DIZASTA AMCHAPA ZA USO RAPCHA, ATOA DISS TRACK YENYE DAKIKA 11 /JOTI AMPATIA KOMBE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 149

  • @daboe2528
    @daboe2528 Год назад +16

    Oya muacheni dizasta jamani🙌🔥🔥

  • @kiduaalute603
    @kiduaalute603 Год назад +6

    Huyo mtangazaji mmoja hajui hiphop

  • @shabanjumanne1306
    @shabanjumanne1306 Год назад +13

    Dizasta ndio anafanya kweli yan kwahy rapcha bdo sana

  • @eliahchapasi5211
    @eliahchapasi5211 Год назад +2

    Huyoo Jamaa Wa Kikapelo Cha Blue Na White..
    Arudi Shule Ili haweze kumuelewa Vina...
    Dzasta Ni Kina Rapcha 70
    Hapo culture Ye Nembo Ya Mtaa Basi Hata Ukiangalia Uwasilishaji wake...Mambo Mengine Kama Mtu Hujui kaa Kimya Alisha Sema Dzasta "Kuna Jambo Dogo Ambalo Watoto Hawajajua
    Kuna Joto Ila Dzasta n wa moto kushinda Jua Nice and Very Sure".

  • @VeeTechnologies22
    @VeeTechnologies22 Год назад +6

    af acha usenge.... huwez kusema dizasta ana michano ya zaman.

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free Год назад +6

    Unaweza kuwa Rapper ila huwezi kuwa Emcee kirahisi,hardcore za Dizasta hakuna rapper yoyote atamuweza hapa bongo 👊👊👊

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 Год назад +10

    Nafikiri watangazaji ndio hamfatilii au mnapuuzia.. after battle ya P na Motra Kuna Projects kadhaa ziliachiwa. Pia kila almost members wote wa Kikosi Kazi waliachia albums.
    Alafu saivi ndo mnadiscuss Diss tracks za Dizasta na Rapcha? Seriously? Mlikuwa wapi? 😁

  • @flovamanmusic3663
    @flovamanmusic3663 Год назад +5

    Dizasta ni kitu ingine🔥🔥🔥

  • @tabomusic3625
    @tabomusic3625 Год назад +12

    Sema sanya Huyo mwanao kweli kitobo…
    watu wanafanya kazi hamsapoti mnasubiri diss track halafu leo unasema unatarajia kusikia kazi zaidi, kazi gani sasa !?
    P alitoa simu na matukio baada ya diss na hata motra alitoa ngoma kibao baada ya diss pia, je unazijua hizo ngoma!?
    Unajua nini kuhusu to the top volume 1 , unajua nini kuhusu the verteller, kaa kimya…
    Acha kuiongelea rap kama hujui chochote kuhusu rap mbona unaweza kuongelea unavyovijua au hata mziki wa aina nyingine tu na si dhambi
    @skytanzania hajawai ongea upuuzi wa namna hiyo coz the guy has full details.
    sijui nani anaweka wapuuzi kwenye viti vya kuzunguka
    WATANGAZAJI WANAIGANA …AMA NINII DIZAIN KAMA… USHOGA MTUPU VIPINDI VYA MCHANA SISIKILIZI ZIMAAA …(Nash Mc)

  • @Mkombozi255
    @Mkombozi255 Год назад +4

    Dizasta 💯💯💯✅✅✅

  • @saidcoutinhophillipe1845
    @saidcoutinhophillipe1845 Год назад +2

    Media nyingi zinafeli kwakua hawataki maendeleo ya HIP-HOP kiuhalisia ispokua NI kuona wasaniii wakigombana2

  • @theotouchez345
    @theotouchez345 Год назад +5

    Dogo wenu afanye Trap Tu

  • @tundamasaga9530
    @tundamasaga9530 Год назад

    Nikk apotei pengine we upigi tu.
    Pita magetoni tukupakulie play list

  • @castormahava1732
    @castormahava1732 Год назад +2

    Kubadilika nn we ujui k2 ww

  • @BOL255
    @BOL255 Год назад +2

    Dizasta moto wasbali.

