Annoint Amani - Wafumbue.(Official Video )Sms SKIZA 9047806 TO 811

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Artist Annoint Amani
    Song wafumbue .SMS SKIZA .9047806.TO 811..
    E.Mail amananoint@gmail.com
    Whatsap No +255755099942

Комментарии • 257

  • @rosewoiemitau8376
    @rosewoiemitau8376 3 года назад +1

    Wimbo mzuri sana esau songa mbele kwa jina la yesu kristo

  • @josephklmanzi
    @josephklmanzi Год назад +1

    Mbarikiwa dugu

  • @corneliusapara4209
    @corneliusapara4209 4 года назад +2

    Amani nitaipata wapi mimi????? vijana wanateketea kabisaa,,,thanks brethren for the great message to us as youths,,,,,254 ka unakubaliana na huu ujumbe bomba rusha like tukimupongeza kaka Annoint kwa kazi shwarii

  • @StephenKasolo
    @StephenKasolo 5 лет назад +15

    This kind of Gospel inspires many . Hii kazi nzuri sana .. Nilihubiri sana kupitia huu wimbo ata Mungu anajua!!! I want to see this Anoint again

    • @faithkioko3556
      @faithkioko3556 3 года назад +1

      Kowisi man uu bro

    • @faithkioko3556
      @faithkioko3556 3 года назад +1

      Ngai akwike nesa

    • @bikemwayowele
      @bikemwayowele 2 года назад +1

      Kasolo barikiwa piya
      Kwaakumupenda baba yangu annoint essau amani
      Yani umenifurahisha Sana kwakuzungumuza neno kubwa kama ilo
      Nilakiroho nimekwelewa kwa kirefu sana

  • @mourinenekesah4002
    @mourinenekesah4002 5 лет назад +1

    nice song utunzi mzuri muhuzishee Mungu zaidi

  • @RoseKamwethya-ef6qo
    @RoseKamwethya-ef6qo 9 месяцев назад

    Wimbo mzuri sana umembeba ujumbe

  • @florenceawuor9993
    @florenceawuor9993 3 года назад +2

    Wafumbue macho wajue mimi si mbaya kwao mbali ni neno nimeleta......so blessing to my soul...Mungu akuinue Amani kwa kile chochote utakalo fanya kwa ajili ya neneo la Mungu.....kwa kweli nyimbo nzuri sana

  • @ednakamathi8926
    @ednakamathi8926 3 года назад +1

    I love ur song annoint barikiwa xana brother kwa huduma ulionayo

  • @evpetersamweliofficial2425
    @evpetersamweliofficial2425 4 года назад +1

    Wimbo umenigusa sana

  • @joyceshisha6985
    @joyceshisha6985 5 месяцев назад

    Uko vizuri kijana wa Mungu.

  • @nabiibikemwayowele
    @nabiibikemwayowele Год назад

    1M view
    Ongera KUBWA ƙwakweli Mtumishi ANNOINT Amani
    Nakupenda bure

  • @annointamani3285
    @annointamani3285  6 лет назад +56

    Wafumbue ni wimbo unao nigusa saana sana namimi .hakika kila anae skiriza atabarikiwa mnoomnoo.pia ina kusaidia kiroho sana .

  • @estersaimon1825
    @estersaimon1825 3 года назад

    Barikiwa sana kijana

  • @mzeeniwewe136
    @mzeeniwewe136 3 года назад +1

    Kwa kweli hakuna nyimbo ninazo zipenda kama nyimbo za anoint zina ujumbe mzuri Sana🙏

  • @pw6416
    @pw6416 2 года назад

    Mungu akutie nguvu mimi Paulo margwe

  • @naninana13346
    @naninana13346 4 года назад

    Kijana , atari sana

  • @francoisbisimwa-7525
    @francoisbisimwa-7525 Год назад

    Mungu akubariki kwa iyi kazi

  • @tosekaelongo6945
    @tosekaelongo6945 2 года назад

    Kuimba wimbo za dunia ni kifo ama

  • @catrinahjoyiouz548
    @catrinahjoyiouz548 5 лет назад +4

    Kwa kweli waubirie neno ili wamjue Yesu anayedumu milele .......
    Mungu azidi kukubariki kaka yetu n Azidi kukuinua........
    Wimbo nzuri saaaaaaaana tena sana

