Pastor Fred Msungu - Mapenzi makamilifu ya Mungu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 ноя 2020
  • Mungu alipomuumba mwanadamu , kuna wazo la awali ambalo alilikusudia Katika Maisha yake, na hilo wazo ndio linaloitwa mapenzi makamilifu ya Mungu. Katika hayo kuna ukamilifu na ile thamani hasa ya mtu kwasababu ndani yake ndimo ipo hazina ya Mungu juu ya mtu. Wengi wetu tunaishi maisha ya kawaida au chini ya kiwango kusudiwa kwasababu tunaishi katika mambo yaliokusudiwa lakini hayana ukamilifu ndani yake.
    Kwenye somo hili utajifunza na kupata maana halisi ya mambo haya mawii, mapenzi yalioruhusiwa na yale ambayo ni makamilifu. Ninaamini somo hili litakusaidia kuwa mtu wa tofauti na kuanza kutembea katika ukamilifu wa mapenzi ya Mungu kwenye maisha yako.
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии •