BAVICHA WATOA TAMKO ZITO "HATUKUBALIANI NA KAULI YA RAIS'' WATUPE MIILI YAO KUTAZIKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 55

  • @matalo0551
    @matalo0551 5 дней назад +5

    We are tired, nchi ni yetu sote...kila kiumbe kitauonja umauti....hivyo we have to unite together! This is what we call democracy.....a rule of people, for the people and by the people! From god father Abrahim Lincoln

  • @athumanhassani805
    @athumanhassani805 5 дней назад +6

    Ila ifike wakati ukiwa kiongozi wanchi kuna maisha baada yauongozi tujitambue tusipende madalaka mpaka kupiliza hii mbaya

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd 5 дней назад +1

      Ni kweli cheo ni kizuri ukikipata kwa haki. mpaka uue kisa madaraka!!!!? Heri kufa ni kiwa na cheo cha mkuu wa wasafisha vyoo bila ya kudaiwa na Mungu damu ya mtu yeyote mikononi mwangu.

  • @ezekielmirambo8704
    @ezekielmirambo8704 4 дня назад

    Mungu ibariki nchi yetu Tanzania, we have nowhere else to live except in our lovely country Tz

  • @edisonsanga5288
    @edisonsanga5288 5 дней назад +2

    Ni kweli kabisa nami niliona siyo kweli polisi hawahawa watanzania ndiyo wafanye uchunguzi naona wanalindana

  • @JamesLyatuu-y5s
    @JamesLyatuu-y5s 4 дня назад

    Samia must go😮

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 4 дня назад +2

    Watu wengi walio negarive,kazi zao kumkosoa Lisu, Mboweau Chadema. Ukiwasikiliza wanajisifu wao kwa Kutembea Eti mara tatu. Wamesahau mchango wa Lisu toka akiwa mwanafunzi, kiranja, kuwa tetra wa kulima, madini na raslimali zetu, kapigania ndege, wamasai, bungeni eti kajitu kanajitokeza kanajitamba tu Lisu alipigwa rızası nyingi sana. Huwezi kumdharalisha mtu kama huyu unaonyesha udhoofu wa fikra na ubinafsi na kukosa heshima.
    Unamdharau Mbowe aliyejitoa, kafilidiwa, kafungwa Kaitwa gaidi na huyu aliyejipachika uraisi kupitia katiba anayoiita kijitabu. Hana hadhi ya uraisi hata. Mna kuja mnamvua nguo Mbowe. Unavidikiliza hivi vijitu ni vidogo sana. Hapo ndo unagungundua utashi na uelewa wao ni zero. Acha Kunze’s watu, jiulize una mchango gani wa kuongelea kile Lisu na Mbowe wanakipigania. Nitoe Nawe kwa hali na mali acha maneno matupu yasiyo jenga watu na nchi na Taifa letu. Unagawa watu badala ya kulinganisha juhudi.Mungu atuangazie kwa hili.

  • @allymohamed2724
    @allymohamed2724 4 дня назад

    MTAKUBALIANA NA WALINZI WA TAIFA
    MTAKE MSITAKE.
    TANZANIA AMANI AMANI AMANI DAIMAAAAAA.

  • @jovinbikongoro3469
    @jovinbikongoro3469 11 часов назад

    Kwakweli raisi Samia afai kataka nchi hii afai kabasa

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho 4 дня назад +1

    Siyo mtanganyika huyo

  • @alexmduma6278
    @alexmduma6278 4 дня назад +1

    Nawashauri vijana wenzangu Raisi wetu ameagiza uchunguzi ufanyike,niwaombe tusubiri riport aliogiza Raisi wetu.Raisi hafurahishwi na utekaji na mauaji ya watu.

    • @EzekiaMtwale
      @EzekiaMtwale 2 дня назад

      uchunguz wa kina Ben sanane hatujawahi pata majibu, LISSU kupgiwa Risa's hatujawahi pewa report ya uchunguz wao Leo hili la marehemu Kibao ndo tutapewa report?! au ndo uchunguz utakamilika baada ya miaka mia?!!!