  • @zablonmalongo6400
    @zablonmalongo6400 5 лет назад +1

    Hakika huyu kaka anatungo nzuri za nyimbo .ambozo zavutia hisia na ukizingatia kimakini uta fanya maamzi.,maishani ,na Awalinde Yehova wote.,nyie.A man

  • @JanetiJohniJanetiJohni
    @JanetiJohniJanetiJohni 2 года назад

    Amen nimeguswa sana, ubalikiwe

  • @jacqlinejeremia338
    @jacqlinejeremia338 4 года назад

    Umenitenga sana anointing

  • @AsAs-ko3ny
    @AsAs-ko3ny 3 года назад

    Amina mungu akubariki nyimbo hii ninzurisana

  • @chazyshadrack2558
    @chazyshadrack2558 2 года назад

    amina sana ubarikiwe kaka

  • @christinaslaa8659
    @christinaslaa8659 3 года назад

    Unaimba vizur

  • @mercylinesharin9112
    @mercylinesharin9112 3 года назад

    Jina la Mungu libarikiwe

  • @eunicemwende1400
    @eunicemwende1400 3 года назад

    Amen kubwa saaaana kwa yesu

  • @vidiahmiriam1285
    @vidiahmiriam1285 5 лет назад

    Dear waimbie vijana wetu pia nai waokoke

  • @graceschwill2775
    @graceschwill2775 3 года назад +1

    Endelea hivo, hivo, nyimbo zako inanibariki sana, injili kweli inafika kila kona ya dunia, can't stop watching from Germany. Amina

  • @joycechepngeno3825
    @joycechepngeno3825 Год назад

    Amen wafumbue ewe Yesu. Ninatia bidii wajue neno. Wafumbue

  • @MaryWamai-vx7mx
    @MaryWamai-vx7mx 3 месяца назад

    So anointing your songs am blessed

  • @isackisack4612
    @isackisack4612 4 года назад

    Imba waziidi kufunguka,imba kwamana umeitwa nabwana

  • @daudimhoha894
    @daudimhoha894 2 года назад

    Ubarikiwe.mtumishi.wa.mungu

  • @vumiliayona7977
    @vumiliayona7977 6 лет назад +2

    Barikiwa sana mtumishi nimeupenda sana

  • @odethaezekia2624
    @odethaezekia2624 2 года назад

    Amen umenibaliki sanaaaaaaaa

  • @mycletaitas9687
    @mycletaitas9687 5 лет назад +1

    daaah! MUNGU akubariki sana mpaka ushangae kwa wimbo mzuri napenda kuusikia kila mara

  • @AsifiweMsigwa-ti3il
    @AsifiweMsigwa-ti3il 2 месяца назад

    Ubarikiwe❤

  • @issayadismass795
    @issayadismass795 4 года назад +1

    Good kijana

  • @millicentakinyi5504
    @millicentakinyi5504 2 года назад

    Mungu,mwema💃💃💃

  • @andrewkivuyo4728
    @andrewkivuyo4728 4 года назад

    Anointing hongera sana.naomba.unitumie namba yako

  • @chantalshimi9619
    @chantalshimi9619 7 лет назад +1

    Amen. Ujumbe mzito. Barikiwa sana Annoint

  • @dorissimiyu7456
    @dorissimiyu7456 Год назад +1

    GLORY to Almighty God 🙏🙏 Nice dancing

  • @scollaeliya5157
    @scollaeliya5157 Год назад

    Amani antony

  • @doreenhope7615
    @doreenhope7615 3 года назад +1

    Nimebarikiwa na nyimbo zako,Mungu akuiniwe zaidi

  • @elizabethshelukindo9651
    @elizabethshelukindo9651 6 лет назад +3

    Napenda huu wimbo nnaweza kuusikiliza siku nzima

  • @vailethrbikangayo7700
    @vailethrbikangayo7700 6 лет назад +1

    ujumbe mzuri barikiwa

  • @sarahwawuda7638
    @sarahwawuda7638 6 лет назад +1

    Nimesikiliza huu wimbo zaidi ya mara mbili....kweli umenigusa sana mtumishi MUNGU azidi kukuinua

