MBELE YA JPM, BEKA FLAVOUR APAFOMU, MAWAZIRI WASHINDWA KUJIZUIA WAMWAGIA PESA
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- MBELE YA JPM, BEKA FLAVOUR APAFOMU, MAWAZIRI WASHINDWA KUJIZUIA WAMWAGIA PESA
Ni ziara ya Rais Magufuli Mkoani Morogoro katika uwekaji wa jiwe la msingi wa mahandaki ya Reli ya kisasa kutoka Morogoro hadi Makutupora, ambapo katika ziara hiyo msanii wa bongo Fleva Beka Flavour amepata fursa yakusherehesha...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Wangapi tumepita hapa Baada ya Kifo cha Rais wetu wa Tanzania John Pombe Joseph Magufuli...weka Like yako nione
Mimi nipo
Hii ndo nyimbo Kari ya magufuri...Kama unaamini nipe like yako
Nilikuwaga naomba mungu Beka apate fursa ya kuimba kwa mikutano ya magufuli na wimbo huu. Hatimaye yametimia
Kazi nzuri beka, mpole sana, napenda kazi zake sanaa
Beka kweli hii nyimbo ni Tamu na himetulia maneno mazuri sauti yako peke yake tosha humewahinua Mawazili wote kuja kukutunza kwa hajili ya hiyo nyimbo mi hapa kila siku naisikiliza nyimbo yako Hongera sana.
I can see everybody is happy for president magafuli administration and his entire government, congratulations Tanzanian for having the best president ever one love from ssd 🇸🇸
Hongera bekka uko vzr
mzee magu tayr kashapta hana mpinzan
Safi sana hadi raha!
Iko sawa,,beka congrats 🔥🔥🔥
Mm mkenya ila najivunia vipaji vya watz, Mungu amewabari kiukweli had raha nyimbo za injili & za dunia zote mko juu really talented land may Lord blz u bila kusahau Rais wenu mzur kaz njema jamani
Asante sana, kwa hakika ni neema
Magufuri hongeza kasiii wale wapate wasiwasii🥰
Sawa mwana ifakala mwenzangu upo vzr kaka, like kwa beka tafadhal
I really love this song.....Magufuli unapendwa na wengi....Beka flavour barikiwa sana
Nilipenda mno akiimba na nilitaman aimbe mbele ya rais na alhamdulillah ameimba na huu ndio wimbo wa 2 ktk uchaguz mkuu wa mwaka 2020 hawan Beka fleva na Ally kiba masha Allah mnajua kuimba nyimbo za heshim na zenye mafunzo na zilizotulia Allah azidi kuwatunza . Thumma amina🤲
Umetisha🔥🔥🔥🔥
Beka ww noma mpaka umemnyanyua CDF kacheza asee
This good creative Beka
B Flavour MKALI WAO........i loveeeeeee listening to this dude sing SALUTE BRO
Wallah navaa kiatu cha watanzania waah hakinitoshi ..allah awape subra
🇰🇪🇰🇪🇧🇭🇧🇭more love to Beka ..beautiful song and his well decent
Hii nyimbo kaka umeipiga sana apo kwanza wenye vyeti feki umewapangusa daaah!!! Apo huwa napenda hongera sana Broo
Daah upo vzr kuzidi wote nyimbo iko vzr bekaa...Magu ongeza kasii baba
Safi sana! Hongereni watanzania. All the way from the China Republic of Kenya.
😂😂😂😂 eti what? Republic
Umetisha. 🎅🎅🎅🎅
HONGERA Beka umeimba vzr, umevaa vzr, Inapendeza!!
Ndiyo kwanza nimeanza kumuona na nimependa alivyo imba
Kwel kabsa.
@@kingrasdee445 .., ..
Masha Allah saut nzur wimbo mzur yaan mafunzo toshaaaa
7
Asanta beka very nice song
Kz ipo umetisha✌🇰🇪
Duuh hongera bro
Its the Best Wote wameimba Ila Wewe Ni the Best Kijanaaaaaaapa
Umetisha babu
Wapinzani macho kodoo JPM ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪💪
Hongera sana Beka umeimba vizuri sana.💕🙏
Umefanya vzr sn
kazi nzuri sn tu n inapendeza
Hongera sana bro
tutakuufuta doa magufuli baba weee nampenda raisi wangu beka asante big up
😂😂😂😂 Mpaka Mimi mwana Chadema nawaza nicoment nini nionekane sina roho mbaya 😂😂😂😂😂 Naamua kusema *Magufuri* tawala baba umetunyoosha huna mpinzani na kura yangu umeshajishindia 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Daaah 😂😂😂😂
Bora wew mr
🤣🤣🤣
We ndo mpinzani wa kweli! Kama kweli🙄🙄🙄🙄
Huo sasa ndio uzalendo, maana umeweka itikadi za chama pembeni umetanguliza maslahi ya Taifa, big up maana ikiharibika mama Tanzania tumeharibikiwa wote, kuna nchi wanatamani tuwe na machafuko ili tufanane nao katika historia ya kuwa na wakimbizi kwenye nchi nyengine. Watasubiri sana.
