PROFESSOR[3]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2025

Комментарии • 792

  • @isayamwanjoka3958
    @isayamwanjoka3958 17 дней назад +11

    Waooh huku my daughter, Dunia, Professor, Mpangaji.....Jini sariat ya kp....huu mwaka safiii sana

  • @chadomasta-f6p
    @chadomasta-f6p 19 дней назад +126

    vizur kbs ndungu zangu tuzidi kumsapot kipara sheria ni ilele atu bagui atuchambi wauni eeeh masella 😢eeeeh😂😂😂😂

    • @J74251
      @J74251 19 дней назад +3

      Tuko pamoja chado master 🎉❤🎉❤🎉❤🎉

    • @pavengara1712
      @pavengara1712 19 дней назад +3

      Kaka

    • @HenriquesAliguene
      @HenriquesAliguene 19 дней назад +3

      Tupo pamoja masta nakukubali sana from Moçambique

    • @HenriquesAliguene
      @HenriquesAliguene 19 дней назад +2

      Wauni eeeeeeee😂😂😂😂😂

    • @ClintonAbeli
      @ClintonAbeli 19 дней назад +1

      Haipingwi Master

  • @RemmyKeshComedy
    @RemmyKeshComedy 19 дней назад +79

    Huyu kipara anakuja vizuri sana kana unamkubali kipara gonga like

  • @ThomasWilliam-k5h
    @ThomasWilliam-k5h 18 дней назад +7

    Hongera sana Kipara hakika kazi yako ni nzuli sana Mungu akiongezea nguvu uzidi kutupatia burudani

  • @NneKasoro-f8o
    @NneKasoro-f8o 19 дней назад +30

    NYIEEEEEE KUMEKUCHAAAAA😅😅😅😅 Mpeni Maua yake huyu PROFESSOR🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @malichanda3146
    @malichanda3146 19 дней назад +14

    Muarabu za kuadimika atimaye kipara kakurudisha kazini ❤❤❤❤

  • @ChristianRugenge
    @ChristianRugenge 19 дней назад +9

    Kipara kama professor una itaji kupewa zawadi kwa kazi unayo fanya kabisa gonga like kama una kubali kazi ya kipara

  • @heriethgodfreyhegoxa5551
    @heriethgodfreyhegoxa5551 19 дней назад +7

    KIPARA WANAMAN KAPIGWA KAFIKA FOROZANI Zanzibar😂😂😂😂😂 Nakupendra kipara mwaya🎉❤❤❤❤❤

    • @beautifulafrica6886
      @beautifulafrica6886 13 дней назад

      😂❤😂❤😂❤😂❤😂❤😂❤😂❤😂❤😂❤🎉❤😂❤😂❤🎉❤😂❤😂❤🎉nihatariii

  • @AugustinoNetto
    @AugustinoNetto 18 дней назад +9

    We kiparaa weeh umepigaje apoo😂😂

  • @MarkOlubayo
    @MarkOlubayo 19 дней назад +7

    Kazi nzuri sana Wana Sandra. Saluti kwenu. Mkenya mimi.❤❤❤❤❤❤❤😢🎉🎉🎉🎉🎉😊

  • @IllhamMakagula
    @IllhamMakagula 19 дней назад +6

    Haahahhaha huy mwarabu nae 😂😂😂 mbona fya2uuuu😅😅😅

  • @priencedamdoek508
    @priencedamdoek508 19 дней назад +14

    Movie iko vizuri lakini rekebisha back sound ipo juu sana, na mkuu arekebishe rafudhi zake hazieleweki kwa baadhi ya maneno. Ila kwa ujumla Big up Kipara brand❤❤

    • @JanethMzava
      @JanethMzava 19 дней назад

      Inabidi utafte mpare akutafsirie

    • @KevinBario-j5n
      @KevinBario-j5n 19 дней назад

      Bnae nyinyi ndo watu mnatuchosha mbona usi act yko yakueleweka

  • @PizzoMelody2
    @PizzoMelody2 19 дней назад +5

    Hahahahha faza me nafatilia professor kwaajiliako mzee wangu mpale nakubali unatuwakilisha vema zaidi 🫡🫡🫡🫡🫡

