MCH NIKODEM MWAHANGILA.ATOBOA SIRI YA MITUME NA MANABII FEKI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 окт 2024
  • Mchungaji NIKODEM MWAHANGILA .atoboa Siri ya mitume na manabii feki wanakotoa mafuta ya upako.na maji ya upako.mashaliti wanayo pewa KUZINI na mabinti mabikra na wake zawatu.faturia ushuhuda huu mpaka misho kalibu 0756273049

Комментарии • 121

  • @sweetbertnswima5352
    @sweetbertnswima5352 2 года назад +1

    Asante sana mtumishi wa Mungu Baba Jehova akutunze na akulinde katika la Yesu.🎌🎌🎌🎌

  • @susanwanyoni249
    @susanwanyoni249 2 года назад

    Amen and Amen Mtumishi wa Mungu aki tumepotea kabisa from Kenya

  • @ruciasimeo4431
    @ruciasimeo4431 2 года назад

    Mungu akubariki mtumishi uliyejitoa muhanga kuisema kweli, utalipwa usipoimia roho,utawaponya wengi

  • @neemaedward6627
    @neemaedward6627 2 года назад

    Amina mtumishi nimelewa vizuri sana Mungu akuinuwe kwa viwango vya juuu

  • @PamboCharo
    @PamboCharo 6 месяцев назад

    😢😢😢Mungu akubariki na akulinde na akutunze wafutwe kazi katika jina la yesu wasitoe kafara

  • @dorislinus8296
    @dorislinus8296 2 года назад

    Barikiwa San mtumishi w mungu kw injili yko

  • @daisyakhini9331
    @daisyakhini9331 2 года назад +1

    Barikiwa sana, ahsante aki dunia watu wanakimbilia miujiza, waaah mimi mingu wa binguni ndo naamini

  • @jackkerubo6158
    @jackkerubo6158 2 года назад

    Barikiwa sana mchungaji Mungu wa amani akuongezee

  • @matridawilium9945
    @matridawilium9945 2 года назад

    Mungu akubariki wakupingao ni mashetani

  • @LinahMwakamsale
    @LinahMwakamsale 4 месяца назад

    Nakukubali san mchungaji wangu jamn 1:29 1:31

  • @neemajames5368
    @neemajames5368 2 года назад

    Amina sana naomba Mungu anitokee

  • @LinahMwakamsale
    @LinahMwakamsale 4 месяца назад

    Nakupenda bule mchungaji

  • @LinahMwakamsale
    @LinahMwakamsale 4 месяца назад

    Nakukubali san mchungaji wangu jamn

  • @jacoblongo1244
    @jacoblongo1244 2 года назад

    Sahihi mtumishi wa yesu kristo ubarikiwe 🤝🤝🤝🤝 wazizi hawa jamaa balaa

  • @AidaRaphael
    @AidaRaphael Месяц назад

    ❤❤ barikiwa mtumishi

  • @jenniferpita6885
    @jenniferpita6885 2 года назад

    Amina mungu akulinde

  • @ngangadk
    @ngangadk 2 года назад

    Mtumishi mungu akulinde katika jina la Yesu

  • @yasminebukhebi7907
    @yasminebukhebi7907 2 года назад

    Amen Asante sana mutumishi wa mungu 🙏🙏🙏

  • @jeanettegloria6244
    @jeanettegloria6244 4 года назад +3

    Ubarikiwe sana

  • @LazaroDamiano
    @LazaroDamiano Год назад

    Miujiza ni kwa ajili ya wasioamini, ndy mahali watu wamepotea, mtumishi wa Mungu

  • @ngangadk
    @ngangadk 2 года назад

    Mtumishi mungu akulinde

  • @christianmlelwa2351
    @christianmlelwa2351 3 года назад +1

    Pastor maswali ,hivi Kuna wengine Wana taja jina la yesu nawana kuwa na maji na mafuta hapo Ina kuwaje naomba ufafanuzi vizuri hapo

    • @alexjos7625
      @alexjos7625 2 года назад

      Imeandikwa watataja jina la Yesu ila si wa yesu..angalia matendo yao

  • @maureenadega1065
    @maureenadega1065 2 года назад

    Ubarikiwe pst 🙏🙏

  • @AIDANIKAHIMBI-ql6tn
    @AIDANIKAHIMBI-ql6tn 9 месяцев назад

    Amen mtumishi

  • @ephraimndelwa4073
    @ephraimndelwa4073 2 года назад +3

    Kwa maelezo unayotoa kuna watumishi nawahis kama ndo unaowalenga lkn mbona wanatumia jina la Yesu!?

