Kazi nzuri mwalimu hongera👍..tunahiki kinanda lakini chetu ni el 900...nipenda utuelezee jinsi ya kutengeneza beats za 5/8 kwa nyimbo nyingi za lugha ya kikuyu..natokea kenya, our lady of mercy catholic church magumu parish🙏🙏
Kuna aina fulani za sauti za organ ambazo alikuwa anatumia John Maja zamani wakati kinanda hiki kilikuwa kimoja Tanzania nzima nadhani ni parokia ya magomeni, lakini vimekuwa vingi siku hizi saiti hizo tamu sizisikii tena, kila mtu anayekitumia anaset church organ tuu
Zipo nyingi sana kaka el90 unaweza kuseti sauti zaidi ya elfu naaa Nitafundisha kuzipata zotee Ila kuna yamaha el90 na yamaha HS 5 na 6, 7 na 8 Vyote nitatuma video zipo tayari utjifunza zaidi karibu kaka
umenifumbua macho mno namna ya kuset vinanda, siku hizi sipati tabu kabisa.. yaani kinanda chochote kile nikikutana nacho ni kuseti na kucheza pisi. Ubarikiwe mno na uzidi kutoa darasa kwa vingine zaidi
Asante sana...saafi
Kazi nzuri mwalimu hongera👍..tunahiki kinanda lakini chetu ni el 900...nipenda utuelezee jinsi ya kutengeneza beats za 5/8 kwa nyimbo nyingi za lugha ya kikuyu..natokea kenya, our lady of mercy catholic church magumu parish🙏🙏
Nitumie nyimbo yenu moja kwenye watsap niipitie then niwaoneshe kuitengeneza nitafute kwa 0738718085
Nimeipiga hiyo number ukanipea ila inasema haitumiki🙏
Safi sana mkuu, naomba kujua kama El 90 na El 70 zinaendana Kwa settings
Ndiooo
safisana mwarim
El 90 ni kinanda kizuri sana, asante kwa darasa mkuu.
Asante sana kaka
Kuna aina fulani za sauti za organ ambazo alikuwa anatumia John Maja zamani wakati kinanda hiki kilikuwa kimoja Tanzania nzima nadhani ni parokia ya magomeni, lakini vimekuwa vingi siku hizi saiti hizo tamu sizisikii tena, kila mtu anayekitumia anaset church organ tuu
Zipo nyingi sana kaka el90 unaweza kuseti sauti zaidi ya elfu naaa
Nitafundisha kuzipata zotee
Ila kuna yamaha el90 na yamaha HS 5 na 6, 7 na 8
Vyote nitatuma video zipo tayari utjifunza zaidi karibu kaka
Dinledim ama akordion. Sesi yok,
Bu Makinede körüklü akordioyonun sesi varmı
umenifumbua macho mno namna ya kuset vinanda, siku hizi sipati tabu kabisa.. yaani kinanda chochote kile nikikutana nacho ni kuseti na kucheza pisi. Ubarikiwe mno na uzidi kutoa darasa kwa vingine zaidi
Asante sana bro MUNGU ni MWEMA nitaendelea kutuma
Broo sikuelewi
Nipange broo nikueleweshe
Bu makinede körüklü akordionun seside mevcutmu varsa çalabilirseniz usta
Türkiyeden selamlar
Keşke bi cevap yazaydınız
Kinanda hicho kina bei gani ?
5.M kurudi chini mpaka 4+ unapata
Hii machine huwa naikubali miak yote
Iyo ina makorombwezo toshelevu iko vizuri mno
BU JAPONLAR HER TÜRLÜ ÖVGÜYÜ HAK EDİYOR,
KORG İSE YAMAHANIN AYAĞI OLAMAZ
Kwa sasa kinauzwa bei gani?
Uko wapi
Bro naomba namba zako
@@heavenlymusicproduction4360 unapatikana wapi mkuu?