Viongozi katika chama cha ODM wazidi kukinzana kuhusu serikali mseto

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • Nyufa ndani ya chama cha ODM zimeendelea kushuhudiwa huku mirengo miwili chamani humo ikiendelea kukinzana peupe kuhusu mapendekezo ya kujiunga na serikali ya rais william ruto. Kundi moja linaloegemea upande wa katibu mkuu Edwin Sifuna, linapinga kujiunga na serikali ila mrengo unaoegemea upande wa mwenyekiti John Mbadi, ukishabikia kuingia serikalini.

Комментарии • 45

  • @evanschaedirectoreffortcon6264
    @evanschaedirectoreffortcon6264 Месяц назад +14

    Sifuna you're a gentleman, keep strong

  • @silviamwaura1570
    @silviamwaura1570 Месяц назад +7

    Sifuna keep it up,

  • @omarndege811
    @omarndege811 Месяц назад +6

    Sifuna jiunge na kalonzo...2027, coverno nrb achana na odm dead

  • @abdullmumtaz7736
    @abdullmumtaz7736 Месяц назад +5

    Yaani ODM imekuwa na confusion moob shindwe !!!

  • @jullostephen9090
    @jullostephen9090 Месяц назад +3

    Wanasiasa wa Kenya ni shida tupu,kila mtu anangalia tumbo lake

  • @mercyknight9529
    @mercyknight9529 Месяц назад +1

    Advice the president to consider appointing directors in the positions of cs since tjey understand the ground better

  • @johnonkoba740
    @johnonkoba740 Месяц назад +2

    Huyu jaa mbadi mafi sana

  • @JudithWanyonyi-cp6mq
    @JudithWanyonyi-cp6mq Месяц назад

    Papa l can't believe ukistajabu ya musa utaona ya birahuni

  • @Danwangila-uo3bl
    @Danwangila-uo3bl Месяц назад +2

    Kaluma want positions ujinga mutupu

  • @diolencekadzo4289
    @diolencekadzo4289 Месяц назад

    No ODM this the end of Raila

  • @user-xd7vv9hr2o
    @user-xd7vv9hr2o Месяц назад +1

    Kaluma you will go before 2027

  • @elizabethobai63
    @elizabethobai63 Месяц назад

    For all people kalume odm is finsh lets move out people are dieing others are fighting for sets in gover!!!!

  • @linu0720
    @linu0720 Месяц назад +1

    Where is my hero babuuuuuu

  • @ismailosanoomar3326
    @ismailosanoomar3326 Месяц назад +6

    ODM inakufa

  • @salimadiyo9442
    @salimadiyo9442 Месяц назад +2

    Siasa za matumbo

  • @user-ww2mg1jd8n
    @user-ww2mg1jd8n Месяц назад

    Sifuna wa chana na masiwalala usingie kwa UDA.

  • @rebeccabrown5135
    @rebeccabrown5135 Месяц назад

    Sifuna be strong

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj Месяц назад +1

    Baba no diougle😂🎉

  • @usuribeatrice1258
    @usuribeatrice1258 Месяц назад +1

    Tumeweka macho

  • @user-ww2mg1jd8n
    @user-ww2mg1jd8n Месяц назад

    Wao ni watu waodm. Watajua ruto achesi anatumia akili mutatumiwanyote kubeda vya bure.

  • @evanschaedirectoreffortcon6264
    @evanschaedirectoreffortcon6264 Месяц назад +2

    ODM cows

  • @KenOriga-zx1wj
    @KenOriga-zx1wj Месяц назад

    ODM is now confusing us n we don't know where we r heading to

  • @mntobaitenjuri5949
    @mntobaitenjuri5949 Месяц назад

    Edwin sifuna ni simba

  • @JoyceAntony-gm1rs
    @JoyceAntony-gm1rs Месяц назад

    Anyway ODM members of parliament are not voted by wanjiku discussions Raila Ondinga points them without wanjiku making decisions 😅😅😅😅

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 Месяц назад

    You cannot teach an old dog new tactics

  • @aaronmutua
    @aaronmutua Месяц назад

    End of ODM is near 😂

  • @Ushuhuda-or5vb
    @Ushuhuda-or5vb Месяц назад

    ODM hizo viti mmekalia join the government and come 2027 zitakuwa zimekaliwa na UDA. ruto he is smart anavunja hiyo chama juu ndio kubwa kwa azimio. he did the same to jubilee and now he is doing the same to ODM. wake up before its too late and stop being gready

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 Месяц назад

    Hand shake 😅😅😅

  • @mercyknight9529
    @mercyknight9529 Месяц назад

    U are behaving like a defiant child...

  • @mercyknight9529
    @mercyknight9529 Месяц назад

    Duale..reject,resist

  • @wycliffechwala4233
    @wycliffechwala4233 Месяц назад

    who doesnt know raila

  • @usuribeatrice1258
    @usuribeatrice1258 Месяц назад

    Dhineji kucha

  • @chrispinesimiyu
    @chrispinesimiyu Месяц назад

    Wakwende wakwende we are behind Edwin sifuna Kaluma kwendeni peke yenu wewe na Mbadi you cannot abuse Sifuna Team Mafisi kwendeni guys who are used to hang on babas coat we have some mens in ODM behaves like females.Even the likes of our Mama Milly Odh, Gladys Wanga, Bensouda,Mishy,they are far better than some of the men in trouser I ODM.hawa wamama nawapa kongole they are real you will never see them being Mafisi like some Men in ODM and am asking Baba it's time we give the Mamas to get some position like chairlady to lead the party.And stop kutishia Edwin Sifuna in the party.Stop Stop Tuhamie wiper, au tuambie Ruto abadilishe rangi ya chama Cha UDA kutoka yellow to ikue purple tuhamie msitu wa Kila aina ya tabia😂

  • @BillyJames-l6x
    @BillyJames-l6x Месяц назад

    Wakora tupu

  • @ongedoosungawanangayo3055
    @ongedoosungawanangayo3055 Месяц назад

    Sifuna refuse, this Odinga is a vulture who eats mizoga all the time

  • @BillyOduor-et2li
    @BillyOduor-et2li Месяц назад

    Very foolish I have never seen such a comfus

  • @johnonkoba740
    @johnonkoba740 Месяц назад

    Hawa tuliwajia odm. Ujinga ulio kwa odm ni utoto, na umafi tu

  • @omondiwilliam9407
    @omondiwilliam9407 Месяц назад

    Mbadi. Kaluma, and other tumbo, crats, waende waanze ODM Yao. Orengo is a man enough and can lead the Sifunas. Babus and those who stands with GenZ. Kaluma does not hear the ground Bure kabisa.

  • @user-nr3yp6sk9k
    @user-nr3yp6sk9k Месяц назад

    Sifuna you're a gentleman,keep strong