DOWNLOAD ON BOOM PLAY. - www.boomplaymusic.com/share/album/7288483?srModel=COPYLINK&srList=ANDROID . ITUNES itunes.apple.com/album/id1497097610?ls=1&app=itunes . SPOTIFY open.spotify.com/album/4KTcMM3LJ8tPmHk7ijUajC . APPLE MUSIC itunes.apple.com/album/id/1497097610 . Follow Him On Instagram connect With Brother Nassir On Instagram instagram.com/brothernassirofficial?igshid=14g5e0ozq963x
Huyu jamaa hakuwa anampenda sana mungu wala mtume Muhammad s.a.w alikuwa anautafuta umaarufu tu na keshupata. Maana huko nyuma alipokuwa kihojiwa na vyombo vya habari alikuwa akisema kuna tofauti kubwa kati ya nyimbo na nasheed lkini sai watu wakimpa nasaha juu yakupotea kwake anadai kuwa hakuna tofauti . Hamuoni ka huo wake ni unafik tu anatake pesa hamtali mola wake alomuumba wala mtume.pia haujali uislamu wala waisilamu
Its a beautiful song MashAllah yani hadi raha alafu jamani nyie haters kwan bro kaletwa duniani ili awaimbie Nasheed au supporting someone's work wont ruin yours keep it up bro fans wako tupo support kama yotreeee love all da way from 🇹🇿🇹🇿
Mbona unapotea Shieck Nasiri ilikua wenda vizuri saana nyimbo za kumsifu Allaah sasa huyu ni ibilisi gani jamani inshaallaah Mwenye Ezi Mungu akuongoze
Naomba tu nikuulize hivi ndio huta kariri Tena anashid?au haya niyamda tu please come back to anashid we love you brother Nassir in anashid you are the Best.im from Zanzibar.
Keep ahinning beo...you're nur mashallah..ignore ma haters...so much negativity and hate in our society...waswahili twapenda kujidai wacha Mungu lakini roho chafu na chuki...kazi kujua kususa wengine ilhali machafu yetu yamezidi...unafik tu umejaa
Sifa zako Naasir zilikua juu saana lakini mbona sasa washuka chini??? Mbona humtaji Mtume tena wala humsifu tena Allaaah jamani???? Twakuombea utoke kwenye huyo ibilisi aliekuingia inshaallaah umkumbuke Allaaah na umtaje kwenye Qaswiida zako Kama ulivyokua ukimtaja saana kwa wingi amiiin
Brother nassir mimi nilikua shabiki wako wa mwanzo nipo unguja nilikua nikifungua nasheed zako nafarajika sana kama mauti ile vumilia moyo wangu naugua mahaba ya bwana nanyengine nyingi. Lakini naona hafla umebadilika imekua unataka kujifananisha nakina mboso nimeskitika sana kwakweli. Mimi nimemmis brother nassir yulee wa anasheed zenye maneno matam ya kumfanya mtu awe na imani na MWENYEZI MUNGU yani anasheed zako nyingi zilikua ni mawaidha wallah
DOWNLOAD ON BOOM PLAY. - www.boomplaymusic.com/share/album/7288483?srModel=COPYLINK&srList=ANDROID
.
ITUNES
itunes.apple.com/album/id1497097610?ls=1&app=itunes
.
SPOTIFY
open.spotify.com/album/4KTcMM3LJ8tPmHk7ijUajC
.
APPLE MUSIC
itunes.apple.com/album/id/1497097610
.
Follow Him On Instagram
connect With Brother Nassir On Instagram
instagram.com/brothernassirofficial?igshid=14g5e0ozq963x
Brother nassir lini unakuja tena marahii nimekukosa sijapata colabo na wewe mimi brother Hamed
Unaimba nyimbo na zitakutia moton zinduka moto Wa Allah hauna usupastaa, unatafuta laana na ghadhabu za Allah unaziweza
@@saidisalim7326 bro hutaki usiskize.... Unahakika wewe utafika huko?
