tulienda nusunusu kwa fitna za yule mnafiki mfitinishaji na mwenye tama Chama,ila asaivi hayupo kila kitu kitaenda sawa kwa uwezo wake Allah Subhana llahtaala Insha Allah.simba nguvu moja❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ndio maana hizi club haziwapi taarifa za waandishi na wachambuzi wa Bongo kwa sabb wanapenda kuamini badala ya kuchukua kwenye taasisi,ndo waandishi wa Ghana na nchi zingine wanapewa taarifa za kweli kutoka kwenye vilabu vikubwa
😂😂 Hivi mnawafahamu wasafi? Hawa jmaa ni genge la vijiweni km magenge mengine, ukiwasikia vzr kiumakini Wana kejeri fln hiv especial wakiiongelea Simba... Crown is the best TV in town
tulienda nusunusu kwa fitna za yule mnafiki mfitinishaji na mwenye tama Chama,ila asaivi hayupo kila kitu kitaenda sawa kwa uwezo wake Allah Subhana llahtaala Insha Allah.simba nguvu moja❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hamna wachambuzi wasafi ni mashabiki kama sisi tu yaani waandishi wa miaka hii ni mashabiki tu kama mashabiki wengine tu
Uchambuzi mzuri unauzingatie taarifa kutoka kwa msemaji mwenye na sio kumwekea maneno mdomoni
Hawa jamaa kama wanawake yani hawonekani kuwa niwachambuzi ila wapo kama chawa wenginetu
Wasafi acheni ushabiki kuweni neutral
Ila huyo job simpendagi,
Man united wamesema kocha hatasajili mojakwamoja
Mbona hamjawasema sina iman na uchambuzi wenu
Kwani wew ukikataa kama kocha kahusika inasaidia nini, wew unaambiwa hutakaki, uyanga ndiyo unawasumbua
Ndio maana hizi club haziwapi taarifa za waandishi na wachambuzi wa Bongo kwa sabb wanapenda kuamini badala ya kuchukua kwenye taasisi,ndo waandishi wa Ghana na nchi zingine wanapewa taarifa za kweli kutoka kwenye vilabu vikubwa
km sio kwel nyiny ndo munaujuwa ukwel
😂😂 Hivi mnawafahamu wasafi? Hawa jmaa ni genge la vijiweni km magenge mengine, ukiwasikia vzr kiumakini Wana kejeri fln hiv especial wakiiongelea Simba... Crown is the best TV in town
Duniyaiiyaleobado tomasowapowengi acheniushabik
kuweni civilized wasafi;mko so negative na Simba ,,
Sema wasafi mnakuaga kama wajinga we umeambiwa kocha kahusika we unasema apana bas ww ndo umehusika
Ww unauwezo wakufikir wachezaj na kocha nan ameanza kusajiliw mpaka hausike
Huwa wanazingua sana