MARIOO : MIMI NARUKA NA MTOTO YOYOTE/ NAY WA MITEGO NDIO MIMI
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Huyo dereva bajaji ni anamuelewa Sana marioo
kweli kbsaaaa
Tunaomtaka mbosso twende kwa like za kutosha
Oyaaa tssha saan
Kabisa
Tunamtaka mboso na rayvanny kwa kipindi
Kadada kazur ila saut ya mangekimambi😂😂😂
The killer Mario Fundiii MAKINI SANA ✅✅Twenzetu na like kibao kwa fundiiiiii Mario ✊
FULL STORI: USIYOJUA KUHUSU MBU, VIFO VIMEONGEZEKA 👇👇
ruclips.net/video/kYqwzEktA8E/видео.html
NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥
@Mbosso Official mambo??mboso
sema nn mashabiki awana utofauti na wajumbe😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😆😆😂😂😂😂
Kbs😁
Kabisa
Mo town sanya nakukubali sana ila ubunifu uongezeke zaid na zaid ili kuwapa challenge wanaohojiwa .
naombeni like zAngu hapa
👇👇
Ww sio
Kipindi safiii
Wewe
nakubali sana ibra
Worry
Wimbo ulinifanya nikampenda Mario ni dar kugumu Walah
Wahuni siku zote wapo real Sana, cheki mwendesha bajaji alivyo real tofauti na hawa wapaka poda wengine vigeugeu Sana.
motown sanya chombo kwa hewa wasafi tv
Nani mwingine kagundua Marioo is too shy but trying harder to pretend he isn't????😅
😂😂😂😂
🙌🇹🇿
😃
Kweli kabisa anaaibu sana ila anakaza
@@monicasamwel9863 atakua bikra😂🙈
😂😂😂kwel
@@mossesyulibilao5831 r he needs q1aqd free j
Mm leo sio wakwanza wala sio wa mwisho 🔥🔥🔥
Uko kati kati kama k
Wanawake wanakuja kutokana na Kipato 🚶🏿 🚶🏿 Mchizi kajua ilo baada ya kufanya kazi gesti 😁😁
Mario saa mbili mbili duhuu lakini Sanya uko juuu
😂😂😂😂😂 huyu simarioo huyu na mjua hawezi kuwa mtu meingine
We love kwa kile unacho fanya muhimu ni kuzidisha ubunifu ,long life bro
Dada mzuri ana sauti kama ya Godfrey monyo wa ITV
😂😂😂😂 wewe muogope Mungu hahaaaaa
@@immanueljohn2672 😂😂😂😂😂
ruclips.net/video/bU4s7eZTgU0/видео.html
😂😂😂😂😂
😂😂
Bora kwa mboso wamejitahidi sana ...
Piga kelele kwa mboso ake😁😁😁
Hahaha daah *Moo Town Sanya* kwa hichi kipindi ulitisha kwa kutuletea hichi kipindi daah mwezi huu wew ndo unapewa Gari
Nakupenda ww kaka dah
huyo dereva bajaj ndo anamkubal hao wengine miyeyusho
Sanya ww mwana ni bonge moja la host tz sasa nimekuelewa unaunyamwez kibao dadeki mjanja mdomon sana 😂eti marioo kaumuliwa na lavalava na lavalava mwenyewe uyap mwambie sasa jamaa nae ajui kitu 😂 asee
Marioo" sikuukitoanyimbo n'a mond itakuwa balaa' ilasualalakucheza jukwaani",niwengi hawajuikuchangamka"kama",mond
Mi namtaka mondi aje mtaani pia!!
Sema wasanii wanawahi kutoka kwenye gari ili wasiumbuke!! 😝😝😝
Kama naww unapenda Hivi nikweli kama mm gonga like hapo👇👇
Wabongo wanafiki sana 😁😁😁😁😁😁
Marooo .....chaliii mhandie😍 lolfrm 🇰🇪🇰🇪nairobi
Yani me ningeona hilo tukio hilo ningealibu interview 😂😂 Sio kwa mipicha nitakayomshibokea marioo
Uyu Motown bnaa eti kibegi😂ndo nyimbo gani
Kibag ni nyimbo ya country boy
ila Sanya jamani kwann mtafanya watu kama mazuzu 🤣🤣🤣arafu marioo kashindwa kumpa huyo kaka ata buku khaa
Gongabte hatariiiii kwel😂😂😂
Namkubal sana marioo love from Kenya,,
Diamond is.