Ma Shaa Allah
Acha kupoteza mdundo ya nn soma mashairi inatosha Dunia isikuhadae
Weweeeee bro nakuaminia keep it up I love your songs 😘😘mungu akuzidishieee Inshaallah
Mashallah ni nzuri sana 👍 hongera brother nassir, mungu akupe kipaji ❤️
Huyu jamaa hakuwa anampenda sana mungu wala mtume Muhammad s.a.w alikuwa anautafuta umaarufu tu na keshupata. Maana huko nyuma alipokuwa kihojiwa na vyombo vya habari alikuwa akisema kuna tofauti kubwa kati ya nyimbo na nasheed lkini sai watu wakimpa nasaha juu yakupotea kwake anadai kuwa hakuna tofauti . Hamuoni ka huo wake ni unafik tu anatake pesa hamtali mola wake alomuumba wala mtume.pia haujali uislamu wala waisilamu
Mtambue mola wako bro mtaje mungu wak co aamitabaattan
Uko juu broda wllhy mahasidi mungu awaepushe
hisham abrar 🤣😂
Nakupenda bure 💋💞💞💞
👌👌👌👌👌👌👌👌😻😻😻Ahadi nishakuwa kuwa nawe maisha
Aah umeharibu anasheed zako bro
Yaani maneno madogo madogo tu yanayowatetemesha warembo...yaani bro ww ndiye umeimaliza bcz maneno simple beat nayo kiboko alafu sasa flow...boy uko smooth sanaaaaaaaa
Baningi umeweza bro engeza bidiii tupe vitu tuuguwe
Laazim tartiiib 😍😍mashaallah mashaallah mashaallah yaaani hukoseagi Hasbiyallah 💞💞
Maa sha allah ipoo njema saana Hongera saana broh pa1 saaana
Hongera xn kaka
Masha Allah Masha Allah nimeipenda
Mashallah bro keep it up 👊 fanya kitakacho kufanya uwe happy ☺😊 we are here to support u🙌🙌
Huna tofauti na diamond mrudie Allah dunia si chochote ni Maputo ittakullah
Nur Yusuf
ye kama hana tofauti na diamond we huna tofauti na harmonize
@@mahmudseif4256 🤣🤣🤣🤣wah mmefikisha harmonize
@@mahmudseif4256 😂😂😂😂😂
Kwaajili ya ALLAH ,,, achana na aina hii ya nashid,,,,utajuta baadae,,,,,,,,
Kweli
N kweli kabisaaaa usemacho
Naipenda hiki nyimbo haki💪💪💪💪
Ohh dawa yangu
Achana na brother nassir uko juu bloody 🙏💪
Ndugiyangu mchemola unapokwenda sio kwema haifai wallah nilikua nasikiza nasheed zako za kitambo zilikua nzuri acha hizi ala za music
Unauguwa mahaba kaka
Wow mashaallah very nice mashaallah tabaarakallah 👌👌
Maashalla nyimbo nzur Allah akuzidishie Kila la kher
Masha Allah nyimbo inafundisha kuhusu ndoa like more this song
Hehehe kimewaka tena mambo ni moto🔥🔥🔥
Unanikosha bro
Brother Nassir Masha Allah mzangu
Zingatia zangatia
isikughuri dunia
Elewa twapia njia
Hakuna wa kubakia
Naam
Mtihan
Its a beautiful song MashAllah yani hadi raha alafu jamani nyie haters kwan bro kaletwa duniani ili awaimbie Nasheed au supporting someone's work wont ruin yours keep it up bro fans wako tupo support kama yotreeee love all da way from 🇹🇿🇹🇿
Endelea kuwakerrrraaaaaaa❤
Hiii Qasweeda Nzuriii mnoo
Mashallah Mashallah Mashallah
Congratulation
Mashallah nawez kujiung group lak
Nakubali
Hujuwi kuiiba katafute kazi ufanyee
Mbona unapotea Shieck Nasiri ilikua wenda vizuri saana nyimbo za kumsifu Allaah sasa huyu ni ibilisi gani jamani inshaallaah Mwenye Ezi Mungu akuongoze
Rudi kwa mola wako brother wamalhayata ddunia ila matau l-urur
HAMARI ADHURI KAHANI sio...hahha we acha tu!!!