  • @Dullymsafii
    @Dullymsafii 19 дней назад +11

    Umetishaa sanaa 🎉🎉🎉 kipara jaivaa aweeee😅😅

  • @AshuraHassan-w3s
    @AshuraHassan-w3s 19 дней назад +5

    😅😅😅kipara paaaaaaa mpk zanzibar km ningekuja kukuona

  • @Mumfortune
    @Mumfortune 19 дней назад +5

    Mungu siku zote 🙏 🙏🙏 kipara tia bidii it's your time to shine ❤❤❤❤❤❤❤

  • @omarsultan4502
    @omarsultan4502 19 дней назад +18

    Kipara noma jamaa amekupiga chuma mpk zanzibar forodhan noma sana uchawi kwl upo😅😅😅

  • @AminaSikwala
    @AminaSikwala 19 дней назад +3

    Hiyo kimbola kwa professor mbona noma😂😂😂😂😂

  • @isayamwanjoka3958
    @isayamwanjoka3958 18 дней назад +5

    Kipara kumbe ukiacha tabia za umbeya wew ni bonge la star hii imeenda hewan

  • @WAMBOZIMUSICS-p6o
    @WAMBOZIMUSICS-p6o 19 дней назад +11

    Yule jamaa na nurse😅😅😅😅

  • @Badotukoproduction
    @Badotukoproduction 13 часов назад +1

    Hongera Sana kipara usisahau vijana Mombasa shikaadabu...tunakujali.....NDANI BADO tuko production

  • @FaithNdinda-f9t
    @FaithNdinda-f9t 19 дней назад +5

    Yaani naipenda professor maana ina master wangu kweli Sandra na kipara❤❤❤❤

  • @TINBLACKFILM
    @TINBLACKFILM 19 дней назад +7

    Mungu akuzidishie tajiri yangu kazi nzur sana twende kazi❤❤❤❤❤❤

  • @imaxshine2210
    @imaxshine2210 19 дней назад +2

    Professor you kill it dadeq, Tamthilia tam saana

  • @khamishaji4553
    @khamishaji4553 19 дней назад +5

    😂😂😂😂 hii umeuwaaa kujaaa zenji ahhh zenji kama zenji gonga like nakubal kipalaaa munasema uk dar sis kiparaa

  • @mgogokagongo1387
    @mgogokagongo1387 18 дней назад +3

    Daaah nimependa ness alivovuta mpunga huo😂😂😂😂

  • @Mama_ngwengwe
    @Mama_ngwengwe 19 дней назад +8

    Weka like kipenzi cha mission impossible
    Mama ngwengwe nipo live 🎉🎉🎉

  • @TonyCristy-j6e
    @TonyCristy-j6e 18 дней назад +3

    Kazi nzuri saanaa 🤔 na Leo mimi wakwanza kutoka Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 naombeni like 👍🔥❤️💐🍎🥀💝🥀💝💔🌹🌹🌹

  • @MarluciDaEsperanca
    @MarluciDaEsperanca 19 дней назад +11

    Yani nimesubiry saana,
    Naomba like yangu.
    From Moz 🇲🇿👌

  • @NasraSeif-q9d
    @NasraSeif-q9d 13 дней назад +1

    Allah akuongezee kwenye kazi zako na mpate kuelewana na clam Ili mtupe vtu vzr

  • @Tunusugar
    @Tunusugar 19 дней назад +2

    Kaz nzur sana napenda kumuona hyu dada alompambania mume wake mpaka kapona❤🎉

  • @paulinekatisho5459
    @paulinekatisho5459 19 дней назад +4

    Hongereni kwakazi zenu Mungu azidi kuwapa mweelekeo🎉🎉🎉from 🇰🇪

  • @danielbandudechris
    @danielbandudechris 18 дней назад +3

    Kipira ume kuwa sass😂
    Séries ya mizuri sana bro, Big up

  • @VictorineKavira
    @VictorineKavira 18 дней назад +1

    Kipara bonne chance🇨🇩🇨🇩 RDC

  • @sashaamoha
    @sashaamoha 18 дней назад +3

    Wachawi n bash yao 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @ZalhaMbarka
    @ZalhaMbarka 17 дней назад +6

    kutoka tanzania bara mpaka zenji❤❤❤❤❤

  • @Giftbugalama
    @Giftbugalama 19 дней назад +3

    Daah hii movie nimeipenda gafla ❤ kama wahindi vile, kipara family hongereni sana🎉🎉❤

