🅻🅸🆅🅴 : MWABUKUSI ANAZUNGUMZA MUDA HUU SAKATA LA KUKATWA NA TLS KUGOMBEA URAIS CHAMA CHA MAWAKILI...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 307

  • @mickgeofreyjoachim1580
    @mickgeofreyjoachim1580 Месяц назад +20

    The man's voice in the jungle....powerful voice that brings hope to all members of TLS who are in the side of right....keep going brother u deserve to be leader indeed

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 Месяц назад +3

    Mwabukusi ❤ you. You seem to be working as teachers!! We use our eyes, hands, legs , mouth and the whole body that's why our pupils understand better. No teacher agrees without questioning Why, when, what, which who....Am proud of you 👏 .

  • @Lubango-gj3ud
    @Lubango-gj3ud Месяц назад +9

    Viva viva Mabukusi, unaitendea haki fani yako ya sheria. Mungu akulinde uendelee kutetea rasilimali za umma wa Taz.

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Месяц назад +10

    Brother Mwabukusi wewe ni mkweli na ni mzalendo. Waambi e💪🏻💪🏻💪🏻

    • @hildandumbalo5827
      @hildandumbalo5827 Месяц назад

      Wamejinyanyasa wenyewe una Yesu brother

    • @hildandumbalo5827
      @hildandumbalo5827 Месяц назад

      Powerful, tuko pamoja kaka

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 Месяц назад

      Mwabukusi, Mpina na Katiba Mpya mbona hapendwi???

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Месяц назад

      Kwa kweli Kwa Mwabukusi kuwa Rais wa TLS ni tatizo maana Chama hichi ni cha Watu wote wasio na vyama na wenye vyama tofauti!sasa yeye ana Marengo wa kisiasa ulio wazi,sasa Kwa hivyo anaikosesha heshima taasisi hii muhimu ya watu ni vyema hao waliomuengua kufanya hivyo!yeye aungsne na Mbowe na wanasiasa wengine watuelimishe wananchi mambo muhimu ya inchi yetu!❤🎉

  • @DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to
    @DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to Месяц назад +7

    Hongera sana sana Mwanasheria mzalendo wa kweli.

  • @robertzingu9889
    @robertzingu9889 Месяц назад +3

    Yes. Hawa ndio wanasheria tunaowataka hapa Tanganyika. Jamaa anasema, "tutazungumza kwa lugha wanayoielewa hata kwa mkono!!". This is bold and strong statement

  • @sospeterodhiambo6869
    @sospeterodhiambo6869 Месяц назад +9

    Kwa kweli TLS haipo kwa ajili ya kusimamia haki Hatusikii sauti yao pale wananchi wa nchi hii wanaonewa TLS inataka akili kubwa ya watu kama huyu Mwabukusu kuinyoosha Big up Mwabukusi

  • @chuguletheodos3342
    @chuguletheodos3342 Месяц назад +14

    Tuko pamoja mwabukusi ,wewe ni big brain brother

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Месяц назад +6

    UBARIKIWE SANA WAKILI SHUJAA NA JASIRI MSOMI BONIFACE MWABUKUSI 👏🏼👏🏼👏🏼

  • @EzekielChalomhola
    @EzekielChalomhola Месяц назад

    Mwambukusi napenda honest Yako. Wewe ni Moja ya viongizi "Strong" katika nchi yetu. Huwa una nimotivate sana Mimi katika kusimamia uwazi na haki. Mungu akupe maisha marefu.

  • @mathewyoung2159
    @mathewyoung2159 Месяц назад +6

    Tuko pamoja Sana kamanda wetu

  • @floraashery224
    @floraashery224 Месяц назад +1

    Big up sana brother,even though ukweli utasimama hata wakipinga na kukuondoa

  • @serafineslaa1082
    @serafineslaa1082 Месяц назад +9

    Au mchakato unaendeshwa na mamluki wa serikali ndani ya tls? Huyu Mwabukusi anavyoongea hakuna kifungu alichovunja cha Sheria ya chama.

  • @eliyagikaro6426
    @eliyagikaro6426 Месяц назад +2

    Uko sahihi!asante.

