MCH NIKODEM MWAHANGILA.ATOBOA SIRI YA MITUME NA MANABII FEKI
HTML-код
- Опубликовано: 16 окт 2024
- Mchungaji NIKODEM MWAHANGILA .atoboa Siri ya mitume na manabii feki wanakotoa mafuta ya upako.na maji ya upako.mashaliti wanayo pewa KUZINI na mabinti mabikra na wake zawatu.faturia ushuhuda huu mpaka misho kalibu 0756273049
Asante sana mtumishi wa Mungu Baba Jehova akutunze na akulinde katika la Yesu.🎌🎌🎌🎌
Amen and Amen Mtumishi wa Mungu aki tumepotea kabisa from Kenya
Mungu akubariki mtumishi uliyejitoa muhanga kuisema kweli, utalipwa usipoimia roho,utawaponya wengi
Amina mtumishi nimelewa vizuri sana Mungu akuinuwe kwa viwango vya juuu
😢😢😢Mungu akubariki na akulinde na akutunze wafutwe kazi katika jina la yesu wasitoe kafara
Mungu akubariki baba
Barikiwa San mtumishi w mungu kw injili yko
Barikiwa sana, ahsante aki dunia watu wanakimbilia miujiza, waaah mimi mingu wa binguni ndo naamini
Barikiwa sana mchungaji Mungu wa amani akuongezee
Mungu akubariki wakupingao ni mashetani
Nakukubali san mchungaji wangu jamn 1:29 1:31
Amina sana naomba Mungu anitokee
Nakupenda bule mchungaji
Nakukubali san mchungaji wangu jamn
Sahihi mtumishi wa yesu kristo ubarikiwe 🤝🤝🤝🤝 wazizi hawa jamaa balaa
❤❤ barikiwa mtumishi
Amina mungu akulinde
Mtumishi mungu akulinde katika jina la Yesu
Amen Asante sana mutumishi wa mungu 🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana
Miujiza ni kwa ajili ya wasioamini, ndy mahali watu wamepotea, mtumishi wa Mungu
Mtumishi mungu akulinde
Pastor maswali ,hivi Kuna wengine Wana taja jina la yesu nawana kuwa na maji na mafuta hapo Ina kuwaje naomba ufafanuzi vizuri hapo
Imeandikwa watataja jina la Yesu ila si wa yesu..angalia matendo yao
Ubarikiwe pst 🙏🙏
Amen mtumishi
Kwa maelezo unayotoa kuna watumishi nawahis kama ndo unaowalenga lkn mbona wanatumia jina la Yesu!?
Sikila aniitao bwana bwana wote ni wana wangu wengi uvaa ngozi za kondo kumbe mbwamwitu
Wanataka jina la Yesu mwingine wa muigo sio ule Yesu Kristo mwana wa Mungu.😢
Yesu wanayemtaja sio Yesu Kristo,Bali ni Yesu asiye wa kweli.
Umenifunza kitu mtumishi wa Mungu.Hayo mafuta ni Olive oil ama?
Ubarikiwe
Ubarikiwe sana mtumish
Mch mungu akubariki naomba namba zako niongee nawewe ninashida.
Ubarikiwe kamanda
Kuna mtume mmoja kila anapoenda kwenye mkoa lazima ajali itokee kwenye mkoa huo?? Sasa ndio nini,,??
Tumekusikia pastor ila hilo jina ulilojiita osama.lifute.jiite tu mchungaji linajitosheleza sana.
Mungu akulinde
Ubarikiwe Mtumishi wa MUNGU .
Hewe aduwi wa shetani hacha mungu akulinde
Asanti sana mutumishi wa mungu watu wengi tumeumia
Mungu akubariki sana
Ameni mchungaji nakufatilia
Amina mtumishi wamungu
Mchungaji napenda kuwa na namba yako maana watu wametutesa sana na kutuonea
Mungu akubariki saaanaaa baba
Amina mtumishi wa Mungu
Ameni sana baba kwa kazi njema hii
MUNGU akubariki na azidi kukutumia zaidi
Ubarikiwe mwanawitu nakupenda 🥰 bure kaka
Daddy twaomba number yako ya whatsap wengine tuko mataifa ya nje na ni expensive Sana kukupigia direct
Amen and amen
Baba bwana yesu asifiwe
Baba samahan naomba unisaidie kwamaombi kwani napitiya magumu
Amina
Amina baba
apostle pray 4me plz 🙏
Waongo Sana hao MASHETANI wanawateka wenye tamaa za pesa..wanadanganya hakuna kafara..ukiingia tu, wanaanza kumaliza familia baadae mtaka pesa nae wanamfuta.