  • @Maherzain_Tz
    @Maherzain_Tz 14 дней назад +2

    Aah mwamba DOCTOR STRANGE 😂😂

  • @fatmamohammed8346
    @fatmamohammed8346 17 дней назад +3

    Yule mchawi kiboko kombora moja kaangukia Zanzibar professor 😂😂😂😂

  • @SharifuAlbughuli
    @SharifuAlbughuli 19 дней назад +7

    Huyu mzee anachapa kipare kingese😂😂😂😂

  • @SophiaAlifa
    @SophiaAlifa 14 дней назад +1

    Kumbe kipara hanaweza kujiongoza mwenyewe bila ya clam kazi zuri sana kipara ❤❤❤

  • @tiffahbby3697
    @tiffahbby3697 19 дней назад +2

    Kali sana usicheleweshe episode Kipara ❤❤❤ professor iko moto ❤❤ huyu mwarabu analilia pilau na nyama ya Muhina😂😂😂😂

  • @BolvineStorryOficiel
    @BolvineStorryOficiel 15 дней назад +3

    Courage Kaka❤‍🔥❤‍🔥❤‍🔥 🇨🇩🇨🇩

  • @BahatiIdemba
    @BahatiIdemba День назад +1

    Professor you're the best in Africa my guy professor, your movie for now is my favourite movie.

  • @issamtolwa
    @issamtolwa 19 дней назад +7

    wachawi wanqkula wali duuuuuuuuu 😂😂😂😂😂 kipar umetudanganya

  • @mjuziboi
    @mjuziboi 19 дней назад +3

    Kazi safi kipara professor 😂 kwn hilo jina professor limetumika kivipi apa hmm❤❤😂

  • @claudmbongela
    @claudmbongela 19 дней назад +1

    Nyie mmemuona professor Kawa doctor stranger 😂😂😂😂😂😂 we mwanangu kweli brand ....alafu na ile kukanisha baharini kitaalam mnaitaje😂😂❤❤❤❤

  • @AnuaryShedafa
    @AnuaryShedafa 17 дней назад +2

    Kipara sasa umeamua gud job❤❤

  • @SuleimanRashidMohammed
    @SuleimanRashidMohammed 19 дней назад +7

    Dàaaah kazi mzuri sana kipara❤❤🎉🎉🎉

  • @joufflyngmutangaza306
    @joufflyngmutangaza306 19 дней назад +3

    Courage kipara 🔥🔥🔥🇨🇩🇨🇩

  • @bindra8622
    @bindra8622 19 дней назад +4

    From Kenya tunakupenda sana kipara. Hii ni motooo🎉❤. Keep it up buddy

  • @saleemsaeed6975
    @saleemsaeed6975 19 дней назад +5

    Duuuh kipara umetisha Kaka mpaka Ndani ya Zenji🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 nakubal san

  • @hamisimbaji7520
    @hamisimbaji7520 19 дней назад +9

    Leo nimekuwa wa kwanza..from Kenya..nipeni likes zangu

  • @DokaSwamwel
    @DokaSwamwel 19 дней назад +4

    Nice job🎉🎉🎉🎉kipara❤❤❤

  • @JustineJona-lj3lh
    @JustineJona-lj3lh 18 дней назад +2

    Professor kawa Doctor Stranger 😂😂😂😂😮❤

  • @abdullatifsuleiman9238
    @abdullatifsuleiman9238 18 дней назад +2

    Hahaha 😂😂😂professor kapigwa kimbola katokea zanzibar 😂😂❤

  • @BaltazaryEmanuel
    @BaltazaryEmanuel 19 дней назад +4

    Kiusema kweli chaombeya kazi yako ninzuri sana ikiisha vizuri nakupa maua yako mwamba