  • @paull8659
    @paull8659 Месяц назад +5

    TLS imebanwa koo ni maccmm. Pole brother Boni

    • @edsonkahesi8603
      @edsonkahesi8603 Месяц назад

      Kabisa, na hawa ndo wanaoiharibu nchi kwa kuleta viongozi wabovu, wasiojiamini, nakuacha viongozi bora eti ni wachochezi, mara wanamkosoa rais yani kiufupi maciciem hayapendi kiongozi wakuwafumbua watanganyika macho, wanataka raia wengi waendelee kuwa mazuzu, wajinga wajinga ili watawalike vizuri..wakiona kiongozi mwenye vision wanampiga vita, kwa njia zote, kama siyo kumbakizia kesi watampa skendo mbaya ilimradi asipate nafasi ya kuongoza ili waendee kufanya yao.
      Mfano mzuri tuliona walivyokuwa washambambikizia tuhuma za uhaini huyu wakili, mara amevunja sheria kwa kumkosoa rais hadharani, mara unaweza sikia mhujumu uchumi, mara mkwepa kodi, yani ciciem wana uhuni mwingi kwa mwenye kuwakosoa.

  • @user-gx4jx4gv9l
    @user-gx4jx4gv9l Месяц назад +3

    Nakukubali sana mwambukusi tutafika tu haki huwa haipotei ila inachelewa tu.

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s Месяц назад +12

    Nyie mtu anaposimamia haki mnakimbilia ukibaraka acheni tabia hiyo kabisa

  • @fabianmahenge301
    @fabianmahenge301 Месяц назад +6

    Big up to you brother Mwabukusi........

  • @user-gv3bv5cu2z
    @user-gv3bv5cu2z Месяц назад +1

    Hi. Ni. Kweli. Unasema. Vizuri. Asante. Wambie. Wajijue

  • @ThobiasMasabire
    @ThobiasMasabire Месяц назад +1

    Mungubakuongoze kaka yangu

  • @GabrielMwampulo-ys4nl
    @GabrielMwampulo-ys4nl Месяц назад +8

    Ndg Mwabukusi endelea na ujasiri huo huo sisi wenye akili hatuoni kosa lako.wewe unatetea maslahi ya nchi.

    • @SarahAlphonce-q4e
      @SarahAlphonce-q4e Месяц назад

      Kaka kaza buti kweli tumechoka haki inafunikwa kwa wenye madaraka.

  • @serafineslaa1082
    @serafineslaa1082 Месяц назад +6

    Hayo ni maagizo kutoka juu.

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 Месяц назад +4

    Kwa Sisi watu wa chini tunaamini unabii wa kweli unasimama kwenye ukweli na msema kweli siku zote huchukiwa na ndiyo gharama ya Nabii. Mhe Wakili Mabukuzi Mungu atakulinda kwa kuwa unasimama kwenye haki.

  • @renatusikanoni4203
    @renatusikanoni4203 Месяц назад

    Brother wewe nakuelewa sana. Nakuombeaga sana kwa Baba katika jina la Yesu azidi kukulinda juu ya MAADUI.

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 Месяц назад +2

    Uko sahihi sana bro

  • @samsonrusagira5168
    @samsonrusagira5168 Месяц назад

    Ubarikiwe Wakili Mwabukusi.Kwa kweli TLS wametuangusha Wa tanzania. Panahitajika mageuzi katika chombo hiki Cha Wanasheria

  • @alexlazoro3530
    @alexlazoro3530 Месяц назад

    Mungu akubariki

  • @Alute-son2003
    @Alute-son2003 Месяц назад +1

    Mungu akutunze zaidi kaka

  • @alexlazoro3530
    @alexlazoro3530 Месяц назад

    Kaka mungu akusimamie tuko pamoja wewe ni mwanasheria wa haki kabisa

  • @bmdele5816
    @bmdele5816 Месяц назад +1

    Mwabuksi,
    You are a big brain brother,
    Keep hiting hard!.. 🔥🔥

  • @dennisrwelamira1259
    @dennisrwelamira1259 Месяц назад +7

    Upewe nafasi yako. Wewe ni mpambanaji. Mara nyingi viongozi hawataki watu walionyooka.

  • @DiscowKajojo-no2up
    @DiscowKajojo-no2up Месяц назад +2

    Be blessed

  • @user-jz1or4mb7q
    @user-jz1or4mb7q Месяц назад +1

    Mungu iokoe Tanzania!

  • @robertsulus7947
    @robertsulus7947 Месяц назад

    Mwabukusi for president..you have my vote of confidence bro.

  • @chuguletheodos3342
    @chuguletheodos3342 Месяц назад +20

    Kwa lissu alivokuwa rais wa tls hakuwa mwanasiasa wa chadema ,acheni ujinga nyinyi mnaopinga hii akili kubwa ya mwabukisi ,

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 Месяц назад

      Hata Lissu alikwamishwa sana Hadi alipotumia mbinu mbadala na kuwahishwa Kwa helicopter mkutanoni!!