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 5 дней назад +2

    Hapo ulipo wewe mwenyewe huna ata uhakika na maisha yako unaogopa ata kucoment kukosoa serekali

  • @GraceDeo-g1n
    @GraceDeo-g1n 5 дней назад +1

    Mungu atangulie mbele ushindi upo

  • @mwajumaadam6068
    @mwajumaadam6068 5 дней назад +3

    Alooo mjue na nyie mtatekwa au hamuogopi????

    • @matalo0551
      @matalo0551 5 дней назад +1

      Tunaogopa, lakini tutaogopa mpaka lini? Ikiwa hatima yetu imemezwa, je kunahaja ya kuendelea kuogopa?

    • @issaal-busaidi4479
      @issaal-busaidi4479 5 дней назад +1

      hali ikiendelea hivi sote hatuko salama,bora kujitetea na kufa hadharan kuliko kufiaa gizani

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 5 дней назад +1

      Daudi angemuopa goliati tusingesikia historia yake, Samson angewaogopa wafilisti tusingesikia Habari zake,,Mungu anaweza kusimama na wew ikiamua kusimama nae nakumshinda falao zidi ya mauaji na watu wasiojulikana😮😮😮😮

    • @saleemadhiyabalkhatri7800
      @saleemadhiyabalkhatri7800 5 дней назад

      Kweli tutakua waoga mpakalini nduguzetu wanateketea wanaacha watoto wake watatizamwa nanani viongozi wamekaa kimya wanakula bata wanalindwa hawanashida njoo kwetu wakina hakunaga tunachinjwa kama kuku kwahiyo tufunge vibwebwe tuingie kazini tukaandamane tutajua mbele kwa mbele kufa au kupona namani tutaonewa sisi wanyonge mpaka lini ukitazama wabakaji wanaachiwa kwadhamana nakesi inaishia hapo utekaji wanasema nidrama sasa tukamshitakie nani bora tujitose kwakweli ishallah mungu atatufanyia wepesi amin amin amin tumechokaaaaaaaa 14:46

    • @Mosmwampa
      @Mosmwampa 4 дня назад

      Hata tukiogopa Bado wanatuua, Sasa tutaendelea kuogopa nin

  • @SakinaHassan-xc2in
    @SakinaHassan-xc2in 5 дней назад

    Ma Shaa Allah nawaombea kheri ktk kheri Allah akawaongoze ili Tanzania tunayoitaka irudi hatuwezi kuburuzwa hivi tuna Haki ya kuishi kwanini mnaua Kwa ajili ya madaraka people's power msiogope Allah yupo nanyi

  • @laurianmodest7372
    @laurianmodest7372 5 дней назад +2

    ENDELEA KUPIGA MAKELELE. MNAONGEA UJINGA. TUKUTANE KWENYE MAANDAMANO TAR. 23 MUONE MNAPENDA KUVURUGA AMANI YA NCHI HII. TUNAOMBA POLISI NA VYOMBO VYA DOLA WASHUGHULIKIWE. CHADEMA WASITUPANGIE SERIKALI WANAYOTAKA

    • @PeterMahona-zd3oz
      @PeterMahona-zd3oz 5 дней назад

      Unajua kelele ujinga niwewe wauji wakubwa mwahalamu wewe filauni wakwanza

    • @issaal-busaidi4479
      @issaal-busaidi4479 5 дней назад

      ngoja na wew ifike siku yako ya kutekwa au familia yako ndio utajua, watu wanatekwa tunakaa kimya , bora kufa kutetea haki kuliko kufa gizani

    • @baselinoelimwasi4771
      @baselinoelimwasi4771 5 дней назад

      Time tell ucjal fikiria baba yako kauawa utakuwaje

    • @tanzaniadealers
      @tanzaniadealers 4 дня назад

      ujitambui ww acha ushambaaaa

    • @emanuelymichael9759
      @emanuelymichael9759 4 дня назад

      Huyo jamaa ndio mtekaji ndio maana

  • @SaidiJuma-j3z
    @SaidiJuma-j3z 5 дней назад +1

    Raisi samia naimba chadema wote wekandani

  • @OSWARDPANJA
    @OSWARDPANJA 5 дней назад

    Hivyondivyo inavyo takiwa ongela Sana chadema huusiowakati wa kuogopa haki lazima ipatikane

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 4 дня назад

    Nasikia hata mbowe anahusika kifo cha Chacha Wangwe. Halafu mjue hatuko tayari kuchunguzwa na wakoloni.