    • @srdorcaskulimushi3195
      @srdorcaskulimushi3195 2 года назад

      Sikila aniitao bwana bwana wote ni wana wangu wengi uvaa ngozi za kondo kumbe mbwamwitu

    • @Esthermordecai
      @Esthermordecai 24 дня назад

      Wanataka jina la Yesu mwingine wa muigo sio ule Yesu Kristo mwana wa Mungu.😢

    • @Esthermordecai
      @Esthermordecai 24 дня назад

      Yesu wanayemtaja sio Yesu Kristo,Bali ni Yesu asiye wa kweli.

  • @fanicejotham9431
    @fanicejotham9431 2 года назад +1

    Umenifunza kitu mtumishi wa Mungu.Hayo mafuta ni Olive oil ama?

  • @subilamwakalobo433
    @subilamwakalobo433 2 года назад +1

    Ubarikiwe

  • @makimbiliotemplembeya8972
    @makimbiliotemplembeya8972 4 года назад

    Ubarikiwe sana mtumish

  • @joycembosa210
    @joycembosa210 2 года назад

    Mch mungu akubariki naomba namba zako niongee nawewe ninashida.

  • @domisianpius214
    @domisianpius214 4 года назад +1

    Ubarikiwe kamanda

  • @AidaRaphael
    @AidaRaphael Месяц назад

    Kuna mtume mmoja kila anapoenda kwenye mkoa lazima ajali itokee kwenye mkoa huo?? Sasa ndio nini,,??

  • @upendopeter5358
    @upendopeter5358 2 года назад

    Tumekusikia pastor ila hilo jina ulilojiita osama.lifute.jiite tu mchungaji linajitosheleza sana.

  • @ngangadk
    @ngangadk 2 года назад

    Mungu akulinde

  • @elizabethbentil3100
    @elizabethbentil3100 2 года назад

    Ubarikiwe Mtumishi wa MUNGU .

  • @srdorcaskulimushi3195
    @srdorcaskulimushi3195 2 года назад

    Hewe aduwi wa shetani hacha mungu akulinde

  • @mathildaapiyo3684
    @mathildaapiyo3684 2 года назад

    Asanti sana mutumishi wa mungu watu wengi tumeumia

  • @graceriziki7339
    @graceriziki7339 4 года назад

    Mungu akubariki sana

  • @claretkinembwe3452
    @claretkinembwe3452 2 года назад

    Ameni mchungaji nakufatilia

  • @joshuaadam2998
    @joshuaadam2998 2 года назад

    Amina mtumishi wamungu

  • @philimanmbowe6226
    @philimanmbowe6226 4 года назад

    Mchungaji napenda kuwa na namba yako maana watu wametutesa sana na kutuonea

  • @edithanchimbi2754
    @edithanchimbi2754 2 года назад

    Mungu akubariki saaanaaa baba

  • @sixteenonline9811
    @sixteenonline9811 4 года назад

    Amina mtumishi wa Mungu

  • @ev.eng.enockl.mwakapalila2499
    @ev.eng.enockl.mwakapalila2499 4 года назад

    Ameni sana baba kwa kazi njema hii

  • @neemamfusi4446
    @neemamfusi4446 2 года назад

    MUNGU akubariki na azidi kukutumia zaidi

  • @zainaelia1746
    @zainaelia1746 3 года назад

    Ubarikiwe mwanawitu nakupenda 🥰 bure kaka

  • @euniceenike2240
    @euniceenike2240 2 года назад

    Daddy twaomba number yako ya whatsap wengine tuko mataifa ya nje na ni expensive Sana kukupigia direct

  • @esnartkayuni558
    @esnartkayuni558 Год назад

    Amen and amen

  • @JoyceNchama
    @JoyceNchama Год назад

    Baba bwana yesu asifiwe
    Baba samahan naomba unisaidie kwamaombi kwani napitiya magumu

  • @MarryJoseph-s5x
    @MarryJoseph-s5x Год назад

    Amina

  • @EstraEmily
    @EstraEmily 5 месяцев назад

    Amina baba

  • @gib3888
    @gib3888 2 года назад

    apostle pray 4me plz 🙏

  • @jesusfirstchurch4162
    @jesusfirstchurch4162 2 года назад

    Waongo Sana hao MASHETANI wanawateka wenye tamaa za pesa..wanadanganya hakuna kafara..ukiingia tu, wanaanza kumaliza familia baadae mtaka pesa nae wanamfuta.