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu Месяц назад

      Tena Alikuwa na Kesi kibao, Hawa wamemuondoa huyu Kwa malengo yao

  • @innocent91044
    @innocent91044 Месяц назад +2

    Bro Achana na hii TLS, Gombea uraisi TLS watakutafuta wenyewe baadae.

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 Месяц назад +3

    Maagizo toka juu, nuru na giza havichangamani kaka# bandari

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8d Месяц назад +3

    Omba kugombea uraisi chadema mwabukusi unakubarika na watanzania aijapata kutokea. Tunakuomba gombea uraisi chadema

    • @mossyfimbo3577
      @mossyfimbo3577 27 дней назад

      Wenye chama wao pia wanataka U Rais watampisha kiti si rahisi

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke Месяц назад

    The Power of God shetani hawezi kushinda

  • @user-gv3bv5cu2z
    @user-gv3bv5cu2z Месяц назад +1

    ❤❤❤❤🎉

  • @ThomasEkama
    @ThomasEkama Месяц назад +2

    saw saww mwambukusi

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 Месяц назад +1

    Tunakuunga mkono ❤

  • @noellema9109
    @noellema9109 Месяц назад

    Mungu akulinde ndugu

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Месяц назад +4

    Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana

  • @user-il8wn9ko9y
    @user-il8wn9ko9y Месяц назад +6

    sema kaka

  • @EstherMushi-d7v
    @EstherMushi-d7v Месяц назад

    Thank you role model🫡

  • @Siha01TV
    @Siha01TV Месяц назад

    Hii nchii kila mtu ni mnafkiii mpaka mawakiliii ...mnashimdwa ku saport huyuu jamaa kweli

  • @manyarangemgendi4958
    @manyarangemgendi4958 Месяц назад

    U doing a good job brother

  • @georgewambura7695
    @georgewambura7695 Месяц назад +2

    I am not fear of an army of lions led by sheep, I fear of the army of sheep led by lions

  • @user-gw1df8cf2t
    @user-gw1df8cf2t Месяц назад +6

    Wewe nizawadi Toka kwa mungu

  • @user-wl5np6sv3i
    @user-wl5np6sv3i Месяц назад

    Inauma kwa kweli pambana Mungu yu pamoja nawe

  • @rweumbizalugaimukamu4905
    @rweumbizalugaimukamu4905 Месяц назад

    Well done

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha1080 Месяц назад +3

    Kuna kitu kizto kinakuja kutoka mbinguni🎉🎉

  • @DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to
    @DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to Месяц назад

    Hongera sana.

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke Месяц назад

    God bless MWABUKUSI

  • @cityonahillstudio2107
    @cityonahillstudio2107 22 дня назад

    Jua LA haki limeshutuzukia waovu hawajui nyakati ndio maana wanajiona wako salama. Tunakuombea Mwabukusi

  • @AlexChawe
    @AlexChawe Месяц назад

    💪💪👍

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 Месяц назад +2

    Ipo siku yote yataisha mambo ya ukandamizaji Kuna watu wanajiona wao tanzania ni yakwao peke yao

  • @ndilibangokaruhawe9335
    @ndilibangokaruhawe9335 Месяц назад +2

    Ukiwa na utimamu wa akiri huwezi kuiamini TLS

  • @titusrobert5890
    @titusrobert5890 Месяц назад

    Mungu atakupigania,usikate tamaa mh

  • @SalimuAlmasi-lt9ud
    @SalimuAlmasi-lt9ud 24 дня назад

    Kwa kweli Mwanbukusi Hakua Mfano.Tusaidie watanzani Tumelala.

  • @HassanSaburi-ge6ej
    @HassanSaburi-ge6ej Месяц назад +2

    Shida inaanzia hapo kwanini tuwe na vyama viwili kwenye nchi Moja ? Mali zinazo zungumziwa ni za Tanganyika kweli umuhimu wa katiba mpya unahitajika wanasheria wetu mlitetee hili TAIFA

  • @zabronmwaipungu2212
    @zabronmwaipungu2212 Месяц назад +1

    Issue: We, as Africans, must acknowledge that our failure stems from our leaders, who view their positions as hunting grounds rather than opportunities to serve their people.

  • @user-gz1jy4cf6s
    @user-gz1jy4cf6s Месяц назад

    Uko sawa comando

  • @CharlesiPhilimoni
    @CharlesiPhilimoni Месяц назад

    Hoyeeeee sema kweli mwanashelia

  • @dillonfoya
    @dillonfoya Месяц назад +1

    Wa Tanganyika tunahitaji watu wenye udhubutu kama Huyu Wakili.msomi tatizo la kujipendekeza na uoga kuwafurahisha wateuzi hii dhambi Sasa imefika mpaka kwenye Sheria tutaponea wapi kwa mtindo huu TLS mambo mengi wanayanyamazia hawapigi kelele

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 Месяц назад

    zama za utandawazi wengi tutaumbuka maana kupindiswapindishwa kutasherehekewa, Mungu ibariki.