    • @ahmedalkiyum7592
      @ahmedalkiyum7592 4 дня назад

      Umesikia je upo na ushahidi tahazari jambo la kusikia hupashwi kulisemea bila ushahidi hio tahadhar unapewa

  • @HASSANWAZIRIGAO
    @HASSANWAZIRIGAO 4 дня назад

    KIJANA YULE ALIMUUA CHACHA WANGWE JINA LAKE ANAITWA MAALIYA YUKO WAPI MLIMTUMIA KUFANYA MAAUWAJI KW NJIA YA AJALI

  • @issakazi2758
    @issakazi2758 4 дня назад

    Tanzania huru hatupo chini ya mamlaka yawaingereza

  • @carlosditram2069
    @carlosditram2069 4 дня назад

    hamza angekuwepo angetangulizwa mbele na SMG

  • @AkidaDaudi
    @AkidaDaudi 5 дней назад +2

    Mauwaji ya viongozi wa ccm mbona mlikuwa hamuyasemi je na mauwaji ya chacha wangwe yaliosababishwa na mbowe mbona hamjasema,chunguzeni nyinyi vibaraka was ichi za magharibi,awajibiki mtu,hamna mamlaka ..

    • @hassandaisa7157
      @hassandaisa7157 5 дней назад

      Nyie wapuuzi pumbavu mmekosa hoja wajinga nyie

  • @matalo0551
    @matalo0551 5 дней назад

    Death is for all....vijana tunapaswa tambua hili.....Leo kwao kesho kwetu....hivo ni suala la muda! Tunakosa ajira tulio na ufaulu mkubwa, lakini tunashuhudia wale waliokuwa wanasapp kila semister ndio wameshikiria vitengo nyeti vya serikali! Hamna haki kabisa! We are tired of this bull sheet!

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 4 дня назад +1

    HAMNA CHAMA HAPA UPUUZI MTUPU

  • @GeorgeKivuyo-po6qn
    @GeorgeKivuyo-po6qn 5 дней назад

    Ununio ni wap jmn

  • @Werema3760
    @Werema3760 4 дня назад

    ■Dam ya watu ni nzito na hii ITATHIBITIKA MWAKA KESHO 2025.🇹🇿.

  • @Jackson-r6b
    @Jackson-r6b 5 дней назад

    Mnajisumbua,Bure,watu,WA,mrimani,tumesha,wajua,poleni

  • @SaidiSelemani-l1n
    @SaidiSelemani-l1n 4 дня назад

    Sikwer

  • @HASSANWAZIRIGAO
    @HASSANWAZIRIGAO 4 дня назад

    HAYA NIMAPAMBAMBANO ZIDI YA RAIS ANAEPINGWA KWAKUWA TU NIMWIISLAAM WAISLAAM ZINDUKENI NAWAOMBA MSISHIRIKI WAACHIENI WAKRISTO ALLY KIBAO HAKUJUA KATOLEWA KAFARA

    • @omarybakunda2554
      @omarybakunda2554 4 дня назад

      We nae acha ujinga hata magufuli alipingwa. Na hakuwa muislamu. Sema hivi vi chadema vinatamani nchi ivurugike.

  • @user-hy4zb3eg1z
    @user-hy4zb3eg1z 5 дней назад

    Nchi hii ni yetu sote.....msilete siasa kwenye usalama....eti kijana wenu....kwan mlimtuma achome picha......be fair...
    Be realistic