whait from 🇿🇦🇿🇦
Zakayo 100% majinunii😂😂😂
Jamani muendelezo please nawakubali sana 💝💝
Alie mwelewa mwenyekiti aje tuongee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
mimi apa ni nimehelewa anamohogopwa nagwa
@@usenistanley9905 yeye c alijifanya lipo ndani ya uwepo wake
Alijipiga kifua Kama amefika sehemu husika lakin baada yakujuwa kesi IPO kwa Nagwa. Amesema yeye hahusiki aende ustawi wa jamiii. Mwenyekiti nimemuelewa dhidi ya Nagwa kwa vile aliacha kofia yake kwa Nagwa baada y kichapo😂
🤣🤣🤣🤣zakayo na dume la mpwani Mungu anawaona🤣🤣🤣🤣
From mozambique 🇲🇿. Tin White 🤣🤣🤣
Tambem
Oiii vp
Hahahah 😂🤣😂🤣😂🤣yani mnanifurahisha kila kukicha 😄🤣😂😆😄🤣😂😆😄🤣😂.
Jamani mi kucheka cna lakusema😂🤣😂 ila nawapendeni nyote hongereni kwa kazi mzuri
Daaah brother unaupiga mwingi huyo dume la pwani siku zote alikua wap
😂😂😂😂😂noma sana pilika
Kazi nzuri sana ila script ya jesca naona kama kuna hitilafu maana kiuwalisia uwezi ukaja kwangu kwa kukusaidia alafu anipande kichwani angetakiwa afokeane na kilangaso ila akimuona Queen alitakiwa ajifanye mjinga rekebishen hilo, pia kwa upande wa kiduchu kuna hitilafu naiona sijajua kwa wenzangu wanao tazama kila siku anabadilishwa muonekano na funzo mpak saiv akuna dalili yoyote hivyo wanaotazama kam kuna mabint wanamtazam wengine wanawez kuiga huo muonekano sio mzur 🙏🙏🙏
Kweli kabisa
🤣😂😅😅🤣pilika na dume la pwani😂😅🤣😅😂😅🤣😃🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Yes yes yes sakatembo kama sakata nakubelee weeh Mr Pilika uko bie
Na one from Kenya tin mzee wa kazi
Yani mwazo mwisho 🔥🔥🔥🔥👌👌👌👌👌👌
Dah kitambo sanaaaa bez man mishiiii.........
Dume la pwani chaliiii fundo la kichinaaaaaaaaaaa limeangusha mtu
Kiduchu umempenda sana kijana wa pilika
Hahahahaha sijamwona abdulitoka mwakajana
Mnazngua hamuendi na muda wala siku husika....mnashndwa na ugaigai wapo very active kwny swala la muda na siku husika ikifka saa 9 kamili kitu kwa hewa j3,j5 na ijumaa...lkn nyie season nzr lkn ttzo ndo hilo muda hamjal
Ndiyo maana ukaambiwa U subscribe ili ikitoka tu unapata taarifa,, sioni kama nayo ni tatizo kuubwa,, ila nimependa umetoa mawazo yako hukuomba like kama wengine😂😂😂😂
@@sulaymanwaziri4455 duhhh ww kuhus ku subscribe mm n ktambo San tangu kwny ile epsode ya Aladin npo nao lkn sas hv hawaend na muda
Ugaigai... is confusing!
@@godfreysangawe5489 kweli kabisa watalifanyia kazi,, lakini hizi filamu za kutoa kila baada ya siku chache zina changamoto,, kwasababu wakitoa huku wana igiza kipande kifuatacho,, hivyo wakati mwengine wanachelewa kukamilisha kazi kwa sababu mbalimbali kutokana na changamoto
Nuru wanguuuuuuuuu❤️❤️❤️❤️❤️
Kilangaso ushaur wanuru ndo mzur
Sema zakayo kaupiga mwingi nae mzee wa Mimi hapa nilikua Mimi hapa
Nawapenda sana from 🇧🇮wahusak wasakata
Tunaoangalia kutoka Germany tujuane 🤩🤩🤩au nipo peke yangu
Hahahaaaaa upo pekeako
Hahahahah zakayo utaniuw mieee🥰
Mko vizuri waungwana😂😂😂😂
Mnatoa pole pole sana jmn
Pilika hii script aliyo mpa zakayo jaman mbavu zangu au dishi la yumba walahi aokotwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
Wa kwanzaa leoo mapema tuuu
Hii dawa ya abduli noma isee😂😂🤣
Haki Abdul atanivunja mbavu mie kwa vituko
Mwaniumiza mbavu zangu jamani penda Sana pilika watupa birudani
From Saudia Arabia pilika pilika wewe nakupendasana
🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Sakata nimesubiri sana hatarii🤣🤣Kenya tupo nyonyo
*KENYA TWAWAPENDA* 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Zakayo mamayo nimecheka kisenge
Mweniye Kiti, ”siwezi kwenda kwa Nagua" Mocimboa da praia--Nanduadua🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Igualmente 🇲🇿
Jamani ndume lapyani kapatikana na yeye 😂😂😂😂😂😂
Kibonge mayele 😂😂😂😂😂😂😂😂
Nimewah leo🔥
Tuliyokuwepo Dubai like zote
Nawapata vizuri nikiwa hapa Urusi
Team kiduchu Niko apa✌️✌️✌️✌️🥰
👍
Very Nice Sanaaaa
SAKATA VS UGAI GAI NI MOTO NAOMBA LIKE ZENU🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Abduli tulia maan uliyatak mwenyew hf na dume lapwan ulilolitafta ulishalipata 😂😂😂
😂😂😂😂
Huku ugaigai huku sakata 🤣😂 utamu utamu
Queen nakupendaga mm jmn mmmwaaah dada Ang
Daaah sema inachelew san bwan tin
From Seoul south Korea nawapata vyema sakata
Mkenya ama mbongo? Unasoma huko?
🤣🤣🤣🤣 pirika pirikaaaa chariii
🤣🤣
😂😂😂😂😂😂pilikaaaaa Abdul atawaua
Wakwanza mm Dj Anton nkome hapa
Pilika amekupa juice🤣🤣🤣🤣🤣
Putin anafikiria mchana tule Nini🤣🤣🤣
Wapili from Qatar 🇶🇦
Mshahara utatoka 27
Mimi hapa 🇶🇦
Team Qatar 🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇶🇦 tupewe moja kubwa
Tujuane team qatar hapa Baba wa karwa
@@fabianoerastus5445 QTRS hapa
50 lasaaa 50 majinuni 🤣🤣🤣🤣🤣
am de first to watch
Jesca mungu amdkuliki xn chuma cha kutosha
nawapenda wote wana Sakata#
From MANCHESTER 🔥🔥🔥🔥
Ninakubalyi sana filam zeno from 🇲🇿
igualmente meu irmão