YAMAHA EL-90 SETTING & DEMONSTRATION.....JINSI YA KUKIJUA NA KUKISETI KINANDA YAMAHA EL-90

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 авг 2024
  • SEHEMU YA 1

Комментарии • 28

  • @albertmaneno
    @albertmaneno 2 года назад

    Asante sana...saafi

  • @patriciahdennis5926
    @patriciahdennis5926 2 года назад

    Kazi nzuri mwalimu hongera👍..tunahiki kinanda lakini chetu ni el 900...nipenda utuelezee jinsi ya kutengeneza beats za 5/8 kwa nyimbo nyingi za lugha ya kikuyu..natokea kenya, our lady of mercy catholic church magumu parish🙏🙏

    • @heavenlymusicproduction4360
      @heavenlymusicproduction4360  2 года назад

      Nitumie nyimbo yenu moja kwenye watsap niipitie then niwaoneshe kuitengeneza nitafute kwa 0738718085

    • @patriciahdennis5926
      @patriciahdennis5926 2 года назад

      Nimeipiga hiyo number ukanipea ila inasema haitumiki🙏

  • @macdamamelodies8066
    @macdamamelodies8066 Год назад

    Safi sana mkuu, naomba kujua kama El 90 na El 70 zinaendana Kwa settings

  • @fokasimeshaki9012
    @fokasimeshaki9012 2 года назад

    safisana mwarim

  • @josephbizzy1813
    @josephbizzy1813 2 года назад

    El 90 ni kinanda kizuri sana, asante kwa darasa mkuu.

  • @bernardjohn8788
    @bernardjohn8788 2 года назад +1

    Kuna aina fulani za sauti za organ ambazo alikuwa anatumia John Maja zamani wakati kinanda hiki kilikuwa kimoja Tanzania nzima nadhani ni parokia ya magomeni, lakini vimekuwa vingi siku hizi saiti hizo tamu sizisikii tena, kila mtu anayekitumia anaset church organ tuu

    • @heavenlymusicproduction4360
      @heavenlymusicproduction4360  2 года назад +1

      Zipo nyingi sana kaka el90 unaweza kuseti sauti zaidi ya elfu naaa
      Nitafundisha kuzipata zotee
      Ila kuna yamaha el90 na yamaha HS 5 na 6, 7 na 8
      Vyote nitatuma video zipo tayari utjifunza zaidi karibu kaka

    • @adana01-zy5je
      @adana01-zy5je 10 месяцев назад

      Dinledim ama akordion. Sesi yok,
      Bu Makinede körüklü akordioyonun sesi varmı

  • @musicheals1545
    @musicheals1545 2 года назад

    umenifumbua macho mno namna ya kuset vinanda, siku hizi sipati tabu kabisa.. yaani kinanda chochote kile nikikutana nacho ni kuseti na kucheza pisi. Ubarikiwe mno na uzidi kutoa darasa kwa vingine zaidi

  • @user-ss9qc4mm5b
    @user-ss9qc4mm5b 2 месяца назад

    Broo sikuelewi

  • @adana01-zy5je
    @adana01-zy5je 10 месяцев назад

    Bu makinede körüklü akordionun seside mevcutmu varsa çalabilirseniz usta
    Türkiyeden selamlar

    • @adana01-zy5je
      @adana01-zy5je 10 месяцев назад

      Keşke bi cevap yazaydınız

  • @user-pe1er4gq8y
    @user-pe1er4gq8y Год назад

    Kinanda hicho kina bei gani ?

  • @nelsonmshama9621
    @nelsonmshama9621 2 года назад

    Hii machine huwa naikubali miak yote

    • @heavenlymusicproduction4360
      @heavenlymusicproduction4360  2 года назад

      Iyo ina makorombwezo toshelevu iko vizuri mno

    • @adana01-zy5je
      @adana01-zy5je 10 месяцев назад

      BU JAPONLAR HER TÜRLÜ ÖVGÜYÜ HAK EDİYOR,
      KORG İSE YAMAHANIN AYAĞI OLAMAZ

  • @rizzoboy9810
    @rizzoboy9810 2 года назад

    Kwa sasa kinauzwa bei gani?