DIZASTA AMCHAPA ZA USO RAPCHA, ATOA DISS TRACK YENYE DAKIKA 11 /JOTI AMPATIA KOMBE
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Oya muacheni dizasta jamani🙌🔥🔥
Huyo mtangazaji mmoja hajui hiphop
Dizasta ndio anafanya kweli yan kwahy rapcha bdo sana
Huyoo Jamaa Wa Kikapelo Cha Blue Na White..
Arudi Shule Ili haweze kumuelewa Vina...
Dzasta Ni Kina Rapcha 70
Hapo culture Ye Nembo Ya Mtaa Basi Hata Ukiangalia Uwasilishaji wake...Mambo Mengine Kama Mtu Hujui kaa Kimya Alisha Sema Dzasta "Kuna Jambo Dogo Ambalo Watoto Hawajajua
Kuna Joto Ila Dzasta n wa moto kushinda Jua Nice and Very Sure".
af acha usenge.... huwez kusema dizasta ana michano ya zaman.
Unaweza kuwa Rapper ila huwezi kuwa Emcee kirahisi,hardcore za Dizasta hakuna rapper yoyote atamuweza hapa bongo 👊👊👊
Nafikiri watangazaji ndio hamfatilii au mnapuuzia.. after battle ya P na Motra Kuna Projects kadhaa ziliachiwa. Pia kila almost members wote wa Kikosi Kazi waliachia albums.
Alafu saivi ndo mnadiscuss Diss tracks za Dizasta na Rapcha? Seriously? Mlikuwa wapi? 😁
Dizasta ni kitu ingine🔥🔥🔥
Sema sanya Huyo mwanao kweli kitobo…
watu wanafanya kazi hamsapoti mnasubiri diss track halafu leo unasema unatarajia kusikia kazi zaidi, kazi gani sasa !?
P alitoa simu na matukio baada ya diss na hata motra alitoa ngoma kibao baada ya diss pia, je unazijua hizo ngoma!?
Unajua nini kuhusu to the top volume 1 , unajua nini kuhusu the verteller, kaa kimya…
Acha kuiongelea rap kama hujui chochote kuhusu rap mbona unaweza kuongelea unavyovijua au hata mziki wa aina nyingine tu na si dhambi
@skytanzania hajawai ongea upuuzi wa namna hiyo coz the guy has full details.
sijui nani anaweka wapuuzi kwenye viti vya kuzunguka
WATANGAZAJI WANAIGANA …AMA NINII DIZAIN KAMA… USHOGA MTUPU VIPINDI VYA MCHANA SISIKILIZI ZIMAAA …(Nash Mc)
salute kwa kuliona hilo wasenge hawajui chochote
Facts
😅😅😅
Dizasta 💯💯💯✅✅✅
Media nyingi zinafeli kwakua hawataki maendeleo ya HIP-HOP kiuhalisia ispokua NI kuona wasaniii wakigombana2
Dogo wenu afanye Trap Tu
Achenji anga si Bora angemsema kigogo
Nikk apotei pengine we upigi tu.
Pita magetoni tukupakulie play list
Kubadilika nn we ujui k2 ww
Dizasta moto wasbali.
Acha kuongea majungu...... Dizasta mkali
DIZASTA VINA🔥🔥🔥🔥📢📢📢📢🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Bro unachoongea hujasikiliza tribulation poa, line to line listen between lines
😁😄😄😄😄😁😆🤣atari
Dizasta aitwee hapo aje
ach3n ujinga dizasta mkal😁
wanangu 99🌋
Sanya mwambie uyo choko aende akamskilize dizasta vzr ndo aje azungumze tena
nyinyi watu wa media ndo mnapenda vitu vinavyo trend. kazi zao hampigi mpk msikie Wanagombana
Nilidhani hili jambo linanikera pekeyangu,kumbe tuko wengi. Yaani vyombo vingi vya habari vya kitanzania (hususani hivyo vya RUclips) ni kwenda na upepo wa trending tu na udaku. Kukaa kuumiza kichwa kwa kutumia taaluma yao ya kiuandishi hawataki,wanataka umbeya tu na kuanika maisha ya watu hadharani. Alafu sasa hivi vyombo vya RUclips ndio saa hii vimevamiwa na baadhi ya watu wasio hata na taaluma ya uandishi wa habari.