  • @omarimpogo6895
    @omarimpogo6895 Год назад +1

    Acha kuongea majungu...... Dizasta mkali

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Год назад

    DIZASTA VINA🔥🔥🔥🔥📢📢📢📢🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @chantelgeorgemushi5064
    @chantelgeorgemushi5064 Год назад

    Bro unachoongea hujasikiliza tribulation poa, line to line listen between lines

  • @amisjabubakari7734
    @amisjabubakari7734 Год назад +2

    😁😄😄😄😄😁😆🤣atari

  • @mashoo6781
    @mashoo6781 Год назад

    Dizasta aitwee hapo aje

  • @silamwashiuya388
    @silamwashiuya388 Год назад

    ach3n ujinga dizasta mkal😁

  • @silasanatory2835
    @silasanatory2835 Год назад

    wanangu 99🌋

  • @hassanihussein2731
    @hassanihussein2731 Год назад +5

    Sanya mwambie uyo choko aende akamskilize dizasta vzr ndo aje azungumze tena

  • @holymoko5058
    @holymoko5058 Год назад +29

    nyinyi watu wa media ndo mnapenda vitu vinavyo trend. kazi zao hampigi mpk msikie Wanagombana

    • @ecostats51
      @ecostats51 Год назад +2

      Nilidhani hili jambo linanikera pekeyangu,kumbe tuko wengi. Yaani vyombo vingi vya habari vya kitanzania (hususani hivyo vya RUclips) ni kwenda na upepo wa trending tu na udaku. Kukaa kuumiza kichwa kwa kutumia taaluma yao ya kiuandishi hawataki,wanataka umbeya tu na kuanika maisha ya watu hadharani. Alafu sasa hivi vyombo vya RUclips ndio saa hii vimevamiwa na baadhi ya watu wasio hata na taaluma ya uandishi wa habari.

  • @abdallahmsaka1561
    @abdallahmsaka1561 Год назад +16

    Uyo dizasta mnaemzungumzia ni sayari mwegine 🔥🔥🦁 rapcha aende uko kwanika whozu na bonge la nyau

  • @The199269
    @The199269 Год назад +39

    Kwenye Diss track watu hawaangalii mitindo ya kuchana watu wanataka kusikia unasema nini juu ya mpinzani wako. Hakuna Diss track iliyowahi kuwa kali eti kisa style ya Uchanaji. Kasikilize Ether ya Nas moja kati ya Diss track bora katika ulimwengu wa Hip Hop inapendwa kwa sababu ya content

    • @hamzacedricole3673
      @hamzacedricole3673 Год назад +5

      Skiliza ya The Game the black slam shady ksmchan Eminem vibay njo ipo kwa top usa 🇺🇸

    • @fedrickeliezer5521
      @fedrickeliezer5521 Год назад +3

      Kweli kabisa

    • @hamzacedricole3673
      @hamzacedricole3673 Год назад +3

      @@fedrickeliezer5521 ngoma ya game ipo na Dakika 10 munit and 26 second Noma sana ngoma ya kibabe yani kataja majina wala hapepesi lolote

    • @fedrickeliezer5521
      @fedrickeliezer5521 Год назад +1

      @@hamzacedricole3673 na hakuna yoyo kama masai anaita mke wake umo ni madini mwanzo mwisho

    • @The199269
      @The199269 Год назад +2

      @@hamzacedricole3673 The game career yake ya muziki imekwisha ndio maana hata Eminem hajaamua kumjibu. Ma Mc wote waliowahi kumdiss Eminem, Eminem aliwachakaza vibaya sana, Eminem ni moja kati ya Rappers hatari kwenye diss track.

  • @moziidavchonchi3338
    @moziidavchonchi3338 Год назад +17

    Kwa sisi watu was Tamaduni tunajua Best friend haikua diss track bro ni clarification

    • @saidcoutinhophillipe1845
      @saidcoutinhophillipe1845 Год назад +1

      AKILI NA UWEZO WAO NI MDOGO NDIO MAANA HAWAKUWEZA KUELEWA WALA KUKUMBUKA ALICHOKIONGELEA HIP-HOP

  • @moneythemes
    @moneythemes Год назад +4

    Teh teh anachokifanya Rapcha Dizasta anaweza kukifanya asilimia mia mbili,anachokifanya Dizasta Rapcha hawezi. Dizasta kaamua kuwa lyricist typical. I wish aamue kufanya ngoma mbili tu za commercial uone hatari yake

  • @shabanramadhan2181
    @shabanramadhan2181 Год назад +8

    Dizasta ameonyesha uwezo mkubwa sna rapcha pale sasa atajibu vipi wakati somo limeleweka

  • @OSOONLINETV
    @OSOONLINETV Год назад

    Oyo jamaa anaemfagilia rapcha hajui hip hop mtoeni atawaharibia kipindi....diss truck tunaangalia manenoio michano...

