MARIOO : MIMI NARUKA NA MTOTO YOYOTE/ NAY WA MITEGO NDIO MIMI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
    𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
    𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
    𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
    𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
    𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
    𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
    𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
    𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 634

  • @hasanosiman3080
    @hasanosiman3080 4 года назад +85

    Huyo dereva bajaji ni anamuelewa Sana marioo

  • @johnmungulele5165
    @johnmungulele5165 4 года назад +106

    Tunaomtaka mbosso twende kwa like za kutosha

  • @selemanibididas3988
    @selemanibididas3988 4 года назад +47

    Tunamtaka mboso na rayvanny kwa kipindi

  • @ibrahimkhatibu4561
    @ibrahimkhatibu4561 4 года назад +20

    Kadada kazur ila saut ya mangekimambi😂😂😂

  • @samsonmtoba3514
    @samsonmtoba3514 4 года назад +131

    The killer Mario Fundiii MAKINI SANA ✅✅Twenzetu na like kibao kwa fundiiiiii Mario ✊

    • @WASHATube
      @WASHATube 4 года назад +1

      FULL STORI: USIYOJUA KUHUSU MBU, VIFO VIMEONGEZEKA 👇👇
      ruclips.net/video/kYqwzEktA8E/видео.html
      NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥

    • @tznature398
      @tznature398 4 года назад +1

      @Mbosso Official mambo??mboso

  • @mossesyulibilao5831
    @mossesyulibilao5831 4 года назад +119

    sema nn mashabiki awana utofauti na wajumbe😂

  • @lazarofrank3312
    @lazarofrank3312 4 года назад +20

    Mo town sanya nakukubali sana ila ubunifu uongezeke zaid na zaid ili kuwapa challenge wanaohojiwa .

  • @officialkhantz785
    @officialkhantz785 4 года назад +107

    naombeni like zAngu hapa
    👇👇

  • @thresherjordan6829
    @thresherjordan6829 3 года назад +8

    Wimbo ulinifanya nikampenda Mario ni dar kugumu Walah

  • @mrmangetown4323
    @mrmangetown4323 4 года назад +33

    Wahuni siku zote wapo real Sana, cheki mwendesha bajaji alivyo real tofauti na hawa wapaka poda wengine vigeugeu Sana.

  • @kassimkassim2783
    @kassimkassim2783 4 года назад +28

    motown sanya chombo kwa hewa wasafi tv

  • @musicapprentice6682
    @musicapprentice6682 4 года назад +59

    Nani mwingine kagundua Marioo is too shy but trying harder to pretend he isn't????😅
    😂😂😂😂
    🙌🇹🇿

  • @dicxonjohn8476
    @dicxonjohn8476 4 года назад +38

    Mm leo sio wakwanza wala sio wa mwisho 🔥🔥🔥

  • @yassirhernandez2667
    @yassirhernandez2667 4 года назад +8

    Wanawake wanakuja kutokana na Kipato 🚶🏿 🚶🏿 Mchizi kajua ilo baada ya kufanya kazi gesti 😁😁

  • @priskilamajengo8683
    @priskilamajengo8683 4 года назад +22

    Mario saa mbili mbili duhuu lakini Sanya uko juuu

  • @vndondendondev6531
    @vndondendondev6531 4 года назад +29

    😂😂😂😂😂 huyu simarioo huyu na mjua hawezi kuwa mtu meingine

  • @asmaselemani7561
    @asmaselemani7561 4 года назад +29

    We love kwa kile unacho fanya muhimu ni kuzidisha ubunifu ,long life bro

  • @dismasmboya544
    @dismasmboya544 4 года назад +20

    Dada mzuri ana sauti kama ya Godfrey monyo wa ITV

  • @elshaarawymuhabesh316
    @elshaarawymuhabesh316 4 года назад +12

    Bora kwa mboso wamejitahidi sana ...
    Piga kelele kwa mboso ake😁😁😁

  • @officialmrtop1018
    @officialmrtop1018 4 года назад +49

    Hahaha daah *Moo Town Sanya* kwa hichi kipindi ulitisha kwa kutuletea hichi kipindi daah mwezi huu wew ndo unapewa Gari

  • @maxmaizer4631
    @maxmaizer4631 3 года назад +3

    Sanya ww mwana ni bonge moja la host tz sasa nimekuelewa unaunyamwez kibao dadeki mjanja mdomon sana 😂eti marioo kaumuliwa na lavalava na lavalava mwenyewe uyap mwambie sasa jamaa nae ajui kitu 😂 asee

  • @sarahhamisi2070
    @sarahhamisi2070 4 года назад +16

    Marioo" sikuukitoanyimbo n'a mond itakuwa balaa' ilasualalakucheza jukwaani",niwengi hawajuikuchangamka"kama",mond