  • @SalmaAbdallah-i6e
    @SalmaAbdallah-i6e 19 дней назад +8

    Wachawi wanakula pilau daah😂😂😂😂

  • @AmaniNangerembe
    @AmaniNangerembe 19 дней назад +2

    Good nice one job brother kipara wandamani 🎉🎉🎉🎉🎉❤

  • @KingNtiharirizwa
    @KingNtiharirizwa 18 дней назад +2

    Tupo wengi kutoka burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮nimemuona mzehe master chadoo masta upo kipala unajua unatisha😂😂😂😂😂

  • @SarahATHUMANI
    @SarahATHUMANI 19 дней назад +6

    Huyu mwarabu wapemba kanichekesha sio poa 😂😂😂

  • @hamzaIlunga
    @hamzaIlunga 18 дней назад +5

    From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo team kipara one man❤

  • @NdenzakoSammy
    @NdenzakoSammy 19 дней назад +2

    Salim kutoka South Africa,nakubali sana kaka Kipara kazi nzuri sana. Tuko na wewe bega kwa bega❤

  • @johnrichard5482
    @johnrichard5482 18 дней назад +1

    Weeeeeh... #PROFESSOR Umekatisha Kutoka Tz visiwani mpaka Tz Bara Yaani SHWAAAAAAAAAAAA...🙌🙌🙌🤣🤣🤣

  • @malichanda3146
    @malichanda3146 19 дней назад +5

    Kazi nzuri sana kipara wanaman❤❤

  • @malichanda3146
    @malichanda3146 19 дней назад +13

    We mwarabu kazini kwenyewe ndiyo huko 😂😂😂😂

    • @kibibimlaula2526
      @kibibimlaula2526 17 дней назад +1

      😂😂😂kanifurahisha 😂😂lkn hafanani na uchawi

    • @SharifaNgulipa
      @SharifaNgulipa 17 дней назад +1

      😅😅😅😅nimecheka sana et kazini

  • @Awoshy
    @Awoshy 19 дней назад +3

    Kipara mbona humu upo serious sana🙌 😂🎉🎉🎉👏

  • @SantosDunia
    @SantosDunia 19 дней назад +4

    Kweli iyi filamu ni nzuri sana. Shida muko na kawiya sana ku towa kipande kyingine. Na ishi DRCongo

  • @Yusco_Rhynova
    @Yusco_Rhynova 18 дней назад +2

    Hii movie ni kali bro na inakupa kazi ya kutafta story kali baada ya hii na ukija na story nyingine kali baada ya hii bro utakuwa level NYINGINE #KIPARABRAMD🙏

  • @WilfredJames-s3d
    @WilfredJames-s3d 18 дней назад +1

    Huyo dada anamabawa mweup harf amevaa nguo nyekund😅😅😅😅😅😅

  • @KISIKAMAGESA
    @KISIKAMAGESA 19 дней назад +35

    Anae mukubali kipara gonga like apa🎉🎉❤

  • @SharkAimable-h8g
    @SharkAimable-h8g 5 дней назад +2

    Kipara hadi mzungu yupo kwenye movie uko vizuri saana 8:27

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr 18 дней назад +2

    Professor in Foro duh mmetisha wakuu😂😂😂😂😂

  • @OzwiFred
    @OzwiFred 19 дней назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂
    Kumbe kipala akiachana naumbea
    Kazi unaweza.😂😂😂😂amejikut zanimba😂😂😂

  • @SHABANALLYSHABAN
    @SHABANALLYSHABAN 19 дней назад +5

    Professor kaqigwa bara kaangukia zanzibar

  • @HassanYussuf-y5d
    @HassanYussuf-y5d 10 дней назад +1

    Duuuuuh!!! Wachawi wapo siriazi sana na swala pilau hadi ndizi Ani🙌🏼🙌🏼

  • @stephenmorara6982
    @stephenmorara6982 18 дней назад +4

    Professor kiboko1🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @J74251
    @J74251 19 дней назад +31

    Nimekua wa 95 na nimelike kwa kila mmoja nami naomba like kutoka kwenu tunao mkubali KIPARA 🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉

  • @everlinekenga437
    @everlinekenga437 19 дней назад +1

    🎉🎉🎉🎉hongera professor

  • @rizikisam6481
    @rizikisam6481 19 дней назад +3

    Profesa mwambie babu mchawi akurudishe😂😂Bora umenituletea mwarabu 😂😂😂 wachawi wanagombania pilau

