MBELE YA JPM, BEKA FLAVOUR APAFOMU, MAWAZIRI WASHINDWA KUJIZUIA WAMWAGIA PESA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • MBELE YA JPM, BEKA FLAVOUR APAFOMU, MAWAZIRI WASHINDWA KUJIZUIA WAMWAGIA PESA
    Ni ziara ya Rais Magufuli Mkoani Morogoro katika uwekaji wa jiwe la msingi wa mahandaki ya Reli ya kisasa kutoka Morogoro hadi Makutupora, ambapo katika ziara hiyo msanii wa bongo Fleva Beka Flavour amepata fursa yakusherehesha...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 419

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 3 года назад +5

    Wangapi tumepita hapa Baada ya Kifo cha Rais wetu wa Tanzania John Pombe Joseph Magufuli...weka Like yako nione

  • @bobchanda2460
    @bobchanda2460 4 года назад +11

    Hii ndo nyimbo Kari ya magufuri...Kama unaamini nipe like yako

  • @juhudiacademy2170
    @juhudiacademy2170 4 года назад +24

    Nilikuwaga naomba mungu Beka apate fursa ya kuimba kwa mikutano ya magufuli na wimbo huu. Hatimaye yametimia

  • @kinyamal8201
    @kinyamal8201 4 года назад +1

    Kazi nzuri beka, mpole sana, napenda kazi zake sanaa

  • @suzanarupia6484
    @suzanarupia6484 4 года назад +1

    Beka kweli hii nyimbo ni Tamu na himetulia maneno mazuri sauti yako peke yake tosha humewahinua Mawazili wote kuja kukutunza kwa hajili ya hiyo nyimbo mi hapa kila siku naisikiliza nyimbo yako Hongera sana.

  • @kuolnhialruot504
    @kuolnhialruot504 4 года назад +3

    I can see everybody is happy for president magafuli administration and his entire government, congratulations Tanzanian for having the best president ever one love from ssd 🇸🇸

  • @bubaboy25
    @bubaboy25 4 года назад +1

    Hongera bekka uko vzr
    mzee magu tayr kashapta hana mpinzan

  • @sera.8bomani502
    @sera.8bomani502 4 года назад +37

    Safi sana hadi raha!

  • @rennyrheina2222
    @rennyrheina2222 3 года назад +1

    Iko sawa,,beka congrats 🔥🔥🔥

  • @kacheali4777
    @kacheali4777 4 года назад +7

    Mm mkenya ila najivunia vipaji vya watz, Mungu amewabari kiukweli had raha nyimbo za injili & za dunia zote mko juu really talented land may Lord blz u bila kusahau Rais wenu mzur kaz njema jamani

  • @suzanfelix8857
    @suzanfelix8857 4 года назад +44

    Magufuri hongeza kasiii wale wapate wasiwasii🥰

  • @robenapomola2395
    @robenapomola2395 4 года назад +1

    Sawa mwana ifakala mwenzangu upo vzr kaka, like kwa beka tafadhal

  • @bettymwende2988
    @bettymwende2988 4 года назад +1

    I really love this song.....Magufuli unapendwa na wengi....Beka flavour barikiwa sana

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 4 года назад

    Nilipenda mno akiimba na nilitaman aimbe mbele ya rais na alhamdulillah ameimba na huu ndio wimbo wa 2 ktk uchaguz mkuu wa mwaka 2020 hawan Beka fleva na Ally kiba masha Allah mnajua kuimba nyimbo za heshim na zenye mafunzo na zilizotulia Allah azidi kuwatunza . Thumma amina🤲

  • @mariamuseifu3065
    @mariamuseifu3065 4 года назад +25

    Umetisha🔥🔥🔥🔥

  • @safisk92
    @safisk92 4 года назад

    This good creative Beka

  • @tabithamogire9670
    @tabithamogire9670 4 года назад +4

    B Flavour MKALI WAO........i loveeeeeee listening to this dude sing SALUTE BRO

  • @umnaser8873
    @umnaser8873 3 года назад

    Wallah navaa kiatu cha watanzania waah hakinitoshi ..allah awape subra

  • @frankblessy2482
    @frankblessy2482 4 года назад +1

    🇰🇪🇰🇪🇧🇭🇧🇭more love to Beka ..beautiful song and his well decent

  • @shayowilbert-ug3ti
    @shayowilbert-ug3ti Год назад

    Hii nyimbo kaka umeipiga sana apo kwanza wenye vyeti feki umewapangusa daaah!!! Apo huwa napenda hongera sana Broo