  • @mymbaralitv2968
    @mymbaralitv2968 Год назад +9

    Kichwa maji aezi mwelewa dizasta

  • @hassanihussein2731
    @hassanihussein2731 Год назад +11

    Hip hop haizungumziwagi na machoko ni kosa kubwa sana

    • @tundamasaga9530
      @tundamasaga9530 Год назад +1

      Tuwafungulie kesi Hana haha
      Waulize kuhusu zuchu

    • @hassanihussein2731
      @hassanihussein2731 Год назад

      Amini mzee wangu wanadandia sana visivyo wahisu na hawavijui machoko hawa

  • @hasani565
    @hasani565 Год назад +6

    Eti disaster anamichano ya kizamani ..huyu mtangazaji anajua mziki lakini ,au ndio wale shallow talent..

  • @fedrickeliezer5521
    @fedrickeliezer5521 Год назад +5

    Media za kibongo ungese mwingi jamaa huwa hamplay ngoma zake saivi mmeona bifu ety mna play na kuwazungumzia acheni uboya

  • @aissaleekimondoboy
    @aissaleekimondoboy Год назад +14

    Dizasta ni 🔥🔥🔥 mwingine kabisa sio wa dunia hii

  • @iwishtv7907
    @iwishtv7907 Год назад +2

    Huyo mwenye kapelo ya Blue na Nyeupe hajui Muziki mtoeni

  • @augustinopaschal173
    @augustinopaschal173 Год назад +13

    Oy! Skiliza vizuli nyimbo utajua dizasta 🔥🔥🔥🔥

  • @oscaroscar2555
    @oscaroscar2555 Год назад +4

    Rapcha aache ugomvi rapcha afanye mziki kwasabab bado mdogo sana alafu asisahau kunakutemwa kwenye lebo licha na kutemwa kuna mkataba hana maisha bado hajafika bado asiwe nakibur mziki siyo kiki mzik ni burudan rapcha kwa dizaz vina bado sana

  • @ecostats51
    @ecostats51 Год назад +11

    For sure,Dizasta is underrated rapper. Huyu jamaa anaandika mistari kuntuu acha kabsaa. Alafu huwa hapotezi muda, anakwenda kwenye ajenda moja kwa moja (hana zile yooh,yooh.........). Kibibi na kibabu,ile ngoma ya kwenda.

  • @pawasizogama84
    @pawasizogama84 Год назад +6

    Dizasta inabidi hapazwe na mungu hana mpizani kwenye uandishi

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 Год назад

    Haya mambo hamyajui komaeni na akina Mbosso tu...Huyo jamaa anasemaje "ILE KITAMADUNI" kwamba KITAMADUNI ndio ikoje?Mnapenda dìss songs na Beef hamna time na kazi za maana zikitoka!

  • @raphaelmwangosi9295
    @raphaelmwangosi9295 Год назад +2

    kama humjui dizasta kaaa kimya usilete mambo ya

  • @faithyfrank3242
    @faithyfrank3242 Год назад +5

    Dizasta ni moto kuliko jua

  • @hchriss7930
    @hchriss7930 Год назад +6

    Aponstudio Hakuna mwenye uelewa na Hip Hop hapo kbsa Tena km huyo mwingne mwenye kofia ya rangi ya blue & white huyo ndo hajui kitu. sio lazma kila kitu mchambue maana hata jina la hizo Dis truck hawazijui mwingne ye kakalili best friend tu

