Jamani jamani! Mungu uliye shahidi wa kweli,siku ile itakuwaje? Jamani watu watubu,watubu jamani. Ni huzuni kubwa. Hata furaha inakosekana moyoni. Mungu, Mungu,Mungu! Amani yako itawale!
Hawa viongozi wanalipwa kwa Kodi zetu, na wanalipwa kwa sisi wengine kuwa pigia kura na kuwa fanya wawe madarakani, alafu aliye kupigia kura unamteka una muuwa, hamjiulizi mnapunguza idadi za wanao wapigia kura na kuwamweka madarakani, na ndiyo wanawafanya mlipwe
Hautaki waletwe wakiwa wamekufa, tena hicho kipengele Cha wakiwa wamekufa kina fanya watekaji wajichukulie Sheria mikononi. Yani waletwe wakiwa hai na wasiwe na jeraha Wala kipigwa au kunyimwa haki zake za kimsingi
kijana huyo aliyepotea jina soka asipopatikana maana jina hilo siyo bure na soka la tz Simba na yanga litaishia hapo hapo maana hata wanasheria wamelisimamia kikamilifu nawanchi wako nyuma yao walio na hekima tu ndio watalielewa hili,
What a big brain! Big up Lema
Kuna hiyo inayoitwa JUMAT, watalipa gharama kubwa kuliko wanavyofikiri,mwogopeni Mungu!
Jamani jamani! Mungu uliye shahidi wa kweli,siku ile itakuwaje? Jamani watu watubu,watubu jamani. Ni huzuni kubwa. Hata furaha inakosekana moyoni. Mungu, Mungu,Mungu! Amani yako itawale!
Inauma saana
Hawa viongozi wanalipwa kwa Kodi zetu, na wanalipwa kwa sisi wengine kuwa pigia kura na kuwa fanya wawe madarakani, alafu aliye kupigia kura unamteka una muuwa, hamjiulizi mnapunguza idadi za wanao wapigia kura na kuwamweka madarakani, na ndiyo wanawafanya mlipwe
Ole wao wanaomwaga damu za wenzao kwa kutaka madaraka. Mungu hatawafumbia macho. Watambue gharika inakuja kwao na uzao wao
Kuna shida itatokea saana hapa Tanzania
The truth that they don't want to hear
Hautaki waletwe wakiwa wamekufa, tena hicho kipengele Cha wakiwa wamekufa kina fanya watekaji wajichukulie Sheria mikononi. Yani waletwe wakiwa hai na wasiwe na jeraha Wala kipigwa au kunyimwa haki zake za kimsingi
Huyu mama ni hatari kuliko magufuli na hajali maana sio wazanzibar wanaotekwa na kuuwawa mbaya zaidi masikari ya bara upeo finyu
kijana huyo aliyepotea jina soka asipopatikana maana jina hilo siyo bure na soka la tz Simba na yanga litaishia hapo hapo maana hata wanasheria wamelisimamia kikamilifu nawanchi wako nyuma yao walio na hekima tu ndio watalielewa hili,
Nchi ni kama iko chini ya shetani
Na ndicho kinachofa sasa