SAKATA SERIES: Episode No.27 : Starling; Tinwhite Kilangaso Dagobert Tausi Queen Kiduchu Abdul Mkono

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 352

  • @molamvili9580
    @molamvili9580 2 года назад +3

    Cute nuru i love you ushauri wako mzuri bomu lilipuke Jesca aende huko mpuuzi sana huyu , timu sakata 🔥🔥🔥

  • @emmasaleji2698
    @emmasaleji2698 2 года назад +4

    Abdul wew😂😂😂💕💕💕 haki ya mungu utakuja kugunduliwa 😂😂😂😂😂😂😂

  • @hlimaa5182
    @hlimaa5182 2 года назад +4

    Hahaha 😂😂😂 nime cheka sana eti hamsini Rasta hamsini majnuni hahaha 😂😂😂😂😂 safi sana

  • @lazackchusi8274
    @lazackchusi8274 2 года назад +3

    Whitefilms team long life for good work because the serious is firee long life all members in white films 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 2 года назад +4

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hati sijamuona tokea mwaka jana 👌👌👌👌👌abdul nae mbona huyu mzee mroho?haya ushauwa team sakata mubarikiwe 🙏🤣🤣🤣🤣🥰

  • @bahatijuma1626
    @bahatijuma1626 2 года назад +17

    😂😂😂From Saudi 🇸🇦🇸🇦baba kinduchu shikamo 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @sharifamishi9381
    @sharifamishi9381 2 года назад +4

    Zakayo nakupenda buree😘😂😂😂😂 uko vzr brooh

  • @faikenyangal254
    @faikenyangal254 2 года назад +4

    😂😂😂😂😂😂mtajifea nyie pilika pilika pilikaaaaaa😂😂😂sas aky nachekaa Leo mpak bas hapo wifi yang yasumbua sijui waiguru n yey hajailipia au vp 😂😂😂much love guys from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mvuyekurelina3070
    @mvuyekurelina3070 2 года назад +13

    Leo nimechelewa ila siyo sana from Burundi 🇧🇮 nawapenda wote ❤️😘😘

  • @pricillanovaty6727
    @pricillanovaty6727 2 года назад +5

    Hivi zakayo ana manzi kweli 😂😂😂😂 ila ka nuru kazuri kweli nakapenda mpaka nakapendelea na babaang martin ❤❤❤❤

  • @abuuabdillahtv8457
    @abuuabdillahtv8457 2 года назад +10

    Aaaaaaaaaah umenifulahisha sana unakunywa kizanzbr na kichna na kitairend

  • @nurumangi9295
    @nurumangi9295 2 года назад +7

    Dume lapwani😂😂😂🙌na pilika staili zao zakuzimia nimecheka nusu nizimie

  • @ndayisabaemmanuel11
    @ndayisabaemmanuel11 2 года назад +3

    Tin white big up from usa 🇺🇸 nakubali kabisa kwa sakata hiiii

  • @saifSaif-yj9uu
    @saifSaif-yj9uu 2 года назад +4

    Pilika Pilika hahaha haaahaahaa yani kira siku unazidi kuvutia tu mashallah nawapenda sana ❤️❤️❤️🤣🤣

  • @georgesheto4542
    @georgesheto4542 2 года назад +16

    Haaaaaaaaaaaaaaaaa ndugu yangu unakwenda kumchokonoa putin 😂😂😂 Team sakata like za kutosha APA

  • @iddyhamisi2731
    @iddyhamisi2731 2 года назад +18

    Duuh mtu anazimia anaanguka lakini juisi imeshikwa haimwagiki 😂😂😂 nimeielewa hiyo

  • @kenyzach9124
    @kenyzach9124 2 года назад +7

    kibonge mayele anamuogopa nagwa😂😂

  • @mayaashassan3918
    @mayaashassan3918 2 года назад +8

    Kiduchu una baba hpo🤣🤣🙌yaani baba apishi kla atakacho kiona akitaka yy🤣🤣🤣🤣🤣🙌

    • @sulaymanwaziri4455
      @sulaymanwaziri4455 2 года назад +4

      Kila kitu kina advantage na disadvantages,, sasa hiyo tabia ya pirika imemsaidia mtoto wake asitolewe mimba😂😂😂😂