  • @jescaibrahim6330
    @jescaibrahim6330 4 года назад

    Daah upo vzr kuzidi wote nyimbo iko vzr bekaa...Magu ongeza kasii baba

  • @sankofaman4112
    @sankofaman4112 4 года назад

    Safi sana! Hongereni watanzania. All the way from the China Republic of Kenya.

    • @lore4837
      @lore4837 4 года назад

      😂😂😂😂 eti what? Republic

  • @ibrahimomary0543
    @ibrahimomary0543 4 года назад

    Umetisha. 🎅🎅🎅🎅

  • @happykimaya2762
    @happykimaya2762 4 года назад +85

    HONGERA Beka umeimba vzr, umevaa vzr, Inapendeza!!

  • @كلثومالفارس
    @كلثومالفارس 4 года назад

    Asanta beka very nice song

  • @fatumambaruku2494
    @fatumambaruku2494 4 года назад +34

    Kz ipo umetisha✌🇰🇪

  • @heavenlight5084
    @heavenlight5084 4 года назад +11

    Duuh hongera bro

  • @jamesmachiwa3679
    @jamesmachiwa3679 4 года назад

    Its the Best Wote wameimba Ila Wewe Ni the Best Kijanaaaaaaapa

  • @salimvandee6067
    @salimvandee6067 4 года назад

    Umetisha babu

  • @mgoledaudi6051
    @mgoledaudi6051 4 года назад +9

    Wapinzani macho kodoo JPM ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪💪

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 4 года назад +8

    Hongera sana Beka umeimba vizuri sana.💕🙏

  • @mjombamjomba1887
    @mjombamjomba1887 4 года назад +1

    kazi nzuri sn tu n inapendeza

  • @blackmamba618
    @blackmamba618 4 года назад

    Hongera sana bro

  • @hddhhddhdhhd7466
    @hddhhddhdhhd7466 4 года назад

    tutakuufuta doa magufuli baba weee nampenda raisi wangu beka asante big up

  • @chrissjoel7752
    @chrissjoel7752 4 года назад +69

    😂😂😂😂 Mpaka Mimi mwana Chadema nawaza nicoment nini nionekane sina roho mbaya 😂😂😂😂😂 Naamua kusema *Magufuri* tawala baba umetunyoosha huna mpinzani na kura yangu umeshajishindia 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @lucasmhagama8166
      @lucasmhagama8166 4 года назад +1

      Daaah 😂😂😂😂

    • @yusterstephano8927
      @yusterstephano8927 4 года назад +1

      Bora wew mr

    • @radhiamohammedithman103
      @radhiamohammedithman103 4 года назад

      🤣🤣🤣

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 4 года назад +5

      We ndo mpinzani wa kweli! Kama kweli🙄🙄🙄🙄

    • @davidcurtis8556
      @davidcurtis8556 4 года назад +4

      Huo sasa ndio uzalendo, maana umeweka itikadi za chama pembeni umetanguliza maslahi ya Taifa, big up maana ikiharibika mama Tanzania tumeharibikiwa wote, kuna nchi wanatamani tuwe na machafuko ili tufanane nao katika historia ya kuwa na wakimbizi kwenye nchi nyengine. Watasubiri sana.

  • @seasontv8137
    @seasontv8137 4 года назад

    Hongera sana bekafreva

  • @jumakapesa726
    @jumakapesa726 4 года назад

    Dogo Beka ukovizuri sana True song.

  • @charocharo3984
    @charocharo3984 4 года назад

    Kali sanaa imeweza

  • @caronmussa3543
    @caronmussa3543 4 года назад

    Safi sana beka nakupenda bule

  • @salehestambul5535
    @salehestambul5535 4 года назад

    Yaani mwenyekuimbiwa lazima ujisikie faraja. Hizi nyimbo zitabaki kweny kumbkumb miaka mingi sana na itabaki hivyo, historia inaandikwa.Hongera mwimbaji,hongera muimbiwaji.