  • @b-creative4662
    @b-creative4662 3 года назад +2

    Mi namtaka mondi aje mtaani pia!!
    Sema wasanii wanawahi kutoka kwenye gari ili wasiumbuke!! 😝😝😝

  • @franknoah9502
    @franknoah9502 4 года назад +53

    Kama naww unapenda Hivi nikweli kama mm gonga like hapo👇👇

  • @linahmwikali4392
    @linahmwikali4392 3 года назад +4

    Marooo .....chaliii mhandie😍 lolfrm 🇰🇪🇰🇪nairobi

  • @kidnationtz178
    @kidnationtz178 4 года назад +22

    Yani me ningeona hilo tukio hilo ningealibu interview 😂😂 Sio kwa mipicha nitakayomshibokea marioo

  • @aisha-ro5fr
    @aisha-ro5fr 4 года назад +19

    Uyu Motown bnaa eti kibegi😂ndo nyimbo gani

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 4 года назад +4

    ila Sanya jamani kwann mtafanya watu kama mazuzu 🤣🤣🤣arafu marioo kashindwa kumpa huyo kaka ata buku khaa

  • @naimamunishi1241
    @naimamunishi1241 4 года назад +14

    Gongabte hatariiiii kwel😂😂😂

  • @priscamaina4176
    @priscamaina4176 4 года назад +36

    Namkubal sana marioo love from Kenya,,

  • @asmaselemani7561
    @asmaselemani7561 4 года назад +13

    Sanya umetisha Sanaa bro

  • @musicapprentice6682
    @musicapprentice6682 4 года назад +22

    Waaasafiiii😍💞

  • @theophilyyona9940
    @theophilyyona9940 4 года назад +17

    oi sanya muuni hamjamtoa ela ya kahawa daa str nyingi

  • @dicxonjohn8476
    @dicxonjohn8476 4 года назад +35

    Sanya huendi mbinguni..😅😅kibe changu

  • @paschalmasaba2472
    @paschalmasaba2472 4 года назад +29

    marioo...the guy gives us the definition of what good music is

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho4342 4 года назад +20

    Wangapi huwa Wana Forward Hadi kwenye Gonna beat alafu baadae ndio wanakuja kuwaangalia na wajumbe 😝😝😝😝

  • @diamondplatnumz5598
    @diamondplatnumz5598 4 года назад +10

    duuuhh kuna mtoto mkal nimemuona hapo gong bit noma sana😇🔥🔥

  • @taifakubwa4299
    @taifakubwa4299 4 года назад +6

    kama kuna m2 kaskia amnaizi gonga like twende

  • @tinajames1608
    @tinajames1608 4 года назад +9

    Mchaga mchaga tu.mo town sanya.hizo T-SHIRT zako mie hoi kwakweli.i ❤yu,mo town sanya

  • @goldminerals3149
    @goldminerals3149 4 года назад +2

    Huyo jamaa mwenye kofia na shati la draft Ana mahaba ya dhati na Marioo na nilijuwa Marioo angeingia mfukoni hata akampoza na 50k...shame on you Marioo!!!

  • @ashaally6662
    @ashaally6662 4 года назад +3

    😂😂😂😂😂😂😂hiki kipindi jamn

  • @omarihamisi2186
    @omarihamisi2186 4 года назад +43

    Kama ulikutana na coment ya wa2 wanamtaka mrioo 😂

  • @evaratv5664
    @evaratv5664 3 года назад +2

    Tishaaaaa marioo

  • @barakayohana6021
    @barakayohana6021 4 года назад +25

    Leo more town umechelewa kidogo kutuletea ndugu yangu, Umeamua utuletee pindi letu saa 5,wakati tumezoea mapema tu

  • @victormoshi8400
    @victormoshi8400 4 года назад +32

    Moja ya waandishi wazuri waliowahi kutokea kwenye mziki wa bongo fleva na anakiwasha haswaaaa n huyu. Heshima yote iko kwako mwamba. Sema MARIOOOOOO

    • @jibwaclasicc
      @jibwaclasicc Год назад

      Ongera mkal komaa ooih king of bad

  • @yunyun799
    @yunyun799 4 года назад +30

    Daaah marioo ungempa hata buku huyo broo 😂😂anaye piga debe umemuacha kaondoka mkavu ila gonga beat ndio mpango mzimaa🔥🔥😂like👇