  • @msasenathpotiphar1732
    @msasenathpotiphar1732 2 года назад +4

    Aki ya Kweli sakata mwaniua mbavu hadi baba mjengo chalii 🔥😂,haya si alikuwa yu asema pilika ana ugonjwa wa kuzimia basi na yeye umempata🤣

  • @sulaymanwaziri4455
    @sulaymanwaziri4455 2 года назад +13

    Pirika,, Pirika,, Pirikaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Dume la Pwani umetisha sana 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @sulaymanwaziri4455
      @sulaymanwaziri4455 2 года назад +2

      Naona kama mnachelewa kule ifuatayo,, tuone yatakayo jiri kati ya Pirika na Dume la Pwani baada ya kuamka🤣🤣🤣🤣🤣

  • @abdillahmussa4220
    @abdillahmussa4220 2 года назад +18

    wa kwanz Leo naomba like zenuuuu sakata fans

  • @sidemakuka2844
    @sidemakuka2844 2 года назад +2

    Salute umezima mzee Martin joice haijamwagika one love 🇿🇦🇿🇦Johannesburg

  • @scholahmwelange1406
    @scholahmwelange1406 2 года назад +6

    😂😂😂dume la pwani kayakanyaga na yy🤣🤣🤣🤣🤣

  • @saumbliz8983
    @saumbliz8983 2 года назад +4

    Watching from Lebanon 🇱🇧

  • @ukhtytiffaukhtytiffa6383
    @ukhtytiffaukhtytiffa6383 2 года назад +2

    Hahaha😃😃😃😂😂😂😂 Jmn abdul wew pilika wawa tu kila wakati Lamkuta Sakata tuu😁😁😁😁

  • @paulmeshack1198
    @paulmeshack1198 2 года назад +11

    Jpil saf ikisindikizwa na #Sakata🤗🤗🤗

  • @hamisidumbo1568
    @hamisidumbo1568 2 года назад +9

    Hongera sana,uku qatar 🇶🇦 tunawafatilia kwampiga🤝

  • @hamissemohammed9442
    @hamissemohammed9442 2 года назад +5

    From 🇲🇿🇲🇿🇲🇿Mozambique love

  • @coupleslove6998
    @coupleslove6998 2 года назад +29

    Walahi hii series ndio inanimalizia bando Kila baada ya siku mbili 😂😂hapa sasa hv nshaandikiwa umetumia asilimia 75😂😂😂

  • @scorasticaclement6308
    @scorasticaclement6308 2 года назад +11

    Wachaaa Nichekeeee Mieee kwanza Kabla Ya Kuangalia🤣🤣

  • @yusrashabani2983
    @yusrashabani2983 2 года назад +11

    USA 🇺🇸 tupo umu kwenye fire 🔥 ya sakata 😂😂😂😂😂😂

  • @abuubakarsaid6189
    @abuubakarsaid6189 2 года назад +1

    From, Ukrain🇺🇦 Mr.Pirika you are amazing acter

  • @ukhtytiffaukhtytiffa6383
    @ukhtytiffaukhtytiffa6383 2 года назад +3

    Kwani huyu zakayo hana Nini jamaniii 😊😊😊😁😁😁😁😁

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 2 года назад +4

    Kibonge mayeleee kaogopa kwenda kwa nagwa

  • @othmanmazuri1365
    @othmanmazuri1365 2 года назад +7

    WHITEFILMS ON FIRE WATCH FROM KOREA

  • @abdulmohamed8852
    @abdulmohamed8852 2 года назад +2

    Safi sana mm niwewakubali hii ya juice mbn kali

  • @immahjr.4622
    @immahjr.4622 2 года назад +4

    Hahahah 😂😂😂😂 et yule wa ya ya ya ya ya

  • @complex7582
    @complex7582 2 года назад +9

    Abdul+zakayo+kiduchu+fundi fridge+dume la Pwani

  • @abdulally7848
    @abdulally7848 Год назад +1

    Big up tiny whait from 🇿🇦🇿🇦

  • @candiesalm8995
    @candiesalm8995 2 года назад +4

    Zakayo 100% majinunii😂😂😂

  • @halimaiddy8691
    @halimaiddy8691 2 года назад +1

    Jamani muendelezo please nawakubali sana 💝💝

  • @youngmaster4127
    @youngmaster4127 2 года назад +7

    Alie mwelewa mwenyekiti aje tuongee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @usenistanley9905
      @usenistanley9905 2 года назад