Nimejiunga kwako mchungaji mwahangila,Niko Lusaka zambia.nisaidie mtumishi mbona nafanya kazi Ila vitu haviendi kwenye familia yangu.
Kalibu
@@nikodemmwahangila3334here,naitwa much.kabasa ni mwagalizi section ya mbogwe naomba n.mtumishi
Mtumishi page yako Facebook inaitwaje?
Mitume wapo 12 wale Tenashara...Manabii wa kweli hawana mbwebwe za kutabiri maisha ya mtu izo ni Ramli..Nabii anabeba Neno la Mungu sio kwamba yeye tena asome neno la Mungu yeye anakuwa kinywa cha Mungu hapa duniani
Mwenye masikio amesikia japo kizazi cha leo hakisikii wala kushituka
Amen
Safi sana baba
Na haya watu wanayochota kwenye ndoo na wengine wanatumia mafuta ya kula je hayo pia yanawekewa nguvu nyingine
AMINA,,,,,,,,"ADUI YANGU KUFA BADALA YANGU"
Haleluya
Sasa askofu Sumbe na gwajima mbona wana waumini wengi nawo ni wa nabi feke?
Gwajima hauzi Majii Wala matakataka yote hayo
Hiyo ndiyo injili inayotakiwa kwa sasa
Yaani MUNGU AZIDI KUKULINDA mtu wa MUNGU na songa mbele na YESU akupiganie zaidi
Ameni
Naomba namba yako paster ..
ubalikiwe mtumishi wa mungu
Naomba namba yako Mtumishi
Tutebelee hapa Kenya
Barikiwa
Sema baba sema tunapona
Mungu wa Bwana wetu yesu asifiwe Baba na taka namb ya ya kwako whatsapp
AMEN AMEN AMEN
Nitakupata wapi mtumishi nimependa sana mafundisho niko na kanisa imani yako dio yako natoka sirare Kenya
Yupo Tanzania jijini Mbeya airport ya zamani
Kweli kabisa
niukweli mutumishi haya mambo yapo na pia yanatendeka watu wa Mungu hawaoni hawasikii hawafikirii
Hubiri Ufalme Mungu Akuinue Siyo Kusema Watu Wengine Ukadhani Ndo Utakuwa Na Kanisan Kubwa Hapana
Hata mimi sijapenda kabisa yeye ahubili wito wake alioitiwa acha kusema watumishi baba siyo hicho ulichoitiwa
Kila mtumishi anaitwa kwa namna yake
@@gracemahugi4380 Umeona Eh
Kanisa analo kubwa sana ko hatafuti kuwa na kanisa kubwa anaongea ukweli na watu siku zote hatupendi ukweli
@@huldavalence7823 Unaijua Habari njema ya Kristo?
amen amen 🙏
Wooooiiii mungu wangu
I HAVE SUSCRIBED THIS IS BITTER TRUTH OOH!!
AMEN
We usiende huko kwenye mafuta utaenda jehanamu
🔥🙏🙏
Amen and Amen 🙏🙏
Mungu akubariki saana kwa kusema kweli
Mungu akutunze uendelehe kuwalipua wakina Mwamposa na wengine wengi
A
Kwelikabisa
Asifiwe yesu mtumishi nime pendeswa sana na ujumbe wako mtumishi imani yako dio yako nita kupata wapi Niko na kanisa natoka sirare Kenya
Uongo utakuja kukugharimu hapo tu umechonga pembe za ndefu na pembeni kwa kichwa biblia ilishakataza
Hajaongea uongo wowote anachokiongea ni ukweli tu
Nimeipenda sana hii baba hiii ndiyo injili
Maana maandiko yako bayana kwamba
WAGALATIA 1:8 Lakini ijapokuwa sisi au malaika wa mbinguni atawahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyo tuliyowahubiri, na alaaniwe.9 Kama tulivyotangulia kusema, na sasa, nasema tena, mtu awaye yote akiwahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyo mliyoipokea, na alaaniwe.
BULDOZA TINGATINGA OSAMA ULIYEJITOA MUHANGA KWA AJILI YA INJILI TOBOA SIRI BABA LAZIMA WAPIGWEEE
Mungu akutunze baba
Isheee ntuwe nahovyoha ntu wewe uyendelele
Barikiwa mtumishi
Nakukubali san mchungaji wangu jamn
Nakupenda bule mchungaji
Ubalikiwe
Amina
Amen
Amina
Amen