    • @tundamasaga9530
      @tundamasaga9530 Год назад +1

      Hahaha daller hapa

    • @hchriss7930
      @hchriss7930 Год назад

      @@tundamasaga9530 😄😄 umewaskia jamaa zako

    • @tundamasaga9530
      @tundamasaga9530 Год назад

      Nimeskia upuuz

    • @tundamasaga9530
      @tundamasaga9530 Год назад

      Mimi sielew wanajua mambo au wanafanyia kazi vyeti Au mtangazaji wA matangazo ya misa st Petter anAtAngazA habar za hip hop

  • @its_khalidy_46
    @its_khalidy_46 Год назад +1

    Kuna mijitu ipo kweny media na haulijui mziki vizuri dizasta anachaka kizamani???? Are you mavi???😏

  • @mbeyaboy5225
    @mbeyaboy5225 Год назад +6

    Dizasta vina ni ,🔥🔥🔥🔥🔥

  • @KimKim-qc1tx
    @KimKim-qc1tx Год назад +6

    Dizasta Side

  • @kibwamoko8767
    @kibwamoko8767 Год назад +35

    Usifananishe Dizasta na Upumbavu kama Rapcha.
    Wewe mtangazaji unayesema kwamba DIZASTA anachana kizamani haujui Mziki.
    Kitu ambacho hujui ni kwamba alivyochana Rapcha ile Style baada ya Miaka 10 ndio itaonekana ya Kizamani.
    Ila alichofanya Dizasta ni real Hiphop kuanzia beat hadi michano. Real Hiphop always don't change na haipitwi na Wakati.
    Ila hizo Trap sijui twister na upumbavu mwingine kuna muda utafika itapitwa na wakati na kufanya aina nyingine ya mziki.
    Hiphop halisi miaka mingi imepita iko vilevile mpaka leo.
    We huoni wanaofanya mziki wa Trap, mziki wa krank na sijui mziki wa turn twist kuna muda unafika wanaingia na tamaa na kutaka kuimba na unakuta wanaimba kabisa. Alafu nyinyi mnakaa kwenye Media zenu mnasema mziki wa aina hizo ndio Hiphop, yani mnatudanganya sisi mashabiki.
    Mtawadanganya mashabiki wasiojua mziki. Hiphop ni Hiphop tu na kama kuna miziki mingine bora muiite trap kwa kuwa ni trap, pia iteni krank kwa kuwa ni krank. lakini trap ukilazimisha kuiita Hiphop, hapo mnakuwa mmetoa boko.
    Inafahamika Wazi HIPHOP ni BumBap na mtu anayerap vyema kwenye Mdundo halisi wa HipHop anaitwa Mc. Lakini pia Hiphop ni Utamaduni /Maisha halisi/ Movement(Harakati).
    Sasa katika Trap kuna harakati gani?
    Tusisahau hiyo MC ni nguzo moja ya Hiphop kati ya zile Nguzo tano.

    • @shivotanzania1365
      @shivotanzania1365 Год назад

      Wee jau kwl

    • @mweusiasili8345
      @mweusiasili8345 Год назад

      Kuna watangazaj ila hawana skio coz wanafoc

    • @yusuphmasiku4957
      @yusuphmasiku4957 Год назад

      👊👊👊👊👊izo apoo ninja respect kwa kumfafanulia kuna mda mabitozi kama hao ndo wanaofanya wanaojua waonekane hawajui mpuuzi uyo

    • @jimmykidult
      @jimmykidult Год назад

      I go with yuu King. Happy to see you’re referring Nas. Dogo can’t diss the goat D- Vina.

    • @jimmykidult
      @jimmykidult Год назад

      Ppo ain’t know real hip hop thus they talk shits about the real hiphop dudes. Dizasta iz the living book…!!!

  • @mweusiasili8345
    @mweusiasili8345 Год назад +5

    Dizasta noma sana

  • @IAMHERYX
    @IAMHERYX Год назад +1

    Motown uyo jamaa ulienae ajui mziki , achana nae

  • @kingcole60
    @kingcole60 Год назад +2

    Kama humuelewi Disasta rudi shule

  • @geraldkimario3602
    @geraldkimario3602 Год назад +1

    Huyo presenter fala hajui hiphop, dizasta sio wa kumfananisha na rapcha

  • @VeeTechnologies22
    @VeeTechnologies22 Год назад +2

    we kama hujampa dizasta nenda kampe mamaako

  • @rickierunyota3613
    @rickierunyota3613 Год назад +1

    Uyu jamaa n nan kwan, mbna hajui anachoongea apo aisee, diss track tunataka content

  • @kinjoman4542
    @kinjoman4542 Год назад +1

    Acheni kumfananisha mtoto mdogo Rapcha na mtu mbad DIZASTA - kiukweli D yupo juu sana zaidi ya huyo K rapcha hata afanye nini.