      mimi apa ni nimehelewa anamohogopwa nagwa

    • @youngmaster4127
      @youngmaster4127 2 года назад

      @@usenistanley9905 yeye c alijifanya lipo ndani ya uwepo wake

    • @binssoud1995
      @binssoud1995 2 года назад +1

      Alijipiga kifua Kama amefika sehemu husika lakin baada yakujuwa kesi IPO kwa Nagwa. Amesema yeye hahusiki aende ustawi wa jamiii. Mwenyekiti nimemuelewa dhidi ya Nagwa kwa vile aliacha kofia yake kwa Nagwa baada y kichapo😂

  • @shimirimanadeborahabdalajo6877
    @shimirimanadeborahabdalajo6877 2 года назад +4

    🤣🤣🤣🤣zakayo na dume la mpwani Mungu anawaona🤣🤣🤣🤣

  • @jaymapepefatma5936
    @jaymapepefatma5936 2 года назад +7

    From mozambique 🇲🇿. Tin White 🤣🤣🤣

  • @yesunimwema4497
    @yesunimwema4497 2 года назад +1

    Hahahah 😂🤣😂🤣😂🤣yani mnanifurahisha kila kukicha 😄🤣😂😆😄🤣😂😆😄🤣😂.

  • @sjfdbd2399
    @sjfdbd2399 Год назад

    Jamani mi kucheka cna lakusema😂🤣😂 ila nawapendeni nyote hongereni kwa kazi mzuri

  • @michaelrapchamic6700
    @michaelrapchamic6700 2 года назад +1

    Daaah brother unaupiga mwingi huyo dume la pwani siku zote alikua wap

  • @shelyboyshely2928
    @shelyboyshely2928 2 года назад +7

    😂😂😂😂😂noma sana pilika

  • @margrethamsechu7088
    @margrethamsechu7088 2 года назад +16

    Kazi nzuri sana ila script ya jesca naona kama kuna hitilafu maana kiuwalisia uwezi ukaja kwangu kwa kukusaidia alafu anipande kichwani angetakiwa afokeane na kilangaso ila akimuona Queen alitakiwa ajifanye mjinga rekebishen hilo, pia kwa upande wa kiduchu kuna hitilafu naiona sijajua kwa wenzangu wanao tazama kila siku anabadilishwa muonekano na funzo mpak saiv akuna dalili yoyote hivyo wanaotazama kam kuna mabint wanamtazam wengine wanawez kuiga huo muonekano sio mzur 🙏🙏🙏

  • @jamilanasio9789
    @jamilanasio9789 2 года назад +3

    🤣😂😅😅🤣pilika na dume la pwani😂😅🤣😅😂😅🤣😃🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @cheme-records69
    @cheme-records69 2 года назад +1

    Yes yes yes sakatembo kama sakata nakubelee weeh Mr Pilika uko bie

  • @alijambia4604
    @alijambia4604 2 года назад +4

    Na one from Kenya tin mzee wa kazi

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 2 года назад +2

    Yani mwazo mwisho 🔥🔥🔥🔥👌👌👌👌👌👌

  • @osamadbanarab5162
    @osamadbanarab5162 2 года назад

    Dah kitambo sanaaaa bez man mishiiii.........
    Dume la pwani chaliiii fundo la kichinaaaaaaaaaaa limeangusha mtu

  • @ladyj5089
    @ladyj5089 2 года назад +4

    Kiduchu umempenda sana kijana wa pilika

  • @veroslaa1041
    @veroslaa1041 2 года назад +1

    Hahahahaha sijamwona abdulitoka mwakajana

  • @godfreysangawe5489
    @godfreysangawe5489 2 года назад +5

    Mnazngua hamuendi na muda wala siku husika....mnashndwa na ugaigai wapo very active kwny swala la muda na siku husika ikifka saa 9 kamili kitu kwa hewa j3,j5 na ijumaa...lkn nyie season nzr lkn ttzo ndo hilo muda hamjal