  • @priscarmilambo3474
    @priscarmilambo3474 4 года назад +14

    Kwenye gonga beart patamuu sanaaa

  • @priscarmilambo3474
    @priscarmilambo3474 4 года назад +11

    Marioo unatishaa kizazi

  • @danielicosmas137
    @danielicosmas137 4 года назад +3

    Oya sanya tunapenda sana kuwa sapoti pia tunaomba muwaambie wsaniii wenu wasiwe wanawai kutok ndan ya mar mpka jmaaa aongee mabya na mazur wasiwe wanawai kutoka

  • @roman2270
    @roman2270 4 года назад +25

    Kwani ukisema nyimbo huijui kuiimba unakonda 🤣🤣🤣
    Anyway pindi kali.... maubunifu mengi... Keep it up Mo town Sanya.
    Ila ukija na aidia nyingine itakupoa zaidi . Soon hiyo ya kugonga beat tutaiyona ya kawaida .
    #MotownSanya.

  • @jansidorkas2749
    @jansidorkas2749 4 года назад +6

    Kwa kweli mimi hupenda wasafi juu ya show ya sanya

  • @musicapprentice6682
    @musicapprentice6682 4 года назад +11

    Pisi kali but sings makorokocho😢😳

  • @gaferejustin1344
    @gaferejustin1344 4 года назад +12

    😂😂😂😂😂uyu kk noma sn

  • @johnmungulele5165
    @johnmungulele5165 4 года назад +13

    Tumtaka kilungi kwa kipindi

  • @fhvbvgkvgc8073
    @fhvbvgkvgc8073 3 года назад +5

    Mashallah Sanya kazi anaijua big up xaana bro, love from KENYA.

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 4 года назад +4

    Big up sanya🍋🍒🍐🥝🍉🍎🍅🍏🔥🍈🍊🍌🍓🍇🥥🍍🥭🇹🇿🇹🇿👏👏👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿.wcb for life.

  • @naimahhussein8430
    @naimahhussein8430 4 года назад +7

    🤣😂😂😂😂😂😂maboko leo km yoteeee

  • @doreendamas5374
    @doreendamas5374 4 года назад +11

    Marioo nampenda sanaaa

  • @Emmy20233
    @Emmy20233 3 года назад +3

    😂huyu dada wa singlendi achaa🤣😂

  • @sherrysalim50
    @sherrysalim50 4 года назад +41

    Hichi kipindi utamu wake upo kwenye gonga beats 😂😂🤣🤣🤣

  • @eldadyabraham2810
    @eldadyabraham2810 4 года назад +34

    Bongo bila unafki hatuendi 😂😂😂😂

  • @selemanibididas3988
    @selemanibididas3988 4 года назад +8

    Hapo kwenye kuneng'emua huyo demu kaniuaaa kabisa

  • @praxedadominic5193
    @praxedadominic5193 4 года назад +4

    Kibegi changuu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @officialmamboleo1535
    @officialmamboleo1535 3 года назад +2

    nakubali more town sanya wauni wanatoa maboko sana

  • @johnemanuel2856
    @johnemanuel2856 3 года назад +3

    Ujuzi wangu mimi ni kupikia wazungu 😀😀😀 Bongo siondoki kamwe 😀😀😀😀😀😀

  • @junuferjinu1444
    @junuferjinu1444 4 года назад +8

    Weeeeeeeeeeeeeeddd vibogoyooooooooooooo😂😂😂

  • @enyasianderson4394
    @enyasianderson4394 3 года назад +1

    Hahahahaa mariooo anajua sema shabik zake mnafel inamaaana hamjui marioo kwl co pw but mrioo me ni mmoja wa shabik ako ambay una niinspire xanaaa kimziki na mm natamani kuwa kama ww

  • @waheedahtanzania5884
    @waheedahtanzania5884 4 года назад +4

    😂wallahi hali mbaya tupo hapa hata hela yakahawa tutapata kwa kiongozi wetu marioo 😃Elimu yangu nikupikia wazungu😂Swali la marioo sasa umekwama wapi?😂😂

  • @fatimaabdulla1320
    @fatimaabdulla1320 4 года назад +4

    Ao wengine wezangu na mm bendera tu yafuata upepo

  • @bboy2560
    @bboy2560 4 года назад +10

    Hivi ni kweli marioo anataka kujinyonga Mimi mars

  • @wanderenyeura9011
    @wanderenyeura9011 4 года назад +5

    Gonga beat,atapigana na Gerald haaaaha

  • @roman2270
    @roman2270 4 года назад +25

    Wasafi.... the Business Brand.
    💥💯

  • @abdulkadirali9349
    @abdulkadirali9349 3 года назад +2

    Sina smu nina Kiswanswadu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @YOBOYSADIO
    @YOBOYSADIO 4 года назад +16

    Kwa wale wapenzi wanao penda kutazama the story hii ndio account mpya ya the story book video zitakuwa zina postiwa kila siku fanya kusubscribe ili usipitwe

  • @saimonchizery1892
    @saimonchizery1892 4 года назад +4

    Namkubali san mariooo ila nataman aende wcb apanuke yaan yule akitua pale harmonize hafati

  • @emmanueloinoth
    @emmanueloinoth 3 года назад +2

    🤣🤣🤣🤣. Namkubali Sana lavalava

  • @patricemacky1164
    @patricemacky1164 4 года назад +3

    Sitisha hii tabia ya kutuaibishia wazee wetu tutakuja tulaumiane bure mo sanya😂😂😂😂.

