KILICHONIKUTA USIKU: NAJUTA KUMLAZIMISHA MREMBO ALALE KWANGU SIWEZI TENA KU..
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2025
- KILICHONIKUTA USIKU: NAJUTA KUMLAZIMISHA MREMBO ALALE KWANGU SIWEZI TENA KU..
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
#KILICHONIKUTAUSIKU #NAJUTAKUMLAZIMISHAMREMBOALALEKWANGU #TIKITVKIAKILIZAIDI
Pole sana.Mungu atakupa masikini mwenzio na mwenye upendo wa dhati.kuna jambo Mungu kakuepusha shukur Mungu. Siku zote masikini hathaminiwi.
kwal wngu🤔
@@ayshamahariq6665 ndugu kwema uko mpendwa?
Pole sana mdogo wangu, pambana na maisha achana na mambo ya mademu hawa wakwako atakuja tu we pambana kuinua uchumi wako kwanza.
Mtangazaj katulia sio mapepe safi
pole sana lkn ulishindwa kuchangamkia fursa ungemlisha at a miogo lkn azaee
pole mdogo wangu Mushukuru MUNGU Ako Na sababu yawe ivio wakwako Ako
Pole kakaang huenda walimpata wamasaki.
Daaaa hatari sana
Na jifunze kuwa na kumbukumbu ya vtu vzr kumbukumbu Mbaya huumiza achana nazo,
Interview moja muhimu sana kwa vijana hii wakiume na hata sisi wanawake,.
Pôle kijana uko powa sana handsome boy . Mungu atakupatia mke mwema ishaallah
Hb kweli then anafana na uchebe
Pole Sana d utapata mwingine japo inauma haikua mpango wa mungu wew kuwa naye
Mungu/MUNGU na sio mungu
Pole sana kwa yote ila naamini kuna jambo Mungu kakuepushia. Huyo sio mke mwema. Mungu kakufunulia madhifu yake mengi sana! Achana naye kabisa. Hata kwa kukutongoza tu hafai! Mshukuru sana Mungu.
Am muna from tz leo umepata story inakufuhisha nzur unakenya tu muhandishi wet haihuzinish piga like zake kwa mwandishi🔥🤩👍👈
Ww shayo mbn hbr ya Yule kk mganga wa magomeni wa kigoma vp mbn haijaendelea
Pole,muombe mungu akupe aliesahihi kwako.
Mungu/MUNGU na sio mungu
Kwangu Mimi ningechukulia kanisaliti nisingeweza kuoana naye tena kwa vile hana dhamana anaweza kunisaliti tena kwenda kwa Mpenzi wake Mwengine
Watching from USA kumekucha huku
Tiki tv auelezake sana vile neno iko maelezo kila mara haimbatanake na vichwa via maneno
Hiki siyo Kiswahili fasaha jifunze Kiswahili upya na kuandika pia.
Pole sana brother, wanawake wengine huwaga ni zaidi ya shetani
Pole Sana kaka pt2 pls
Nmependa unajua sana kujielezea, iaonesha hii kwl inakuhisu na inakutesha, Tiki TV tunaomba part 2 plz,
Subhannallah nimejifunza pole sana brother haikua ridhiki yako na sikua zote kisichokua ridhiki hua Allah hukuepushia sema alihamdulinllah Pole sana ndio changamoto za kidunia but one day yes atakukumbuka
Mmmmh magumu hayo,shida ya kuanza mapenzi utotoni ndio hii inageuka kuwa madharau
Mmm mbona inanihusu pia duuh
Duuuu pole sana kaka
He pole
Ni dada zetu mama zetu na ni shangazi zetu Ila siyo watu wazuri
pole sana kaka yngu
Mungu atampa alie wake.
@@thumnathumna5946 in shaa Allah
Subhannahllah pole sana
Darasa la tano ! Hakuna watoto
Pole San bro Doto mung atakup aliyekuwa sahihi kwako
Mungu/MUNGU na sio mung
@@Zaburi- kweli kabisa haipaswi kulikatisha jina la MUNGU ubarikiwe Sana kwa kutuelimisha🙏
Achana nae huyo kijana hakufai
Shayo Ana smilies. Ya came baby😋😋
😜😜😜😜
Hatar sanaa wallah
Pole utapata mwimgine
Tuletee mama mkombozi part 3
Yessss alete tafadhali
Mama mkombozi pt3
We kaka changamka kua unaleta part 2,3,4
Bro mutihani wako mwepesi sana mbona mimi wangu ni marakuni wa huyo waking
Mke mwema anatoka kwa Mungu, muombe Mungu atakupa wako
Utapata kutoka kwa bwana sunira
App imeiita whatsapp what?
😄🤣😂😆😄🤣ati namkumbuka jina sababu ni mume mwemza
Jamani Mbona ule mkasa wa mama mkombozi Mbona mliukatisha hatukujua ilifikiaje
Mbona ushaendelea sana tafuta utaupata
Kwahyo ilikuwaje sasa hadi huwezi mambo? Woiye pole sana
Mambo gani tena 😂😂😂
Weww mtoto mdongo unafanya mapenzi bado mapema tena mwislam mtihani huo kwa kweli
Mimi pia sijaelewa darasa la saba!!!!!wamejulia wapi hayoambo!!!!Mungu atusaidie watoto wetu
@@lydiaokobi1702 tumuombe sana mungu atulindie vizazi vyetu.
Mungu atafanya kitu kikubwa kwako pambana mdogo wangu
Shayo unavijineno hatari
Hahaaa
Hahaahahaa haki mungu mmenipa Raha Sana na ndoto.
Mh so kwa pozi ilo mtangazaji
lahaula wakuatha illa billahi
Atakuja kukumbuka hajui masela na hapo ujana ndio unaomsumbua, sasa wewe mkaushie tu kwani hawanaga mbio ndefu watu wa jinsi hiyo ngojea utaona tu 🤣
mhhhh
Inaederea au
Ungempiga mimba at a mahari wasinge kudai ulifelii sanaa
Kwani mimba unapanga wewe kumpa kaka?
ALLAH ATAKUPA MWENYE KHEIRY NAWEWE MUWACHE AOLEWE LAKINI ALJUWE NDOA INAHTAJI UPENDO WAKWELI NASIO MALI ATAKUKU MBUKA
Sasa ww Kelvin huko kuzaliwa unataka nn leteni mkasa
Nisawa, wara upaswikulalamika, hatakidogo ,Kama mwanzo alikusaliti ukamsamee ulidhani Tabia ameiacha, yule alikuakwale awezikufugwa, na usishangae hata ariemuoa watachomoana, wewechakufanya pambana Mtafute MUNGU atakupa chako na utubu, na upambane kutafutapesa basi
Ila sasa hata mama yako mzazi naye alichangia hata sijui utafanyaje..duh
pole saaan ndogo
👍👍👍
7þþyyýtyþ66þtþþþþþþþþtþtþþtþttttþþþttþttþþtþŕþþtttþtþþþtþťŕŕþþþþþþyþþþþþtþtrtrŕþþtþttfŕfŕffffŕŕérrrrrřþþfffffŕfffffffďđfffďfffŕýup
As takafirulahi..
Sisi Tunataka Habar Kuzaliwa Ataje2 Anaitwa Fulani Bin Fulani Atoe Story Ayo Mengine Watajua Wao Na Familia Yao
😂😂😂
✌🏻
Dogo ana story tamu.
Mtangazaji uwe unachana nywele ,🤣🤣
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣wallah umenichekesha dah et uwe unachana nywele
😄😄😄yaani ww nimechek atr
2
Heee
Jo
Heee mtihani mtoto wa nje ya ndowa wewe hapo hamna ndowa kwa sheriya ya dini ya kislam mkristo na mwislam hamna ndowa hapo
😂🤗
Kila sekunde moja ina.................
Katika maisha hakuna muda waku........
@@suraiyahhussein3608 hakuna mda wa kupoteza
Upuuzi mtupu.
Hakuna kuchezeana halafu kufunga ndoa. Kijana dini ya Kiislam inataratibu zake za ndoa. Kaa na mashekhe wakefunze.
We nae ushatomba wengi usijitoe ufahamu braza
@@sophiemwanina5979 😂😂😂😂😂😂
@@mimah0559 anajifanya hapo ndio anazini adi leo
Ndoa ilifiy wap
Moja, mbili, tatu 1 2 3 🙄🙄
Du
Tafuta pesa
Usinge waambia wenzako kama yeye kakutongoz
Shida ni wewe ndugu kumskuma, umemrudisha kwao mara mbili?
gallous gosper wewe swahili gani umejua??laisse tombez votre swahili Tanzanienne nga ba kokoka te
00
Kumbe wewe.mbakajim ukamatwe
Hahahahahah.....
Pole sana.Mungu atakupa masikini mwenzio na mwenye upendo wa dhati.kuna jambo Mungu kakuepusha shukur Mungu. Siku zote masikini hathaminiwi.
Hujambo wngu😘😘😘
@@ayshamahariq6665 sijambo .pole na majukumi my dear.
@@thumnathumna5946 Shkuran wngu😘😘😘😘😘
@@thumnathumna5946 waenda lin nyumban wngu😘😘
@@ayshamahariq6665 bado.nipo na mpango wa kuongeza ongeza miezi😄😄😄😄.
Pole sana.Mungu atakupa masikini mwenzio na mwenye upendo wa dhati.kuna jambo Mungu kakuepusha shukur Mungu. Siku zote masikini hathaminiwi.
Bbb
Bb.
V
Pole sasa kaka mkuu daa!