  • @roseogola6964
    @roseogola6964 3 года назад

    Amen 🙏 ubarikiwe

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 3 года назад

    Ubalikiwe San mtumishi wa MUNGU

  • @vanicnyaboke6761
    @vanicnyaboke6761 3 года назад +1

    Be blessed my brother tumebarikiwa sana I like ur songs God bless you

  • @bikemwayowele
    @bikemwayowele 2 года назад +1

    Wajinga awakujuwa
    Kipi Mungu alitaka akutumiye namna gani
    Mambo ya kiroho wajinga awawezi wakayatambuwa
    Barikiwa baba
    Sijuwi nakupenda asilimiya ngapi
    💯%

  • @princess.kawiraa
    @princess.kawiraa 2 года назад

    i warch your songs each and every day you bless me

  • @axsakibabi9478
    @axsakibabi9478 4 года назад +1

    Powerful

  • @janetmutanu4562
    @janetmutanu4562 4 года назад

    Barikiwa Sana Kaka... Ngoma zako hunibariki

  • @veronicaerasto7249
    @veronicaerasto7249 4 года назад

    Sichokagi kuangalia nyimbo zako hakika

  • @kankindinatalie9366
    @kankindinatalie9366 3 года назад

    Good blessed you

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 3 года назад

    yes powerfull

  • @vanicnyaboke6761
    @vanicnyaboke6761 3 года назад

    I was one day nikue kwa church yako

  • @jairuschichete2938
    @jairuschichete2938 3 года назад +1

    OOOHH YES BARIKIWA.. be blessed indeed

  • @GERALDLwangu
    @GERALDLwangu Год назад

    Important 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @happyyuwen8765
    @happyyuwen8765 5 лет назад

    unapatikana wapi mtumishi natamani nami niwe mwimbaji

  • @reeombima
    @reeombima 4 года назад +1

    Nimekujua leo nyimbo zako nzuri jamani mungu akubariki na akuenue mataifa mengi wakujue,napenda smile yako

  • @teresialyamaza2634
    @teresialyamaza2634 7 лет назад +13

    wafumbue neno walijue MUNGU azidi kukubariki mtumishi naakupe maisha marefu

  • @samanthaperez1150
    @samanthaperez1150 5 лет назад

    Baba tunaomba uwafumbue vijana wakutambue

  • @thelesiamalekela2034
    @thelesiamalekela2034 6 лет назад +2

    Nimebarikiwa na nyimbo hii, mungu akutie nguvu daima.

  • @philipwasike3970
    @philipwasike3970 4 года назад +1

    Like mother like son God bless you as you give as more

  • @samanthaperez1150
    @samanthaperez1150 5 лет назад

    Ubarikiwe sana brother Annoint ukweli nyimbo zako zinanibariki sana mungu akuongezee kibali zaidi

  • @paulomaiko1651
    @paulomaiko1651 6 лет назад +2

    mungu akubaliki sana kaka umenigusa sana nashukuru kwa ujumbe wako ubalikiwe sana

  • @mycletaitas9687
    @mycletaitas9687 5 лет назад

    Barikiwa naikubali sana

  • @rosechalo2596
    @rosechalo2596 7 лет назад +2

    Ujumbe mziri sana mungu azidi kukuinua barikiwa

  • @rosemaloba9040
    @rosemaloba9040 7 лет назад +4

    Amen, barikiwa kaka Annoint

  • @chebetcherry7952
    @chebetcherry7952 7 лет назад +1

    wimbo nzuri sana ubarikiwe

  • @lilliankutolo3422
    @lilliankutolo3422 5 лет назад +3

    Thanks so much Amani for that talent, ninajengwa sana kiroho kila ninaposikiliza nyimbo zako keep it up God bless u.

  • @godfreybeshemeleza9923
    @godfreybeshemeleza9923 6 лет назад +2

    Naitaji kufanya kazi na kila mtu kwa garama nafuu!!!! By Gmv Pro....

  • @kipandemerry6500
    @kipandemerry6500 2 года назад

    Nice

  • @chanceesther9303
    @chanceesther9303 6 лет назад

    Sauti ya wasichana nyimbo nzuri sana

  • @janerosjustine9716
    @janerosjustine9716 5 лет назад

    Barkiwa kaka kwa kutuelimisha vijana

  • @jonasjambo2302
    @jonasjambo2302 5 лет назад

    namwona dada rose yaan.unavojiachia. guud saaana

  • @mammyali3424
    @mammyali3424 7 лет назад

    Ubarikiwe sana sana Bwana azidi kukutendea mema nikiwa Dubai

  • @mactweve3353
    @mactweve3353 5 лет назад

    Dogo safi sana

  • @staicynafula7346
    @staicynafula7346 4 года назад +1

    I love thz song

  • @duncankuntai6804
    @duncankuntai6804 3 года назад

    Am blessed

  • @alexmpanda2524
    @alexmpanda2524 6 лет назад +1

    Umeanza kuimbia Mungu vizuri ulivyomaliza sijui na sipo.

