Kwa kweli hili daraja lilikua ni kero kubwa kuna wakati ngo'ombe nao wanavuka ktk hilo daraja inabidi kuwasubri mpka wavuke unaeza poteza nusu saa kusubri kabla ya kuvuka hongera serikali wanao lalamika hela ni nyingi kazi pia ni kubwa😢
Bajet kubwa sana hii kazi nikipewa bilion 20 daraja najenga kwa kiwango cha kimataifa ila serikali yetu bas tu hii wanaita foss acount huwa inatumiwa kwenye majengo tu huku kwenye madaraja hera za kutosha zinatolewa hii bajeti kubwa mno ukweri mkandarasi anakabizi kazi hatumii hata nusu ya pesa
Chapa kazi mama yetu ❤❤❤
Mama hana ubaya ❤
😮
Wazitumie vizuri hizo pesa na waache wizi wizi uliopo Mwanza.
Gharama ni kubwa Sana ebu mtuhurumie sisi walipa kodi
Safi sana
Safi sana...
Kwa kweli hili daraja lilikua ni kero kubwa kuna wakati ngo'ombe nao wanavuka ktk hilo daraja inabidi kuwasubri mpka wavuke unaeza poteza nusu saa kusubri kabla ya kuvuka hongera serikali wanao lalamika hela ni nyingi kazi pia ni kubwa😢
Mto ni ule ule na mapana ni yale yale lakini gharama tofauti😁😁😁😁
1917
Wameanza kuropoka
Bajet kubwa sana hii kazi nikipewa bilion 20 daraja najenga kwa kiwango cha kimataifa ila serikali yetu bas tu hii wanaita foss acount huwa inatumiwa kwenye majengo tu huku kwenye madaraja hera za kutosha zinatolewa hii bajeti kubwa mno ukweri mkandarasi anakabizi kazi hatumii hata nusu ya pesa
Duu ina maana daraja la mto simiyu linajengwa kwa nusu ya gharama ya daraja la Magufuri kigongo busisi?
umeambiwa madaraja mawili 2.5 kilometers za lami
Huu wizi mkubwa haiwezekani hilo daraja kwa gharama hizo wizi mkubwa saaana hilo daraja hata kama ni billion 20 haifiki
Mto Simiyu unaujua lakini?
@@DudddyWhyCantHaujui😢
@@DudddyWhyCant sio kwa hela hizo
Safi sana