Mwambie
Sanya umetisha Sanaa bro
Waaasafiiii😍💞
oi sanya muuni hamjamtoa ela ya kahawa daa str nyingi
Sanya huendi mbinguni..😅😅kibe changu
Fire
marioo...the guy gives us the definition of what good music is
Wangapi huwa Wana Forward Hadi kwenye Gonna beat alafu baadae ndio wanakuja kuwaangalia na wajumbe 😝😝😝😝
Itakua uko pekeyako
Mpo 15
N wewe na Bibi ako boya wewe
😆😆😆wabongo noma aisee
😅😅😅😂
duuuhh kuna mtoto mkal nimemuona hapo gong bit noma sana😇🔥🔥
🤣
kama kuna m2 kaskia amnaizi gonga like twende
Mchaga mchaga tu.mo town sanya.hizo T-SHIRT zako mie hoi kwakweli.i ❤yu,mo town sanya
Huyo jamaa mwenye kofia na shati la draft Ana mahaba ya dhati na Marioo na nilijuwa Marioo angeingia mfukoni hata akampoza na 50k...shame on you Marioo!!!
Wasanii hamna pesa
@@mustaphahassan589 😁
😂😂😂😂😂😂😂hiki kipindi jamn
Kama ulikutana na coment ya wa2 wanamtaka mrioo 😂
Tishaaaaa marioo
Leo more town umechelewa kidogo kutuletea ndugu yangu, Umeamua utuletee pindi letu saa 5,wakati tumezoea mapema tu
Moja ya waandishi wazuri waliowahi kutokea kwenye mziki wa bongo fleva na anakiwasha haswaaaa n huyu. Heshima yote iko kwako mwamba. Sema MARIOOOOOO
Ongera mkal komaa ooih king of bad
Daaah marioo ungempa hata buku huyo broo 😂😂anaye piga debe umemuacha kaondoka mkavu ila gonga beat ndio mpango mzimaa🔥🔥😂like👇
Kwenye gonga beart patamuu sanaaa
Kweli
@@maryjulius7014 Mary julias ..... Upo
ruclips.net/video/bU4s7eZTgU0/видео.html
Marioo unatishaa kizazi
Umeonahh eeh yupo gud
Oya sanya tunapenda sana kuwa sapoti pia tunaomba muwaambie wsaniii wenu wasiwe wanawai kutok ndan ya mar mpka jmaaa aongee mabya na mazur wasiwe wanawai kutoka
Kwani ukisema nyimbo huijui kuiimba unakonda 🤣🤣🤣
Anyway pindi kali.... maubunifu mengi... Keep it up Mo town Sanya.
Ila ukija na aidia nyingine itakupoa zaidi . Soon hiyo ya kugonga beat tutaiyona ya kawaida .
#MotownSanya.
Ila Wabongo mna towa maboko sana
Kwa kweli mimi hupenda wasafi juu ya show ya sanya
Pisi kali but sings makorokocho😢😳
😂😂😂😂😂uyu kk noma sn
Tumtaka kilungi kwa kipindi
Mashallah Sanya kazi anaijua big up xaana bro, love from KENYA.
Big up sanya🍋🍒🍐🥝🍉🍎🍅🍏🔥🍈🍊🍌🍓🍇🥥🍍🥭🇹🇿🇹🇿👏👏👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿.wcb for life.