Uyo dizasta mnaemzungumzia ni sayari mwegine 🔥🔥🦁 rapcha aende uko kwanika whozu na bonge la nyau
Kwenye Diss track watu hawaangalii mitindo ya kuchana watu wanataka kusikia unasema nini juu ya mpinzani wako. Hakuna Diss track iliyowahi kuwa kali eti kisa style ya Uchanaji. Kasikilize Ether ya Nas moja kati ya Diss track bora katika ulimwengu wa Hip Hop inapendwa kwa sababu ya content
Skiliza ya The Game the black slam shady ksmchan Eminem vibay njo ipo kwa top usa 🇺🇸
Kweli kabisa
@@fedrickeliezer5521 ngoma ya game ipo na Dakika 10 munit and 26 second Noma sana ngoma ya kibabe yani kataja majina wala hapepesi lolote
@@hamzacedricole3673 na hakuna yoyo kama masai anaita mke wake umo ni madini mwanzo mwisho
@@hamzacedricole3673 The game career yake ya muziki imekwisha ndio maana hata Eminem hajaamua kumjibu. Ma Mc wote waliowahi kumdiss Eminem, Eminem aliwachakaza vibaya sana, Eminem ni moja kati ya Rappers hatari kwenye diss track.
Kwa sisi watu was Tamaduni tunajua Best friend haikua diss track bro ni clarification
AKILI NA UWEZO WAO NI MDOGO NDIO MAANA HAWAKUWEZA KUELEWA WALA KUKUMBUKA ALICHOKIONGELEA HIP-HOP
Teh teh anachokifanya Rapcha Dizasta anaweza kukifanya asilimia mia mbili,anachokifanya Dizasta Rapcha hawezi. Dizasta kaamua kuwa lyricist typical. I wish aamue kufanya ngoma mbili tu za commercial uone hatari yake
Dizasta ameonyesha uwezo mkubwa sna rapcha pale sasa atajibu vipi wakati somo limeleweka
Oyo jamaa anaemfagilia rapcha hajui hip hop mtoeni atawaharibia kipindi....diss truck tunaangalia manenoio michano...
Kichwa maji aezi mwelewa dizasta
True
Hip hop haizungumziwagi na machoko ni kosa kubwa sana
Tuwafungulie kesi Hana haha
Waulize kuhusu zuchu
Amini mzee wangu wanadandia sana visivyo wahisu na hawavijui machoko hawa
Eti disaster anamichano ya kizamani ..huyu mtangazaji anajua mziki lakini ,au ndio wale shallow talent..
Amevamia uchambuzi
👆😀
Kaniudhi hajui music boya
Jamaa hajui kitu Kwa kweli
Mtangazaji hajui tofauti kati ya Rappa na Emcee, Handaki na mainstream music
Msenge maziwa uyo
Media za kibongo ungese mwingi jamaa huwa hamplay ngoma zake saivi mmeona bifu ety mna play na kuwazungumzia acheni uboya
Dizasta ni 🔥🔥🔥 mwingine kabisa sio wa dunia hii
Huyo mwenye kapelo ya Blue na Nyeupe hajui Muziki mtoeni
Oy! Skiliza vizuli nyimbo utajua dizasta 🔥🔥🔥🔥
Rapcha aache ugomvi rapcha afanye mziki kwasabab bado mdogo sana alafu asisahau kunakutemwa kwenye lebo licha na kutemwa kuna mkataba hana maisha bado hajafika bado asiwe nakibur mziki siyo kiki mzik ni burudan rapcha kwa dizaz vina bado sana
For sure,Dizasta is underrated rapper. Huyu jamaa anaandika mistari kuntuu acha kabsaa. Alafu huwa hapotezi muda, anakwenda kwenye ajenda moja kwa moja (hana zile yooh,yooh.........). Kibibi na kibabu,ile ngoma ya kwenda.