brother nassir dah unapotea sasa umekuwa Kama mzee yussuf unaimba tarab sasa subhanllah
Naona anaimba tarabu saiv dah hatari
Mzee yussuph ameshaacha
Na ww shabiki wa mpira vipi? Hilo linamfurahisha mola wako ee
Mashallah shukran 😂😄🙏
Sio tarab hiyo yuko vizur nn kosa laka mm mfuas wake harith al mendhry
Mashaallah its really nice niliisubiri sanaaaaa
Talenteeed bro🔥🔥💯
Brother Nasir mung anajuwa nnavyokupendatenasana
Katika zote hii umeimba kaka taaban
Kwel mungu akujalie nyimbo zako nzur saaana
❤❤ love you my brother Nassir
Best Song brother 💥💥
Bora yy kuliko mbosso wenu huyo ambae mwamsikiza na kuimba nyimbo zake
Shua bro nakubali amitabachani
Daah bro amitabachan tena😱😱
Huo mwanamke akutia wazimu walahy🤣🤣
Daah bro I love that song wallahy
😂😂😂😂
Hapa uyo Diamond akasome chuo kikuuuu maneno Kama yote
wooooh ni song ambayo imetulia san
wooow I like dis nice sanaaa
Keep it up Brother wish you all the best 👍
Wadau alfu hebu tuelewe saiv broo wetu haimbi nasheed tena saiv ni msanii chipkiz wa bongo fleva au Mombasa fleva cjui😂😂 kwaiyo mcje mukzni nasheed kwa wle wacyo elewa hiz ni nymbo sw jmn😋🙏
YUSSUF ABDUL-RAHMAN Mombasa fleva😂😂😂😂
Nikwel mtihan
Bro nyimbo nzur mashallah
The "hamari adhuri kahani" part imeweza hahahaha
Kwani ww unakelekwa,Naninn❤😢
Ndungu yangu MASHA allah
Naomba tu nikuulize hivi ndio huta kariri Tena anashid?au haya niyamda tu please come back to anashid we love you brother Nassir in anashid you are the Best.im from Zanzibar.
Wallah brother nassir you the best katika nashid rudi achana nako huko
An advice bro never read commentsb .They are all jealous
Nice song 👍👍👍
Wow wow brother nassir 🎉
Nice one bro
Unatokea nnchi gani
Kenya
❤Superb
People who judge others tell more about Who They Are, than Who They Judge.
Brother nice song🙌🙌🙌
😔ungerud
Katika uhai wangu hayaat
Nakupenda mama
Pepo ya dunia ni mama
Nakupenda Ramadan
Ingekuwa vzr sana akhy ila uku
ALLAH akuongoe.
inshaallah mwenyewe mungu akupeumri
Nice song brother nasir
Unajua sana kuimba brother N
Hasbiallah
Maxhaaall
mashaallah bro nassir
😄😄😄😄😄😄
😄😄😄😄😄😄
Really like your songs bro I like following your nasheed uko swa mashaallah we love you bro💖
Huyu sasa ni Mbosso kabisa.. Wallahi huku siko unakoelekea.
Usimfananishe bro nassir na mbosso , mbosso nyimbo zake ni as matusi while bro nassir zake ni zakumsifu mke wake wanafanya wavulana waowe
Yh that is ttue
@@Latifa270 wee n kiazi
Umenigusa bro Nassir, forwad ever
Leo nisiku ya furaha nangoja video yake broo hii pia imeweza ,,...