  • @mashakalukinda2350
    @mashakalukinda2350 Месяц назад

    Jaa Baya sana Kaka jaa zao ziko sehem zote zamwili kama vile kasa hawawezi kuwatetea raiya

  • @CharlesiPhilimoni
    @CharlesiPhilimoni Месяц назад

    Kwelii kabisa

  • @user-mm6sm9rt9x
    @user-mm6sm9rt9x Месяц назад

    Kwa kazi unazozifanya wewe huna mpinzani katika uchaguzi huu.
    Ila kiukweli namshukuru sana Mungu kutupa Mtanganyika mhimu kama wewe.
    Itoshe tu kusema Asante sana Mungu kutupa mtu kama wewe.
    Ila Serikali na taasisi nyingine za kimaamzi zijifunze mandamano ya Kenya. IPO SIKU na sisi WATANGANYIKA tutakujafanya maamzi magumu Kwa udhalimu huu unaofanywa siku Hadi siku. WATANGANYIKA wa siku hizi siyo mambumbumbu kama ilivyokuwa zamani. We know white and black.

  • @bonifasmashingia
    @bonifasmashingia Месяц назад +1

    Ivi Kinjekitile ngwale!.mtemi isike. Mkwawa and other freedom fighters wa Tz wakafufuka leo wakaona hii Tz ilivyo now na maovu yake !Unafikirii watawafanyia nini rulers?? Im not the fool and i cant rejoin with watu wa matumbo yao !! Instead i can work with people who have vision and volunteers and sio watu wakuagalia nini watapata kwa matumbo yao !! NATIONAL INTEREST FIRST THEN OPTIMISTIC PERSON INTERESTE LAKIN SERKALI YA SASA NI PERSONAL INTEREST FIRST THEN NDO INAKUJA LEAST BIASED IMPLEMENTATIONS OF GROUPED NATIONAL INTEREST NA SOMETIMES. NO IMPLEMENTATION ON IT !!OUR LATE FREEDOMS FIGHTER HAWAKUWA NA HII SPIRIT NA HII BAD SOUL AMBAYO MKO NAYO CCM RULERS !!THUS TUKAWA INDEPENDENT UNTIL NOW BUT CCM MNATURUDISHA *10 YA MKOLONI FEW MNATUKANDAMIZA MAJORITY WHY THIS CCM LEADERS??WE AWAITING TO DIE NOW !!PREACH AND practice right !! Tanzania ni mali ya umma na sio ya watu flani flanii!! NO QUITE AGAIN WE WILL SPEAK AND FIGHT FOR NEO CCM COLONISATION UNTIL MY LAST BREATH AND IM RAEDY FOR THAT !!IM WAITING FOR MY DUTIES AND TIME BY NOW!! TANZANIANS DONT SLEEP AGAIN BECAUSE OUR TERRITORY IS NOW BARGAINED AS BRIDE PRICE TO THE FEW FOOL NON ELITES WHILE ELITE WE ARE SEEING IT AND WE STILL SILENT !!,WE NEED HEAVILY PATRIOTIC SUPPORT AGAINST THIS SESSION OF INTERNAL LIBERATION OF OUR COUNTRY FROM FEW DECENT AND MONSTER LEADERS WHO WOUND OUR PROSPERITY AND BROKE THEM WE NEED READNESS OF ALL TANZANIAN WITHOUT ANY REGARDING CRITEA TANZANIAN ELITE AND NON ELITE TO RECONCILIATE AND START OUR EFFORTS OF OUR SECOND nationalization with our common slogan for our future better ness!!mtu msomi ambaye hasaidiii kupushi ustaw na maendeleo ya Taifa lake huyo kwangu ni foool na hafai kuitwa kiongozi wala kusimamia hata usafi wa chooni!!Watanzania wote bila kujali tofauti zetu ni time ya kulikomboa tena taifa letu kwa njia yeyote ile hata ya umwagikaji wa damu kama inawezekana!! Naona sana uchungu pale ninapooona ................hayaendi sawa pamoja na utajiri wa rasilimali tulionao alafu nikiangalia naona maisha ya watu flani hivi waliopo SERIKALIN JINSI MAISHA YAO YANAVYO NAWIRI KWA KUJIPAKULIA WENYEWE HII NATIONAL CAKE YA WATANZANIA WOTE!!!IM REGRET TO BORN IN TANZANIA BUT I WILL FIGHT FOR REEL TANZANIA I WANT

  • @saitotimollel8495
    @saitotimollel8495 Месяц назад

    Brother no retreat no quite fight until last breath. Tupo pamoja kaka.