Hongera sana bekafreva
Dogo Beka ukovizuri sana True song.
Kali sanaa imeweza
Safi sana beka nakupenda bule
Yaani mwenyekuimbiwa lazima ujisikie faraja. Hizi nyimbo zitabaki kweny kumbkumb miaka mingi sana na itabaki hivyo, historia inaandikwa.Hongera mwimbaji,hongera muimbiwaji.
Performing infront of this man of God"mangufuli"is a big deal 👌
Hongera sana mr Beka kwa kumpongeza Rais wangu na kumtia moyo ni faraja isio na kifani.
Tunavunja rekod magu arudi madarskan gonga km upo namm 🤣🤣🤣🤣🤣
Mambo
Tunasubir aapishwe
Kaka beka upo vizuri sanaa
Nice song dedicated to CCM beka u sing nicly mwaaaa
Safi sana nyimbo mzuri mno
Nani anarudia kuangalia hiii like hapa duuu beka. Umefunika
Wana chama✌️ tujuane kwa like ✌️🏋️
👏👏👏👏 wimbo mzr mnooo kijana honger saaaana unakipaji sna
Safi Sana beka kazi nzur ya kumpongeza rais wetu mpendwa
Safi sana Bro 👏👏👏🔥 From Kenya 🇰🇪 Juu
Thts my fav from Tz not forgetting Goodluck the Gospel musician!
Wow nice
Very nice magufuli kweli anafanya vzr hakuna msanii hata mmoja mwenye anamnyima sifa zake hata nasi tunakutaja mtaani usione kama tunakusahau
Hongera Sana beka
Umetisha mzee baba
Safiiii sanaaaaaa
Beka kwako sikinai forever🎧💖💕💕💯
Kanyimbo kazur 😃😃
Ametisha sana kijana yangu Beka Hongera.🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦
Hongera beka umesafisha huna mpinzani.
Umetisha sana beka
Sauti nzuri
asante sana
Kazi nzuri ni ukweli usiopingika Serikali ya awamu ya 5 ni ya mfano wa pekee
Nakupenda sna wimbo wako
Namuona mbowe kwa mbaaaàli ......anavyotaka kujipanga
😂😂😂😂😂😂😂Wapizani watapata taaaaaaabu sanaaaaaa
Hhhh atulie tuuu hapati kituu mbonaa
😂😂😂😆😆😆😆😆
😁😁😁
Hongera beka
Wimbo Safi Sana
nice song beeka
BekaFlavour. hongera salamia Magufuli Rais Mwenye uwezo mkubwa wa kuinua Africa nalitambua hlo kutoka Qatar...miaka kumi itakuwa Dubai....💯🙏
Mm nimependa wimbo tu huyu kaka anaimba huyu duh
Safi Sana nimebaki mimi Sasa wimbo wangu unakuja apa Kaz tu
Kweli kabisa jpm kura yangu ataichukuwa
Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Umetisha kaka, Hongera Rais wetu
Safi sana dogo Nyimbo Imetulia Mbaya dadekiiiii
Wow congrats Beka huo ndio uzalendo 🤩🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Safiiiii baba umeua
I wish kura yangu inaweza kubalika
Nice
Nyimbo nzuri
Congrats br
Vizuri sana
For sure Beka umecheza kama wewe 👏👏👏
Huyu kaka jmni ananifurahisha nyimbo zake daah kilalaheri kwko
Anhaaaaa kudadek hili kweli song aseeeeeee
Sana tuuu
Lala maskini amka tajiri. Hongera. CCM oyee
Kweli beka kaiba saana vizuri . bravo
Beka flavour for life
Baker umeua safiii kijana
MAGUFULI BABA LAO* kwa maendeleo ya Watanzania 🇹🇿
Mamb yamedamshii beka nitumiaa na mm japo yavocha😁😁
😂😂
Magufuli jembe am so proud of him,me natokea nchi jirani Kenya but napenda maendeleo na naona maendeleo unayafanya baba kwa kasi,sanyngne natamani ungekua raisi wetu,Magufuli tena✊
Wakenya mnaona haya eeeish 👌♥️
Sisi pia tutamuimbia uhuru wetu 😝😝🤔🤔💃🏿💃🏿💃🏿
Mungu awabwriki sana makamanda Igp na Cdf mnaonesha wazi jinsi mulivyo wazarendo wa kweli. May our God keep protecting you all.
Jaman umeuwa wimbo mtamu sana. Sauti tamuuu
Hapa kazi tu
Ongera beka allah akuzidishie kipaji chako 🙏🙏🤲❤