  • @ravinderkallah1084
    @ravinderkallah1084 5 лет назад +3

    Nice song God bless you

  • @sarahnabwile1986
    @sarahnabwile1986 6 лет назад +2

    Uko sawa lakini ongesa nguvu xana

  • @lilianehakizimana3170
    @lilianehakizimana3170 5 лет назад +1

    songa mbele kwa kazi ya bwana.acana na wanadamu na maneno yao

    • @mlokolekaokoka8962
      @mlokolekaokoka8962 5 лет назад +1

      Liliane HAKIZIMANA NIMESKIA KULIA HUUU WIMBO UNALIZA JAMANI DUUU HII HATALI SANA .BONGE LA WIMBO MTAMU SANA

  • @ernestmosesi215
    @ernestmosesi215 7 лет назад +15

    Annoint hakika Mungu azidi kukuinua2 maana Huduma yako sion wakuifikia na sijui zaman ulikuwa wapi2 barikiwa sana bro

    • @millybundi1738
      @millybundi1738 7 лет назад

      Ernest Moses gud one

    • @jacobnyirenda4511
      @jacobnyirenda4511 6 лет назад +2

      God may bless you keep on singing ,and l pray to heaven father that he may continue giving you a talent ,Mutoto wa Malawi Amen .

    • @donasafila4815
      @donasafila4815 5 лет назад

      @Joyce Massaba dr. 67 is everything 77feet 88feet 99 u I b vfc g CD DVD fry

  • @nellysonjeambrose5109
    @nellysonjeambrose5109 5 лет назад

    Mungu akubariki sana kaka

  • @joselinendayisenga123
    @joselinendayisenga123 8 месяцев назад

    @annointamani ubalikiwe sana. Wimbo huu wanibariki kilamala niki usikuliza.❤️🙌🏾🙏🏾

  • @mwikalijoeephine1522
    @mwikalijoeephine1522 3 года назад +2

    More grace anointing. Stay focused in the lord .dont ever negotiate with anyone but the holy spirit to impact more within u

  • @carolineasalh9319
    @carolineasalh9319 6 лет назад

    Barikiwa sana ndugu

  • @sofialinus9153
    @sofialinus9153 4 года назад

    Unaimba vizuri, lkn kumbuka Kila Jambo na wakati wake pia kumbuka kunaaina tatu za upendo,

  • @suzanambaigwaakuinuemungua7069
    @suzanambaigwaakuinuemungua7069 7 лет назад

    safi sana kaka tangaza habar uck na mchana nyimbo nzuri ubarikiwe

  • @نايفالشمري-ط3د
    @نايفالشمري-ط3د 7 лет назад

    Aaaamen mungu wafubue macho yakiroho

  • @risharuth364
    @risharuth364 5 лет назад

    Ntapata amani kwa yesu asante Sana.......

  • @chrispingedeon7460
    @chrispingedeon7460 6 лет назад +2

    Wafumbuwe neno Wali juwa Baba!

  • @stekiprotich5534
    @stekiprotich5534 3 года назад +2

    How old is this song?......maana kwangu naiskia for the first time...and it's a blessing to me......
    Wafumbue macho kweli

    • @emilyberita5158
      @emilyberita5158 3 года назад

      This song really touches my heart congrats to bishop Anoint

    • @senacascio4823
      @senacascio4823 3 года назад

      Early 2017 jemosi

  • @patrickkeronge2532
    @patrickkeronge2532 7 лет назад

    wafumbueeeeee hyo inabariki xana nyimbo nzuri ina utukufu,mungu anaendelea kukuinua zaidi

  • @alexmpanda2524
    @alexmpanda2524 6 лет назад +1

    Imbia Mungu achana na watu

  • @rebeccaphilipo829
    @rebeccaphilipo829 6 лет назад

    Nice song ubarikiwe mtumishi