USHUHUDA || BWANA ASAMBARATISHE KILA ROHO YA MAUTI AMBAYO ADUI AMEIELEKEZA KWAKO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • Je unaweza kukumbuka mahali ambapo Mungu, alikuokoa na roho ya mauti?
    Je unatambua kuwa ni mkono wa Bwana ulikuwa upande wako na kukukinga na roho hizo?
    Inawezekana uliwahi kunusurika na roho ya mauti kupitia ajali, ugonjwa, au namna yoyote ile ambayo ingeweza kukuangamiza.
    Mara nyingi adui huyatafuta maisha yako ili ayaangamize kwa namna yoyote lakini kwa kuwa Mungu yupo upande wako hakuna roho ya mauti itakayokupata.
    Nakukumbusha leo kuwa Mungu yuko kazini wakati wote kutimiza ahadi yake katika kuhakikisha wewe uko salama (Hosea 13:14)
    Ni maombi yangu kwa BWANA, akuokoe na kila roho ya mauti ambayo adui ameielekeza kwako katika jina la Yesu, Amen.

Комментарии • 1