  • @gabbymwamulima345
    @gabbymwamulima345 2 года назад

    Nimejiunga kwako mchungaji mwahangila,Niko Lusaka zambia.nisaidie mtumishi mbona nafanya kazi Ila vitu haviendi kwenye familia yangu.

  • @Neema182
    @Neema182 4 года назад

    Mtumishi page yako Facebook inaitwaje?

  • @myself4128
    @myself4128 2 года назад

    Mitume wapo 12 wale Tenashara...Manabii wa kweli hawana mbwebwe za kutabiri maisha ya mtu izo ni Ramli..Nabii anabeba Neno la Mungu sio kwamba yeye tena asome neno la Mungu yeye anakuwa kinywa cha Mungu hapa duniani

  • @peterpaul-mq5qn
    @peterpaul-mq5qn Год назад

    Mwenye masikio amesikia japo kizazi cha leo hakisikii wala kushituka

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 2 года назад

    Amen

  • @sixteenonline9811
    @sixteenonline9811 4 года назад +1

    Safi sana baba

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 2 года назад

    Na haya watu wanayochota kwenye ndoo na wengine wanatumia mafuta ya kula je hayo pia yanawekewa nguvu nyingine

  • @Isackmagudzi
    @Isackmagudzi 4 года назад +1

    AMINA,,,,,,,,"ADUI YANGU KUFA BADALA YANGU"

  • @NEEMAMAEDA-u1m
    @NEEMAMAEDA-u1m 5 месяцев назад

    Haleluya

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 2 года назад

    Sasa askofu Sumbe na gwajima mbona wana waumini wengi nawo ni wa nabi feke?

    • @emmiKalagho
      @emmiKalagho 4 месяца назад

      Gwajima hauzi Majii Wala matakataka yote hayo

  • @venancemwakibete9830
    @venancemwakibete9830 2 года назад

    Hiyo ndiyo injili inayotakiwa kwa sasa

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 2 года назад

    Yaani MUNGU AZIDI KUKULINDA mtu wa MUNGU na songa mbele na YESU akupiganie zaidi

  • @MariamuJoseph-z2j
    @MariamuJoseph-z2j Год назад

    Ameni

  • @uchaguzipiusbusurwa3584
    @uchaguzipiusbusurwa3584 2 года назад

    Naomba namba yako paster ..

  • @isakayolam
    @isakayolam 4 года назад

    ubalikiwe mtumishi wa mungu

  • @naomikatharinaandrewmnkai6760
    @naomikatharinaandrewmnkai6760 2 года назад

    Naomba namba yako Mtumishi

  • @ngangadk
    @ngangadk 2 года назад

    Tutebelee hapa Kenya

  • @anthonyzambi4415
    @anthonyzambi4415 4 года назад

    Barikiwa

  • @sixteenonline9811
    @sixteenonline9811 4 года назад +1

    Sema baba sema tunapona

  • @Ursain.IKE.jesuis9365
    @Ursain.IKE.jesuis9365 2 года назад

    Mungu wa Bwana wetu yesu asifiwe Baba na taka namb ya ya kwako whatsapp

  • @elizabethbentil3100
    @elizabethbentil3100 2 года назад +1

    AMEN AMEN AMEN

  • @janeatiang4883
    @janeatiang4883 2 года назад

    Nitakupata wapi mtumishi nimependa sana mafundisho niko na kanisa imani yako dio yako natoka sirare Kenya

    • @huldavalence7823
      @huldavalence7823 9 месяцев назад

      Yupo Tanzania jijini Mbeya airport ya zamani

  • @Neema182
    @Neema182 4 года назад

    Kweli kabisa

  • @anitababyderickwasike7872
    @anitababyderickwasike7872 2 года назад

    niukweli mutumishi haya mambo yapo na pia yanatendeka watu wa Mungu hawaoni hawasikii hawafikirii