Furaha yako usiitie nuksi kwa uharam wa nyimbo
Jamani hii nyimbo alimtungia mke wake sasa akamua kuiweka hadharani ili aiangalie itakuwaje kwa wengine jmn
Kwanini mnalan bro nasir kakosea nn jaman
Pia m nashangaa, Na ilhali n mashairi tu simple KwanI ametukana kama hao wasanii wngne jamanii??
Ndo mwanzo wa kutukana kwn hat mtto huanza kukaa kisha kutamba kisha kutembea sasa alikua msoma nasheed mzur lkn ssss hizo ni nyimbo
Keep ahinning beo...you're nur mashallah..ignore ma haters...so much negativity and hate in our society...waswahili twapenda kujidai wacha Mungu lakini roho chafu na chuki...kazi kujua kususa wengine ilhali machafu yetu yamezidi...unafik tu umejaa
kabsaaa i totally agree kina sisi hao
Jamani yuwamsifu mke wake acheni wivu wanakejeli toeni yenu
Ndio. Kwanza yeye aowe tangu ampate. Huyo amina cjui ndio nani amekuwa hataki tena nasheed me ata cielewi au kakuloga Huyo wifi yetu ati kaka nassir
Anissa Abdalla 😂😂😂😂😂😂😂😂
Sikio la kufa,,,,,, mungu akipenda atasikia.
Allah's akuongoe brother man's unapo elekea sipo
Mashlla brother nasir
Seriously bro nasir Rudi kwa Allah uctekwe na dunia Rudi kwa qaswida
Oooh my gudness ❤❤❤
Sifa zako Naasir zilikua juu saana lakini mbona sasa washuka chini??? Mbona humtaji Mtume tena wala humsifu tena Allaaah jamani???? Twakuombea utoke kwenye huyo ibilisi aliekuingia inshaallaah umkumbuke Allaaah na umtaje kwenye Qaswiida zako Kama ulivyokua ukimtaja saana kwa wingi amiiin
Allah akuzidishie ameeen
Hii dunia ni pesa tu... So nw aona myb he's making money move.. ndio akatoa wimbo. Allah amuongoze na atuongoze sote..
Kweli ni hatari
brother nassir huko unakoenda sasa siko
Mashallah Brother Nassir ur nasheeds r wooooooow!!!!!❤️❤️❤️
Nikweli unapote ndugu
Mashaallah ❤❤❤
brother ukitoa ngoma nyingine usisahau kumtaja kreshi 😁😁😁😁😁😁
mtihani
kwanini ?
Salma Ali mbona wafurahi
Maasha Allah
@@yunisali2794 p1
Brother nassir mimi nilikua shabiki wako wa mwanzo nipo unguja nilikua nikifungua nasheed zako nafarajika sana kama mauti ile vumilia moyo wangu naugua mahaba ya bwana nanyengine nyingi. Lakini naona hafla umebadilika imekua unataka kujifananisha nakina mboso nimeskitika sana kwakweli.
Mimi nimemmis brother nassir yulee wa anasheed zenye maneno matam ya kumfanya mtu awe na imani na MWENYEZI MUNGU yani anasheed zako nyingi zilikua ni mawaidha wallah
Mashallah kwa ujumb wakooo kaka
V ncy imbaa babangu❤️
Kumsifia mkewe au mumewe nimekupiga muhuri hapo kifuani
Mashaallah Mashaallah 😍❤❤❤❤
habar naoba yte
yanini tuskize nyimbo za matusi nyege wamlambez afadhali zako brother nassir
Festoboy Said watu kama weeewe ndo wabaya , watu wapo kumpa mawazo ya kurudi wewe ndo kwanza unatetea batili
Cant stop listening to this big up sana bro nassir
Its ur fan from mwanz naskiza nyimbo zako na nazpenda sana unafanya vdhur hasa huu ndo best
Ma shaa Allah...superb
Allah akuongoze katik njia sahihi