#TBCLIVE
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Fuatilia habari na matukio mbalimbali kwa saa 24 kupitia tovuti yetu, www.tbc.go.tz au App yetu ya “TBC Live” inayopatikana
Play Store (Android): bit.ly/3kYnnsr
App Store (iOS): apple.co/31Yxjta
Tufuatilie pia kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamii;
Twitter: / tbconlinetz
Instagram: / tbc_online
Facebook: / tbconlinetz
HAPPY BIRTHDAY MHE.RAIS SAMIA SULUHU HASSAN...AMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YA ULINZI TANZANIA..!💛💚👌⭐⭐⭐⭐⭐🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏.
Hongera Mheshimiwa Rais wa Tz, Nchi nzuri Africa.
Tunakupenda.
Rev. Claude kutoka Rwanda.
Pamoja na Pongezi nyingi kwa Mama Yetu Samia Suluhu Hasani, nina kila sababu ya kuwapongeza TBC kwa kujipanga na kwenda kumtakia kheri Rais wetu. Happy Birthday Madam President.
Happy Birthday Mama Tanzania Mheshimiwa Rais wetu mpendwa wetu Samia Suluhu Hassan,tunakuombea kwa Allah akulinde na akupe Maisha Marefu na Afya njema Inshaallah 🙏🙏🙏🎂🎂🎂🍰🍰
Happy birthday🎂🍰 Mama president of Tanzania 🇹🇿 .love from Belgum🇧🇪kila la.kheri mwenyezi mungu akulinde salama.amin.happy birthday Mama.samia.🇹🇿 kazi iendelee .Bibi mchele (jokes).tatizo zaituni kakosa KESI😊
Happy birthday MH RAIS SAMIA SULUHU HASSAN MUNGU AKUONGOZE KATIKA KAZI ZAKO NA AKUPE MWOSHO MWEMA💓
Feliz cumpleaños my lovely President
Happy birthday 🎂 🥳 🎉 🎈 🎁 🎊 mama we proud of you, Mungu akuongezee miaka mingi yenye heri na fanaka
HBD Mama The President.
Happy birthday president S. S. H
Happy birthday Mama Rais wetu Mpedwa na wengi..
Happy birthday to madame President, live longer mama.
Happy birthday mama
So amizing
Mashaallah kweli mama wewe ni mzanzibari.Manake huko kwenu watu wanazaa sana kuanzia watoto kumi na kuendelea.
MAMA YETU NIMEPENDEZWA SANA NA WOSIA WAKO KWETU WATANZANIA...TUWAJIBIKE KATIKA NGAZI ZETU AMBAZO TUNAZO...UMEJAWA NA HAKIMA..!MUNGU AKUPE MORE HEALTHY AND YEARS TO LIVE..! HONGERA SANA NA MOLLAH AKULINDE RAIS WETU MWENYE HEKIMA NA MAMA YETU WA TAIFA LETU TANZANIA.
Theluthi 3 🙄
Joyeux anniversaire maman. Que Dieu vous accorde une longue vie.
Hongera mama
Yupo powa sana mh...yaani naona thamani yakupata kiongozi bora na sahihi.
ruclips.net/video/5FEPAjRpzvM/видео.html
Zawadi kwa nchi yetu..Mh. Rais ni mmoja wa watanzania tunaokuombea hero, fanaka, na maisha zaidi huku ulinzi wa Mwenyezi Mungu ukiwa pamoja nawe ukiivusha nchi kwenda kwa yaliyo bora zaidi....Heri ya siku ya kuzaliwa mama,we love you sana...Mungu akutunze.
Hakuna kama mama
Tunampogeza
Sijaelewa theluthi 3🙄🙄
Three Quator
Au robo tatu
ruclips.net/video/5FEPAjRpzvM/видео.html tbc naomba kunisapoti wimbo huu ufike kwa watanzania
ruclips.net/video/RF68Ua739L4/видео.html..
Tanzania Kwanza..
Happy birthday mama