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 Месяц назад

    🔥🔥

  • @atupegemwakahesya
    @atupegemwakahesya Месяц назад

    Nchi yetu imeoza Kila mahali. Sijui tukimbilie wapi! Haki haki imepotea.

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga Месяц назад

    ❤❤❤❤mwabukusi

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c Месяц назад +2

    Mwabukusu mm nakukubal sana wanakuogopa ila mm nina wazo hata kama ww huna naomba lichukue kagombee ubunge mwaka kesho nilijuta sana cku nimekuona green hurt arusha unakunywa chai nikaogopa kuja japo kukulipia kikombe cha chai nakukubal sanaaaaa

  • @daudigabriel9860
    @daudigabriel9860 Месяц назад +3

    Haki huinua Taifa 🇹🇿🇹🇿

  • @bensonjoseph8845
    @bensonjoseph8845 Месяц назад

    I stand with MWABUKUSI....

  • @SarahShao-jw1up
    @SarahShao-jw1up Месяц назад +10

    TLS inaelekea kuwa Organization ya kichawa....!!! TLS becoming USELESS 😢

  • @YusuphSeiph-t1p
    @YusuphSeiph-t1p 23 дня назад

    Safiiiii mimi nakuunga mkono toka mda tuuuu

  • @husseynzooh1979
    @husseynzooh1979 Месяц назад

    ✌️🔥

  • @JamesFrelimo-rz8ub
    @JamesFrelimo-rz8ub Месяц назад

    Nakukubari mkuu nipo nyuma yako

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho Месяц назад +1

    Nenda jimbon ungane chadema ili ungane na jeshi kubwa la chadema

  • @camilmlay3088
    @camilmlay3088 Месяц назад +2

    Yuko na we rafiki yetu mpenda haki

  • @magesadani9058
    @magesadani9058 Месяц назад

    This country is so difficult for sure it needs some people like you who's have enough courage.

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Месяц назад

    Mipango ya ccm. Tangu Rugemeleza ameachia ngazi hii TLS imebakia uchi,haina nguvu ipo ki serikali ya mapinduzi zaidi

  • @elickchaula858
    @elickchaula858 Месяц назад

    NAKUKUBALI SANA MWAMBA IPO SIKU KILA MTU ATAKUELEWA

  • @linogodson6478
    @linogodson6478 Месяц назад +2

    Tupo pamoja mkuu

  • @bonifasmashingia
    @bonifasmashingia Месяц назад

    ❤❤

  • @user-ml3eo8gx6k
    @user-ml3eo8gx6k 7 дней назад

    Una Akili nyingi saaaaaaaana

  • @ndaskoi8769
    @ndaskoi8769 Месяц назад +4

    Mkuu tuko pamoja na wewe mpaka waseme

  • @OscarBethel
    @OscarBethel Месяц назад

    Msema kweli hao mafisadi hawata kuachia kwasaba wanajua wewe ni mwiba kwao ukiingia TLS utwabana wanataka watu wao ndio wakae hapo

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Месяц назад +1

    TLS ni kichochoro cha baadhi ya mawakili kunyanyasi wananchi kwa kuuza haki zao. Wanashawishi wananchi kupeleka kesi mahakamani ikifika huko wanakula upande wa pili. Hivyo mwananchi kutumika kama daraja la kuwatafutia ulaji. Mkiona meseji hii waambieni wapunguze njaa wanachafua TLS.

  • @AndrewShayo-np1sy
    @AndrewShayo-np1sy Месяц назад

    Yes poapoa

  • @user-gw1df8cf2t
    @user-gw1df8cf2t Месяц назад +2

    Chama Cha kuwafukuza wamasai

  • @winstonmwalukasa831
    @winstonmwalukasa831 Месяц назад

    Watz tu pamoja nawe hon Mwabukusi

  • @MenelusCzar
    @MenelusCzar Месяц назад

    MUNGU ALIUMBA PEPO KWA WATU WEMA TUU🙏

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 Месяц назад

    Chombo kimoja tu kilichobaki vcha Watanganyika vingine vyote vimeporwa na Tanzania

  • @user-gw1df8cf2t
    @user-gw1df8cf2t Месяц назад +2

    Wapo wasio penda haki Kama hao wanao kubeza no ma mbwa tu

  • @noellema9109
    @noellema9109 Месяц назад