  • @mosesmussa2096
    @mosesmussa2096 2 года назад +2

    Hubiri Ufalme Mungu Akuinue Siyo Kusema Watu Wengine Ukadhani Ndo Utakuwa Na Kanisan Kubwa Hapana

    • @gracemahugi4380
      @gracemahugi4380 11 месяцев назад

      Hata mimi sijapenda kabisa yeye ahubili wito wake alioitiwa acha kusema watumishi baba siyo hicho ulichoitiwa

    • @gracemahugi4380
      @gracemahugi4380 11 месяцев назад

      Kila mtumishi anaitwa kwa namna yake

    • @mosesmussa2096
      @mosesmussa2096 11 месяцев назад

      @@gracemahugi4380 Umeona Eh

    • @huldavalence7823
      @huldavalence7823 9 месяцев назад

      Kanisa analo kubwa sana ko hatafuti kuwa na kanisa kubwa anaongea ukweli na watu siku zote hatupendi ukweli

    • @mosesmussa2096
      @mosesmussa2096 9 месяцев назад

      @@huldavalence7823 Unaijua Habari njema ya Kristo?

  • @gib3888
    @gib3888 2 года назад

    amen amen 🙏

  • @gib3888
    @gib3888 2 года назад

    Wooooiiii mungu wangu

  • @sponsoredbygrace6832
    @sponsoredbygrace6832 2 года назад

    I HAVE SUSCRIBED THIS IS BITTER TRUTH OOH!!

  • @gib3888
    @gib3888 2 года назад

    AMEN

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 2 года назад

    We usiende huko kwenye mafuta utaenda jehanamu

  • @vj8313
    @vj8313 2 года назад

    🔥🙏🙏

  • @roseu728
    @roseu728 2 года назад

    Amen and Amen 🙏🙏

    • @ruciasimeo4431
      @ruciasimeo4431 2 года назад

      Mungu akubariki saana kwa kusema kweli

    • @ruciasimeo4431
      @ruciasimeo4431 2 года назад

      Mungu akutunze uendelehe kuwalipua wakina Mwamposa na wengine wengi

  • @janeatiang4883
    @janeatiang4883 2 года назад

    A

  • @jumakalinga2496
    @jumakalinga2496 2 года назад

    Kwelikabisa

  • @janeatiang4883
    @janeatiang4883 2 года назад

    Asifiwe yesu mtumishi nime pendeswa sana na ujumbe wako mtumishi imani yako dio yako nita kupata wapi Niko na kanisa natoka sirare Kenya

  • @waytvtz2549
    @waytvtz2549 2 года назад

    Uongo utakuja kukugharimu hapo tu umechonga pembe za ndefu na pembeni kwa kichwa biblia ilishakataza

    • @huldavalence7823
      @huldavalence7823 9 месяцев назад

      Hajaongea uongo wowote anachokiongea ni ukweli tu

  • @ajohj.mwanjala8913
    @ajohj.mwanjala8913 4 года назад

    Nimeipenda sana hii baba hiii ndiyo injili
    Maana maandiko yako bayana kwamba
    WAGALATIA 1:8 Lakini ijapokuwa sisi au malaika wa mbinguni atawahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyo tuliyowahubiri, na alaaniwe.9 Kama tulivyotangulia kusema, na sasa, nasema tena, mtu awaye yote akiwahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyo mliyoipokea, na alaaniwe.
    BULDOZA TINGATINGA OSAMA ULIYEJITOA MUHANGA KWA AJILI YA INJILI TOBOA SIRI BABA LAZIMA WAPIGWEEE

  • @mwl.michaelsainethmlowe2641
    @mwl.michaelsainethmlowe2641 4 года назад

    Isheee ntuwe nahovyoha ntu wewe uyendelele

  • @LinahMwakamsale
    @LinahMwakamsale 4 месяца назад

    Nakukubali san mchungaji wangu jamn

  • @LinahMwakamsale
    @LinahMwakamsale 4 месяца назад

    Nakupenda bule mchungaji

  • @octaviachusi6153
    @octaviachusi6153 Год назад

    Amina

  • @annahayasanday7174
    @annahayasanday7174 2 года назад

    Amen

  • @agneshassan4712
    @agneshassan4712 2 года назад

    Amina

  • @annjuma3395
    @annjuma3395 4 года назад

    Amen