#LIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • #LIVE "CHADEMA" WANATOA TAMKO SAKATA LA UTEKAJI MUDA HUU "LEMA , MBOWE WANAFUNGUKA

Комментарии • 14

  • @BonaventureJohn-mk6xh
    @BonaventureJohn-mk6xh 15 дней назад +1

    What a big brain! Big up Lema

  • @user-hw6zp5mz8m
    @user-hw6zp5mz8m 15 дней назад +2

    Kuna hiyo inayoitwa JUMAT, watalipa gharama kubwa kuliko wanavyofikiri,mwogopeni Mungu!

  • @kennedythomas7282
    @kennedythomas7282 15 дней назад

    Jamani jamani! Mungu uliye shahidi wa kweli,siku ile itakuwaje? Jamani watu watubu,watubu jamani. Ni huzuni kubwa. Hata furaha inakosekana moyoni. Mungu, Mungu,Mungu! Amani yako itawale!

  • @chegebukoli1914
    @chegebukoli1914 15 дней назад

    Inauma saana

  • @EmmanueliBaltazari
    @EmmanueliBaltazari 15 дней назад

    Hawa viongozi wanalipwa kwa Kodi zetu, na wanalipwa kwa sisi wengine kuwa pigia kura na kuwa fanya wawe madarakani, alafu aliye kupigia kura unamteka una muuwa, hamjiulizi mnapunguza idadi za wanao wapigia kura na kuwamweka madarakani, na ndiyo wanawafanya mlipwe

  • @thadeusmateru1356
    @thadeusmateru1356 15 дней назад

    Ole wao wanaomwaga damu za wenzao kwa kutaka madaraka. Mungu hatawafumbia macho. Watambue gharika inakuja kwao na uzao wao

  • @chegebukoli1914
    @chegebukoli1914 15 дней назад

    Kuna shida itatokea saana hapa Tanzania

  • @philibertsimon
    @philibertsimon 15 дней назад

    The truth that they don't want to hear

  • @EmmanueliBaltazari
    @EmmanueliBaltazari 15 дней назад

    Hautaki waletwe wakiwa wamekufa, tena hicho kipengele Cha wakiwa wamekufa kina fanya watekaji wajichukulie Sheria mikononi. Yani waletwe wakiwa hai na wasiwe na jeraha Wala kipigwa au kunyimwa haki zake za kimsingi

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 15 дней назад

    Huyu mama ni hatari kuliko magufuli na hajali maana sio wazanzibar wanaotekwa na kuuwawa mbaya zaidi masikari ya bara upeo finyu

  • @GervasMighayo
    @GervasMighayo 13 дней назад

    kijana huyo aliyepotea jina soka asipopatikana maana jina hilo siyo bure na soka la tz Simba na yanga litaishia hapo hapo maana hata wanasheria wamelisimamia kikamilifu nawanchi wako nyuma yao walio na hekima tu ndio watalielewa hili,

  • @bakermusa9033
    @bakermusa9033 15 дней назад

    Nchi ni kama iko chini ya shetani

  • @NeemaKomba-ks4so
    @NeemaKomba-ks4so 15 дней назад

    Na ndicho kinachofa sasa