🤣😂😂😂😂😂😂maboko leo km yoteeee
Marioo nampenda sanaaa
😂huyu dada wa singlendi achaa🤣😂
Hichi kipindi utamu wake upo kwenye gonga beats 😂😂🤣🤣🤣
Sana 😂😂😂
😅😅alooooh sana yaan
Bongo bila unafki hatuendi 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Umeona eeeee
Hapo kwenye kuneng'emua huyo demu kaniuaaa kabisa
Kibegi changuu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
nakubali more town sanya wauni wanatoa maboko sana
Ujuzi wangu mimi ni kupikia wazungu 😀😀😀 Bongo siondoki kamwe 😀😀😀😀😀😀
Dear ex Nina ipenda sana
Weeeeeeeeeeeeeeddd vibogoyooooooooooooo😂😂😂
Hahahahaa mariooo anajua sema shabik zake mnafel inamaaana hamjui marioo kwl co pw but mrioo me ni mmoja wa shabik ako ambay una niinspire xanaaa kimziki na mm natamani kuwa kama ww
😂wallahi hali mbaya tupo hapa hata hela yakahawa tutapata kwa kiongozi wetu marioo 😃Elimu yangu nikupikia wazungu😂Swali la marioo sasa umekwama wapi?😂😂
😂😂😂😉😉😉 yani nimeceka kama lofa
@@wallasfoundation2389 Mie ndo hoi huku mbavu zangu wallahi
ruclips.net/video/bU4s7eZTgU0/видео.html
@@wallasfoundation2389 😆
Ao wengine wezangu na mm bendera tu yafuata upepo
Hivi ni kweli marioo anataka kujinyonga Mimi mars
Gonga beat,atapigana na Gerald haaaaha
Wasafi.... the Business Brand.
💥💯
Sina smu nina Kiswanswadu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwa wale wapenzi wanao penda kutazama the story hii ndio account mpya ya the story book video zitakuwa zina postiwa kila siku fanya kusubscribe ili usipitwe
In luv with the story book
Saw saw understood
Namkubali san mariooo ila nataman aende wcb apanuke yaan yule akitua pale harmonize hafati
Weeee achana na Tembo hakuma panya yoyote anaye mfikia
🤣🤣🤣🤣. Namkubali Sana lavalava
Sitisha hii tabia ya kutuaibishia wazee wetu tutakuja tulaumiane bure mo sanya😂😂😂😂.
Uko vizuri marioo na dua nakuombea mbele uzidi songa ....
Ilove my brodher marioo sapot kwako unajuasana
Chalii Mo town Sanya ni bonge la presenter aiseehh
Mbona mwana kasema atapigana geradi😂😂😂😂😂
Sanya mungu anakuona😂😂😂😂
Sanya mm naomba tu usiwe unachanganya mashabiki kwa kuwa ambia ngoma ambazo si zao huwe una wacha ye mwenyewe afeli kulko kumfelisha
Ananogesh
Dah sisi wabongo kujifanya wajua 2nazngua sana kama hujui siunaacha 2 m2mzima unaonekana ki2ko kwa ujuaji dah 2ache bhana
Hahahaha afu we mwanangu unaZingua eti Mungu akuweke daaah!!!
Marioo "Wasafi mafundi nyumba" anamaanisha ni masons
Jamani tatizo nn wasafi FM mwanza!?
Eti harmonize jinga mwezengu.
Mario ukitaka kumuelewa we achwa kwanza utamuelewa bila kuulizwa
hawa wengine wanajua kama yupo 😂 ndo maana wanajipeleka
Nakukubali broo saana Allah akuzidishiye ila mimi sitaki ujiunge na wasafi
Mo Sanya Mungu anakuona😂😂😂😂😂😂😂😂 et kibegi changu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nimemsikia Marioo,, "Huyo lavalava ajichanganye kweli"😁😁😁😁😁😁
Habari zenu nimefiwaa na mume wangu naomba dua kutoka kwenu ameniachia watoto watatu wakiume dua zenu kwangu ni faraja Ana wikitangu afe
Pole sana dada
@@hasnasaif1075 nishapoa
Polee
@@Malesa255..1 nimeshapoa
Naomba u subuscriber account yangu kwa music muzur
Sanya unavituko itabidi upewe tuzo wasafi
Sanya kubabakoooo 🤣🤣🤣🤣🤣 ety Emanuel mtoto wa ima
😅😅😅😅
Ohya nyie wasanii muwe mnawatoa mashabiki kitu kidogo ahsee hata buku
Kwel kbs
sana🔥🔥
Kaman Motown sanya tunawaomba na mkoani kama mbeya
Hahahahahahaja watanzania bana mnaweza muuwa mtu kwacheko🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mo town sanya