  • @raphaelmwangosi9295
    @raphaelmwangosi9295 Год назад +1

    kama humjui dizasta kaaa kimya usilete mambo ya

  • @ndikiryoba6345
    @ndikiryoba6345 Год назад +2

    Tatzo wasanii wabongo wanavimbaa xana Hadi wanatuboa mashabiki me niwape ushauri tu wa bila malipo wafanye kazi waache misifa

  • @gallodograpper
    @gallodograpper Год назад +2

    Mo town umeongea point 💥

  • @haragitabrytoin6411
    @haragitabrytoin6411 Год назад

    We mwenye kofua , Mimi shenz ww nyoko mbili, hip hop , haujui ,hardcore ya diss ndo tunahitaj cc wat wa hip hop , na sio hizo yoyo , haujui kuchambua kaa tulia , ukileta uleje uleje , nakucmamishia shughuri ka sabato

  • @simbamabande2967
    @simbamabande2967 Год назад

    Wame katoa wapi haka katangazaj kamchongo ... dizasta vina rogo ya mtaa inayo shine kuta..kaa kando uone game ninavyo i define upya..hiki kituo cha mistari bro kaa mitaa 100..et oooh ana imba ngumu za kitambo mala mikazo ww una penda ma trap ..ujui lolot una ckilza mdundo bas

  • @nsajigwa487
    @nsajigwa487 Год назад

    Kinacho angaliwa kwenye battle sio mdundo rapcha alikua anaimba kufwata mdundo ila dizasta alikua anamchana mpinzan boya ww aijalishi ameimba kizaman au la kinachoangaliwa vina

  • @aaricdeking8280
    @aaricdeking8280 Год назад

    Hamuez chambua hiphop nyie huku sio penu kabisaa hapawafai hata kidogo hangaiken na na malovee, yani unamwongelea dizasta jomba ? aaisee hamna medula za kuchambua hata mstar m1 wa vina, kaushen tuu

  • @unjuinkuganda1991
    @unjuinkuganda1991 Год назад

    HUYO MTANGAZAJI MWINGINE CHOKO nini Maana ya HIPHOP kam Sio HARDcore

  • @morganmushi5225
    @morganmushi5225 Год назад

    Mtangazaji mavi nn ww unaangalia mitindo nenda kwa Martin kadinda Apo angalia uwezo wa mashaili na akizingua tn rapcha tunakuja na diss trck ya dk20

  • @buchi_gang272
    @buchi_gang272 Год назад

    Oya motown uyo jamaa ako hajui hip hop mshamba aende uko akaungane kweny mashamsham mamae..dizasta ni best hip hop all the tym

  • @masoudislam1470
    @masoudislam1470 Год назад +2

    Dizasta vinaa #ThuG king

  • @tonybrighter3878
    @tonybrighter3878 Год назад +1

    Aseee Msifananishe Dizasta na Huyo Mrembo

    • @emilchalle
      @emilchalle 6 месяцев назад

      wanamfananisha Dizasta na watoto wa kike..!
      how comes..?

  • @jamesjulius1248
    @jamesjulius1248 Год назад

    We choko ambaye unasema dizasta vibaya kachana vibaya mmno ata matako yako anaweza chana kaa kwa kutulia na kifoa yako ya kichoko

  • @paticotz2513
    @paticotz2513 Год назад

    Mo sanya uyo mwanao msenge sana anaonekana mlamba lipsi afu ajui kitu uyo akaskilize akina mario kule

  • @Masterkey2022
    @Masterkey2022 Год назад +1

    Dizasta ajengewe sanamu kama kumbukumbu Kwan ndo msanii pekee ambaye Ngoma zake zinamguso Kwa jamii nzima hazipo upande wa siasa Wala kujisifia dizasta in short anaona matatizo yaliyo katka jamii zetu ndo anaimba