    • @sulaymanwaziri4455
      @sulaymanwaziri4455 2 года назад +1

      Ndiyo maana ukaambiwa U subscribe ili ikitoka tu unapata taarifa,, sioni kama nayo ni tatizo kuubwa,, ila nimependa umetoa mawazo yako hukuomba like kama wengine😂😂😂😂

    • @godfreysangawe5489
      @godfreysangawe5489 2 года назад

      @@sulaymanwaziri4455 duhhh ww kuhus ku subscribe mm n ktambo San tangu kwny ile epsode ya Aladin npo nao lkn sas hv hawaend na muda

    • @rugendorunene545
      @rugendorunene545 2 года назад

      Ugaigai... is confusing!

    • @sulaymanwaziri4455
      @sulaymanwaziri4455 2 года назад +1

      @@godfreysangawe5489 kweli kabisa watalifanyia kazi,, lakini hizi filamu za kutoa kila baada ya siku chache zina changamoto,, kwasababu wakitoa huku wana igiza kipande kifuatacho,, hivyo wakati mwengine wanachelewa kukamilisha kazi kwa sababu mbalimbali kutokana na changamoto

  • @Osca777
    @Osca777 2 года назад +5

    Nuru wanguuuuuuuuu❤️❤️❤️❤️❤️

  • @khatibbehusn1615
    @khatibbehusn1615 2 года назад +1

    Kilangaso ushaur wanuru ndo mzur

  • @michaelrapchamic6700
    @michaelrapchamic6700 2 года назад +1

    Sema zakayo kaupiga mwingi nae mzee wa Mimi hapa nilikua Mimi hapa

  • @nasranasra361
    @nasranasra361 2 года назад +2

    Nawapenda sana from 🇧🇮wahusak wasakata

  • @abouassifmabrouk8110
    @abouassifmabrouk8110 2 года назад +2

    Tunaoangalia kutoka Germany tujuane 🤩🤩🤩au nipo peke yangu

  • @boyiddy9323
    @boyiddy9323 2 года назад +2

    Hahahahah zakayo utaniuw mieee🥰

  • @sulaymanwaziri4455
    @sulaymanwaziri4455 2 года назад +4

    Mko vizuri waungwana😂😂😂😂

  • @loityonlinetv
    @loityonlinetv 2 года назад +3

    Mnatoa pole pole sana jmn

  • @margrethamsechu7088
    @margrethamsechu7088 2 года назад +3

    Pilika hii script aliyo mpa zakayo jaman mbavu zangu au dishi la yumba walahi aokotwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌

  • @jaymodrize6636
    @jaymodrize6636 2 года назад +4

    Wa kwanzaa leoo mapema tuuu

  • @maherzain615
    @maherzain615 2 года назад +2

    Hii dawa ya abduli noma isee😂😂🤣

  • @amenah2317
    @amenah2317 2 года назад +3

    Haki Abdul atanivunja mbavu mie kwa vituko

  • @ishmaelmtwale1219
    @ishmaelmtwale1219 2 года назад

    Mwaniumiza mbavu zangu jamani penda Sana pilika watupa birudani

  • @saumuswaleh1221
    @saumuswaleh1221 2 года назад +1

    From Saudia Arabia pilika pilika wewe nakupendasana

  • @dablejay6404
    @dablejay6404 2 года назад +1

    Sakata nimesubiri sana hatarii🤣🤣Kenya tupo nyonyo

  • @maasaimkisii9089
    @maasaimkisii9089 2 года назад +3

    *KENYA TWAWAPENDA* 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @youngmaster4127
    @youngmaster4127 2 года назад +3

    Zakayo mamayo nimecheka kisenge

  • @rufinaomar2973
    @rufinaomar2973 2 года назад +2

    Mweniye Kiti, ”siwezi kwenda kwa Nagua" Mocimboa da praia--Nanduadua🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @ferserinaebinda353
    @ferserinaebinda353 2 года назад +1