  • @swahabahusein23
    @swahabahusein23 18 дней назад +6

    Kila moja nime mupa like ila mimi ata moja sijaona nipeeni like

  • @BRENDAMOGAMBI-b4q
    @BRENDAMOGAMBI-b4q 19 дней назад +5

    Kipara unaweza bro 🎉🎉🎉🎉

  • @SaraphinaFundi-rl2hx
    @SaraphinaFundi-rl2hx 19 дней назад +2

    Asante kipara ninacho wapendea move zenu zinafundisha

  • @tausimbulumi503
    @tausimbulumi503 19 дней назад +10

    Wachawi wanakula pilau ndizi na juis pia wanamaji ya chupa usipo uzuria vikao wanaleta barua ya ugonjwa ya hospital kusema mtu alikua mgonjwa asipo kuja alikuwa anaumwa leo kwamara ya kwanza nimemuona mchaw mchaga 😂😂

  • @mohdsaad2736
    @mohdsaad2736 19 дней назад +2

    Duu kibomu kimoja tu umetuwa Unguja 😂😂😂 nimeipenda hii

  • @ArafaAmirAmir-ci7ld
    @ArafaAmirAmir-ci7ld 18 дней назад +2

    Kipara umeupiga mwingi ongera Bro ❤❤

  • @AliSuleiman-bo5gq
    @AliSuleiman-bo5gq 19 дней назад +2

    Kipara waah hii ya leo kali sana wallah.....Allah akubariki jaiva wna man ❤❤

  • @HopenessMagari
    @HopenessMagari 19 дней назад +2

    Movie kali sanaaa nakukubali sana kipala wangu ila unachelewa kidgo kutoa❤

  • @DOGOALONE
    @DOGOALONE 19 дней назад +15

    Kipara aaa we nimwisho Kama unasema kipara ni mwisho❤

  • @abigailmispary6078
    @abigailmispary6078 19 дней назад +7

    Yan mwarabu kaenda kutafuta chet kwa ajili ya kupeleka uchawini😂😂😂

  • @InnocentBuoy-mj6vs
    @InnocentBuoy-mj6vs 19 дней назад +2

    Umeuwa baba umetupwa zanzibar hahahahahahahahah his kaliiiii

  • @Tresortreessy
    @Tresortreessy 19 дней назад +6

    Kipara ❤wanam Mimi apa kutoka Burundi 🇧🇮 tunakupenda sana ❤ nipe hata like 😂

  • @malichanda3146
    @malichanda3146 19 дней назад +12

    Kipara umetupwa zanzibari kwa kombora😂😂😂😂😂😂😂

    • @AminaMwamgodza
      @AminaMwamgodza 19 дней назад +1

      Tena anatalii Wala Hana wasi wasi 😂😂😂😂😂😂nmecheka

    • @malichanda3146
      @malichanda3146 19 дней назад +1

      @@AminaMwamgodza hahahaha 😆 😂 🤣

  • @joaquimdavirginiambalale2378
    @joaquimdavirginiambalale2378 19 дней назад +5

    Kazi zuri kabisa Kipara

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 19 дней назад +3

    Kazi nzuri sana jombaa...heri Leo umetuonyesha Zanzibar 😅😅

  • @LizieTopsha-254
    @LizieTopsha-254 14 дней назад +2

    ❤❤❤❤❤ kwenu nyote watching from 🇸🇦🇸🇦🇸🇦

  • @pastor-Chrisfeston1
    @pastor-Chrisfeston1 11 дней назад +1

    Kipara wana man tuko pamoja sana unafanya vizuri sana❤❤❤❤❤❤❤

  • @JeremyKISWAHILA
    @JeremyKISWAHILA 15 дней назад +2

    Kipara , kutoka congo lubumbashi, Nîme kupenda weye na sandra

  • @espoirkipanza
    @espoirkipanza 19 дней назад +3

    Uyo muswahili apo 😂😂😂 kipara umemu towa wapi 🎉

  • @jacktons8614
    @jacktons8614 18 дней назад +2

    Huyo mzee wa kipare katisha sana😂🙌