  • @munixpicentertainment
    @munixpicentertainment Год назад

    Uyo jamaaa aache ushamba tamaduni music... Ndio maana tupo tamaduni music

  • @budahman2908
    @budahman2908 Год назад +1

    Beef ya motra na p the mc?? Au mm nimesikia vibaya😁😁

  • @silamwashiuya388
    @silamwashiuya388 Год назад

    uyo alosema tamaduni mamayo tamaduni ya konyo dizasta mkali tuu

  • @immanuellucass6327
    @immanuellucass6327 5 месяцев назад

    Jaman mwamchen dizasta hyo mwamba anjua so poah

  • @PauloPaulo-mk5rk
    @PauloPaulo-mk5rk 9 месяцев назад

    Machoko msiongee mwanaume akifroo.

  • @mansourali1583
    @mansourali1583 Год назад

    dizasta sopoa wew hakuna kipinga mizi Baraka kutoka dar

  • @shivotanzania1365
    @shivotanzania1365 Год назад +2

    Dizasta mtu mbadiiiii

  • @petermasawe
    @petermasawe Год назад

    Haujui hip-hop huyo mtangazaji bwege

  • @mr_nevertold2329
    @mr_nevertold2329 Год назад +2

    Dizaster winner 🤜🤛

  • @augustinojonas1998
    @augustinojonas1998 Год назад +1

    Dizasta ndio anafanya hip hop yenyewe

    • @ommyjunior204
      @ommyjunior204 Год назад

      d ni jini huyo mtu gan anachana haachi nafas ya kupumua 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @dennardleonard1228
    @dennardleonard1228 6 месяцев назад

    rapcha kachana utumbo

  • @soudselemani6021
    @soudselemani6021 Год назад

    Hamjui lolote, nyie wasen*e tu

  • @joshuahdaniel2673
    @joshuahdaniel2673 Год назад

    Dizasta is the real hip hop maker raptcha kalale

  • @projestusphillip5477
    @projestusphillip5477 Год назад

    Vina ni moto

  • @gangstar-msafi5904
    @gangstar-msafi5904 Год назад

    Dizasta ni denger aisée

  • @kihombobadman938
    @kihombobadman938 9 месяцев назад

    Dizasta mwambaaaaaa

  • @jebajr
    @jebajr Год назад

    Huyo msela hajui KULTURE YA HIPHOP……Usicheze na DIZASTA

  • @patriciatumain172
    @patriciatumain172 Год назад

    Dizasta Ni Moto mwingne rapcha hawezi battle za #vina

  • @benithoii2789
    @benithoii2789 Год назад

    Yaani huyo jamaa anayeunga mkono Rapcha ni kiyande yaan anaangalia flow badala ya ujumbe

  • @goodluckswai5459
    @goodluckswai5459 Год назад

    Nyie watu wa media niwanfki sn kusemakwl kam dizasta 🔥🔥ngoma zake sijawahikusikia redio ila leo kaja n befu lake anaanza kuongelewa embu kuweni n continents

  • @dacommedia8982
    @dacommedia8982 Год назад +2

    😎😎😎

  • @amaningobayi7114
    @amaningobayi7114 Год назад +2

    Hujuhi uyo dizanyoko haelew rapcha mnyama

  • @fulgencebeno2969
    @fulgencebeno2969 Год назад +1

    Dizasta ni 🔥

  • @mohamedidd7385
    @mohamedidd7385 Год назад +1

    #BlackMarradona 🔥🔥🔥🔥

  • @rejius11
    @rejius11 Год назад

    Best friend ni clarification sio diss bro

  • @dontheo4671
    @dontheo4671 Год назад

    Rapcha bado sana

  • @dullyboyka5918
    @dullyboyka5918 Год назад

    BLACK MARADONA *Dizasta vina*

  • @mohdswahili7219
    @mohdswahili7219 Год назад

    Rapcha

  • @amaningobayi7114
    @amaningobayi7114 Год назад +1

    Mo swag uyo jamaa anae kwambia ndo anasema kwel...afu kaka .dizanyoko hajuh