  • @kelvinmurimi8098
    @kelvinmurimi8098 3 года назад +2

    Uko vizuri marioo na dua nakuombea mbele uzidi songa ....

  • @patrisiaandrea4208
    @patrisiaandrea4208 3 года назад +1

    Ilove my brodher marioo sapot kwako unajuasana

  • @dicksonmarko7926
    @dicksonmarko7926 4 года назад +18

    Chalii Mo town Sanya ni bonge la presenter aiseehh

  • @eldadyabraham2810
    @eldadyabraham2810 4 года назад +20

    Mbona mwana kasema atapigana geradi😂😂😂😂😂

  • @sarahnoah7044
    @sarahnoah7044 4 года назад +2

    Sanya mungu anakuona😂😂😂😂

  • @hassanmapenzi6188
    @hassanmapenzi6188 4 года назад +1

    Sanya mm naomba tu usiwe unachanganya mashabiki kwa kuwa ambia ngoma ambazo si zao huwe una wacha ye mwenyewe afeli kulko kumfelisha

  • @abuurashid7708
    @abuurashid7708 4 года назад +2

    Dah sisi wabongo kujifanya wajua 2nazngua sana kama hujui siunaacha 2 m2mzima unaonekana ki2ko kwa ujuaji dah 2ache bhana

  • @malackwilliam4235
    @malackwilliam4235 4 года назад +11

    Hahahaha afu we mwanangu unaZingua eti Mungu akuweke daaah!!!

  • @muktarmashukura950
    @muktarmashukura950 3 года назад +1

    Marioo "Wasafi mafundi nyumba" anamaanisha ni masons

  • @swamidaramadhani2981
    @swamidaramadhani2981 3 года назад +1

    Jamani tatizo nn wasafi FM mwanza!?

  • @drroble.gurhan3594
    @drroble.gurhan3594 3 года назад +2

    Eti harmonize jinga mwezengu.

  • @yassintafanuely3779
    @yassintafanuely3779 3 года назад +1

    Mario ukitaka kumuelewa we achwa kwanza utamuelewa bila kuulizwa

  • @DjmubaTechServices
    @DjmubaTechServices 4 года назад +2

    hawa wengine wanajua kama yupo 😂 ndo maana wanajipeleka

  • @ibrahimhassan7571
    @ibrahimhassan7571 3 года назад +1

    Nakukubali broo saana Allah akuzidishiye ila mimi sitaki ujiunge na wasafi

  • @prince_danntz2071
    @prince_danntz2071 3 года назад +1

    Mo Sanya Mungu anakuona😂😂😂😂😂😂😂😂 et kibegi changu

  • @prince_danntz2071
    @prince_danntz2071 3 года назад +3

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nimemsikia Marioo,, "Huyo lavalava ajichanganye kweli"😁😁😁😁😁😁

  • @fatumamohammed7082
    @fatumamohammed7082 4 года назад +2

    Habari zenu nimefiwaa na mume wangu naomba dua kutoka kwenu ameniachia watoto watatu wakiume dua zenu kwangu ni faraja Ana wikitangu afe

  • @salamanauthartanzania6301
    @salamanauthartanzania6301 3 года назад +1

    Sanya unavituko itabidi upewe tuzo wasafi

  • @anuarabdullrahman5993
    @anuarabdullrahman5993 4 года назад +5

    Sanya kubabakoooo 🤣🤣🤣🤣🤣 ety Emanuel mtoto wa ima

  • @bonnysureolkokolaboy4342
    @bonnysureolkokolaboy4342 4 года назад +17

    Ohya nyie wasanii muwe mnawatoa mashabiki kitu kidogo ahsee hata buku

  • @ibrahimkiputa1004
    @ibrahimkiputa1004 3 года назад +1

    Kaman Motown sanya tunawaomba na mkoani kama mbeya

  • @bajosdamour2347
    @bajosdamour2347 4 года назад +9

    Hahahahahahaja watanzania bana mnaweza muuwa mtu kwacheko🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @elshaarawymuhabesh316
    @elshaarawymuhabesh316 4 года назад +6

    Mo town sanya