  • @elijahm.muthini
    @elijahm.muthini 4 года назад +7

    Performing infront of this man of God"mangufuli"is a big deal 👌

  • @kingrasdee445
    @kingrasdee445 4 года назад

    Hongera sana mr Beka kwa kumpongeza Rais wangu na kumtia moyo ni faraja isio na kifani.

  • @shedy_marie
    @shedy_marie 4 года назад +21

    Tunavunja rekod magu arudi madarskan gonga km upo namm 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @brightontrasis8975
    @brightontrasis8975 4 года назад

    Kaka beka upo vizuri sanaa

  • @judithngowi6523
    @judithngowi6523 4 года назад

    Nice song dedicated to CCM beka u sing nicly mwaaaa

  • @nyamkamawanjara29
    @nyamkamawanjara29 4 года назад

    Safi sana nyimbo mzuri mno

  • @betinalupembe4366
    @betinalupembe4366 4 года назад

    Nani anarudia kuangalia hiii like hapa duuu beka. Umefunika

  • @djbensntz7981
    @djbensntz7981 4 года назад +6

    Wana chama✌️ tujuane kwa like ✌️🏋️

  • @rehemakitara9978
    @rehemakitara9978 4 года назад

    👏👏👏👏 wimbo mzr mnooo kijana honger saaaana unakipaji sna

  • @amirimwanday9814
    @amirimwanday9814 4 года назад

    Safi Sana beka kazi nzur ya kumpongeza rais wetu mpendwa

  • @asmaajuma3328
    @asmaajuma3328 4 года назад

    Safi sana Bro 👏👏👏🔥 From Kenya 🇰🇪 Juu

  • @hadasahqueen4931
    @hadasahqueen4931 4 года назад

    Thts my fav from Tz not forgetting Goodluck the Gospel musician!

  • @selinaselin8928
    @selinaselin8928 4 года назад +12

    Wow nice

  • @llelioongoisoli9181
    @llelioongoisoli9181 4 года назад

    Very nice magufuli kweli anafanya vzr hakuna msanii hata mmoja mwenye anamnyima sifa zake hata nasi tunakutaja mtaani usione kama tunakusahau

  • @daudytamimu5183
    @daudytamimu5183 4 года назад

    Hongera Sana beka

  • @beatricedaniel1601
    @beatricedaniel1601 4 года назад +1

    Umetisha mzee baba

  • @halifajuma8123
    @halifajuma8123 4 года назад

    Safiiii sanaaaaaa

  • @mimicherop6108
    @mimicherop6108 4 года назад +1

    Beka kwako sikinai forever🎧💖💕💕💯

  • @hjhj6230
    @hjhj6230 4 года назад +20

    Kanyimbo kazur 😃😃

  • @salomemukani1627
    @salomemukani1627 4 года назад

    Ametisha sana kijana yangu Beka Hongera.🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦

  • @zaimillionaire8577
    @zaimillionaire8577 4 года назад +1

    Hongera beka umesafisha huna mpinzani.

  • @faridaessa7844
    @faridaessa7844 4 года назад +1

    Umetisha sana beka

  • @mwitawambura2548
    @mwitawambura2548 4 года назад

    Sauti nzuri

  • @hadijahmwajombe9588
    @hadijahmwajombe9588 4 года назад

    asante sana

  • @hassanabdalla2741
    @hassanabdalla2741 4 года назад +2

    Kazi nzuri ni ukweli usiopingika Serikali ya awamu ya 5 ni ya mfano wa pekee

  • @gaudenciaamon7545
    @gaudenciaamon7545 4 года назад

    Nakupenda sna wimbo wako

  • @regonacademyonline622
    @regonacademyonline622 4 года назад +29

    Namuona mbowe kwa mbaaaàli ......anavyotaka kujipanga

  • @aronkinyaga3700
    @aronkinyaga3700 4 года назад

    Hongera beka

  • @mohammedismail-ez9to
    @mohammedismail-ez9to 4 года назад

    Wimbo Safi Sana

  • @billylovebilly6301
    @billylovebilly6301 4 года назад

    nice song beeka

  • @husseinzay7639
    @husseinzay7639 4 года назад

    BekaFlavour. hongera salamia Magufuli Rais Mwenye uwezo mkubwa wa kuinua Africa nalitambua hlo kutoka Qatar...miaka kumi itakuwa Dubai....💯🙏

