S01E05 | UMBO LA NOTA NA UREFU WA NOTA - SOMO LA MUHIMU SANA NA MAANA SANA | Mwl. A. Manyama
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- Ili kuifikisha huduma ya neno la Mungu mbali zaidi Tafadhari Subscribe kisha Like, Comment na Share
Tufuate Kwenye Mitandao ya Kijamii:-
Facebook: / theservantmedia
Mawasiliano:-
THE SERVANT MEDIA,
Parokia ya Chuo kikuu,
P. O. BOX 35027,
Dar es Salaam.
For Bookings
Phone Number +255758949904
+255788865025
Am Moses from lodwar am studen in this class
Naomba nianze SoMo la mwanzo kabisa
Kipindi Cha Tano hakionekan mwalimu
Nimeanza kusoma muziki;nawewe mi mwalimu haswa!karama ya kufundisha unayo,maana naelewa mpaka kero🤪
Teacher! barikiwa sanaaaaaaaaaaaaaaaaaa🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Am Moses from lodwar am studen in this class
Kaka hongera Sana kwa mafundisho mazuriii
Yaan nilikuwa sipendi mziki Ila umenifanya niupende dah Kuna walimu na teachers wewe Ni Proffessional teacher
asante sana kwa kazi nzuri , uko vizuri katika kufundisha lakini maandishi ubaoni hayasomeki vizuri {poor vision}, but upo vizuri tunaomba mboreshe hilo ili unapo andika tusome bila kutumia nguvu nyingi
Nisaidie kupanga pich ,. (Ulinga nishwe na Nani mke wangu wewe haulinganishwi) kwamfano
Nimefatilia sana kipindi chako. Ila naomba unisaidie kujua idadai ya sharp na flat katika kila note
Am happy to have you in place from Kenya mine I need to know to read music and play Organ
I think you are the best guy for me. Am gaining allot. Ndoto yangu ni kujua kusoma mziki na kucheza kinanda
This teacher is excellent.. nimependa darasa lake Sana anafutie Sana Kwa kufunza wanafunzi..encouragement yake Kwa wanafunzi it's in another level..sijawahi pata mwalimu kama A.manyamah
najiunga na masomo yko leo....kazi nzuri
Sehemu ya kwanza naomba niipate siioni kwa utube
Bratha,nafutiliwa darasa nikiwa Kenya,mnaelimisha vipoa sana,
Mbona utuonyeshi hyo piano uliyopiga hapo
Ombi:kipindi kiongezewe siku na muda Kidogo km itawezekana, asante
Asante sana..
Tutalifanyia kazi ndugu...
Mwalimu uko Vizuri! Be blessed
Mwalimu unafundisha vizury je whasapps unafundisha
Keakweli ni darasa tamu sana mimejifunza mengi mno
Nashukuru
Ansante mwl,kwa masomo mazuri Mimi nimuimini wa sauti
Nimepata uelewa🙏🙏🙏
Hakuna matata
Nakuelewa teacher ntakutatafuta nikupe shukrani yako Kama nikiwa vizuri
Moja Kwa moja tuko ndani la hii darasa
Asante sana mwal ubarikiwe
😂😂😂 mwl tunae
Barikiwa sana
Nahitaji kujifunza
A new day lesson 5
Unaeleweka pamoja
Good sana mkuu
SOMO ZURI SANA
Impressing!!
Asante teacher
Somo zuri sana
Kazi safi sana
Unaeleweka mwl
Nice
Bravo🙏🙏
Jamani Muziki nauelewa jamani🤓🤓
Hello I enjoy your lesson plz teach on how to play songs using letters egGAB,C... Like that
I get you teacher, be blessed.
Darasa nimelipenda sana mkuu
Please teacher nko na shida moja was kufumilia kipindi coz asigapangiliwa kutoka Cha kwanza Hadi nyingine kweli
Nmependa mafunzo yako mwalim, kutoka Nakuru kenya
Good lesson mwalimu...is there a longer note than a whole note
Ahsantee sana
Nakue ewa sana mwl, ila kuna mambo cjayaelewa
Mwalimu uteletee uandishi wa wimbo
Woooow unaelewesha vizuri sana I like it
Somo zuri sana
Unaweza sana