SERIKALI YAIPA TANROADS MWANZA BIL 58.27 KUJENGA DARAJA LA SIMIYU NA DARAJA LA SUKUMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 19

  • @DudddyWhyCant
    @DudddyWhyCant 3 месяца назад +1

    Chapa kazi mama yetu ❤❤❤

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 3 месяца назад

    Mama hana ubaya ❤

  • @jacksongidione-yo8vg
    @jacksongidione-yo8vg 3 месяца назад

    😮

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 3 месяца назад

    Wazitumie vizuri hizo pesa na waache wizi wizi uliopo Mwanza.

  • @jumamakaja8802
    @jumamakaja8802 Месяц назад

    Gharama ni kubwa Sana ebu mtuhurumie sisi walipa kodi

  • @Drepsama
    @Drepsama 3 месяца назад +1

    Safi sana

  • @MalakiGerald-bh5jv
    @MalakiGerald-bh5jv 3 месяца назад

    Safi sana...

  • @MursalLusinde
    @MursalLusinde 3 месяца назад

    Kwa kweli hili daraja lilikua ni kero kubwa kuna wakati ngo'ombe nao wanavuka ktk hilo daraja inabidi kuwasubri mpka wavuke unaeza poteza nusu saa kusubri kabla ya kuvuka hongera serikali wanao lalamika hela ni nyingi kazi pia ni kubwa😢

  • @sylvestercharles3585
    @sylvestercharles3585 3 месяца назад

    Mto ni ule ule na mapana ni yale yale lakini gharama tofauti😁😁😁😁

  • @ErastoMasabile
    @ErastoMasabile Месяц назад

    1917

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 3 месяца назад

    Wameanza kuropoka

  • @robertmsukwa8466
    @robertmsukwa8466 3 месяца назад +1

    Bajet kubwa sana hii kazi nikipewa bilion 20 daraja najenga kwa kiwango cha kimataifa ila serikali yetu bas tu hii wanaita foss acount huwa inatumiwa kwenye majengo tu huku kwenye madaraja hera za kutosha zinatolewa hii bajeti kubwa mno ukweri mkandarasi anakabizi kazi hatumii hata nusu ya pesa

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 3 месяца назад

    Duu ina maana daraja la mto simiyu linajengwa kwa nusu ya gharama ya daraja la Magufuri kigongo busisi?

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 3 месяца назад

    Huu wizi mkubwa haiwezekani hilo daraja kwa gharama hizo wizi mkubwa saaana hilo daraja hata kama ni billion 20 haifiki

  • @maulidimbona9420
    @maulidimbona9420 3 месяца назад

    Safi sana