  • @ashamganga6636
    @ashamganga6636 4 года назад +1

    Mm nimependa wimbo tu huyu kaka anaimba huyu duh

  • @naimarose8341
    @naimarose8341 4 года назад

    Safi Sana nimebaki mimi Sasa wimbo wangu unakuja apa Kaz tu

  • @fatumaally3266
    @fatumaally3266 4 года назад

    Kweli kabisa jpm kura yangu ataichukuwa

  • @rajaburajabu3963
    @rajaburajabu3963 4 года назад

    Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @alexkisiri1286
    @alexkisiri1286 4 года назад

    Umetisha kaka, Hongera Rais wetu

  • @ramamtetu2327
    @ramamtetu2327 4 года назад

    Safi sana dogo Nyimbo Imetulia Mbaya dadekiiiii

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha7547 4 года назад

    Wow congrats Beka huo ndio uzalendo 🤩🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @betinalupembe4366
    @betinalupembe4366 4 года назад +5

    Safiiiii baba umeua

  • @catherinewawira4780
    @catherinewawira4780 4 года назад

    I wish kura yangu inaweza kubalika

  • @hajjiqassim4714
    @hajjiqassim4714 4 года назад

    Nice

  • @khadijamillanzi5273
    @khadijamillanzi5273 4 года назад +1

    Nyimbo nzuri

  • @dafrodhanoel557
    @dafrodhanoel557 4 года назад +1

    Congrats br

  • @erickmother3973
    @erickmother3973 4 года назад

    Vizuri sana

  • @teclarutto3275
    @teclarutto3275 4 года назад +1

    For sure Beka umecheza kama wewe 👏👏👏

  • @noelaoliva1638
    @noelaoliva1638 4 года назад

    Huyu kaka jmni ananifurahisha nyimbo zake daah kilalaheri kwko

  • @jaqiediffah4908
    @jaqiediffah4908 4 года назад

    Anhaaaaa kudadek hili kweli song aseeeeeee

  • @fatinabura2633
    @fatinabura2633 4 года назад

    Sana tuuu

  • @roseberryhamoud6542
    @roseberryhamoud6542 4 года назад +1

    Lala maskini amka tajiri. Hongera. CCM oyee

  • @lilym704
    @lilym704 4 года назад +1

    Kweli beka kaiba saana vizuri . bravo

  • @ravascomusic7924
    @ravascomusic7924 4 года назад

    Beka flavour for life

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 4 года назад

    Baker umeua safiii kijana

  • @henryndosi1114
    @henryndosi1114 4 года назад +5

    MAGUFULI BABA LAO* kwa maendeleo ya Watanzania 🇹🇿

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 4 года назад +15

    Mamb yamedamshii beka nitumiaa na mm japo yavocha😁😁

  • @esadkulovic6777
    @esadkulovic6777 4 года назад +2

    Magufuli jembe am so proud of him,me natokea nchi jirani Kenya but napenda maendeleo na naona maendeleo unayafanya baba kwa kasi,sanyngne natamani ungekua raisi wetu,Magufuli tena✊

  • @maggymshay7666
    @maggymshay7666 4 года назад +5

    Wakenya mnaona haya eeeish 👌♥️

    • @Thebossmama254
      @Thebossmama254 3 года назад +1

      Sisi pia tutamuimbia uhuru wetu 😝😝🤔🤔💃🏿💃🏿💃🏿

  • @johnpesambili4806
    @johnpesambili4806 4 года назад

    Mungu awabwriki sana makamanda Igp na Cdf mnaonesha wazi jinsi mulivyo wazarendo wa kweli. May our God keep protecting you all.

  • @lightnessseifu5983
    @lightnessseifu5983 4 года назад

    Jaman umeuwa wimbo mtamu sana. Sauti tamuuu

  • @khneesajumaa2052
    @khneesajumaa2052 4 года назад +2

    Hapa kazi tu

  • @ashasungata2708
    @ashasungata2708 4 года назад

    Ongera beka allah akuzidishie kipaji chako 🙏🙏🤲❤