Dizasta inabidi hapazwe na mungu hana mpizani kwenye uandishi
Haya mambo hamyajui komaeni na akina Mbosso tu...Huyo jamaa anasemaje "ILE KITAMADUNI" kwamba KITAMADUNI ndio ikoje?Mnapenda dìss songs na Beef hamna time na kazi za maana zikitoka!
kama humjui dizasta kaaa kimya usilete mambo ya
Dizasta ni moto kuliko jua
Aponstudio Hakuna mwenye uelewa na Hip Hop hapo kbsa Tena km huyo mwingne mwenye kofia ya rangi ya blue & white huyo ndo hajui kitu. sio lazma kila kitu mchambue maana hata jina la hizo Dis truck hawazijui mwingne ye kakalili best friend tu
Hahaha daller hapa
@@tundamasaga9530 😄😄 umewaskia jamaa zako
Nimeskia upuuz
Mimi sielew wanajua mambo au wanafanyia kazi vyeti Au mtangazaji wA matangazo ya misa st Petter anAtAngazA habar za hip hop
Kuna mijitu ipo kweny media na haulijui mziki vizuri dizasta anachaka kizamani???? Are you mavi???😏
Dizasta vina ni ,🔥🔥🔥🔥🔥
Dizasta Side
Usifananishe Dizasta na Upumbavu kama Rapcha.
Wewe mtangazaji unayesema kwamba DIZASTA anachana kizamani haujui Mziki.
Kitu ambacho hujui ni kwamba alivyochana Rapcha ile Style baada ya Miaka 10 ndio itaonekana ya Kizamani.
Ila alichofanya Dizasta ni real Hiphop kuanzia beat hadi michano. Real Hiphop always don't change na haipitwi na Wakati.
Ila hizo Trap sijui twister na upumbavu mwingine kuna muda utafika itapitwa na wakati na kufanya aina nyingine ya mziki.
Hiphop halisi miaka mingi imepita iko vilevile mpaka leo.
We huoni wanaofanya mziki wa Trap, mziki wa krank na sijui mziki wa turn twist kuna muda unafika wanaingia na tamaa na kutaka kuimba na unakuta wanaimba kabisa. Alafu nyinyi mnakaa kwenye Media zenu mnasema mziki wa aina hizo ndio Hiphop, yani mnatudanganya sisi mashabiki.
Mtawadanganya mashabiki wasiojua mziki. Hiphop ni Hiphop tu na kama kuna miziki mingine bora muiite trap kwa kuwa ni trap, pia iteni krank kwa kuwa ni krank. lakini trap ukilazimisha kuiita Hiphop, hapo mnakuwa mmetoa boko.
Inafahamika Wazi HIPHOP ni BumBap na mtu anayerap vyema kwenye Mdundo halisi wa HipHop anaitwa Mc. Lakini pia Hiphop ni Utamaduni /Maisha halisi/ Movement(Harakati).
Sasa katika Trap kuna harakati gani?
Tusisahau hiyo MC ni nguzo moja ya Hiphop kati ya zile Nguzo tano.
Wee jau kwl
Kuna watangazaj ila hawana skio coz wanafoc
👊👊👊👊👊izo apoo ninja respect kwa kumfafanulia kuna mda mabitozi kama hao ndo wanaofanya wanaojua waonekane hawajui mpuuzi uyo
I go with yuu King. Happy to see you’re referring Nas. Dogo can’t diss the goat D- Vina.
Ppo ain’t know real hip hop thus they talk shits about the real hiphop dudes. Dizasta iz the living book…!!!
Dizasta noma sana
Motown uyo jamaa ulienae ajui mziki , achana nae
Kama humuelewi Disasta rudi shule
Huyo presenter fala hajui hiphop, dizasta sio wa kumfananisha na rapcha
we kama hujampa dizasta nenda kampe mamaako
Uyu jamaa n nan kwan, mbna hajui anachoongea apo aisee, diss track tunataka content
Acheni kumfananisha mtoto mdogo Rapcha na mtu mbad DIZASTA - kiukweli D yupo juu sana zaidi ya huyo K rapcha hata afanye nini.
kama humjui dizasta kaaa kimya usilete mambo ya
Tatzo wasanii wabongo wanavimbaa xana Hadi wanatuboa mashabiki me niwape ushauri tu wa bila malipo wafanye kazi waache misifa
Mo town umeongea point 💥
We mwenye kofua , Mimi shenz ww nyoko mbili, hip hop , haujui ,hardcore ya diss ndo tunahitaj cc wat wa hip hop , na sio hizo yoyo , haujui kuchambua kaa tulia , ukileta uleje uleje , nakucmamishia shughuri ka sabato
Wame katoa wapi haka katangazaj kamchongo ... dizasta vina rogo ya mtaa inayo shine kuta..kaa kando uone game ninavyo i define upya..hiki kituo cha mistari bro kaa mitaa 100..et oooh ana imba ngumu za kitambo mala mikazo ww una penda ma trap ..ujui lolot una ckilza mdundo bas
Kinacho angaliwa kwenye battle sio mdundo rapcha alikua anaimba kufwata mdundo ila dizasta alikua anamchana mpinzan boya ww aijalishi ameimba kizaman au la kinachoangaliwa vina
Hamuez chambua hiphop nyie huku sio penu kabisaa hapawafai hata kidogo hangaiken na na malovee, yani unamwongelea dizasta jomba ? aaisee hamna medula za kuchambua hata mstar m1 wa vina, kaushen tuu
HUYO MTANGAZAJI MWINGINE CHOKO nini Maana ya HIPHOP kam Sio HARDcore
Mtangazaji mavi nn ww unaangalia mitindo nenda kwa Martin kadinda Apo angalia uwezo wa mashaili na akizingua tn rapcha tunakuja na diss trck ya dk20
Oya motown uyo jamaa ako hajui hip hop mshamba aende uko akaungane kweny mashamsham mamae..dizasta ni best hip hop all the tym
Dizasta vinaa #ThuG king
Aseee Msifananishe Dizasta na Huyo Mrembo
wanamfananisha Dizasta na watoto wa kike..!
how comes..?
We choko ambaye unasema dizasta vibaya kachana vibaya mmno ata matako yako anaweza chana kaa kwa kutulia na kifoa yako ya kichoko
Mo sanya uyo mwanao msenge sana anaonekana mlamba lipsi afu ajui kitu uyo akaskilize akina mario kule
Dizasta ajengewe sanamu kama kumbukumbu Kwan ndo msanii pekee ambaye Ngoma zake zinamguso Kwa jamii nzima hazipo upande wa siasa Wala kujisifia dizasta in short anaona matatizo yaliyo katka jamii zetu ndo anaimba
Uyo jamaaa aache ushamba tamaduni music... Ndio maana tupo tamaduni music
Beef ya motra na p the mc?? Au mm nimesikia vibaya😁😁
uyo alosema tamaduni mamayo tamaduni ya konyo dizasta mkali tuu
Jaman mwamchen dizasta hyo mwamba anjua so poah
Machoko msiongee mwanaume akifroo.
dizasta sopoa wew hakuna kipinga mizi Baraka kutoka dar
Dizasta mtu mbadiiiii
Haujui hip-hop huyo mtangazaji bwege
Dizaster winner 🤜🤛
Dizasta ndio anafanya hip hop yenyewe
d ni jini huyo mtu gan anachana haachi nafas ya kupumua 🔥🔥🔥🔥🔥
rapcha kachana utumbo
Hamjui lolote, nyie wasen*e tu
Dizasta is the real hip hop maker raptcha kalale
Vina ni moto
Dizasta ni denger aisée
Dizasta mwambaaaaaa
Huyo msela hajui KULTURE YA HIPHOP……Usicheze na DIZASTA
Dizasta Ni Moto mwingne rapcha hawezi battle za #vina
Yaani huyo jamaa anayeunga mkono Rapcha ni kiyande yaan anaangalia flow badala ya ujumbe
Nyie watu wa media niwanfki sn kusemakwl kam dizasta 🔥🔥ngoma zake sijawahikusikia redio ila leo kaja n befu lake anaanza kuongelewa embu kuweni n continents
😎😎😎
Hujuhi uyo dizanyoko haelew rapcha mnyama
Dizasta ni 🔥
#BlackMarradona 🔥🔥🔥🔥
Best friend ni clarification sio diss bro
Rapcha bado sana
BLACK MARADONA *Dizasta vina*
Rapcha
Mo swag uyo jamaa anae kwambia ndo anasema kwel...afu kaka .dizanyoko hajuh