SISI KWA MTUME MAFALA | BABA YANGU ALIMTAFUNA MWANAMKE JUU YA MTI AKATUBU - SHEIKH ANUARI JONGO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • SISI KWA MTUME MAFALA | BABA YANGU ALIMTAFUNA MWANAMKE JUU YA MTI AKATUBU - SHEIKH ANUARI JONGO

Комментарии • 35

  • @jumakadamila8794
    @jumakadamila8794 6 месяцев назад

    Allahuma Salli Ala Sayyidna Muhammad Ya Rabbi Salli aleyhi Wasaliim

  • @khamiskiandiko2965
    @khamiskiandiko2965 11 месяцев назад

    Mashaallah mwenyezi Mungu akupe umri mrefu sheikh wetu mimi mpaka nimedanlod mawaidha yako hasa kisa cha B Mariam

  • @Marjeby
    @Marjeby Год назад +5

    Jamaa anatoa mawaidha vizuri sana unapata hamu ya kumsikiliza tuu

  • @maalimjawzatulhindiiytamr3489
    @maalimjawzatulhindiiytamr3489 Год назад +3

    Maashallah sheikh nakuelewa sana

  • @swaumusuleemani7430
    @swaumusuleemani7430 Год назад +6

    Allah akuhifadhi sikutegemea kukuona tena nimelia shekh nilikusikiza toka nasoma mpaka leo ninakazi ndoa na watoto ila basi ulianza daawa kijana sana shekh maana nilitegemea kwa sasa utakua mzee bastaajabu bado unanguvu

    • @alhilaltvonline
      @alhilaltvonline Год назад

      Unamkumbuka kwenye kisa Cha mfalme wa Sham.... Na sauti yake kwenye mashairi.... Zamani sana dada yangu

  • @maulidmohammed2762
    @maulidmohammed2762 Год назад +1

    Nimezingatia sana aliekufa kwa kiu cha kiangazi ndie aliepona zama za mvua ya masika

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 Год назад

    Sijui kwann mnaweka vichwa vya habar vya hovyo, vina maneno ya kihuni.

  • @swaumusuleemani7430
    @swaumusuleemani7430 Год назад +3

    Maashaallah umefikisha kwa ufupi ila ujumbe umetawala nyoyo na akili za watu watakao ibada ya allah

  • @miambayankeba1084
    @miambayankeba1084 Год назад

    Allah ukulipe Kila la heri ustazi wetu
    Nakupenda sana Kwa ajili ya Allah

  • @alhilaltvonline
    @alhilaltvonline Год назад +3

    MaashaaAllah, mwamba wa kusimulia na mashairi yenye sauti.......

  • @faiditv5535
    @faiditv5535 Год назад +4

    Ila vichwa vya habari ni vya upuuzi mnashusha heshima ya maustadh mnafanya vitu Kama makafiri bwana

  • @rashidikanyama7227
    @rashidikanyama7227 Год назад

    Ujumbe umefika SHEKHE

  • @mubaraksaidi6242
    @mubaraksaidi6242 Год назад

    siyo upuzii huo bali ume fika huo Asnte sheikh

  • @abuuazhar3738
    @abuuazhar3738 Год назад

    Safi sana wasahili hawafichi jambo.

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 Год назад

    maashaallah

  • @mchuzionlinetv9962
    @mchuzionlinetv9962 Год назад

    Duh kamla mtu juu ya muembe

  • @أبوفيصل-د3ش
    @أبوفيصل-د3ش Год назад +3

    Huyu muhuni sas Maneno gan uliyoandik Mweny hii Chanel????Haifikii kutukanana.

  • @Abuuabdillah259
    @Abuuabdillah259 Год назад +1

    Upuuzi mtupu mcheni Allah

    • @hamzaswaibu9470
      @hamzaswaibu9470 Год назад +1

      Mpuuzi ni nani ??

    • @rashidmlawa6548
      @rashidmlawa6548 Год назад

      Mwalim tufahamishe upuuzi upowapi ktk hayo aliyoyaongea nasi tupate faida. Shukran

    • @Abuuabdillah259
      @Abuuabdillah259 Год назад +2

      @@rashidmlawa6548 baba yangu alimla mtu juu ya mti mtu mzima mwenye akili zake timamu anaweza akaongea utumbo kama huu mbele ya hadhara watu

    • @rashidmlawa6548
      @rashidmlawa6548 Год назад +1

      Bac allah atujaalie uckivu kamahuu tulonao wakuckia makosa y watu tuckie namema pia kisha tuyafuate na tuwe wakweli ktk nafsizetu.

    • @Abuuabdillah259
      @Abuuabdillah259 Год назад

      @@hamzaswaibu9470 huyu sheikh wenu anaebwabwaja

  • @mussahussein3583
    @mussahussein3583 Год назад +1

    Kwakweli sio Maneno ya busara hata kidogo eti kuyaongea mbele ya hadhara kma hivi. Ndio mawaidha gani hayo ya style hiyo? Lakini then unaelezeamaovu yamtu tena ujajaribu kuwafahamisha watu ili wamjue nimtu gani eti kwasababu alikufata wewe anataka kutubu. Mhh

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Год назад

    Hivi jamani mbona wahadhiri wengi wapumbavu wapumbavu msibani alafu unaleta mawaidha ya comedian alafu vitu gani unaongea wewe unajitambua kweli? Heee uislam umevamiwa na wahuni kweli

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 Год назад

    Sijui kwann mnaweka vichwa vya habar vya hovyo, vina maneno ya kihuni.