Cheki Aweso alivyowamwagia sifa wake zake bungeni

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Leo wake zangu wote wawili wamekuja hapa kunipa ushirikiano, haya sio mapenzi ni mahaba mazito ninawapenda sana na mnaponiona ninachakarika ni kwasababu wa ukaribu na ushirikiano wao mkubwa ambao wananipa. Mimi Jumaa Aweso nitaendelea kuwapenda sana wake wangu,” amesema Waziri wa Maji, Jumaa Aweso alipokuwa akiwasilisha bungeni bajeti ya wizara ya Maji.

Комментарии • 6