    Jamani ndume lapyani kapatikana na yeye 😂😂😂😂😂😂

  • @rogynee8135
    @rogynee8135 2 года назад +1

    Kibonge mayele 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @brinnahbrinn9715
    @brinnahbrinn9715 2 года назад +7

    Nimewah leo🔥

  • @abdallahzakariashehe6115
    @abdallahzakariashehe6115 2 года назад +3

    Tuliyokuwepo Dubai like zote

  • @haisamseif2744
    @haisamseif2744 2 года назад +3

    Nawapata vizuri nikiwa hapa Urusi

  • @elifridajoseph4552
    @elifridajoseph4552 2 года назад +3

    Team kiduchu Niko apa✌️✌️✌️✌️🥰

  • @annapeter7632
    @annapeter7632 2 года назад +3

    Very Nice Sanaaaa

  • @officialpuzuboytz7724
    @officialpuzuboytz7724 2 года назад +6

    SAKATA VS UGAI GAI NI MOTO NAOMBA LIKE ZENU🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @saidiabdalahshabani941
    @saidiabdalahshabani941 2 года назад +2

    😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Abduli tulia maan uliyatak mwenyew hf na dume lapwan ulilolitafta ulishalipata 😂😂😂

  • @clichytraveller8099
    @clichytraveller8099 2 года назад +4

    Huku ugaigai huku sakata 🤣😂 utamu utamu

  • @ashurahamisssaidy1488
    @ashurahamisssaidy1488 2 года назад

    Queen nakupendaga mm jmn mmmwaaah dada Ang

  • @goodluckdauson6730
    @goodluckdauson6730 2 года назад +1

    Daaah sema inachelew san bwan tin

  • @bbccaa4156
    @bbccaa4156 2 года назад +1

    From Seoul south Korea nawapata vyema sakata

    • @maherzain615
      @maherzain615 2 года назад

      Mkenya ama mbongo? Unasoma huko?

  • @ananiaatanasi6765
    @ananiaatanasi6765 2 года назад +3

    🤣🤣🤣🤣 pirika pirikaaaa chariii

  • @djkayumba
    @djkayumba 2 года назад +1

    😂😂😂😂😂😂pilikaaaaa Abdul atawaua

  • @antonmuss1837
    @antonmuss1837 2 года назад +2

    Wakwanza mm Dj Anton nkome hapa

  • @bettyojiambo8660
    @bettyojiambo8660 2 года назад +3

    Pilika amekupa juice🤣🤣🤣🤣🤣

  • @richlymo
    @richlymo 2 года назад +2

    Putin anafikiria mchana tule Nini🤣🤣🤣

  • @muqbilyusuf7739
    @muqbilyusuf7739 2 года назад +24

    Wapili from Qatar 🇶🇦

    • @loganpoul
      @loganpoul 2 года назад +1

      Mshahara utatoka 27

    • @Danlizah
      @Danlizah 2 года назад +2

      Mimi hapa 🇶🇦

    • @fabianoerastus5445
      @fabianoerastus5445 2 года назад +2

      Team Qatar 🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇶🇦 tupewe moja kubwa

    • @fabianoerastus5445
      @fabianoerastus5445 2 года назад +2

      Tujuane team qatar hapa Baba wa karwa

    • @loganpoul
      @loganpoul 2 года назад +1

      @@fabianoerastus5445 QTRS hapa

  • @japhethelijah4252
    @japhethelijah4252 2 года назад +3

    50 lasaaa 50 majinuni 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nkwabisportshq3585
    @nkwabisportshq3585 2 года назад +2

    am de first to watch

  • @mdasilusaid2952
    @mdasilusaid2952 2 года назад

    Jesca mungu amdkuliki xn chuma cha kutosha

  • @fettyrishamshana7947
    @fettyrishamshana7947 2 года назад +6

    nawapenda wote wana Sakata#

  • @mselawataifa
    @mselawataifa 2 года назад +2

    From MANCHESTER 🔥🔥🔥🔥

  • @josejoaozacarias
    @josejoaozacarias 2 года назад +1

    Ninakubalyi sana filam zeno from 🇲🇿